Mzungu kakataa Mimba

Mzungu kakataa Mimba

Aende huko huko alipo mzungu,akamshtaki dawati la jinsia na ustawi wa jamii

Mix by Yas
 
Hapo mchina alikuja kujenga reli mkataba ulivoisha akasepa , wao wanatandaza TU vizazi bila malengo . Ni Bora umzalie mwafrika mwenzio maskini TU sio watu weupe afu asielea mtoto na hata kwao hupajui.
Ushamba tu wa Dada zetu. Halafu hata huwa hawajifikirii huyu mzungu anatembea mpaka uswahilini kwao huwa hawashutuki?

Wazungu wenye ukwasi huwa wanaiona ngozi nyeusi ni takataka. Mzungu Tajiri hawezi kumla demu jobless, poor minded lady, kimsingi hii ni chai 🤣🤣🤣☕
 
Mwenye Zile Miwani Za Kijani Kwenye Mkutano Wa Tarehe 18 ~ 19..01.2025
Atuwekee Picture
 
Mleta mada ana vistori vyake vya changamsha jukwaa and i love that

Ni mwendo wa chai to chai
SIjui huwa anatuchukuliaje watu na maisha yetu? 🤣🤣🤣
Maana mleta stori siku zote stori zake ni zile za high level of life. Alafu huwa zinamtesa sana na sijui kwann huwa habadiriki.

Story zetu zinaeleweka kubeti, simu yangu infinix inapata sana joto, nimeibiwa pochi kwenye daladala na mwendokasi unachelewa sana kuja kituoni 😂😂😂
 
Mimi sio tapeli!
[/QUtena
Ushamba tu wa Dada zetu. Halafu hata huwa hawajifikirii huyu mzungu anatembea mpaka uswahilini kwao huwa hawashutuki?

Wazungu wenye ukwasi huwa wanaiona ngozi nyeusi ni takataka. Mzungu Tajiri hawezi kumla demu jobless, poor minded lady, kimsingi hii ni chai 🤣🤣🤣☕
Rangi nyeupe sio watu wazuri kwetu rangi nyeusi mbona mwasahau mapema jamanii 🥺🥺
 
Hapo mchina alikuja kujenga reli mkataba ulivoisha akasepa , wao wanatandaza TU vizazi bila malengo . Ni Bora umzalie mwafrika mwenzio maskini TU sio watu weupe afu asielea mtoto na hata kwao hupajui.
Unapata kizawadi fulani hivi 😅
 
Asitoe mimba
huweza akawa Obama. Cha msingi after Birth a plan for DNA.. atafute Mwanasheria.. nchi nyingi mfano UK Wana sheria kali sana za kulinda watoto... aombe Child support!!
 
Rangi nyeupe ndo zinawachanganyaga, ilitakiwa ujue utajiri alionao ndo uzae. Kuzaa na mzungu maskini Bora uzalie hizi mbupu za kiafrika TU
Wa-Dada wa Ki-Bongo na Ki-Afrika ndio wako hivyo..Wanadhani Watu weupe wako vizuri....Kumbe kuna Wa-Bongo tunawazidi sana hao wazungu....Kuna siku tulikuwa Mombasa, na jamaa Mmoja Mzungu...Kumbe sisi ni vi-bosile kuliko yule Mzungu, tukawa tunacheka tukiona wa-Dada wanampapatikia yule Mzungu...Sisi tukamwambia yule Mzungu usiuze code, wacha wajue hivyo hivyo, watafune tu...na wasijue kama sisi ni vi-bosile kuliko yeye..
 
Mtoto no Baraka
huweza akawa Obama. Cha msingi after Birth a plan for DNA.. atafute Mwanasheria.. nchi nyingi mfano UK Wana sheria kali sana za kulinda watoto... aombe Child support!!
Muongo huyo siku zote ana vijistori vya hivi hivi mpaka huwa najiuliza huyu huwa anatengeneza scripts za maigizo?
 
Wa-Dada wa Ki-Bongo na Ki-Afrika ndio wako hivyo..Wanadhani Watu weupe wako vizuri....Kumbe kuna Wa-Bongo tunawazidi sana hao wazungu....Kuna siku tulikuwa Mombasa, na jamaa Mmoja Mzungu...Kumbe sisi ni vi-bosile kuliko yule Mzungu, tukawa tunacheka tukiona wa-Dada wanampapatikia yule Mzungu...Sisi tukamwambia yule Mzungu usiuze code, wacha wajue hivyo hivyo, watafune tu...na wasijue kama sisi ni vi-bosile kuliko yeye..
Wadada wakiona mzungu wanaona utajiri hawajui kwamba Kuna wazungu coco ni choka mbaya , wanakuja Africa kutafuta unafuu TU
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.
Umaskini wa mawazo utaisha lini? Avune alichopanda
 
Back
Top Bottom