Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Rudisha tu mkuu,utakuta nao dunia imewaelemea huko,wamenunua pete za 4000 kariakoo
Mimi ni mdau wa manunuzi sana online...,,, wazungu wengi wananunua pete ambazo hazizidi hata laki, nakuvalishana huku wakiwa wanazisifia balaaa
 
Mimi ni mdau wa manunuzi sana online...,,, wazungu wengi wananunua pete ambazo hazizidi hata laki, nakuvalishana huku wakiwa wanazisifia balaaa
Ok hizo mbili za juu hapo zinaweza kutoka bei gani. Maana mg'ao wake ni waajabu, sii kawaida
 
Zamani wenzako nao walikuwa wanasema wamepata ajali na wazungu wakaokota madini hawajui thamani yake!!!🤣🤣
Peleka polisi watakusaidia
Nilishakutana nao hao 🤣🤣🤣
 
Mkuu umeshauriwa rudi pale kwenye ile mgahawa, jaribu kuiliza kama kuna mtu alieripoti kupoteza vitu vyake hiyo jana.
Sidhani ndugu kuna mbili hapo zinanga'aa sana, ndio maana nikaja tafuta wataalam humu, labda zinaweza kuwa na madini fulani
Amini nakwambia ukifanikiwa kimrudishia fadhila atakayokupa utakuja kutushukuru humu baadae.
 
Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka
Natanguliza shukrani

View attachment 1934420View attachment 1934421
Yani nimecheka sana aisee. Yani unaona ni sawa kabisa wewe kuja kuuliza bei ya mali ya mtu ili ukauze? Astaghafirullah! Lakini, haishangazi aisee, kwa hayo makucha yako, unaoesha wazi ni mtu wa aina gani.
 
Mrudishie tu Mkuu...
Nauhakika lazima watakuwa walirudi hapo mlipokunywa juisi na jamaa yako.
 
Nenda pale ulipookota kaulizie Kama walikuja kuulizia,sikushauri uendelee kukaa Nazo sababu ukifanya Hivyo utapata faida kubwa Sana wenzetu wanapenda watu waaminifu Kwa mambo madogo utashangaa wamekupa connection Kwa mambo makubwa!
 
Zamani wenzako nao walikuwa wanasema wamepata ajali na wazungu wakaokota madini hawajui thamani yake!!![emoji1787][emoji1787]
Peleka polisi watakusaidia

Polisi tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MTOA MADA KAMA HIYO HOTEL KUNA CCTV AMBAYO BROBABLY IPO




UTAKIONA CHA MTEMAKUNI NA TENA UUZE UTASEMA POO
 
Kwanini hukukabidhi hotelini?
Hapo umeonyesha udhaifu wako
Nenda hotel kaulize kama alirudi
Ila kama una roho hiyo
 
Watu wote waliowahi kuokota kitu cha thamani wakarudisha walishakufa masikini kwa msongo wa mawazo. We uliza bei ikiwa nzuri uza. Ikiwa bei yakipuuzi rudisha mgahawani tembea mbele. Siyo urudishe kitu cha pesa ambayo utaipata kwenye kinua mgongo cha kazini kwako kizembe. Maisha yatakupiga mpaka utazikumbuka.

Baada ya kuuza niombe namba unitumie hata ten ili tugawane hayo majini. Tambua uchawi hauendi kwa mentali na dawa ya jini ni gunia la bange
 
Back
Top Bottom