Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
- Thread starter
- #61
Weee jamaaa unachekesha. Hivi unaamini hayo maujinga kweli yapoMshana mwambie ukweli hasa Ile Pete ya tatu lazima atakiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee jamaaa unachekesha. Hivi unaamini hayo maujinga kweli yapoMshana mwambie ukweli hasa Ile Pete ya tatu lazima atakiona
Hiyo million hujui kuandika. Sidhani kama unayo
Yaa nakaa one week baada ya kupeleka namba na taarifa.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sasa mkuu unaomba wasirudi au??
Ushauri mzuri nenda kwa sonara zunguka hata sonara watatu waambie unauza hizp pete alafu sikia watakwambia sh ngapi
Naunga mkonyo hoja, yani mi niwe nimepigika niokote kitu kina thamani eti nirudishe? MtaniuaWatu wote waliowahi kuokota kitu cha thamani wakarudisha walishakufa masikini kwa msongo wa mawazo. We uliza bei ikiwa nzuri uza. Ikiwa bei yakipuuzi rudisha mgahawani tembea mbele. Siyo urudishe kitu cha pesa ambayo utaipata kwenye kinua mgongo cha kazini kwako kizembe. Maisha yatakupiga mpaka utazikumbuka.
Baada ya kuuza niombe namba unitumie hata ten ili tugawane hayo majini. Tambua uchawi hauendi kwa mentali na dawa ya jini ni gunia la bange
Tena Majini ya msitu wa amazoni...kila siku ukivuta gogo ni funza tu...Pete za majini hizo
Bei sh ngapi umepata????Yaa nakaa one week baada ya kupeleka namba na taarifa.
Baada ya hapo nafanya uwezekano wa kuziuza
H kitambo hii mambo🤣🤣 apeleke polisi tu watamsaidia kujua thamani🤣😃😃Zamani wenzako nao walikuwa wanasema wamepata ajali na wazungu wakaokota madini hawajui thamani yake!!!🤣🤣
Peleka polisi watakusaidia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tena Majini ya msitu wa amazoni...kila siku ukivuta gogo ni funza tu...
Kua makini tanzania hii kwa kuacha kwako namba unawezafanyiwa tukio la ajabuYaa nakaa one week baada ya kupeleka namba na taarifa.
Baada ya hapo nafanya uwezekano wa kuziuza
Sijui ndugu, ila Leo naenda kutoa taarifa pale kiungwana, ukute walirudi kuulizia, wiki moja ikipita itabidi tu niviuze, unaweza kuta ni mtu mwingine alidondosha na sio wale wazungu niliokuwa nawadhaniaBei sh ngapi umepata????
halafu aliyeokota anajifanya mshamba hajui kitu anaomba msaadaDuuu
H kitambo hii mambo🤣🤣 apeleke polisi tu watamsaidia kujua thamani🤣😃😃
Picha imebidi nizifute maana nimebadili mawazo kulingana na ushauri niliopewa na wadau humuMkuu hizo pete ni za majini aseh, haiwezekani ktk comments zote hakuna hata mmoja aliyeulizia picha.
Jua thamani yake kwanza unaweza kuta ni pete za machingaSijui ndugu, ila Leo naenda kutoa taarifa pale kiungwana, ukute walirudi kuulizia, wiki moja ikipita itabidi tu niviuze, unaweza kuta ni mtu mwingine alidondosha na sio wale wazungu niliokuwa nawadhania
Sawa mkuu.Picha imebidi nizifute maana nimebadili mawazo kulingana na ushauri niliopewa na wadau humu
Sio pete za machinga ndugu, hizi lazima zitakuwa na thamani fulani, hata kama sio kubwa. Ni pete ambazo watanzania wengi hawawezi miliki.Jua thamani yake kwanza unaweza kuta ni pete za machinga
Huo ujinga ndio siwezi kufanya.Nenda ukakabidhi hiyo pochi hapo mgahawani watarudi kuulizia mali yao hapo.