Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Hizi ngozi nyeusi zina shida tunawapapatikia wazungu kama malaika [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Its all about choices hata ww km hupapatikii ngozi nyeupe basi definetly unapapatikia ngozi nyeusi so its even[emoji4]
 
Mkigomewa na mabaharia hapa bongo mnajifanya oooh nataka wazumgu sitak wabongo kumbe wabongo ndo tulianza kukukataa,

Endelea kukiuza online kwa jina la dating site.

Anyway ulimpata my dear nipate buku hapo!
 
Thanks for the advice, I wasn't desperate actually...I just wanted to know where I could stand but honest speaking I was a bit worried too[emoji4]
You have done your part. Let him do his. Again if he was serious he will call you. He's playing mind games with you.
 
Mkigomewa na mabaharia hapa bongo mnajifanya oooh nataka wazumgu sitak wabongo kumbe wabongo ndo tulianza kukukataa,

Endelea kukiuza online kwa jina la dating site.

Anyway ulimpata my dear nipate buku hapo!

Kunywa maji ushushe machungu wakati unajiandaa kwenda kwa therapist.
 
You have done your part. Let him do his. Again if he was serious he will call you. He's playing mind games with you.

Then he will be making a huge mistake to himself coz ain't buying any shit[emoji28]
 
Habari za leo wanajamvi!

Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.

Msubiri. Kuna mawili, labda ameamua kuingia mitini au kuna jambo anapitia ameamua kukaa kimya kidogo.

Case kama hii nililetewa mwaka jana na dada mmoja alikuwa ana date na mzungu mmoja ambaye walikuwa vizuri tu na mzungu alikuwa anatuma hela sema yule dada alikuwa anaomba sana hela.

Siku mzungu alichoka, aliingia mitini kabisa wakati walishaongea mengi hata kuja huku na mzungu alimshauri atafute magrup ya Facebook ya wabongo huku aanze kujenga mtandao wa marafiki ije imsaidie baadae. Huko ndo alinikuta na kunishirikisha mambo yao.

Ila alivyoingia mitini mpaka kesho hakuonekana tena, dada aliniomba nikampigia na simu huku, jamaa alichonijibu ni kwamba atamcheki dada ila mpaka kesho hajamcheki na ndo mapenzi yalipoishia.
 
Msubiri. Kuna mawili, labda ameamua kuingia mitini au kuna jambo anapitia ameamua kukaa kimya kidogo.

Case kama hii nililetewa mwaka jana na dada mmoja alikuwa ana date na mzungu mmoja ambaye walikuwa vizuri tu na mzungu alikuwa anatuma hela sema yule dada alikuwa anaomba sana hela.

Siku mzungu alichoka, aliingia mitini kabisa wakati walishaongea mengi hata kuja huku na mzungu alimshauri atafute magrup ya Facebook ya wabongo huku aanze kujenga mtandao wa marafiki ije imsaidie baadae. Huko ndo alinikuta na kunishirikisha mambo yao.

Ila alivyoingia mitini mpaka kesho hakuonekana tena, dada aliniomba nikampigia na simu huku, jamaa alichonijibu ni kwamba atamcheki dada ila mpaka kesho hajamcheki na ndo mapenzi yalipoishia.

Ooh maybe ile tabia ya kumuomba omba hela haikumfurahihisha au mapenzi tu yaliisha, well huyu alirudi the same day niliyoleta uzi hapa akaniambia alipata tatizo la kuangusha cm so ikajaa wino akawa anapata all notification ila kujibu hawezi mpk alivyonunua cm nyingine so far tuko vizuri tu huko mbele sijajua if things will be the same au vipi.
 
Ooh maybe ile tabia ya kumuomba omba hela haikumfurahihisha au mapenzi tu yaliisha, well huyu alirudi the same day niliyoleta uzi hapa akaniambia alipata tatizo la kuangusha cm so ikajaa wino akawa anapata all notification ila kujibu hawezi mpk alivyonunua cm nyingine so far tuko vizuri tu huko mbele sijajua if things will be the same au vipi.

Good. I wish you all the best. Jua tu kwamba wanaume wa huku hawako aggressive kama sisi huko bongo au Afrika katika mahusiano.

Pili, hata kama unahitaji hela, tumia akili ndefu kuipata kutoka kwake ili asione upo naye kwaajili ya pesa, tatu huku wanawake wanavyrugu sana ndo maana wanakuja huko Afrika kutafuta tulizo so uwe tulizo kweli.

Kunako 6*6 siyo kwa kiwango chetu, ila utaishi tu vizuri kwa moto wa kawaida mkipendana.

All in all, let him lead the conversation, hata kwenye ndoa, don’t be over excited, let him feel he is in charge and lead the process. Hapo utampata kipenzi chako. Ujiandae na cultural shocks if you end up in a serious relationship.
 
