Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka
Natanguliza shukrani
Wamekutupia gundu blaza......
utaangaika nalo mpaka ukome.....
fanya hima urudishe ulipookota
 
Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka
Natanguliza shukrani
Una uliza thamani ya pete bila picha au unafikiri jf ni ya watabiri?
 
Una uliza thamani ya pete bila picha au unafikiri jf ni ya watabiri?
,
20210912_112826.jpg
 
Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka
Natanguliza shukrani
Ulitakiwa uache namba yako ya simu ili akirudi awasiliane na wewe, huo ni wizi.
 
Ukilkota kitu poleka polisi ndio sheria inavyosema kitendo cha kuendelea kukaa nacho kinatengeneza nia ya wizi ( implied mens rea) ile methali ya kiswahili ya cha kuokota sii cha kuiba imekosewa na haifai kuwa katika vitabu vya kiada.

Umiliki hauwezi kuwa wako huruhusiwi kukifanyia kitu chochote wala kumpa mtu yoyote kama zawadi au kuuza( NEMO DAT QUOD NON HABET)

Sheria inasema ukiokota kitu chochote cha thamani peleka polisi maelezo yako ya kuokota yataandikwa kwenye kitabu kiitwacho LOSS AND FOUND PROPERTY REGISTER) na utapewa namba ya taarifa ( kibongobongo RB)

Sheria inahitaji kitu hicho kurndelea kuhifadhiwa kwa kipindi fulani cha muda , na baadaye kama mwenye mali hajajitikeza mali hiyo itatangazwa kuuzwa kwa mnada basda ya kutolewa amri ya mahakama. Fedha iliyopatikana mwokotaji atapewa asilimia fulani

Kuna madhara makubwa ya mtu kuokota kitu na kujimilikishia kwani vitu vingi huibiwa na kutupwa au vielelezo mbalimbali vya kesi za mauaji hutupwa. Sasa wewe ukikamatwa nacho na kiliibiwa au kutumika kwenye uhalifu baden of proof (onus probandus) itahamia kwako uonyeshe uhalali wa umiliki wake tofauti na hivyo mahakama itakuchukulia kama wewe ndio uliofanya kosa kama mauaji au wizi ( DOCTRINE OF RESENT POSSESSION)
Ila ww Mzee [emoji28][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji482][emoji28][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]



We polisi nn
 
Mungu anakupa fursa na changamoto kila unapoamka.

Ni juu yako kutathmini ipi ni changamoto na ipi ni fursa.
 
Weekend ya jana, wakati nazagaa zagaa mtaani, tulipita sehemu mimi na jamaa yangu kunywa juisi, meza ya pembeni alikuwa amekaa mmama wa kizungu na binti yake. Ilipita dakika chache wakaondoka.

Wakati nasisi tunaondoka chini ya ile meza niliona kipochi kidogo kama cha kuwekea simu zile ndogo, niliinama fasta nikakichukua.

Kwa ndani nilikuta kuna pete tatu, jee zinaweza kuwa na madini fulani?, na nikitaka kuziuza wapi naweza kuzipeleka
Natanguliza shukrani
Buku buku hizo, zirudishe pale pale!
 
Back
Top Bottom