Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Can you handle the fact?!

Huyo Mzungu wako ni mimi kabisa huyo, na ndo maana totoz huwa hazinielewi!!

Ukweli ni huu: Inawezekana NAKUPENDA ILE MBAYA but YOU'RE NOT MY TOP PRIORITY!!

Unaanzaje kwa mfano kuwa My Top Priority wakati penzi lako haliwezi hata kunipa unit 2 za LUKU!!

Nitakupigia au kusoma/kujibu message yako at the right time! We don't open your WhatsApp message kwa sababu hatutaki ulalamishi wenu kwamba tumesoma lakini hatujibu as if kila message lazima ijibiwe!

Hey... nilisahau! Si kila unapoona grey ticks ni kwamba hatujasoma... sometimes tuna-disable notification ndipo tunafungua messages zenu mnaotaka muwe Top Priority! Tunazisoma lakini ukija unakuta grey tick na kudhani hatujasoma!!

Sorry Kim, tushasoma tayari lakini but it's not worth to respond it at that particular time kwa sababu wakati huo tuna-handle top priorities na mapenzi yanakuwa top priorities kwa wanaotumia moyo kupenda (it's just a gentleman way of saying "idiots") lakini sio wanaotumia kichwa kilichobeba akili!!

Ushauri wangu, don't push coz' watu aina hiyo dating zetu huwa zinakufa prematurely! Ukiona you're too time demanding... my friend, unafungiwa vioo jumla manake hayo mapenzi ya kukimbizana kweney maua wanayaweza wenyewe akina Shah Rukh Khan.

Kuna mmoja nimeanza ku-date nae karibuni lakini it's a matter of time kabla sijamwambia nasafiri Kitwe Zambia manake huyu nae anataka kila wakati tupigiane simu as if hana ndugu zake wengine wa kuongea nao.

I repeat, don't push!!

Unachotakia kufanya ni kutuma just short messages zisizo-demand umuhimu wa kujibu, kwa mfano "Hey, just checking out if you're okay... have a good day" lakini sio like "Hey, how are you holding up?" Hiyo ya pili ina-demand response!!

Kama unaona umhimu wa kupata muda wake kidogo, be like "Hey, have something to talk about, if you get free time, anytime, any day, please let me know" Lakini ukileta habari za "Hey I need to talk to you" Kwanza hako kasentensi unaweza kukakosoma kote bila kufungua WhatsApp!

Ndo hapo unaona grey tick na kudhani sijasoma kumbe nimeshasoma lakini haipo kwenye priority list hata kama mwandiko wako umeiweka kwenye top priority bila kujali ikiwa nami nina mengine ya ku-handle!

Well shukrani kwa maelezo mazuri after all am not that type of a girl, I always dance according to the beat ndio maana nilitaka kujua where should I stand...I was worried sababu the last thing he asked about was my well being, thats mean he needed a reply as he always do then he dissapeared na si kawaida yake angekua amekaa kimya tu bila sababu nisingesumbuka nae! Kuhusu sijui huwez kua na mtu asiekuongezea hata unit 2 za luku sasa unakaa nae wa nn km ww unachotaka ni kuongezewa unit za luku? Au niseme ww ndio uchaguzi wako mbovu unazoa mtu ambae hana addition yyt katika maisha yako the answer is simple[emoji28]

Kutoingia online sijui mara kuzima data ndio usome ili ajue hujasoma naona ni km utumwa u better be specific to her km hatakuelewa then obviously you guys don't match.

Huwez kuwaita wanaopenda kwa moyo ni idiots kisa ww uko tofauti nao ukajihisi una akili kubwa sababu hicho ndicho kinachowapa amani, just respect na ujue tu your just contrary to them sababu hata wao pia wanakuona wewe ni some sort of idiot pia sababu kuna very successful people ambao hutaweza kuwafikia mpk unakufa wanapenda kwa moyo so my point here is respect others decision while stand to your rules.

Thanks for the good advice I never pushed and he is just doing well.
 
