Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

Tangu lini top player kutoka kwenye Club bora ya ligi au bara husika akahitajika na timu ndogo? Hiyo Barcelona ya miaka uliyotaja ina mataji mangapi ya Ligi yao, Ulaya na Club bingwa Dunia?
Sasa ulitaka Messi aende wapi na akacheze nini zaidi ya Barcelona? Je Chama na Pacome kwa hapa kwetu wanaweza kwenda timu zozote zaid ya hizi 2? Kwahiyo Messi alikuwa na option 1 tu au 2 ambayo ni hasimu wao Madrid.
Sasa turudi kwa Chama, kwenye bara hili top clubs kwenye ubingwa ni Al Ahly, Mazembe, Wydad, Mamelod etc. Simba sio miongoni mwao kwani hata nusu hawajawahi kufika, je katika hizo ni ipi ilimhitaji? Je ana mataji mangapi ya Continental au hata Sub continental?
Sahihi kabisa
 
Kama Chama ana class kwanini hakuna timu yeyote ile inayomuhitaji? Katoka Berkane karudi Simba na hapandi daraja ya kutakiwa na timu nyingine za daraja la juu?
Kwasasa kila mwana Yanga anaingia mashaka, huenda Pacome akakosekana msimu ujao. Na hili nakuhakikishia Pacome akiendelea na performance yake hiyo hiyo hatobakia Yanga msimu ujao ila Chama utasikia tetesi zake za kutakiwa na Yanga pekee basi.
Chama alipofeli tu Berkane ndo nikaona huyu ni mchezaji wa Tanzania tu sio kimataifa ,pili umri nao kikwazo kwake.
 
Hilo swali kawaulize Berkane sio mimi ila nimeandika katafute namba zake
Namba zake ni kuwa kacheza michezo kumi ana assist 2 pekee, na goli 0. Au una namba tofauti na hizi?
 
Siku Simba anakandwa 5_1 walisema Chama kapokea mlungula
 
Chama alipofeli tu Berkane ndo nikaona huyu ni mchezaji wa Tanzania tu sio kimataifa ,pili umri nao kikwazo kwake.
Hilo watu hawataki kukubali. Ila huo ndio ukweli, mchezaji ukiwa mzuri ulimwengu unakutamani kutaka kufanya kazi na wewe. Sasa ni mchezaji miaka yote yupo Tanzania na wala husikii kuna sehemu wamemuhitaji zaidi ya hapa hapa Tanzania tu utasikia akihusishwa na Yanga pekee.
 
Ni mpumbavu tu ndio anaweza kumlinganisha Chama na Pacome. Performance ya Pacome ni the same kila mchezo tofauti na Chama ambae anavizia mechi moja moja za vibonde

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Mchezaji bora wa ligi ya ivory coast mwaka jana
Na ndio kasajiriwa na Yanga.
Waarabu au Wazungu wamemwacha kwa sababu gani?
Mchezaji Bora asiyecheza Afcon wakati wachezaji wa ndani walicheza.
Basi amini alikuwa mchezaji Bora wa Mchongo.
 
Na ndio kasajiriwa na Yanga.
Waarabu au Wazungu wamemwacha kwa sababu gani?
Mchezaji Bora asiyecheza Afcon wakati wachezaji wa ndani walicheza.
Basi amini alikuwa mchezaji Bora wa Mchongo.
Kama ni wamchongo uje na takwimu za wanaongoza kwa magoli na assist kwenye klabu bingwa msimu huu uone kama Pacome hatokuwepo.
 
Makolo wanamtukuza sana Chama ila ni mchezaji wa kawaida sana. Bado hata ukiweka mambo aliyofanya Okwi . Chama haingii hata punje.
 
Kwa hiyo ukiongea kishabiki Nitaenda na Chama lakini Pacome ni balaa lingine
 
Chama kaanza vitu vyake enzi zile za Nkana pale kwa Mkapa, akatoka pale akaenda kwa As Vita, wakati huo vyura mnaogelea tu kwenye tope hata CAF CL hamuijui ina rangi gani..

Huyo Pacome wenu wakati huo alikuwa anakunywa uji wa mama yake kwao Ivory Coast.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
ishu ni kwamba pacome kaja juzi,hata chama kabla hajaja hapa alikuwa andazi tu huko alipo,au wewe ulishawahi kumuona akicheza klabu bingwa kabla hajajiunga na simba?
 
Berkane, ok akacheza misimu mingapi? Na baada ya hapo akaenda timu ipi mpya zaidi ya kurudia matapishi? Kumemshinda karudi, kama angekuwa bora asingerudi Simba bali angeenda kwenye timu kubwa zaidi ya hiyo Berkane.
Nawauliza nyie UTO, kama mmeweza msajili mkude mtashindwa msajili chama kweli?
 
Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.
Mchezaj mzur hata Tim ya taifa lake huwa inamuona!!! Mchezaj Kama hajulikan kweny taifa lake Hilo Ni kasha tu!!
 
Back
Top Bottom