Mapenzi popote, muache dada atuwakilishe kama taifa.Wewe ndio masikini unapokea hela from strangers kama dirty money je!? sina uhakika kama una shughuli yeyote ya kukukwamua na uchumi wako
Unalilia mapenzi na mzungu alikushit baada ya kuona uko cheap huna standards unaona unaonewa donge mwenyewe
Kumbe yaweza pia kuwa umetongwa na mnigeria alieko kule lagos vichochoroni .
Basi ukaleta hapa sasa iweje uje kutatambia au iweje mambo yako personal na kimapenzi ulileta hapa ili iweje!?
Unajielewa kweli wewe !? Una akili sawa sawa!?
Thanks kwa ku appreciate. Na umeuthamini muda niliotumia kukushauri.Asante kwa ushauri mzuri nimekuelewa sana tena mno kuhusu proffesional mimi ni degree holder wa finance and investiment n development planning..kuhusu exposure ya watu wa nje kweli sikua nayo kiivyo ila naimani Mungu ni mwema I will learn with time..asante kwa muda wako.
Naomba ufanyie ushauri wa huyu jamaa yaani jitahidi uwe na mtu hapa ambaye anakuweka sawa sawa mpaka unajisikia kweli umelimika na sio mtu anaacha sehemu zingine hazijalimwa vizuri.nae...usiache kabisa kuwa na mtu wa kutuliza hizo stress, trust me hutapata shida sana, pale utakapoona the man is serious, very serious with you...ndio uachane na huyu rafiki wa
Vipi mkuu?Daah we jamaa
[emoji3][emoji3][emoji3]Hello, my name is Dolph Lundgren.
Mimi ni mzungu ila ninaishi Tanzania.
Hakuna matata. [emoji6]
Mkuu unataka kizazi cha kizungu eeeeeh.... Mwambie akutumie tu sperm uje tukufix lab uzae mdhungu...Binafsi nafahamu sisi black girls we are so cute! He admitted that to me too! Nawapenda tu kwa sababu flan flan ila kwa urembo waafrica we are the best.
Tanzania inapokea lakin haitumiHiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
Embu jaribu kumpigia kawaidaSio kila mtu ni muongo muongo km unavyonifikiria, nipo leave ya kazi na mshahara wangu unaingia km kawaida so umaskini wa kutupwa wa kupiga vizinga vya kishamba sina.
Kwanini asikupe hizo dating sites/app's ukajimwae mwae mwenyewe huko utafute anayekufaa..! ?? 😀Dada akijibu muulize hana mdogo wake... na mim niunge tera
Yeah wako pisi sana kuna wawili nimefahamiana nao hapa hapa Dar , wanaongea kiswahili vizuri kabisa..! Ningepata wakuvutiwa naye hakika ningevuta jiko..Norway aah nchi poa sana, Scandnavian wote wako poa. DENMARK, SWEDEN, NORWAY.
Hata washkaji nawashauri, ukitaka demu jaribu hizo nchi, utafurahi na nchi nyingine ni FINLAND wako poa sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nilikuwa najiona MBILIKIMO maana wale watu ni Warefu kwelikweli.
Ungekuwa na maisha usingekuwa unadanga kwenye siteBro hakuna sehemu nimepeleka mambo faster, halafu sio kila mpenda mzungu ana njaa nina maisha ya kunitosheleza ndio maana sikua na papara nae tangia mwanzo.
Wazungu wa wapi hao? , sisi wa Africs ndio tunakuwa na utu linapokuja suala la pesa?Kama unazijua play safe, ila wazungu ni capitalist's linapokuja suala la pesa na fursa ubinadamu unawatoka kabisa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku mnaishiaga kwenye Mirinda! Acha tamaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sista Njoo taratibu hata sms hajafungua unaanza kutoa vilio . Jee akizifungua na hasijibu sii utakufa kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakutafuta leo. Si unaona ilikuwa ni weekend? Mpenzi wako alienda kwa mpenzi wake na simu anayotumia kuchat na wewe aliiacha nyumbani kwake akaondoka na nyingine ambayo sasa wewe hauna.
Usijali atarudi leo, muendelee mlipoishia.