What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?
Pole Sana kwa ajali.
Mie nachokushauri nakuomba usikamie Sana Mana waweza jinyonga na ukaona kuwa maisha hayana maana Tena ya huyo mtu.
Kama umemtumia jaribu kufanya ishu zingine ili usiwekeze maisha na akili yote kwake.
Pia uwe unakuwa tayari kukosa kitu unachoona kwako ni Cha muhimu sana maishani mwako.
Yaani nakuona una presha Sana na emotions yaani kutowasiliwana naye siku kadhaa hata wiki haijapita jamani tayari hata hauli.ukiwa ivyo mdogo wangu Kinga za mwili zitashuka,Mana chakula hakitameng'enywa.pia usiwe na presha yaani don't pressurize him and you too.
Kama mahusiano yapo na hujamkosea Mungu atafanya kazi yake upate hitaji la moyo wako.
Yaani navyokuona ukija kutokea kutendwa ama ndoa inataka kufungwa akapotea utakufa wewe.
Please for psychology reasons be ready to loose something very important in your life at anytime.
Kweli hao jamaaa ambao nao huwa wanapenda kubadili maisha wanajaribu black girls.
Mana wanajua wanaseto kwa ndoa. Ila sijui why mange pia hao jamaa divorce huwa sio ishu kwao uwe tayari.kikubwa zidisha bidii jiunge mitandao mingi Ipo mpaka ya kulipia.
Weka hela kidogo benki like laki or alfu hamsini wakikuomba credit card unawapa unajaza afu unaruhusu hela dada.
Penye Nia Pana Njia. Pia pigania ndoto zako usichoke pia usiwe mtu wa mizinga afu uwe na professional yako itakuwa rahisi kwake Mana nje life ni ghali. Kama ni nesi atakupigania unapata jobu kwao in case akikuoa.
Ama uwe tayari kujiendeleza. Jitahidi uonyeshe kuwa you're independent lady itakupa credit zaidi.
Pia iyo Western Union money transfer Ipo karibia benki nyingi. Akikutumia unaenda tu benki kuchukua fasta. Na exposure naona bado ni ndogo unayo ama hata posta unaenda unawapa details za muamala wapi imetoka Nani akatuma na wewe pale ,huwa secret swali wanakuuliza yeye takuwa amekupa jibu unawajibu wanakupa hela.
Ni hayo tu Ila nakutakia ndoto yako itimie.
Huwa naelewa Mana ya mtu kupigania ndoto yake Mana najua inagharimu maisha yake smt.