Well shukrani kwa maelezo mazuri after all am not that type of a girl, I always dance according to the beat ndio maana nilitaka kujua where should I stand...I was worried sababu the last thing he asked about was my well being, thats mean he needed a reply as he always do then he dissapeared na si kawaida yake angekua amekaa kimya tu bila sababu nisingesumbuka nae! Kuhusu sijui huwez kua na mtu asiekuongezea hata unit 2 za luku sasa unakaa nae wa nn km ww unachotaka ni kuongezewa unit za luku? Au niseme ww ndio uchaguzi wako mbovu unazoa mtu ambae hana addition yyt katika maisha yako the answer is simple[emoji28]
That's the way of saying "what should come first, and work always comes first"
Kutoingia online sijui mara kuzima data ndio usome ili ajue hujasoma naona ni km utumwa u better be specific to her km hatakuelewa then obviously you guys don't match.
Come on, usitake kusema huwa hamtumii blue tick kama hukumu... ndo maana nilikuambia mapema "can you handle the fact"? Hiyo ndo fact! Don't think grey tick always means the message is unread!
Huwez kuwaita wanaopenda kwa moyo ni idiots kisa ww uko tofauti nao ukajihisi una akili kubwa sababu hicho ndicho kinachowapa amani, just respect na ujue tu your just contrary to them sababu hata wao pia wanakuona wewe ni some sort of idiot pia sababu kuna very successful people ambao hutaweza kuwafikia mpk unakufa wanapenda kwa moyo so my point here is respect others decision while stand to your rules.
Again, that's why nilikuuliza mapema "can you handle the fact.... seems like you can't", ndo maana umekimbilia kusema huenda najichukulia nina akili kubwa na wengine hawana akili!

That has nothing to do with kuwa na akili kubwa BUT AKILI vs MOYO! Hivi unahitaji kuwa na akili kubwa kufahamu "s/he's wasting my time"? Ukiambiwa kutumia akili has nothing to do with one kuwa na akili kubwa bali kutokuwa tayari kuburuzwa na emotion!!

Kwanza hata wewe mwenyewe hupendi kwa kutumia moyo bali kwa kutumia akili na ndo maaana ukaamua interest yako ipo kwa watu wenye ngozi nyeupe!!

Moyo hauchagui race, kabila, or anything else... it just happens, BANG! Unajikuta umeoza kwa mtu ambae mashoga zako wote wanabaki kukushangaa!! Ukisikia mwanaume anasema "napenda mwanamke mwenye chura"... huyo haongozwi na moyo bali na akili!! Akili leads you to what makes you happy but moyo can drag you to anywhere, and more often, to tear zone!

Akili leads you to your goals, moyo can drag you away from your gals...so, yes, only idiot can allow to be dragged and get tossed anywhere by his/her heart!

And what's even worse, unaweza kukuta s/he depends on you for each and everything but still huyo huyo anayekutegemea kwa kila kitu ndiyo huyo anayekutesa kwa sababu anajua umeoza, and you surrender to him/her... unakuwa mtumwa kwake in the name of love! Dunia ya leo hayo sio mapenzi bali ni ujinga!!

So, that's another fact that I was probably supposed to wait for your response if you'd handle the fact!
Thanks for the good advice I never pushed and he is just doing well.
The first 5 words form a sentence that's a TOTAL LIE... 😂
 
That's the way of saying "what should come first, and work always comes first"

Come on, usitake kusema huwa hamtumii blue tick kama hukumu... ndo maana nilikuambia mapema "can you handle the fact"? Hiyo ndo fact! Don't think grey tick always means the message is unread!

Again, that's why nilikuuliza mapema "can you handle the fact.... seems like you can't", ndo maana umekimbilia kusema huenda najichukulia nina akili kubwa na wengine hawana akili!

That has nothing to do with kuwa na akili kubwa BUT AKILI vs MOYO! Hivi unahitaji kuwa na akili kubwa kufahamu "s/he's wasting my time"? Ukiambiwa kutumia akili has nothing to do with one kuwa na akili kubwa bali kutokuwa tayari kuburuzwa na emotion!!

Kwanza hata wewe mwenyewe hupendi kwa kutumia moyo bali kwa kutumia akili na ndo maaana ukaamua interest yako ipo kwa watu wenye ngozi nyeupe!!

