Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Chris wood

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
1,667
Reaction score
5,043
Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka

Natanguliza shukrani

View attachment 1935096View attachment 1935099

PIA, SOMA: - Mrejesho, Baada ya kuokota kipochi cha mzungu kilichokuwa na pete
 
Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa jwisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka
Natanguliza shukrani View attachment 1934420View attachment 1934421
Nakushauri tangaza kuwa umeokota hivyo vitu..utanishukuru baadae .. Au kaache maagizo kwa wahusika wa hiyo sehemu
 
Rudisha tu mkuu,utakuta nao dunia imewaelemea huko,wamenunua pete za 4000 kariakoo
Sidhani ndugu kuna mbili hapo zinanga'aa sana, ndio maana nikaja tafuta wataalam humu, labda zinaweza kuwa na madini fulani
 
Masonara watakupa majibu mazuri, ila usiende na Gia ya kuuza, jifanye kama una Vito vyako hivyo unataka kutengenezewa Pete, wadadisi thamani yake.
Asante sana, ngoja nikawatafute masonara waniambie thamani yake kwanza ndio mengine yaendelee
 
Nakushauri tangaza kuwa umeokota hivyo vitu..utanishukuru baadae .. Au kaache maagizo kwa wahusika wa hiyo sehemu
Ushauri mzuri lakini kwanza nataka kujua thamani ya hivi vitu
 
Back
Top Bottom