Hata wewe wakati wako waja mpokee Yesu.Kwa akili hizi ndo maana watu huwa wanaona fursa kufungua kanisa wapige hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe wakati wako waja mpokee Yesu.Kwa akili hizi ndo maana watu huwa wanaona fursa kufungua kanisa wapige hela
Basi acha kushibikia simba na yanga maana waanzilishi na wamiliki wake ni waislam.
Drogba sio Muslim
Tafuta kivuli upumzike kidogo kichwa kimepata moto sana hichoHata wewe wakati wako waja mpokee Yesu.
Sijajua jinsia Yako, nahisi una jinsia zoteNi kama laana sijui
Hajafunga toka muda ule
Anaruka ruka uwanjani
Anabaki na kipa anakosa
Tayari anetupa nyamaUko sahihi kiongozi hata Mike Tyson alipobadili dini akawa unga kweli kweli mpaka Leo amekuwa kama zezeta
Ww jamaa ni mpumbavu.Simba imeanzishwa na wazungu.
Kuanzia like jina la kike....
Sunderland nk......
MATAJIRI wa kizungu ndio waasisi....
Yanga ndio ilianzishwa labda lakini Kadi namba Moja no ya JK Nyerere.
kila kitu mnarelate na dini mbona mna inferiority complex enyi wagalatia[emoji23][emoji23]
Na mfungaji bora ni Mayele.First eleven ya Yanga Jana
1. Djigui Diarra - Muislam
2. Bakar Mwambyeto - muislam
3. Ibrahim Bacca - Muislam
4. Kibwana Shomar - muislam
5. Salum Aboubakar - muislam
6. Khalid Aucho - muislam
7. Aziz Ki - muislam
8. Walid Mzinze - muislam
9. Mudathir Yahya - muislam
Nawakumbusha tu
Mule hakuna mchezaji ni lile umbo tu.Uzi una sense udini ndani yake ila hapa tuachane na mambo hayo kwanza.
Sisi mashabiki kuna muda tukiachana na main role ya mchezaji ndani ya uwanja katika part yake pia inabid tuangalie mchango mwengine wa mchezaji katika uwanja. Mfano Mshambuliaji kazi yake ni kufunga vp tunaangalia na kazi nyingine ambayo anaweza mchezaji kuifanya kama kukaba au kuassist.
Mzize jana kuna makosa kadhaa ameyafanya kama kupoteza pasi na kukosa chance nzuri ambayo angetulia vizuri angeweza kufunga ila ndani ya dakika 45 alizocheza aliweza kupambana upande wa kulia wa uwanja na kuwakimbiza mabeki kwa kiwango kikubwa sana, hata ile miss ya Mayele iliyotoka nje ilikuwa ni One Two safi sana na Mzize.
Tusiwe mashabiki ambao ni wepesi kulaumu hasa kwa hawa wachezaji makinda zaidi tuzidi kuwapa motisha wazidi kufanya vizuri ndo silaha zetu za baadae hizi.
Uzuri wa Mzize sio mshambuliaji wa kusimama kama yule wa Simba Jean Baleke Mzize ni movable striker kikubwa azidi kupambana azidi kuaminiwa na Kocha pamoja na mashabiki.
Drogba alishawahi kubadili dini?1.Tyson alivyobadili DINI akataka Hadi KUBADILI Jinsia.
Alitaka kujiweka papuchi.
2. Drogba alivyobadili DINI anatuhumiwa kuhusika na vitendo vya Upinde..........
3. Mzinze Bye bye........
MRUDIE MUNGU WAKO DOGO
Na unapo jiunga na Dini ya Kiislamu lazima useme.Huwezi mkana Yesu kisha ubaki salama never!!
Ila Dogo ana umbo zuri sana la kuchezea mpira.
Huko kwenye dini zenu mpaka kudanganya mnaruhisiwa alimradi dini imesimama?hao uliowataja hapo mbona uki-search maisha yao unakutana na uhalisia wao?Mbona akina Mbape ,Pogba,Ngoro Kante wamebadili dini na kuwa waisilam na bado hakuna lililo watokea punguzeni upumbavu.