Moyo hauchagui race, kabila, or anything else... it just happens, BANG! Unajikuta umeoza kwa mtu ambae mashoga zako wote wanabaki kukushangaa!! Ukisikia mwanaume anasema "napenda mwanamke mwenye chura"... huyo haongozwi na moyo bali na akili!! Akili leads you to what makes you happy but moyo can drag you to anywhere, and more often, to tear zone!

Akili leads you to your goals, moyo can drag you away from your gals...so, yes, only idiot can allow to be dragged and get tossed anywhere by his/her heart!

And what's even worse, unaweza kukuta s/he depends on you for each and everything but still huyo huyo anayekutegemea kwa kila kitu ndiyo huyo anayekutesa kwa sababu anajua umeoza, and you surrender to him/her... unakuwa mtumwa kwake in the name of love! Dunia ya leo hayo sio mapenzi bali ni ujinga!!

So, that's another fact that I was probably supposed to wait for your response if you'd handle the fact!

The first 5 words form a sentence that's a TOTAL LIE... [emoji23]

It seems una trust issues, hutaki kuamini unachoambiwa ila unapenda kusikia unachoamini based on your last paragraph[emoji23]
 
It seems una trust issues, hutaki kuamini unachoambiwa ila unapenda kusikia unachoamini based on your last paragraph[emoji23]
Back to ground zero... about your readiness to handle the fact! You weren't ready, Kim! Unaonesha wazi kwamba hukuwa tayari na ndo maana unachukulia vitu too personal...

Unajua kuna aina mbalimbali za watu! Kuna wale wanaopenda kuzunguka zunguka, na kupaka paka maneno rangi, na kuna hawa hapa:-
Mimi sipendi unafiki... SIKUHURUMII, narudia... SIKUHURUMII...

You're 30+ halafu bado unaleta mapenzi ya Form II?! Look at you... unaweza kukuta "boy" wako keshagonga 35 halafu bado LINAKAA kwao! Ina maana hadi upelekwe kwa psychologist ndipo uambie na miaka 30+ yako una-date kivulana kilicho in his early 20's?

Being 30, 35, 45, is just a number... umri halisi wa mtu upo kwenye mind yake na utaonekana kwa yale anayofanya na kuyasema hadharani na sio kwa miaka aliyoishi duniani!!

Utalea watoto wenye umri mkubwa hadi lini dadangu? Umri ndo huo unaenda, and it's matter of time kabla watu wa size yako kuwa akina chige tulio in our 40's, na bado tutakuona kizee!

REMEMBER... I may be 10+ years older than you, lakini ni wewe ndie utakuwa unakimbilia kwenye expiration date badala ya mimi!! Tumia akili kuchagua mtu sahihi kwako badala ya kutumia moyo or emotion!

Moyo always mislead and make people behave and look stupid!

Eti rafiki yangu Prishaz, unaonaje nikijiweka hapa?! Manake kwa staili za u-snitch wa mtaa, huwa tunaanza kusaga sumu kwanza 😀!
xx
Familia mzima mna matatizo...

Ingawaje unadhani ni kaka yako ndie mwenye matatizo, hata wewe una matatizo...

Asiye na utaalamu wa kuisikia sauti ya maandishi anaweza asinielewe lakini mwenye utaalamu wa kusikia sauti za maandishi, atanielewa!

Angalia unavyotaja hayo maeneo...

Nikapata ajira HUKO Tarime,

Nikapata ajira HUKO Lindi...

I'm very certain ingekuwa kwa mfano unaishi Morogoro halafu ajira ukapata Dar, wala usingesema "Huko Dar" bali ungesema tu nikapata ajira Dar!

Na ingawaje unaweza usijue tafsiri ya neno "huko" ambalo umekuwa ukilitumia, tafsiri yako moyoni ni kama ulivyoielezea Lindi kwamba:-

And you've something about Tarime too!!

Kwahiyo, pigika kwanza vya kutosha ndipo utajua which is which kati ya Dar es saalam vs huko Namanyele!!!

