Mzungu ana nyota kali ya mvuto? Kwanini watanzania wengi huwanyenyekea na hujipendekeza kwao?

Mzungu ana nyota kali ya mvuto? Kwanini watanzania wengi huwanyenyekea na hujipendekeza kwao?

Iwe ni mchina, mwarabu, mhindi, n.k. Mzungu ana title yake aisee.... yani mzungu akienda china, india, uarabuni, n.k. huwa jamii inamchukulia ki v.i.p sema huku tumezidi sana .... kacheki documentaries uone hii ishu..
Watu wanatawala dunia tunaachaje kuwaweka vip?
 
Ulichokiongea kinaukweli
Hawa watu kwakiasi Fulani wanachukuliwa VIP kwa sababu..
Wanajielewa Sana afrika Ni kama nyumbu tu.
Wazungu wanajali sana muda hawana muda wa umbea umbea Kama sisi

Natamani waingereza waje watutawale Tena.

Waafrika tuna roho mbaya Sana Tena Sana. Sio wananchi Wala viongozi.

Wizi, Tamaa, uchawi, chuki, ubinafisi, lawama, tunajificha kwenye kichaka Cha dini kumbe ndi bure kabisa ( hapa Mungu atatuhukumu kwa unafiki )
Umeandika ukweli mtupu
 
Wazungu wanajielewa sana, wanajua. Wamefanya mengi katika dunia hii kuanzia Ubunifu, Ugunduzi, Utoaji elimu na maarifa kwa dunia n.k

Hata hapa unatype mada na kutuwekea kutokana na ugunduzi wao. Acha wathaminiwe

Watu weusi wanajua Kula, Kunya na Kulala
 
Dunia nzima ndivyo ilivyo
Katika platforms zote za kutafuta marafiki mtandaoni dunia nzima search for westerners,
Huko Japan na uchina wadada ndoto zao ni kuzalishwa na wazungu.
Deep down lazma kuna sababu za kiroho kabisa ktk hili...
Mungu kuna kitu amewapa cha ziada ni sawa na waisrael na wahaya na watutsi kuna Mambo ya ziada MUNGU amewapa
 
Dunia nzima ndivyo ilivyo
Katika platforms zote za kutafuta marafiki mtandaoni dunia nzima search for westerners,
Huko Japan na uchina wadada ndoto zao ni kuzalishwa na wazungu.
Deep down lazma kuna sababu za kiroho kabisa ktk hili...
Mungu kuna kitu amewapa cha ziada ni sawa na waisrael na wahaya na watutsi kuna Mambo ya ziada MUNGU amewapa
Apa kwenye wahaya labda misifa ya kipuuzi kibongo bongo ni mandezi ya mwisho ndo maana Dada zao kazi ya kujiuza ndo wanajua.
 
Dunia nzima ndivyo ilivyo
Katika platforms zote za kutafuta marafiki mtandaoni dunia nzima search for westerners,
Huko Japan na uchina wadada ndoto zao ni kuzalishwa na wazungu.
Deep down lazma kuna sababu za kiroho kabisa ktk hili...
Mungu kuna kitu amewapa cha ziada ni sawa na waisrael na wahaya na watutsi kuna Mambo ya ziada MUNGU amewapa

Wahaya na watutsi wamepewa nini boss!?
 
Ulichokiongea kinaukweli
Hawa watu kwakiasi Fulani wanachukuliwa VIP kwa sababu..
Wanajielewa Sana afrika Ni kama nyumbu tu.
Wazungu wanajali sana muda hawana muda wa umbea umbea Kama sisi

Natamani waingereza waje watutawale Tena.

Waafrika tuna roho mbaya Sana Tena Sana. Sio wananchi Wala viongozi.

Wizi, Tamaa, uchawi, chuki, ubinafisi, lawama, tunajificha kwenye kichaka Cha dini kumbe ndi bure kabisa ( hapa Mungu atatuhukumu kwa unafiki )
Yeah,kweli kabisa
 
Utamaduni wetu wa Tanzania ni kuwakarimu wageni. Ili wakiondoka wakatutabgaze vizuri. Haya mlete mzunguuuu
 
Kwa waarabu huwa ni wachumba tu hao wazungu, sema huku AFILIKA wengi wao hawajiamini, ni watu ambao yani akimuona mzungu anapigwa butwaa na kujihisi yeye si lolote.

Bhujiku ng'waka
Daah, AFILIKA ndio wapi?
Kulipotokea vuguvugu la kisiasa Uarabuni mbona waarabu Walikuwa wanakimbilia ULAYA?( Ingawa maana ya mzungu huenda inamaanisha yule mtu anayetokea GREAT BRITAIN).
 
Hio ni kwa ajili ya watu ambao awajaelimika
 
Nadhani mzungu ndio mtu wa kwanza kuzalisha na kutumia mashine tata zilizoendelea ulimwenguni, na pia nchi zetu hizi zinategemea misaada na mikopo toka kwa wazungu na mwisho kabisa ni kasumba ya ukoloni inayomwona mzungu kuwa yupo daraja la juu katika jamii kwa kumuona kuwa ni mtu aliyeelimika na mwenye ustaarabu wa juu.
 
Daah, AFILIKA ndio wapi?
Kulipotokea vuguvugu la kisiasa Uarabuni mbona waarabu Walikuwa wanakimbilia ULAYA?( Ingawa maana ya mzungu huenda inamaanisha yule mtu anayetokea GREAT BRITAIN).

Ndio wapo wanaoenda ulaya, lakini umeona wazungu wanavyobadilishwa kitabia na kuwatoa katika ujinga na kuingia kwenye haki bila kulazimishwa!!

Halafu acha kusema waarabu, taja nchi. Ukisema waarabu maana yake ni nchi zote za kiarabu. Olenimala nkoi??
 
Nadhani mzungu ndio mtu wa kwanza kuzalisha na kutumia mashine tata zilizoendelea ulimwenguni, na pia nchi zetu hizi zinategemea misaada na mikopo toka kwa wazungu na mwisho kabisa ni kasumba ya ukoloni inayomwona mzungu kuwa yupo daraja la juu katika jamii kwa kumuona kuwa ni mtu aliyeelimika na mwenye ustaarabu wa juu.

Iwe ni mchina, mwarabu, mhindi, n.k. Mzungu ana title yake aisee.... yani mzungu akienda china, india, uarabuni, n.k. huwa jamii inamchukulia ki v.i.p sema huku tumezidi sana .... kacheki documentaries uone hii ishu..

Mkuu, kwa mwarabu mzungu ni mchumba tu. Angalia hata wahindi huko uarabuni wanaonekana ni watu wa kawaida sana, hawana thamani, lakini mwafrika anaetoka afrika hususani Tanzania akienda nchi za kiarabu hususani omani anaheshimika sana kuliko mhindi, kazi anazofanya mhindi kwa mwarabu na mwafrika ni mwiko kuzifanya! Mwarabu na mwafrika mishahala yao the same, kwa mhindi ni tofauti mshahara anaolipwa ni mdogo sana, lakini kuna baadhi ya wabongo huwaambii kitu kwa mzungu.
 
Back
Top Bottom