Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Hii dunia Ina mabalaa mengi Kuna lotion π§΄ Fulani wife huwa anaitumia Mimi nikaenda kuinunua bila kuangalia expired date.Tatizo hao watumiaji wengi hawajui kwann wanatumia na asilimia 70 ya wa TZ hawasomi ingredients wala expire date ya bidhaa yoyote wanayo hitaji kuitumia.
Hamna cha ajabu bana.
Ngozi nyeusi wakiona mzungu wanakua kama wameoa mungu, nawachoraga wanavyoshoboka kwenye pantoni
KAZAπ ignore ili usiwe unaona komenti zangu very easy
KAZAMbona kaongea point mkuu
Binafsi nimekuwa nikishangaa sana kuona watu wanakunywa energy drink kama kinywaji tu cha kawaida, yaani kama mtu anavyoweza tu kununua soda na kunywa. Ajabu sana.Tatizo hao watumiaji wengi hawajui kwann wanatumia na asilimia 70 ya wa TZ hawasomi ingredients wala expire date ya bidhaa yoyote wanayo hitaji kuitumia.
ππππ nyie JF!!!Mbona hiyo kawaida sana bongo, watu wanatawaliwa na CCM itakuwa energy drink?
πππππUsichanganye kilevi na energy drink yeyote mkuu ni vibaya.nishawai kuinywa alafu nikachanganya na sungura alafu nikaenda kulala kichwa kiliwaka moto hatari
Mnajilipua tu na mapresha buureee kisa mzungu kaongea.Binafsi nimekuwa nikishangaa sana kuona watu wanakunywa energy drink kama kinywaji tu cha kawaida, yaani kama mtu anavyoweza tu kununua soda na kunywa. Ajabu sana.
Mbona kwao VIAGRA ina......