Na zikishakutoka hizo akili za "huko" "huko", utakuwa kituo cha basi asubuhi ya siku inayofuata mara baada ya kupata offer "huko" somewhere!!
So, you may deny all you want it, Kim but the truth ni kwamba nimekukera coz' you weren't ready to handle the fact especially kutoka watu aina yangu whom, when see something is red, we'll shout IT"S RED and not Damu ya Mzee as others would opt to name it though deep inside their hearts they know it's RED!

But sometimes denying makes ourselves feel better, you know it, and I know it... so knock yourself out, Kim!!
 
Pole San atarud tu usiwe na of Wala ustume tume msg
Sisi wanawake tuna moyo wa huruma, mara unajisemea nitume sms au nisitume? Moyo unasema tuma tu moja😀😀 we acha tu tunaumizwaga sana
 
Habari za leo wanajamvi!

Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.

Mimi ni binti wa mid 20's km unavyojua kila mtu hua na malengo yake katika maisha basi na ana machaguo yake katika maisha km ambavyo mtu anapendelea mwanamke mwenye shape nzuri, au macho mazuri au sura nzuri, vivyo hivyo baadhi ya mabinti hupenda wanaume warefu mara wenye hela basi mimi ni binti nnaependa kudate na ngozi nyeupe (wazungu) ila si vile vibabu vya kizungu[emoji23].

Well, km ijulikanavyo huwez kupata kitu km hukifanyii efforts so nilikiunga na dating sites kadhaa katika one of the dating site nikakutana na kijana mmoja wa umri wa miaka 31 kutoka nchini Norway, huyu hakua kijana pekee niliewah kukutana nae ila wengi hawakuonyesha userious so na mm sikutaka kuwa entertain till nilivyoanza kuchat na kijana huyu, mwanzo alionyesha ukawaida km wengine so ckumtilia maanani sana ila ndani ya muda mfupi tu wa kuchat km week1 alionyesha km ana ka userious flan km kujibu txt ontime, kutoomba nudes (picha za utupu), kutaka kunijua kiundani na kufikia maamuzi ya kuomba if I can be his girlfriend of which I accepeted..alipanga aje nchini mwishon wa mwez huu na alishakata flight ya tarehe hizo za mwishon na hii ni only after 2 weeks of knowing each other, well niliona km things are going too fast ila sikuichukulia in negative way sababu mapenzi hayanaga formula.

Week 2 baada ya kua tunachat nae every day nilipata minor accident iliyonipelekea kuvunjika vidole vyangu vitatu vya mguu nikafungwa P.O.P (hogo) nikamtaarifu kua nimeumia na kumtumia picha swali la kwanza ni aliniuliza "Do you have western union?" Nikamjibu sina akaniuliza unaweza kutumia njia gani kupokea heka kutoka abroad nikamwambia ngoja niulize maana kiukweli nilikua sijui ndio one of my friend akaniambia nitumie "Worldremit" baada ya kumtumia hiyo app alishangaa maana hakuwahi kuitumia before ila aliidownload na akawa ananitumia screenshot kila hatua ili aweze kufill details zangu...baada ya dakika km mbili simu yangu ilisoma nimepokea laki7 za kitanzania kutoka kwake nilimshukuru kwa kweli ukizingatia sikumuomba ile hela na wala sikua na wazo hilo..aliniambia zitanisaidia kwa transport fees baada ya kujua sina personal car.

Tukawa tunaendelea kuchat by the time alikua na likizo za sikukuu za Christmas and new year so muda mwingi alikua online, he seems like he is an introvert masna kwenye video call hua ni km aina ya mtu anaeishiwa maongez though ni mchatiji mzuri, aliniuliza nacope vp hali ya kuwa nyumban mda wote wakat niko na ile P.O.P nikamjib kawaida tu sina jinsi inabid nitulie akaniuliza km nchini kwetu tuna Netflix nikamjibu ndio ila sikua na account akanitumia details za his personal account means user name yake na password yake na na akaniambia " do not freak out there is another girl using my account but thats my sister" so tulikua tunatumia hiyo accout mimi, yeye na huyo user mwingine ambae sikufatilia sana kumjua as long as alishaniambia ni dada yake..akanitumia kias kingine nijiunge na unlimited internet ili nisiwe bored.

