Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

🤣 acha umbeya!!!(jus kidding )

Ni kwamba Burundi ni mtoto wetu sisi Watanganyika na hii vita hata kama ingeendelea ingeweza ku backfire kwa Burundi pia sababu kuna kundi la waasi linamsumbua Burundi hivyo m23 kuendelea kuchukua maeneo hapo congo lazima wangekutana na hilo kundi la waasi la Burundi na kuunganisha nguvu..

Na sisi watanzania hatuna bifu na Kagame ila kagame ndio huleta chokochoko kwetu. Hivyo kilichotokea, Burundi kawezeshwa na tz(kipesa na taarifa zote muhimu ) kisha akaingia kazini, unaambiwa kawachakaza m23, piga sanaaa.(hapo tz kakaa zake pembeni kama hajui kinachoendelea)

Na hawa waburundi tunawapaga sapoti mara nyingi sana, kama unakumbuka kipindi fulani prezida nkurunzinza alipokuja dar kwenye kikao, watu kule Burundi walifanya mapinduzi kwa msaada wa pk na almost walikua wameshafanikiwa.

Unaambiwa prezida nkurunzinza alisafirishwa kwa siri chap chap kutoka dar hadi kigoma, kisha akavushwa mpaka kisirisiri mpaka ikulu,baadae watu wanashangaa rais anahutubia taifa akiwa ikulu, yeye mwenyewe anawashangaa watu wanaosema amepinduliwa.
Hizi story huwa mnazipatia wapi?
 
Halafu na sikia kuna mkuano wa SADC nao Kagame kuna kitu anakiogopa,naona kabisa SA na JWTZ sizani kama watakubali naona alizoom akaona kuna vita kali mbele yake na M23.
BBC inaripoti kuwa Rwanda kaingiza askari wengi sana mjini gonna leo.
 
Dogo Kagame na Rwanda ni hamna kitu,ninwepesi kama sufu.
Ninavyokuambia hivi ninajua mengi ila siwezi kusema hapa,nikiandika hapa nitajulikana Mimi ndio nimeandika,nilipewa kazi ndogo TU ya kufanya katika moja ya himaya za huyo Kagame wako.
Tanzania inqjua huyo jamaa Yako anapolala na kuamkia.
Katika kitu Nyerere alipatia ni kuweka mfumo wa wajumbe wa nyumba kumi.
Kagame alishaingia kwenye mtego wetu siku nyingi na yeye anajua.
Hapa Kikwete alicheza kama PeleLww Tanzania ogopa sana Mashehe na Mapadri.
Mimi sio man in uniform wala Agent,bali ni mfanyabiashara TU,lakini mwinifu kwa nchi yangu .
Hahahaha acha habari zako wewe ni humu sio sehemu ya kudanganya watu tanzania ishapokea kichapo kutoka Kwa m23 kama wanajiamini waende wakaue mwanajeshi hata mmoja wa m23 halafu waone kama watu hawajawaletea vita tanzania katika nchi ambayo m23 wanaitamani ukitoa congo tanzania yaana wanahasira nao na kipindi hiki wanajeshi lililoshiba usije ukajuchanganya utaandika historia ya jeshi la tanzania na raia wake kuabika vibaya sana nadhani unazungumza vitu ambavyo hujui hao sio m23 wa 2013 mzee pima halafu uone
 
Hahahaha acha habari zako wewe ni humu sio sehemu ya kudanganya watu tanzania ishapokea kichapo kutoka Kwa m23 kama wanajiamini waende wakaue mwanajeshi hata mmoja wa m23 halafu waone kama watu hawajawaletea vita tanzania katika nchi ambayo m23 wanaitamani ukitoa congo tanzania yaana wanahasira nao na kipindi hiki wanajeshi lililoshiba usije ukajuchanganya utaandika historia ya jeshi la tanzania na raia wake kuabika vibaya sana nadhani unazungumza vitu ambavyo hujui hao sio m23 wa 2013 mzee pima halafu uone
Mtusi unabweka kwenye platform ya watanzania,kabweke Rwanda huko,mwambie mbu mkuu aombe vita vya kirafiki
 
Nani wa kumwamini sana?
Ukitafuta habari tumia mashirika mengine halafu uone kama Taarifa zinafanana ndo utoe majumuisho kwamba ukweli ni upi. Usitegemee shirika moja tuu.
 
Mtusi unabweka kwenye platform ya watanzania,kabweke Rwanda huko,mwambie mbu mkuu aombe vita vya kirafiki
Kashaua wanajeshi wenu 6 mmetangaziwa wawili kama jeshi linauwezo lilipe kisasi sio ngonjera hii sio miaka ya kupigana mikwara🤣🤣🤣🤣
 
Ukitafuta habari tumia mashirika mengine halafu uone kama Taarifa zinafanana ndo utoe majumuisho kwamba ukweli ni upi. Usitegemee shirika moja tuu.
Wanajeshi wa rwanda Leo wamejaa goma mzee
 
Sio watapigwa washapigika mizoga Yao wameibeba tena sio south Africa na tanzania Kuna mizoga Yao wameichukua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lioneni hili sehnge la kitusi,,, huyo kagame unaemshabikia hana uwezo wa kubatle hata na jeshi la mgambo la bongo yeye mwenyewe anajua hilo,, kufa wanajeshi wawili wa Tanzania na kumi na wanne wa South Africa si tatizo kwani hakuna vita ambayo askari hawafi,, hata hao wayahudi mnaowasifia wana akili na jeshi imara lkn wamepoteza askari wengi gaza mbele ya wanamgambo wasikiokuwa na hata kifaru wala ndege vita zaidi ya mawe na RPG... kaa kwa kutulia operesheni yenu inakuja soon, mnajazana tu bongo mbwa nyie, alafu mkishakaribishwa mnaanza jeuli.
 
Kashaua wanajeshi wenu 6 mmetangaziwa wawili kama jeshi linauwezo lilipe kisasi sio ngonjera hii sio miaka ya kupigana mikwara🤣🤣🤣🤣
Kimetokea nini sake?..mbona ghafla mmeomba cease fire?..tupe majina ya hao wanne wengine waliouawa
 
W
Lioneni hili sehnge la kitusi,,, huyo kagame unaemshabikia hana uwezo wa kubatle hata na jeshi la mgambo la bongo yeye mwenyewe anajua hilo,, kufa wanajeshi wawili wa Tanzania na kumi na wanne wa South Africa si tatizo kwani hakuna vita ambayo askari hawafi,, hata hao wayahudi mnaowasifia wana akili na jeshi imara lkn wamepoteza askari wengi gaza mbele ya wanamgambo wasikiokuwa na hata kifaru wala ndege vita zaidi ya mawe na RPG... kaa kwa kutulia operesheni yenu inakuja soon, mnajazana tu bongo mbwa nyie, alafu mkishakaribishwa mnaanza jeuli.
We Kweli punga Sasa mtu kashakuulia wanajeshi wako we unasubiri nini hahahaa yaani umeshapokea kipigo Cha mbwa Koko we bado unabwekea bandani kwako tu huna jeshi mzee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo inaweza kuchukuliwa kama ajali kazini kwani hao waTz walikuwa ni walinzi wa amani (SADC) na sio wapambanaji frontline.
Mlinzi wa amani ni mungu tu wengine wote ni wavamizi na m23 haitasita kuwatembezea kichapo kikali 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom