Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hapo ulipoiyona waulize hao jamaa kama wamerudi tena hao wazungu au kama kuna hoteli ya karibu nenda ukaulize uaminifu ni bora zaidi kuliko tamaaNifanyeje nikatangaze redioni au??
We endelea Kudhani kudhaniNi mgahawa tu, sidhani kama una cctv
Wewe huna tofauti na mwizi. Ungeacha contact zako kwa mhusika wa sehemu iliyokuwa. Mara nyingi mtu akisahau kitu chochote sehemu ya huduma, hurudi kuulizia.Nifanyeje nikatangaze redioni au??
yule jamaa wa zenj aliyerudisha 150mln akikusoma hapa,anakwenda kukushtaki kwa Mungu.
Kuna gololi zilizochongwa zipo katikati ya hizo pete zinatoa mg'ao camera inashindwa kuchukua viziriKwa picha ni ngumu kwakuwa hapo kinachoonekana ni rangi tu
Unajua mzungu ana maagano gani kupitia hizo pete? aisee hizi njaa ni hatari....Kuna gololi zilizochongwa zipo katikati ya hizo pete zinatoa mg'ao camera inashindwa kuchukua viziriView attachment 1934496
Sijaiba cha mtu ndugu.Mkuu umeamua Kuiba na kuuza mali za watuu...!!!
Ndio maana inabidi uende kwa sonara ila kama una nia ya kuzirudisha huna haja ya kujua thamani yakeKuna gololi zilizochongwa zipo katikati ya hizo pete zinatoa mg'ao camera inashindwa kuchukua viziriView attachment 1934496
Mungu akubariki mno.. Na hutapungukiwa kamweOky naona wengi wanasema rudisha rudisha rudisha. Nitapita pale niache namba zangu na maelekezo incase wakivitafuta nitarudisha.
Ila naomba isiwe hivyo.
Mshana mwambie ukweli hasa Ile Pete ya tatu lazima atakionaMungu akubariki mno.. Na hutapungukiwa kamwe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sasa mkuu unaomba wasirudi au??Oky naona wengi wanasema rudisha rudisha rudisha. Nitapita pale niache namba zangu na maelekezo incase wakivitafuta nitarudisha.
Ila naomba isiwe hivyo.
[emoji848][emoji3][emoji3][emoji3]Mshana mwambie ukweli hasa Ile Pete ya tatu lazima atakiona
Ww mwambie ukweli hapo lazima atasumbuliwa mpaka anaingia kaburini[emoji848][emoji3][emoji3][emoji3]