Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Kwa taarifa tu makampuni ya madini ya SA ndo wamiliki wakubwa wa migodi ya Kongo ! Hivyo serikali ya SA ina maslahi Kongo kwa maana ya kwamba malipo yote wanayopokea makampuni hayo yanapitia katika mabenki ya SA hivo serikali inapata kodi kbwa tu
 
South Africa walituma tu mgambo kupima nguvu ya upepo; Walipo tangaza kuwa sasa watapelekewa jeshi lisambaratishe hadi kigali...si wametimka...
Huko south Africa Kuna migambo tu hamna jeshi la kupambania na m23
 
Muungano wa makundi ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza usitishaji mapigano wa kibinadamu kuanzia Jumanne.

Katika taarifa, kundi hilo - linalojumuisha waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda - lilitaja "sababu za kibinadamu" za kusitisha mapigano, baada ya kuteka maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo.


Umoja wa Mataifa umesema takriban watu 900 wameuawa na wengine 2,880 kujeruhiwa katika mapigano ya hivi majuzi katika na karibu na Goma, mji mkubwa wa mashariki mwa DRC, baada ya kutekwa na waasi.

Mataifa ya G7 na EU yamelaani mashambulio hayo kama ukiukaji wa wazi wa uhuru wa DR Congo.

Muungano wa makundi ya waasi - unaojulikana kama Muungano wa Mto Congo - umeshutumu jeshi la Kongo (Congo River Alliance) - kwa kuua watu wakitumia ndege kupiga mabomu maeneo wanayoshikilia.

Pia soma: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Iliongeza kuwa haina nia ya kunyakua eneo lolote zaidi, licha ya kusema vinginevyo wiki iliyopita, na itashikilia misimamo yake.

Katika taarifa, muungano huo ulisema: "Tunasisitiza dhamira yetu ya kulinda na kutetea raia na nafasi zetu."

Mapigano ya kikanda yameshuhudia mamia ya maelfu ya watu wakihama makazi yao katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Tangu kuanza kwa 2025, zaidi ya watu 400,000 wamelazimika kutoka kwa makazi yao, kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi.

Rais wa Rwanda Paul Kagame - ambaye pia ni kamanda mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda - alisema hajui kama wanajeshi wa nchi yake walikuwa nchini DRC

"Kuna mambo mengi sijui. Lakini ukitaka kuniuliza, kuna tatizo nchini Congo linaloihusu Rwanda? Na kwamba Rwanda ingefanya lolote kujilinda? Ningesema 100%," aliiambia CNN siku ya Jumatatu.
Wasema tu wameufyata baada ya Trump na Putin kusikika
 
Hao wanaongia ni jeshi la rwanda wamenda kusaidia mazombi yao
Hahahaha eti mazombi wanaume wameiteka goma wanafanya watakalo nyie mademu kazi kulialia eti mizoga yenu imeuwawa mlifikiri mnakuja harusini sio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sijui kama unaijua South Africa au unaisikia tu kwenye vyombo vya habari, kule ni habari nyingine bosi.
Wako mbele saaaana kwa techonologia na kila kitu kama ulaya
Zile vurugu zinazotokea pale mara moja moja zisikuchanganye...
Nimeishi SA tokea rais ni De Clark, mara ya kwanza naingia North America nilikuwa nikitumia SA passport back then 50 Rand ikiwa ndiyo noti yao(yetu) kubwa. I know the country like the back of my hand, usijipoteze kuniuliza kuhusu SA.
US kilichomkuta Vietnam kinaweza kukufungua macho kuwa vita ni zaidi ya technology. Resilience, determination, kujua vizuri terrain and a lot of other different factors ndivyo muhimu when you're on the ground. Vita havina mwenyewe.
 
Congo inamakundi mengi sana mengine ni kama yamechanganyikiwa kama lile la ADF linalotaka Uganda yenye Wakristo asilimia 90% ati Uganda iwe Islamic Emirate of Uganda mjani wa Kongo naona ni mkali sana.
 
Waongooo....!
Hao Watusi Wajanja Sana....! Ni kwamba soon wanakwenda kuipoteza Goma...!

Watarudishwa Nyuma mpaka walipotoka, then wao watajitetea kwamba waliona Majeshi ya Congo na Washirika, wakiua Sana Raia, hivyo wakaamua kurudi Nyuma Kwa kuepusha maafa zaidi.
 
Sio watapigwa washapigika mizoga Yao wameibeba tena sio south Africa na tanzania Kuna mizoga Yao wameichukua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
M23 na kaka zao wao hawajafa? By the way, kwenye vita kuna upande usiopoteza askari hata kama ni wachache? Tatizo huwa unaangalia cartoon warfare tu.
 
Kwahiyo uko kambi moja na Mayimayi Cannibals ambao wameanza kula Nyama ya maiti za Askari wanaofia kwenye mapigano?!

Mumekosa nyama ya Ng'ombe?!
Uliona wapi mayimayi tunakula nyama ya mutu mwenye amekufa!?..sisi tunakulagha nyama ya mupoli tu
 
Uliona wapi mayimayi tunakula nyama ya mutu mwenye amekufa!?..sisi tunakulagha nyama ya mupoli tu

DRC: 8,000 Mayi-Mayi accused of cannibalism, disarmed in southern Katanga​

Format News and Press ReleaseSource
Posted13 Feb 2003Originally published13 Feb 2003
KINSHASA, 13 February (IRIN) - An estimated 8,000 Mayi-Mayi militiamen accused of cannibalism were disarmed last weekend in the Haut Lomami District of southern Katanga Province, the provincial governor, Aime Ngoy Mukena Lusa, told IRIN on Wednesday.
The fighters agreed to lay down their arms on 7 February following negotiations between Ngoy and their leaders in the village of Musau, home of one of the most prominent Mayi-Mayi leaders,
 
Back
Top Bottom