Na changamoto katika ndoa yangu. Mke wangu jeuri sana, Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa

Na changamoto katika ndoa yangu. Mke wangu jeuri sana, Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa

Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Hata mkeo ni used tayari, mimi naona single maza ni wànawake wa kawaida tuu hata niliyezaa nae ni single maza nà sioni kama ni used.
 
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Wee kula watoto wa chuo...watamu sana hao
 
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Mpendwa,
Nimeona changamoto unazopitia kwenye ndoa yako, na ninakuhurumia kwa dhati. Ndoa ni agano takatifu mbele za Mungu, na inapotokea migogoro, inaweza kuwa majaribu makubwa sana. Lakini napenda kukutia moyo na kukuonyesha njia inayompendeza Mungu.

Kuhusu kutafuta faraja nje ya ndoa, neno la Mungu linasema wazi kwamba:
"Msidanganyike: Wazinzi, waasherati, wala waabudu sanamu... hawataurithi ufalme wa Mungu." (1 Wakorintho 6:9-10).

Kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa ni dhambi ya uzinzi, na si suluhisho la matatizo ya ndoa, bali huongeza maumivu na hatari kubwa ya kuvunja kabisa ndoa. Mungu anatuita tubadilike, na anatupa neema ya kutubu na kuacha njia mbaya (1 Yohana 1:9).

Ninakutia moyo utafute suluhisho ndani ya ndoa yako kwa mazungumzo ya kina, uvumilivu, na maombi. Upendo wako na mke wako unaweza kufufuliwa kwa neema ya Mungu. Tafuta msaada kutoka kwa mshauri mzuri wa ndoa au kiongozi wa kiroho kama itahitajika.

Tumia pia muda kumwomba Mungu akupe nguvu za kushinda tamaa na hekima ya kuongoza familia yako kwa heshima na upendo. Mungu ameahidi kuwa nasi hata wakati wa changamoto (Zaburi 34:18).

Nakuombea kwa upendo na ninatumaini kwamba utachagua njia sahihi inayompendeza Mungu.
Nakutakia Baraka tele.
 
Mkewe sio kichaa si ajabu kuna vitu havitaki, kwani Kwao hakuwa anatunzwa? Habari za kusema namtunza! Hivi asingetunzwa angemuona mrembo?
Ya kwao kutuzwa inaeleweka baada ya kuolewa mume anachukuanhilo jukumu, kwahiyo hii Haina uhusiano na kwao maana Kwa ss hayuko kwao ila Kwa mume!

Na point yangu ilikuwa km mwanaume anatimiza majukumu yake mwanamke hawezi leta jeuri
 
Ya kwao kutuzwa inaeleweka baada ya kuolewa mume anachukuanhilo jukumu, kwahiyo hii Haina uhusiano na kwao maana Kwa ss hayuko kwao ila Kwa mume!

Na point yangu ilikuwa km mwanaume anatimiza majukumu yake mwanamke hawezi leta jeuri
Kwani mwanamke kufanya majukumu kama mke yeye anakuwa hamtunzi mmewe? Msiwe wabnafsi kwakuona mke akishaolewa kuwa kama mtumwa eti namtunza, mimba wanazobeba na kulea watoto inakuwaje! Tuishie hapa
 
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Kuna watu mi nikiwaambia wanawake ni viumbe vya ajabu wanabisha.

Kiongozi pole san lakini hiyo ndo hulka na tabia za wanawake.

Ndoa yako haina utofauti na ndoa nyingi sema tu kwakuwa ww umesema hapa ila sisi wengine hatusemi.

Changamoto kubwa ni kwamba ukienda nje waweza leta maradhi ndani ikagharimu familia pamoja na watoto.

Lakini pia utatumia pesa nyingi huko nje kuhudumia mke na huenda familia ya mke jambo ambalo ungefanya kweny familia yako lingekuwa la msingi saana.

Binafsi limenikuta ila namim nimekuwa jeuri sana, simshirikishi mambo yangu, akinijibu utumbo mi nampa majibu ya utumbo zaidi.

Sema Kwa upande wangu kinachonipa huruma ni kwamba ana mtoto mdog, nakuna wakati nikimwangalia mtoto nahuzunika saana.

Ila ndo hivo nasubiri mtoto tu akue na naweza fanya maamuzi huko mbelen

Amini nikuambialo kiongoz wanawake ni wachache saana wenye sifa za kuitwa mke, wengi wao ni mawakala wakishetani wajinga Hawa.
 
Kwani mwanamke kufanya majukumu kama mke yeye anakuwa hamtunzi mmewe? Msiwe wabnafsi kwakuona mke akishaolewa kuwa kama mtumwa eti namtunza, mimba wanazobeba na kulea watoto inakuwaje! Tuishie hapa
I think Kuna mahali tunapishana uelewa
 
Back
Top Bottom