Tuliendelea kuchat mpk alipomaliza likizo ya kaz na alivyoanza kazi, well mawasiliano yalipungua sio chatting za muda wote ila nilielewa sababu ya ubusy, ila lazima atatuma txt mara tu baada ya kutoka kazini mtachat au kuongea kidogo ndio atalala.

Juzi ndio ulikua mwisho wa mimi kuchati nae na our last conversation..aliniambia anatoka mara moja kutembea sababu amekaa ndan muda mrefu and he asked me how was my leg? Nilimjibu ila text ile haijafunguliwa mpk leo

Txt inadelever ila in grey tick which means haijafunguliwa, his last seen inaonyesha muda ule ule ambao tulichat mara ya mwisho so ni km hajaingia online tena, ila txt zinafika hofu yangu ni kua ya Mungu ni mengi amepata tatizo labda au? Maana siwez kujump kwenye bad conlclusion maybe amepata tatizo ila txt zinadeliver sena hazijafunguliwa tu na hajaingia online...ameamua kuquit mahusiano au? But hatujapishana kwa lolote au ni mimk ndie nina overthink?

His netflix account still works to me here, sijatuma txt nyingi sababu sion point ya kutuma txt wakati za mwanzo hazijajibiwa na hayuko online...je kwa wengine ishawahi watokea kitu km hii? Ina uwezekano akawa yuko busy sana? Isije nikasubiri meli wakati niko airport..Ndio masna nikaja hapa sababu ya ushauri wenu na mitazsmo yenu inaweza nisaidia.

I have developed some feelings for him honest speaking ila ni vyema nikajua niko position gani kwa sasa ili nisipoteze muda na hisia kwa mtu ambae labda si km nimfikiriavyo au nijaribu kumpigia kwa simu ya kawaida?

What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?
Wakati naachana na x wangu mwisho text alonitumia wasap iikuwa.

" nishaanza likizo yangu, napitia uswiss nitakuwa bongo trh 23dec.

Hii ndo ilikuwa ya mwisho yaliyofata ni maumivu.😂😂😂😂😂

Kwakuwa wako ni ngozi nyeupe wewe vulilia ipite week, uone itakuwaje.

Ila najua unachokipitia long distance relationship kills my dear.

Nilikuwa nikituma sms isipojibuwa naanza kuwa na mawazo kibao, nawaza atakuwa salama kweli? Muda wote nilokuwa na mahusiano na yule kaka it was full stress.

Kizuri chake huyu wa kwangu tuloachana, alikuwa akipiga simu tunaweza ongea 2hrs, na alikuwa mcheshi sana.nilikuwa naenjoy.


Ila dia nisikukatishe tamaa mahusiano ya mbali ni kichomi hapo ukute katoka out na mtu wake mwingine, tho na wewe anakutamani tatizo uko mbali.

Kwa sasa msubiri mpaka atakapojibu hizo sms.subiri atleast one week uone.ila dah napata picha magumu yapi unapitia, yule kaka alinifanya nikonde akiniona sasa hivi hawezi amini nilivyonona na kinawili.

All the best ila kaa na 50/50
 
Back to ground zero... about your readiness to handle the fact! You weren't ready, Kim! Unaonesha wazi kwamba hukuwa tayari na ndo maana unachukulia vitu too personal...

Unajua kuna aina mbalimbali za watu! Kuna wale wanaopenda kuzunguka zunguka, na kupaka paka maneno rangi, na kuna hawa hapa:-

xx

So, you may deny all you want it, Kim but the truth ni kwamba nimekukera coz' you weren't ready to handle the fact especially kutoka watu aina yangu whom, when see something is red, we'll shout IT"S RED and not Damu ya Mzee as others would opt to name it though deep inside their hearts they know it's RED!

But sometimes denying makes ourselves feel better, you know it, and I know it... so knock yourself out, Kim!!

Why are you forcing things which are not true?? Soma previous comments ukipata muda jaribu kupitia moja moja u can see...well, after all u don't know me ndio maana you want to feel better by thinking that u hurted me! I accept people's opinions without put my personal feelings my dear, its very hard to annoy me especially for a stranger, we differ a lot..not everyone is what u think she is.

