- Thread starter
- #461
Vipi sheneji yetu kashakujibu text au
He called actually.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi sheneji yetu kashakujibu text au
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]We acha mbwembwe bana, njoo tunywe k vant hapa tabata.
Nachechemea bado lakini ss hv atleast naendelea vizuri ukizingatia naweza hata kutembea polepole.
Amesharudi hewani alipata tatizo kidogo..asante kwa ushauri na muda wako mkuu[emoji120]
Wazee wa kufukua makaburi. Haya mtag na shemeji yetu huko Oslo aone jinsi dada yetu alivyojaa upendo moyoni.Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?
Habari wana JF! mimi si member mpya katika kijiwe chetu pendwa ila nimeweka ID mpya sababu ya kulinda kujulikana ni nani maana wengi wananifahamu ID yng humu JF. Jamani wakuu naombeni msaada, tumekwazana na mpenzi wangu kama yalivyo mapenzi ila amebadilika ghafla, yaani ninavyosema ghafla...www.jamiiforums.com
Mkuu hata wanaume weusi wana matatizo. Je dume likisema linapenda wanawake weusi kabisa, wastani au shombe au mzungu utamlaumu?!We unapenda wazungu matatizo yakikukumba unarudi kwa waswahili.Waulize wazungu wenzio.
Pole dear
Mkuu hata wanaume weusi wana matatizo. Je dume likisema linapenda wanawake weusi kabisa, wastani au shombe au mzungu utamlaumu?!
Mie sikatai. Weusi sana au maji ya kunde nawa chizi kabisa. Utanisakama?!
Wazee wa kufukua makaburi. Haya mtag na shemeji yetu huko Oslo aone jinsi dada yetu alivyojaa upendo moyoni.
Mnatumia mitandao gani, nasikia tu watu wanapata wachumba an' i thought ni facebook ambako ni scam ile mbaya hasa WANIGERIA wale wa UKIMBIZI na KANISANI.Mbona ni kitu popular sana na kimezaa ndoa nyini na mahusiano mengi mno...fanyia uchunguz kidogo utaelewa si kila nchi wako free na wana muda km sisi
Dawa ya kumrudisha mpenzi, mume/mke mliyeachana inawezekana kweli?
Habari wana JF! mimi si member mpya katika kijiwe chetu pendwa ila nimeweka ID mpya sababu ya kulinda kujulikana ni nani maana wengi wananifahamu ID yng humu JF. Jamani wakuu naombeni msaada, tumekwazana na mpenzi wangu kama yalivyo mapenzi ila amebadilika ghafla, yaani ninavyosema ghafla...www.jamiiforums.com
Mnatumia mitandao gani, nasikia tu watu wanapata wachumba an' i thought ni facebook ambako ni scam ila mbaya hasa WANIGERIA wale wa UKIMBIZI na KANISANI.
Wazee wa kufukua makaburi. Haya mtag na shemeji yetu huko Oslo aone jinsi dada yetu alivyojaa upendo moyoni.
Ilikuchukua muda gani kumove on hapa, Miss Kimbisa.? And how did you manage it.?Si walisema nna njaa ndio maana nahofu kisa mzungu yupo kimya? Huyu nae alikua mzungu? Ndio mjue sio kila mwanamke ni kiruka njia au mbadili wanaume km nguo..wengine hua tukipenda tunapenda...wa Tanzania wapunguze makasiriko na chuki kuona kisa mzungu wamepanick wanatoa mipovu na negative comments kibao! Mungu awasaidie kwa kweli.
Mkuu hata wanaume weusi wana matatizo. Je dume likisema linapenda wanawake weusi kabisa, wastani au shombe au mzungu utamlaumu?!
Mie sikatai. Weusi sana au maji ya kunde nawa chizi kabisa. Utanisakama?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahio unataka umtose Harry McBride? Hebu kuwa na subira bana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Andika hii kwa kiingereza " Najua upo kwa malaya zako ndio mana hujibu texts zangu mbwa wewe",