Na mie nahitaji kuolewa!!!

amu nahisi unatafakari mistari yangu hapo juu, ukimaliza kuja utoe conclusion hapa.

Nb:hizo ni pre-amble verses huku najipanga kutoa cream; subiri wengine wataiba verse za watu copy na kukupestia-usikubali
 
Last edited by a moderator:
Inaonekana jinsi gani ulivyo mkotofi itabidi ukirekebishe tabia yako ndipo utume application.
 
Mmmh uje polepole bibie humu wapo baba zako angalia usijepata radhi.
 
hahahaha hata mimi nilikua natafuta mke .usijali mi nalekebisha mambo ya kiwa sawa ntakuambia
 
 
Last edited by a moderator:
All the best ila amu subiri bathi yangu iiishie vzr vzr ndo utangaze nia mmhhh!
 
Ngoja niongee na mama Ngina kama atakubali mke mwenza huenda nikaleta maombi kama akikubali, si ndio eh!
 
amu kuna kijana mmoja mtanashati sana...nilimuona kitaa cha cc akihaha kusaka kitulizo cha roho... uran, hivi wewe na 'Valentina' mlifikia wapi? Kama vipi tupiamo kwa amu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…