Mzize toka abadili dini kiwango kimeisha

Mzize toka abadili dini kiwango kimeisha

NCHI za kiislamu kiarabu/ status yake kombe la Dunia ni mbovu mno.

Wanajua vita na ugaidi.
 
Basi acha kushibikia simba na yanga maana waanzilishi na wamiliki wake ni waislam.

Simba imeanzishwa na wazungu.

Kuanzia like jina la kike....
Sunderland nk......

MATAJIRI wa kizungu ndio waasisi....

Yanga ndio ilianzishwa labda lakini Kadi namba Moja no ya JK Nyerere.
 
Tofauti ya Mzize na Mwaikimba ni umri na rangi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpira haihusiani na mambo ya dini kwani kuna waislamu wengi wanacheza mpira vizuri tu japo yale makundi ya kigaidi yanayodai ni waislamu hawakubaliani na mambo ya michezo.
 
First eleven ya Yanga Jana

1. Djigui Diarra - Muislam
2. Bakar Mwambyeto - muislam
3. Ibrahim Bacca - Muislam
4. Kibwana Shomar - muislam
5. Salum Aboubakar - muislam
6. Khalid Aucho - muislam
7. Aziz Ki - muislam
8. Walid Mzinze - muislam
9. Mudathir Yahya - muislam


Nawakumbusha tu
 
Uzi una sense udini ndani yake ila hapa tuachane na mambo hayo kwanza.

Sisi mashabiki kuna muda tukiachana na main role ya mchezaji ndani ya uwanja katika part yake pia inabid tuangalie mchango mwengine wa mchezaji katika uwanja. Mfano Mshambuliaji kazi yake ni kufunga vp tunaangalia na kazi nyingine ambayo anaweza mchezaji kuifanya kama kukaba au kuassist.

Mzize jana kuna makosa kadhaa ameyafanya kama kupoteza pasi na kukosa chance nzuri ambayo angetulia vizuri angeweza kufunga ila ndani ya dakika 45 alizocheza aliweza kupambana upande wa kulia wa uwanja na kuwakimbiza mabeki kwa kiwango kikubwa sana, hata ile miss ya Mayele iliyotoka nje ilikuwa ni One Two safi sana na Mzize.

Tusiwe mashabiki ambao ni wepesi kulaumu hasa kwa hawa wachezaji makinda zaidi tuzidi kuwapa motisha wazidi kufanya vizuri ndo silaha zetu za baadae hizi.

Uzuri wa Mzize sio mshambuliaji wa kusimama kama yule wa Simba Jean Baleke Mzize ni movable striker kikubwa azidi kupambana azidi kuaminiwa na Kocha pamoja na mashabiki.
 
Simba imeanzishwa na wazungu.

Kuanzia like jina la kike....
Sunderland nk......

MATAJIRI wa kizungu ndio waasisi....

Yanga ndio ilianzishwa labda lakini Kadi namba Moja no ya JK Nyerere.
Ww jamaa ni mpumbavu.
 
First eleven ya Yanga Jana

1. Djigui Diarra - Muislam
2. Bakar Mwambyeto - muislam
3. Ibrahim Bacca - Muislam
4. Kibwana Shomar - muislam
5. Salum Aboubakar - muislam
6. Khalid Aucho - muislam
7. Aziz Ki - muislam
8. Walid Mzinze - muislam
9. Mudathir Yahya - muislam


Nawakumbusha tu
Na mfungaji bora ni Mayele.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Uzi una sense udini ndani yake ila hapa tuachane na mambo hayo kwanza.

Sisi mashabiki kuna muda tukiachana na main role ya mchezaji ndani ya uwanja katika part yake pia inabid tuangalie mchango mwengine wa mchezaji katika uwanja. Mfano Mshambuliaji kazi yake ni kufunga vp tunaangalia na kazi nyingine ambayo anaweza mchezaji kuifanya kama kukaba au kuassist.

Mzize jana kuna makosa kadhaa ameyafanya kama kupoteza pasi na kukosa chance nzuri ambayo angetulia vizuri angeweza kufunga ila ndani ya dakika 45 alizocheza aliweza kupambana upande wa kulia wa uwanja na kuwakimbiza mabeki kwa kiwango kikubwa sana, hata ile miss ya Mayele iliyotoka nje ilikuwa ni One Two safi sana na Mzize.

Tusiwe mashabiki ambao ni wepesi kulaumu hasa kwa hawa wachezaji makinda zaidi tuzidi kuwapa motisha wazidi kufanya vizuri ndo silaha zetu za baadae hizi.

Uzuri wa Mzize sio mshambuliaji wa kusimama kama yule wa Simba Jean Baleke Mzize ni movable striker kikubwa azidi kupambana azidi kuaminiwa na Kocha pamoja na mashabiki.
Mule hakuna mchezaji ni lile umbo tu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
1.Tyson alivyobadili DINI akataka Hadi KUBADILI Jinsia.
Alitaka kujiweka papuchi.

2. Drogba alivyobadili DINI anatuhumiwa kuhusika na vitendo vya Upinde..........


3. Mzinze Bye bye........

MRUDIE MUNGU WAKO DOGO
Drogba alishawahi kubadili dini?
 
Huwezi mkana Yesu kisha ubaki salama never!!
Na unapo jiunga na Dini ya Kiislamu lazima useme.
Yesu sio Mungu na wala sio Mwana wa Mungu.
Yaani unamkana Baba na Mwana.
Unakuwa Mpinga Kristo kamili.

1 Yohana 2:22
Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.
23 Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
 
Mbona akina Mbape ,Pogba,Ngoro Kante wamebadili dini na kuwa waisilam na bado hakuna lililo watokea punguzeni upumbavu.
Huko kwenye dini zenu mpaka kudanganya mnaruhisiwa alimradi dini imesimama?hao uliowataja hapo mbona uki-search maisha yao unakutana na uhalisia wao?
IMG_20230501_234905.jpg
IMG_20230501_234831.jpg
IMG_20230501_234742.jpg

Nachelea kusema ni tatizo la lugha but siku hizi kuna apps za ku-translate inakuletea hata kwa Kiswahili zitumie hizo ili uweze kujenga hoja jadifu siyo mfu.
 
Back
Top Bottom