Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Msigwa nukuu" Kunja ngumi, Kunja ngumi, Kunja ngumi.... Zungusha, zungusha, Zungushaaaa, haya Peopleees- Poweeeeerrrrr" Hii ni baada ya maandamano ya kilomita zaidi ya 10. Du, nabaki kusikitika tu!Hajui kuwa CHADEMA waliondoka Zito kabwe, Slaa, Mashinji, Sumaye, Lowasa, Nyalandu, Laurence Masha, na wengine wengi ambao walikua Very senior, yeye anaamka asubuhi hata chai hajui kama atakunywa anakuja na thread za Msigwa ambaye hakua hata na cheo.....
Kilaza ktk ubora wako, huoni aibu wwHofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.
Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu na umakini sana kila anapokutana na wana habari.
cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa, maswala mbalimbali ambayo amekua akiyaibua dhidi ya chadema dhaifu...
sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?
Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaaπ
Unganisha dot utaelewahapana bigπ
lakini kamati kuu chadema kuna hofu na umakini mkubwa sana katika kumjibu, kulikoni?πTumemfuatikila huyu mwamba tangu atue CCM hana hoja mpya yoyote ya kuwaondolea watanzania umaskini badala yake ni majungu yasiyo ma kichwa wala mkia.
eti ana dai kwamba mwenyekiti taifa hana content?π€£Msigwa nukuu" Kunja ngumi, Kunja ngumi, Kunja ngumi.... Zungusha, zungusha, Zungushaaaa, haya Peopleees- Poweeeeerrrrr" Hii ni baada ya maandamano ya kilomita zaidi ya 10. Du, nabaki kusikitika tu!
kama unachangia bas make sure you come up with new ideas and alternative plans,Mimi sio jobless boss. Nikiwa free ndio nachangia, ww mumeo anakuletea kila kitu mezani lazima ushinde hapa jf.
Kama umetumwa na CCM wenzako kajipange upyaas a political doctor,
I can easily read the tone and observe body language and facial expressions of any politician I know, and I can conclude kwamba in which mood the leader is or sick π
Hapa unatamani nikutukanemie ni miongoni mwa professional doctors with no borders specialized in political, diplomacy and religious issues π
Kila mtu katika sehemu fulani huwa anaumuhimu wake lakini haimaanishi kwamba watu hawawezi kuishi bila huyo mtu...Hofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.
Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu na umakini sana kila anapokutana na wana habari.
cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa, maswala mbalimbali ambayo amekua akiyaibua dhidi ya chadema dhaifu...
sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?
Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaaπ
Hofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.
Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu na umakini sana kila anapokutana na wana habari.
cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa, maswala mbalimbali ambayo amekua akiyaibua dhidi ya chadema dhaifu...
sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?
Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaaπ
una point,Kila mtu katika sehemu fulani huwa anaumuhimu wake lakini haimaanishi kwamba watu hawawezi kuishi bila huyo mtu...
Nitakushughulikia muda si mrefusema tu una hamu ya kuyaporomosha, dah π€£
pandisha mihemko kwanza mama lma π
hofu ya nini sasa,Endelea kuota ,ulishaambiwa Chadema waliondoka viongozi wa nafasi za juu na mpaka sasa inadunda na inazidi kuogopwa! So hakuna kiongozi atakeyeondoka na kuiyumbisha chadema.