I don't feel better with lies, but I never felt dissapointed with people's opinions...as I told u before u never dissapointed me with your opinions but what I see wewe ndio umekua dissapointed with me sababu u expected to be the winner and the akili kubwaz while I took it normal just like any advice from anyone[emoji23]

If I couldn't handle any advice from anyone nisingeomba ushauri sababu I definetly know watu wa design yako nao mpo.
 
Sisi wanawake tuna moyo wa huruma, mara unajisemea nitume sms au nisitume? Moyo unasema tuma tu moja[emoji3][emoji3] we acha tu tunaumizwaga sana

Namshukuru Mungu hua niko very calm ila nina pride moja matata sana, angekua amemute tu bila sbaabu haki asingeona txt yng hata moja na tungeishia hvy hvy, mwanzo ingekua shida ila at the end of yhe day unasahau.
 
Wakati naachana na x wangu mwisho text alonitumia wasap iikuwa.

" nishaanza likizo yangu, napitia uswiss nitakuwa bongo trh 23dec.

Hii ndo ilikuwa ya mwisho yaliyofata ni maumivu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwakuwa wako ni ngozi nyeupe wewe vulilia ipite week, uone itakuwaje.

Ila najua unachokipitia long distance relationship kills my dear.

Nilikuwa nikituma sms isipojibuwa naanza kuwa na mawazo kibao, nawaza atakuwa salama kweli? Muda wote nilokuwa na mahusiano na yule kaka it was full stress.

Kizuri chake huyu wa kwangu tuloachana, alikuwa akipiga simu tunaweza ongea 2hrs, na alikuwa mcheshi sana.nilikuwa naenjoy.


Ila dia nisikukatishe tamaa mahusiano ya mbali ni kichomi hapo ukute katoka out na mtu wake mwingine, tho na wewe anakutamani tatizo uko mbali.

Kwa sasa msubiri mpaka atakapojibu hizo sms.subiri atleast one week uone.ila dah napata picha magumu yapi unapitia, yule kaka alinifanya nikonde akiniona sasa hivi hawezi amini nilivyonona na kinawili.

All the best ila kaa na 50/50

Dear your very very right, long distance relationship sucks a lot it needs a lot of patients aisee otherwise unaweza kufa na pressure, well huyu alinitafuta the same day niliyoleta thread hapa na alinipa reasonable reasons why he wasn't available those past few days. I chose to trust him ila hiyo haimaanishi i put 100% to him.

Nikisema niweke asilimia zote naweza kuja pigwa na kitu kizito, anaweza akawa ngozi nyeupe na still akawa na shida zake kikubwa ni kuishi kwa kusikiliziana kuogopa kupigwa na kitu kizito[emoji28]
 
Cha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.

Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
mpeni ushauri wa kawaida tu, mbona mnagumia lugha ngumu sana unaposema ana njaa hizo ni kashfa sasa
 
mpeni ushauri wa kawaida tu, mbona mnagumia lugha ngumu sana unaposema ana njaa hizo ni kashfa sasa

Hiyo ndio njia yao ya kujifariji na kujipa amani kua wao wako right so hata usijali dear nishazoea watu wa design hii pia.
 
mpeni ushauri wa kawaida tu, mbona mnagumia lugha ngumu sana unaposema ana njaa hizo ni kashfa sasa
Njaa anayo kweli wala sio utani! Mtu mwenye pesa hababaiki namna ambavyo yeye amebabaika tena kwa ishu kama ya simu tu😅
 
Dear your very very right, long distance relationship sucks a lot it needs a lot of patients aisee otherwise unaweza kufa na pressure, well huyu alinitafuta the same day niliyoleta thread hapa na alinipa reasonable reasons why he wasn't available those past few days. I chose to trust him ila hiyo haimaanishi i put 100% to him.

