Mzungu awaita Wakenya nyani mchana kweupe


Did you know that life starts when you stop taking everything so serious ?
 
Huu uwongo huu, na watz hawapo karbu na wazungu kiasi hiki kama wakenya. Kwenye maproject ya ujenzi ndo wapo lakn wanawatii sana watu weusi kibarua chao kisiote nyasi.
 
The name of the intelligent black man in the middle of the show in black and white. Naombeni jina lake wakuu.
 
Km hujui kizungu itakua hujasoma kwel...manake sisi tunatumia english medium, haiwezekani usome miaka yote hyo kw kingereza halafu uwe hujui..labda uwe umesomea dirishani...manake haiwezekani iwe hujui hata kile cha kuunga unga bana

Simple logic...
Mtanzania halisi hapaswi kutokijua kiswahili kw ufasaha kw sababu hata shule education system ime base sana na kiswahili...
Kwanza nitashangaa sana niki kutana na mtu km huyo
 
Kama kawa, wakenya wakiitwa nyani ndugu zao wa kusini (watanzania) wanafaa wajikumbushe kwamba wao ni nyani vilaza.
Kwa kweli sie wahindi tunawashangaa sana nyie miafrika. Mbona msiishi kwa upendo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…