Good. I wish you all the best. Jua tu kwamba wanaume wa huku hawako aggressive kama sisi huko bongo au Afrika katika mahusiano.

Pili, hata kama unahitaji hela, tumia akili ndefu kuipata kutoka kwake ili asione upo naye kwaajili ya pesa, tatu huku wanawake wanavyrugu sana ndo maana wanakuja huko Afrika kutafuta tulizo so uwe tulizo kweli.

Kunako 6*6 siyo kwa kiwango chetu, ila utaishi tu vizuri kwa moto wa kawaida mkipendana.

All in all, let him lead the conversation, hata kwenye ndoa, don’t be over excited, let him feel he is in charge and lead the process. Hapo utampata kipenzi chako. Ujiandae na cultural shocks if you end up in a serious relationship.

Thanks for your time and good advice incase it works well, nimeku DM kwa some few questions..hope to het your reply.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24] asee kama nchi tumepigwa kama sio kidume sijuiii?
272744199_1346175745823406_1633052940986761762_n.jpg


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa makini hao jamaa wajanja sana wanakuvuta ukisha jaa utatuma video chafu mwenyewe.Note hakunaga pesa ya bure.
 
Good. I wish you all the best. Jua tu kwamba wanaume wa huku hawako aggressive kama sisi huko bongo au Afrika katika mahusiano.

Pili, hata kama unahitaji hela, tumia akili ndefu kuipata kutoka kwake ili asione upo naye kwaajili ya pesa, tatu huku wanawake wanavyrugu sana ndo maana wanakuja huko Afrika kutafuta tulizo so uwe tulizo kweli.

Kunako 6*6 siyo kwa kiwango chetu, ila utaishi tu vizuri kwa moto wa kawaida mkipendana.

All in all, let him lead the conversation, hata kwenye ndoa, don’t be over excited, let him feel he is in charge and lead the process. Hapo utampata kipenzi chako. Ujiandae na cultural shocks if you end up in a serious relationship.
Moto wa kawaida sio?
Ule wanaweka juu ya mfuniko kuivisha wali?
 
Hakuna ushauri wowote utakao pata humu no mauzauza dada yangu we Yulia ufanye yako, jamaa anamambo mengi cunajua Tena mamtoni harakati nyingi
 
What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?
Can you handle the fact?!

Huyo Mzungu wako ni mimi kabisa huyo, na ndo maana totoz huwa hazinielewi!!

Ukweli ni huu: Inawezekana NAKUPENDA ILE MBAYA but YOU'RE NOT MY TOP PRIORITY!!

Unaanzaje kwa mfano kuwa My Top Priority wakati penzi lako haliwezi hata kunipa unit 2 za LUKU!!

Nitakupigia au kusoma/kujibu message yako at the right time! We don't open your WhatsApp message kwa sababu hatutaki ulalamishi wenu kwamba tumesoma lakini hatujibu as if kila message lazima ijibiwe!

Hey... nilisahau! Si kila unapoona grey ticks ni kwamba hatujasoma... sometimes tuna-disable notification ndipo tunafungua messages zenu mnaotaka muwe Top Priority! Tunazisoma lakini ukija unakuta grey tick na kudhani hatujasoma!!

Sorry Kim, tushasoma tayari lakini but it's not worth to respond it at that particular time kwa sababu wakati huo tuna-handle top priorities na mapenzi yanakuwa top priorities kwa wanaotumia moyo kupenda (it's just a gentleman way of saying "idiots") lakini sio wanaotumia kichwa kilichobeba akili!!

Ushauri wangu, don't push coz' watu aina hiyo dating zetu huwa zinakufa prematurely! Ukiona you're too time demanding... my friend, unafungiwa vioo jumla manake hayo mapenzi ya kukimbizana kweney maua wanayaweza wenyewe akina Shah Rukh Khan.

Kuna mmoja nimeanza ku-date nae karibuni lakini it's a matter of time kabla sijamwambia nasafiri Kitwe Zambia manake huyu nae anataka kila wakati tupigiane simu as if hana ndugu zake wengine wa kuongea nao.

I repeat, don't push!!

Unachotakia kufanya ni kutuma just short messages zisizo-demand umuhimu wa kujibu, kwa mfano "Hey, just checking out if you're okay... have a good day" lakini sio like "Hey, how are you holding up?" Hiyo ya pili ina-demand response!!

Kama unaona umhimu wa kupata muda wake kidogo, be like "Hey, have something to talk about, if you get free time, anytime, any day, please let me know" Lakini ukileta habari za "Hey I need to talk to you" Kwanza hako kasentensi unaweza kukakosoma kote bila kufungua WhatsApp!

Ndo hapo unaona grey tick na kudhani sijasoma kumbe nimeshasoma lakini haipo kwenye priority list hata kama mwandiko wako umeiweka kwenye top priority bila kujali ikiwa nami nina mengine ya ku-handle!
 
Back
Top Bottom