OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View: https://youtu.be/oP1iy_ASXZ4?si=anmRb1AqyOdDZa6M
Huyu jamaa kakimbia kukatwa mashine kaibukia kuleta kelele humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaTangu lini top player kutoka kwenye Club bora ya ligi au bara husika akahitajika na timu ndogo? Hiyo Barcelona ya miaka uliyotaja ina mataji mangapi ya Ligi yao, Ulaya na Club bingwa Dunia?
Sasa ulitaka Messi aende wapi na akacheze nini zaidi ya Barcelona? Je Chama na Pacome kwa hapa kwetu wanaweza kwenda timu zozote zaid ya hizi 2? Kwahiyo Messi alikuwa na option 1 tu au 2 ambayo ni hasimu wao Madrid.
Sasa turudi kwa Chama, kwenye bara hili top clubs kwenye ubingwa ni Al Ahly, Mazembe, Wydad, Mamelod etc. Simba sio miongoni mwao kwani hata nusu hawajawahi kufika, je katika hizo ni ipi ilimhitaji? Je ana mataji mangapi ya Continental au hata Sub continental?
Hilo swali kawaulize Berkane sio mimi ila nimeandika katafute namba zakeKama namba zake zilikua bora berkane kwanini kulimshinda na wakamuuza
Chama alipofeli tu Berkane ndo nikaona huyu ni mchezaji wa Tanzania tu sio kimataifa ,pili umri nao kikwazo kwake.Kama Chama ana class kwanini hakuna timu yeyote ile inayomuhitaji? Katoka Berkane karudi Simba na hapandi daraja ya kutakiwa na timu nyingine za daraja la juu?
Kwasasa kila mwana Yanga anaingia mashaka, huenda Pacome akakosekana msimu ujao. Na hili nakuhakikishia Pacome akiendelea na performance yake hiyo hiyo hatobakia Yanga msimu ujao ila Chama utasikia tetesi zake za kutakiwa na Yanga pekee basi.
Namba zake ni kuwa kacheza michezo kumi ana assist 2 pekee, na goli 0. Au una namba tofauti na hizi?Hilo swali kawaulize Berkane sio mimi ila nimeandika katafute namba zake
Hilo watu hawataki kukubali. Ila huo ndio ukweli, mchezaji ukiwa mzuri ulimwengu unakutamani kutaka kufanya kazi na wewe. Sasa ni mchezaji miaka yote yupo Tanzania na wala husikii kuna sehemu wamemuhitaji zaidi ya hapa hapa Tanzania tu utasikia akihusishwa na Yanga pekee.Chama alipofeli tu Berkane ndo nikaona huyu ni mchezaji wa Tanzania tu sio kimataifa ,pili umri nao kikwazo kwake.
Angekua na namba nzuri berkane wasingemuachiaHilo swali kawaulize Berkane sio mimi ila nimeandika katafute namba zake
Huyo Pakome kasajiriwa timu gani ya maana?Angekua na namba nzuri berkane wasingemuachia
Mchezaji bora wa ligi ya ivory coast mwaka janaHuyo Pakome kasajiriwa timu gani ya maana?
Ni mzuri kibongobongo tu
Hata Afcon haukuwepo.
Na ndio kasajiriwa na Yanga.Mchezaji bora wa ligi ya ivory coast mwaka jana
Kama ni wamchongo uje na takwimu za wanaongoza kwa magoli na assist kwenye klabu bingwa msimu huu uone kama Pacome hatokuwepo.Na ndio kasajiriwa na Yanga.
Waarabu au Wazungu wamemwacha kwa sababu gani?
Mchezaji Bora asiyecheza Afcon wakati wachezaji wa ndani walicheza.
Basi amini alikuwa mchezaji Bora wa Mchongo.
ishu ni kwamba pacome kaja juzi,hata chama kabla hajaja hapa alikuwa andazi tu huko alipo,au wewe ulishawahi kumuona akicheza klabu bingwa kabla hajajiunga na simba?Chama kaanza vitu vyake enzi zile za Nkana pale kwa Mkapa, akatoka pale akaenda kwa As Vita, wakati huo vyura mnaogelea tu kwenye tope hata CAF CL hamuijui ina rangi gani..
Huyo Pacome wenu wakati huo alikuwa anakunywa uji wa mama yake kwao Ivory Coast.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nawauliza nyie UTO, kama mmeweza msajili mkude mtashindwa msajili chama kweli?Berkane, ok akacheza misimu mingapi? Na baada ya hapo akaenda timu ipi mpya zaidi ya kurudia matapishi? Kumemshinda karudi, kama angekuwa bora asingerudi Simba bali angeenda kwenye timu kubwa zaidi ya hiyo Berkane.
Pacome hata Tim yake ya taifa haimfaham, ko ubora wake unaonekana kwa mazuzu wa Yanga tuChama anang'ara akicheza na timu ndogo au dhaifu, akikaa na vidume anaufyata
Mchezaj mzur hata Tim ya taifa lake huwa inamuona!!! Mchezaj Kama hajulikan kweny taifa lake Hilo Ni kasha tu!!Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.