- Thread starter
- #641
Hizi ngozi nyeusi zina shida tunawapapatikia wazungu kama malaika [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Its all about choices hata ww km hupapatikii ngozi nyeupe basi definetly unapapatikia ngozi nyeusi so its even[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ngozi nyeusi zina shida tunawapapatikia wazungu kama malaika [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
You have done your part. Let him do his. Again if he was serious he will call you. He's playing mind games with you.Thanks for the advice, I wasn't desperate actually...I just wanted to know where I could stand but honest speaking I was a bit worried too[emoji4]
Mkigomewa na mabaharia hapa bongo mnajifanya oooh nataka wazumgu sitak wabongo kumbe wabongo ndo tulianza kukukataa,
Endelea kukiuza online kwa jina la dating site.
Anyway ulimpata my dear nipate buku hapo!
You have done your part. Let him do his. Again if he was serious he will call you. He's playing mind games with you.
Habari za leo wanajamvi!
Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.
Vp shemeji anaeleweka Kweli?
Msubiri. Kuna mawili, labda ameamua kuingia mitini au kuna jambo anapitia ameamua kukaa kimya kidogo.
Case kama hii nililetewa mwaka jana na dada mmoja alikuwa ana date na mzungu mmoja ambaye walikuwa vizuri tu na mzungu alikuwa anatuma hela sema yule dada alikuwa anaomba sana hela.
Siku mzungu alichoka, aliingia mitini kabisa wakati walishaongea mengi hata kuja huku na mzungu alimshauri atafute magrup ya Facebook ya wabongo huku aanze kujenga mtandao wa marafiki ije imsaidie baadae. Huko ndo alinikuta na kunishirikisha mambo yao.
Ila alivyoingia mitini mpaka kesho hakuonekana tena, dada aliniomba nikampigia na simu huku, jamaa alichonijibu ni kwamba atamcheki dada ila mpaka kesho hajamcheki na ndo mapenzi yalipoishia.
Ooh maybe ile tabia ya kumuomba omba hela haikumfurahihisha au mapenzi tu yaliisha, well huyu alirudi the same day niliyoleta uzi hapa akaniambia alipata tatizo la kuangusha cm so ikajaa wino akawa anapata all notification ila kujibu hawezi mpk alivyonunua cm nyingine so far tuko vizuri tu huko mbele sijajua if things will be the same au vipi.
Good. I wish you all the best. Jua tu kwamba wanaume wa huku hawako aggressive kama sisi huko bongo au Afrika katika mahusiano.
Pili, hata kama unahitaji hela, tumia akili ndefu kuipata kutoka kwake ili asione upo naye kwaajili ya pesa, tatu huku wanawake wanavyrugu sana ndo maana wanakuja huko Afrika kutafuta tulizo so uwe tulizo kweli.
Kunako 6*6 siyo kwa kiwango chetu, ila utaishi tu vizuri kwa moto wa kawaida mkipendana.
All in all, let him lead the conversation, hata kwenye ndoa, don’t be over excited, let him feel he is in charge and lead the process. Hapo utampata kipenzi chako. Ujiandae na cultural shocks if you end up in a serious relationship.
Kama ni wakwako umepangiwa atakuwa tu usiwaze muombe MunguAlipatikana jion ile ile ile..thanks for asking.
Moto wa kawaida sio?Good. I wish you all the best. Jua tu kwamba wanaume wa huku hawako aggressive kama sisi huko bongo au Afrika katika mahusiano.
Pili, hata kama unahitaji hela, tumia akili ndefu kuipata kutoka kwake ili asione upo naye kwaajili ya pesa, tatu huku wanawake wanavyrugu sana ndo maana wanakuja huko Afrika kutafuta tulizo so uwe tulizo kweli.
Kunako 6*6 siyo kwa kiwango chetu, ila utaishi tu vizuri kwa moto wa kawaida mkipendana.
All in all, let him lead the conversation, hata kwenye ndoa, don’t be over excited, let him feel he is in charge and lead the process. Hapo utampata kipenzi chako. Ujiandae na cultural shocks if you end up in a serious relationship.
Kama ni wakwako umepangiwa atakuwa tu usiwaze muombe Mungu
Kuwa makini hao jamaa wajanja sana wanakuvuta ukisha jaa utatuma video chafu mwenyewe.Note hakunaga pesa ya bure.
Hakuna ushauri wowote utakao pata humu no mauzauza dada yangu we Yulia ufanye yako, jamaa anamambo mengi cunajua Tena mamtoni harakati nyingi
Can you handle the fact?!What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?