Nikisema niweke asilimia zote naweza kuja pigwa na kitu kizito, anaweza akawa ngozi nyeupe na still akawa na shida zake kikubwa ni kuishi kwa kusikiliziana kuogopa kupigwa na kitu kizito[emoji28]
Ila nakukumbusha usiwe mjinga kama mimi kipindi kile nikiwa na huyo kaka.nilikua nampenda namuamini kiasi kwamba huku bongo nikiombwa no sitowi yaani kama vile yupo ananichungulia dirishani.

Siku moja nilikuwa nafanya kazi kampuni moja nimetumwa mitaani kufanya marketing sasa nikawa natoa na vipeperushi. Kipeperushi kimoja nikakiacha kwenye gari maswala ya bima.

Mara yule kaka kashusha kioo kaniita kaniuliza umeweka nini kwenye gari langu? Nikamuelezea akaniomba nimuelezee zaidi mwisho akaniuliza umeolewa? Nikamwambia no ila niko kwenye mahusiano, akaniuliza una uakika atakuoa? Nikamwambia sina jibu.

Akaniambia kama una uakika nipe no mimi nimekupenda, ninahitaji kuoa ndani ya miezi 6 kuanzia sasa. Nikakataa, akaniomba no nikasema hapana, nilikataa kwa sababu yule kaka alikuwa ashanipeleka kwao sikuona haja ya kufanya usalit.

Yule kaka alibembeleza sana apewe no nikagoma kumbuka hapo ilikuwa nov, na mchumba anarudi dec, nikasema no tiyari ninamtu kaka wa watu akaondoka. Baada ya mwezi yakanikuta hayo nililia nikamuwaza yule kaka nikawaza bora ningempaga no, nikawaza bora ningekariri hata plate no ni gemtafuta kwa hali yeyote hata tra nisingekosa msaada. Nilijuta sana.

Kuanzia hapo niliamka usingizini, mtu akiniomba no natoa.

All in all endelea kumuamini, mzungu akikupenda sometimes wanamaanisha.kuna wakati nilisema mimi na ngozi nyeusi basi tena lakini mazingira ya kupata mzungu kwangu yalikuwa magumu maana mkmi dio mtokaji.sasa wewe umempata komaa.
 
Ila nakukumbusha usiwe mjinga kama mimi kipindi kile nikiwa na huyo kaka.nilikua nampenda namuamini kiasi kwamba huku bongo nikiombwa no sitowi yaani kama vile yupo ananichungulia dirishani.
Ujumbe mzuri, karibia mwezi sasa sijamaliza kuandika uzi unaoendana na comment yako; nimekua mzito kuandika.

You are single, untill you're married
 
Can you handle the fact?!

Huyo Mzungu wako ni mimi kabisa huyo, na ndo maana totoz huwa hazinielewi!!

Ukweli ni huu: Inawezekana NAKUPENDA ILE MBAYA but YOU'RE NOT MY TOP PRIORITY!!

Unaanzaje kwa mfano kuwa My Top Priority wakati penzi lako haliwezi hata kunipa unit 2 za LUKU!!

Nitakupigia au kusoma/kujibu message yako at the right time! We don't open your WhatsApp message kwa sababu hatutaki ulalamishi wenu kwamba tumesoma lakini hatujibu as if kila message lazima ijibiwe!

Hey... nilisahau! Si kila unapoona grey ticks ni kwamba hatujasoma... sometimes tuna-disable notification ndipo tunafungua messages zenu mnaotaka muwe Top Priority! Tunazisoma lakini ukija unakuta grey tick na kudhani hatujasoma!!

Sorry Kim, tushasoma tayari lakini but it's not worth to respond it at that particular time kwa sababu wakati huo tuna-handle top priorities na mapenzi yanakuwa top priorities kwa wanaotumia moyo kupenda (it's just a gentleman way of saying "idiots") lakini sio wanaotumia kichwa kilichobeba akili!!

Ushauri wangu, don't push coz' watu aina hiyo dating zetu huwa zinakufa prematurely! Ukiona you're too time demanding... my friend, unafungiwa vioo jumla manake hayo mapenzi ya kukimbizana kweney maua wanayaweza wenyewe akina Shah Rukh Khan.

Kuna mmoja nimeanza ku-date nae karibuni lakini it's a matter of time kabla sijamwambia nasafiri Kitwe Zambia manake huyu nae anataka kila wakati tupigiane simu as if hana ndugu zake wengine wa kuongea nao.

