Sawa mbumbumbu endeleeni kurarijianaaezi elewa,kule wenye akili na kuelewa ni wawili tu.
Kucheza kimku.nd mkun.duMivitu ya LOSERS CUPView attachment 2576494
kurarijiana ndo nini babuu,au ujafturu bado?Sawa mbumbumbu endeleeni kurarijiana
mashabiki wa simba waoga sana na yanga kwenye kimataifa msimu huu,yaani hizi nyuz zenu humu mnaonesha kisaikolojia hamko sawa,mnaonekana mnahofia sana yanga kwamba anaenda kuweka ufalme wake kimataifa na kuwa timu ya kwanza east africa kufanya ivyo kabla ya nyinyi wazee wa roba fainali...MLIKUWA WAPIII?-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - πππππ
[emoji1173]Wydad AC - πππππ
[emoji1249]Esperance - πππππ
[emoji1173]Raja AC - πππππ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - πππππ
[emoji1026]CR Belouizdad - πππππ
[emoji1241]Simba - πππππ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - πππππ
[emoji1093]Pyramids - βπΈπ½ββ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
Aisee yule mwenyekiti wao mstaafu aliwaza mbali sana. Maana ile kauli yake mpaka leo bado inaishi.[emoji23][emoji23]Makolo yamekutanaView attachment 2576470
Kwa namna akili zao zilivyo; sidhani kama atatokea hata mmoja wao atakaye kuelewa.Man utd anacheza Europa
Barcelona anacheza Europa
As Roma
Juve
Arsenal.
Hebu ya timu hizo nioneshe timu iliyo ndogo kuliko Benifica, sporting cp, zikizokuwa zikicheza Uefa!! Au unatapika uchafu uliokulaπ . Mwaka huu mtapasuka makoo mamaee nyanoko Bheng'wee
Rede + mdako bila kusahau makidamakidaRede mchanganyiko na mdako
-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - πππππ
[emoji1173]Wydad AC - πππππ
[emoji1249]Esperance - πππππ
[emoji1173]Raja AC - πππππ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - πππππ
[emoji1026]CR Belouizdad - πππππ
[emoji1241]Simba - πππππ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - πππππ
[emoji1093]Pyramids - βπΈπ½ββ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
Makidamakida ndio kibaba-baba au?Rede + mdako bila kusahau makidamakida
Kiu[emoji304][emoji304]Kucheza kimku.nd mkun.du