Bandugu mwaka mpya na mambo mapya. Nataka njidhatiti na kujisajili kitengo cha ndoa jf sasa basi mwaka jana nlipata wachumba humu 2 katika hao wawili hawana sera mmoja nikambwaga live mwingi wa habari mwingine nimemuacha kimya kimya yaani hayupo romantic af dizaini hajui kuishi kisuperstar humu tokea niwe nae nimedetoriate sana humu cc.Sasa kukawa kuna mume wa mtu humu cc kanizimia sana mihela kila saa anantumia jf pesa ila akuuuuu mi mtoto wa watu naheshimu ndoa nlilelewa nkaleleka nimemkataa. Bado naendelea na mchakato nahitaji mume mwenzenu nimeshachoka kama shosti
Zinduna alivyosema kitchen party ya
YNNAH nimecheza sendoff ya
ladydoctor nilikuwa mwenyekiti harusi ya
Heaven on Earth na figganigga allias
kobun nlikuwa mshika shela. Kwenye kibao kata cha
Paloma nlikatika mpaka kiuno kikaenda kushoto.Na sasa ameolew aya bwana mi nipo tayari kukuoa jamani