I repeat, don't push!!

Unachotakia kufanya ni kutuma just short messages zisizo-demand umuhimu wa kujibu, kwa mfano "Hey, just checking out if you're okay... have a good day" lakini sio like "Hey, how are you holding up?" Hiyo ya pili ina-demand response!!

Kama unaona umhimu wa kupata muda wake kidogo, be like "Hey, have something to talk about, if you get free time, anytime, any day, please let me know" Lakini ukileta habari za "Hey I need to talk to you" Kwanza hako kasentensi unaweza kukakosoma kote bila kufungua WhatsApp!

Ndo hapo unaona grey tick na kudhani sijasoma kumbe nimeshasoma lakini haipo kwenye priority list hata kama mwandiko wako umeiweka kwenye top priority bila kujali ikiwa nami nina mengine ya ku-handle!
Kama nakuelewa

Seems you are intelligent.


Kama namwona mhindi wangu, kanitoa blue tick, ha ha ha ha ananisoma huku sijui kama nasoma, nimemwelewa, naenda na beat yake, akianza yeye kusalimia ndio najibu ama wakati mwingine namimi natulia tu nampotezea...maisha yanaenda hivyohivyo...hakuna zile Salam za kila mara, nilipata shida awali lkn sasa nimemzoea.

Hivi kumbe ndivyo mlivyo...!!!
 
Ila nakukumbusha usiwe mjinga kama mimi kipindi kile nikiwa na huyo kaka.nilikua nampenda namuamini kiasi kwamba huku bongo nikiombwa no sitowi yaani kama vile yupo ananichungulia dirishani.

Siku moja nilikuwa nafanya kazi kampuni moja nimetumwa mitaani kufanya marketing sasa nikawa natoa na vipeperushi. Kipeperushi kimoja nikakiacha kwenye gari maswala ya bima.

Mara yule kaka kashusha kioo kaniita kaniuliza umeweka nini kwenye gari langu? Nikamuelezea akaniomba nimuelezee zaidi mwisho akaniuliza umeolewa? Nikamwambia no ila niko kwenye mahusiano, akaniuliza una uakika atakuoa? Nikamwambia sina jibu.

Akaniambia kama una uakika nipe no mimi nimekupenda, ninahitaji kuoa ndani ya miezi 6 kuanzia sasa. Nikakataa, akaniomba no nikasema hapana, nilikataa kwa sababu yule kaka alikuwa ashanipeleka kwao sikuona haja ya kufanya usalit.

Yule kaka alibembeleza sana apewe no nikagoma kumbuka hapo ilikuwa nov, na mchumba anarudi dec, nikasema no tiyari ninamtu kaka wa watu akaondoka. Baada ya mwezi yakanikuta hayo nililia nikamuwaza yule kaka nikawaza bora ningempaga no, nikawaza bora ningekariri hata plate no ni gemtafuta kwa hali yeyote hata tra nisingekosa msaada. Nilijuta sana.

Kuanzia hapo niliamka usingizini, mtu akiniomba no natoa.

All in all endelea kumuamini, mzungu akikupenda sometimes wanamaanisha.kuna wakati nilisema mimi na ngozi nyeusi basi tena lakini mazingira ya kupata mzungu kwangu yalikuwa magumu maana mkmi dio mtokaji.sasa wewe umempata komaa.

Aisee! Pole sana dear...this is so touching and heartbreaking at the same time, pole sana mpenzi ila naamini kila kitu hutokea kwa sababu yule hakuwa wako na hata huyu wa kwenye gari hakua wako pia usjilaumu sana my dear.

Mimi kwa kweli am single till am married, huyu nachat nae vizuri tu ila sio mwisho wangu wa kua na mtu mwingine mpk pale ntapoona nimeoana nae otherwise ni aluta continua mpk ntapopata ambae tutafikishana kwenye altare au kwa mwanasheria kufunga ndoa ya serikali otherwise am still single, asante kwa muda wako na kunipa ushauri mzuri I really appriciate this a lot.
 
Back
Top Bottom