Mzize kuvunja record ya usajili Kwa wachezaji wa kitanzania

Mzize kuvunja record ya usajili Kwa wachezaji wa kitanzania

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Klabu ya Yanga imewapa taarifa Kwa barua rasmi wachezaji wake wawili Clement Mzize pamoja Aziz ki kuwa watakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu

Mzize mwenye miaka 21 ametakiwa na club ya Wydad ambayo ilituma offer ya billion 2.5 ambapo Yanga ilipuuza offer hiyo
Leo mchana timu ya Al Ahly Tripoli ya Libya imeta offer ya billion 4 na baadaye timu ya Saidia imetuma offer ya billion 5
Mzize pia anahitajika na timu ya Burnley na Olympic Marseille ya France

Kwa mauzo hayo Clement Mzize atakuwa amevunja record ya kuwa mchezaji ghali ukanda huu wa CECAFA

Kweli Eng Hersi ni brain 🧠 ya mpira

Mzize kutoka Academy ya Yanga Leo anauzwa billion 5
 
Klabu ya Yanga imewapa taarifa Kwa barua rasmi wachezaji wake wawili Clement Mzize pamoja Aziz ki kuwa watakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu

Mzize mwenye miaka 21 ametakiwa na club ya Wydad ambayo ilituma offer ya billion 2.5 ambapo Yanga ilipuuza offer hiyo
Leo mchana timu ya Al Ahly Tripoli ya Libya imeta offer ya billion 4 na baadaye timu ya Saidia imetuma offer ya billion 5
Mzize pia anahitajika na timu ya Burnley na Olympic Marseille ya France

Kwa mauzo hayo Clement Mzize atakuwa amevunja record ya kuwa mchezaji ghali ukanda huu wa CECAFA

Kweli Eng Hersi ni brain 🧠 ya mpira

Mzize kutoka Academy ya Yanga Leo anauzwa billion 5
Badala ya kumsifia kocha aliyemwamini kumuingiza timu ya wakubwa cha ajabu wewe unamsifia Hersi
 
Acha auzwe kwanza...

Klabu ya Yanga imewapa taarifa Kwa barua rasmi wachezaji wake wawili Clement Mzize pamoja Aziz ki kuwa watakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu

Mzize mwenye miaka 21 ametakiwa na club ya Wydad ambayo ilituma offer ya billion 2.5 ambapo Yanga ilipuuza offer hiyo
Leo mchana timu ya Al Ahly Tripoli ya Libya imeta offer ya billion 4 na baadaye timu ya Saidia imetuma offer ya billion 5
Mzize pia anahitajika na timu ya Burnley na Olympic Marseille ya France

Kwa mauzo hayo Clement Mzize atakuwa amevunja record ya kuwa mchezaji ghali ukanda huu wa CECAFA

Kweli Eng Hersi ni brain 🧠 ya mpira

Mzize kutoka Academy ya Yanga Leo anauzwa billion 5
 
Klabu ya Yanga imewapa taarifa Kwa barua rasmi wachezaji wake wawili Clement Mzize pamoja Aziz ki kuwa watakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu

Mzize mwenye miaka 21 ametakiwa na club ya Wydad ambayo ilituma offer ya billion 2.5 ambapo Yanga ilipuuza offer hiyo
Leo mchana timu ya Al Ahly Tripoli ya Libya imeta offer ya billion 4 na baadaye timu ya Saidia imetuma offer ya billion 5
Mzize pia anahitajika na timu ya Burnley na Olympic Marseille ya France

Kwa mauzo hayo Clement Mzize atakuwa amevunja record ya kuwa mchezaji ghali ukanda huu wa CECAFA

Kweli Eng Hersi ni brain 🧠 ya mpira

Mzize kutoka Academy ya Yanga Leo anauzwa billion 5
Chai
 
Back
Top Bottom