Hivi tukitaka game unadhani huwa tunataka na watoto.Si unakataa mimba bro
Zaa tu mama Mimi mwenyewe nataman kumiliki singo maza mwenye mtoto wa kizungu🤣🤣🤣Hi guys,
Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .
Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .
Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .
So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.
Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Umaskini wa mawazo utaisha lini? Avune alichopanda
Kwanini mfikie kuzaa wakati Kuna option ya abortion TU. Kwanza mwezi mmoja sio mimba ni yai lililorutubishwa TU 😁😁Hivi tukitaka game unadhani huwa tunataka na watoto.
Sasa Kama sikupendi na Sina mpango wa kuzaa na wew
Naanzaje kukubali hiyo mimba
Lea mwenyewe mimba labda siku ukizaa nitajifikiria kukusaidia
Achukue hii 😁Kwanza pole
Pili chagua moja kama ni kingereza basi kiwe mwanzo mwisho kama ni kiswahili kiwe mwanzo mwisho.
JF hakuna mtu amewahi kusema jamani kimenikuta kitu flani moja mbili tatu.....
Lazima aseme jamaa yangu....ndugu yangu.... rafiki yangu.... and so so..
Mwambie atulie kwanza before aamue chochote
Ni wew hakuna cha ndugu ushauri Rudi huko huko Dating site cjui ni kupatana.com utampata mzungu mwingine wa kumlea Huyo mtoto hiyo jamii huwa hawatelekezi damu yao atamchukulia kama wake tu ila kama ni hawa jamii ya macho kuvimba ishaisha hiyo Lea tu mimbaHi guys,
Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .
Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .
Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .
So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.
Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Kuna mdada mmoja ngeli ilikuwa inampinga chenga ila anajifanya mjuaji na dharau hatari.Tatizo la wadada wakimatumbi wengi kuamini kila mzungu ana pesa na yupo smart sana , kiufupi huyo ni mhuni kakusanya pesa zake za mawazo akaja kujituliza tu, akaichapa na kusepa kama wamatumbi wengi tu tunavyofanya na kukataa watoto.
Atoe tu mimba haraka sana...wazungu wengine matapeliHi guys,
Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .
Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .
Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .
So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.
Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Wee baba mweusi mama mweusi ila mtoto mzungu ,Zaa tu mama Mimi mwenyewe nataman kumiliki singo maza mwenye mtoto wa kizungu🤣🤣🤣
Sijapenda 🤣🤣🤣Kuna mdada mmoja ngeli ilikuwa inampinga chenga ila anajifanya mjuaji na dharau hatari.
wahuni tukawa tunamchora tu kwenye side mirror, sasa Kuna siku akakutana na mzungu napita zangu nashangaa binti ananiita eti nimsaidie kuongea na mzungu yeye hamuelew.
Mimi nikamwambia Ili mambo yasiwe mengi wewe usiongee naye maneno mengi sema tu " One Dollar"
Basi Kila mzungu akiongea demu anajibu one dollar, mzungu akamshika mkono akaingia naye room demu akapewa 1 dollar yake anaenda kubadilisha anashangaa anapewa Tzs 2500/= basi mpaka Leo tunamuita 1 dollar na hana hamu Tena na wazungu.
Mtu kajifanya yeye ni kiwanda cha kufyatua watotoKwanini mfikie kuzaa wakati Kuna option ya abortion TU. Kwanza mwezi mmoja sio mimba ni yai lililorutubishwa TU 😁😁
Mtu kajifanya yeye ni kiwanda cha kufyatua watoto
[/QUAu kisaMwali wetu kavurugwa na hiyo rangi nyeupe , em aache ushamba kwanzaMtu kajifanya yeye ni kiwanda cha kufyatua watoto
We mumatumbi😀Tatizo la wadada wakimatumbi wengi 😀kuamini kila mzungu ana pesa na yupo smart sana , kiufupi huyo ni mhuni kakusanya pesa zake za mawazo akaja kujituliza tu, akaichapa na kusepa kama wamatumbi wengi tu tunavyofanya na kukataa watoto.
Jasusi la kanji ebu fafanua hii chai Ina odd ngapi kwa option Gani😀
Dadeki! Mzungu kanyunyuzia wadhungu kwa mbususu 🤣🤣🤣🤣Hi guys,
Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .
Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .
Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .
So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.
Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
SIjui huwa anatuchukuliaje watu na maisha yetu? 🤣🤣🤣
Maana mleta stori siku zote stori zake ni zile za high level of life. Alafu huwa zinamtesa sana na sijui kwann huwa habadiriki.
Story zetu zinaeleweka kubeti, simu yangu infinix inapata sana joto, nimeibiwa pochi kwenye daladala na mwendokasi unachelewa sana kuja kituoni 😂😂😂
Aye yeyeyeyeeee!😀🏃♂️ Hapo inabidi kuweka milioni kabisa KUIONA faida, elfu hamsini kwa milioni😀Daah! Cheo kikubwa sana hiki OgaBoy 🤣
Enwei, hizi ni odds 1.05 za ushindi wa Uto dhidi ya waarabu halafu bet lost 😂
Excuse meMleta mada ana vistori vyake vya changamsha jukwaa and i love that
Ni mwendo wa chai to chai