Mzungu kakataa Mimba

Mzungu kakataa Mimba

Kwanza pole
Pili chagua moja kama ni kingereza basi kiwe mwanzo mwisho kama ni kiswahili kiwe mwanzo mwisho.
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Zaa tu mama Mimi mwenyewe nataman kumiliki singo maza mwenye mtoto wa kizungu🤣🤣🤣
 
Umaskini wa mawazo utaisha lini? Avune alichopanda
Hivi tukitaka game unadhani huwa tunataka na watoto.
Sasa Kama sikupendi na Sina mpango wa kuzaa na wew
Naanzaje kukubali hiyo mimba
Lea mwenyewe mimba labda siku ukizaa nitajifikiria kukusaidia
Kwanini mfikie kuzaa wakati Kuna option ya abortion TU. Kwanza mwezi mmoja sio mimba ni yai lililorutubishwa TU 😁😁
 
JF hakuna mtu amewahi kusema jamani kimenikuta kitu flani moja mbili tatu.....
Lazima aseme jamaa yangu....ndugu yangu.... rafiki yangu.... and so so..

Mwambie atulie kwanza before aamue chochote
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Ni wew hakuna cha ndugu ushauri Rudi huko huko Dating site cjui ni kupatana.com utampata mzungu mwingine wa kumlea Huyo mtoto hiyo jamii huwa hawatelekezi damu yao atamchukulia kama wake tu ila kama ni hawa jamii ya macho kuvimba ishaisha hiyo Lea tu mimba
 
Tatizo la wadada wakimatumbi wengi kuamini kila mzungu ana pesa na yupo smart sana , kiufupi huyo ni mhuni kakusanya pesa zake za mawazo akaja kujituliza tu, akaichapa na kusepa kama wamatumbi wengi tu tunavyofanya na kukataa watoto.
Kuna mdada mmoja ngeli ilikuwa inampinga chenga ila anajifanya mjuaji na dharau hatari.

wahuni tukawa tunamchora tu kwenye side mirror, sasa Kuna siku akakutana na mzungu napita zangu nashangaa binti ananiita eti nimsaidie kuongea na mzungu yeye hamuelew.

Mimi nikamwambia Ili mambo yasiwe mengi wewe usiongee naye maneno mengi sema tu " One Dollar"

Basi Kila mzungu akiongea demu anajibu one dollar, mzungu akamshika mkono akaingia naye room demu akapewa 1 dollar yake anaenda kubadilisha anashangaa anapewa Tzs 2500/= basi mpaka Leo tunamuita 1 dollar na hana hamu Tena na wazungu.
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Atoe tu mimba haraka sana...wazungu wengine matapeli
 
Zaa tu mama Mimi mwenyewe nataman kumiliki singo maza mwenye mtoto wa kizungu🤣🤣🤣
Wee baba mweusi mama mweusi ila mtoto mzungu ,
Kuna mdada mmoja ngeli ilikuwa inampinga chenga ila anajifanya mjuaji na dharau hatari.

wahuni tukawa tunamchora tu kwenye side mirror, sasa Kuna siku akakutana na mzungu napita zangu nashangaa binti ananiita eti nimsaidie kuongea na mzungu yeye hamuelew.

Mimi nikamwambia Ili mambo yasiwe mengi wewe usiongee naye maneno mengi sema tu " One Dollar"

Basi Kila mzungu akiongea demu anajibu one dollar, mzungu akamshika mkono akaingia naye room demu akapewa 1 dollar yake anaenda kubadilisha anashangaa anapewa Tzs 2500/= basi mpaka Leo tunamuita 1 dollar na hana hamu Tena na wazungu.
Sijapenda 🤣🤣🤣
 
Ungeandika kwa lugha ya kiswahili sanifu... Ingeeleweka vizuri tu'

Wasomi mnaniangusha....
 
Tatizo la wadada wakimatumbi wengi 😀kuamini kila mzungu ana pesa na yupo smart sana , kiufupi huyo ni mhuni kakusanya pesa zake za mawazo akaja kujituliza tu, akaichapa na kusepa kama wamatumbi wengi tu tunavyofanya na kukataa watoto.
We mumatumbi😀
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Dadeki! Mzungu kanyunyuzia wadhungu kwa mbususu 🤣🤣🤣🤣
Lolote limkute sii ametunyima sie weusi wenzake kaona mzungu dili🤣🤣🤣🤣
 
SIjui huwa anatuchukuliaje watu na maisha yetu? 🤣🤣🤣
Maana mleta stori siku zote stori zake ni zile za high level of life. Alafu huwa zinamtesa sana na sijui kwann huwa habadiriki.

Story zetu zinaeleweka kubeti, simu yangu infinix inapata sana joto, nimeibiwa pochi kwenye daladala na mwendokasi unachelewa sana kuja kituoni 😂😂😂

Hii yake ya leo ni ya kimasikini...huoni mama K hana kazi,hana pesa za kulea kijacho japo ni chai
 
Back
Top Bottom