Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,132
Reaction score
5,508
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
 
Huogopi kumchukia mtu ambaye hata hujawahi kukutana naye?

Ubaya wa mtu mmoja au wachache kamwe usikufanye uwachukie wasiohusika.

Israeli wana sababu zao za msingi, Wapalestina nao. Kitu cha msingi tuwatakie amani.
 
Uwe mkristo usiwe mkristo yote sawa tu. Swali. Kwanini watu wakisema wale siyo waisrael na amsemi waisrael ni kina nani na wapo wapi kwa Sasa?.na wakati wa zamani walikua wapi?. Maana ni Kama mnamaanisha waisrael hawapo duniani kwa Sasa. Ila mnaogopa kupigwa maswali mkashindwa kujibu.
 
Huogopi kumchukia mtu ambaye hata hujawahi kukutana naye?

Ubaya wa mtu mmoja au wachache kamwe usikufanye uwachukie wasiohusika.

Israeli wana sababu zao za msingi, Wapalestina nao. Kitu cha msingi tuwatakie amani.
Israeli kama taifa wameamua kuubeba ubaya na kuuishi sidhani kama hilo ni jambo la mtu mmoja
 
Uwe kristo usiwe kristo yote sawa tu. Swali. Kwanini watu wakisema wale siyo waisrael na hamsemi waisrael ni kina nani na wapo wapi kwa Sasa?.na wakati wapi walikua wapi?. Maana ni Kama mnamaanisha waisrael hawapo duniani kwa Sasa. Ila mnaogopa kupigwa maswali mkashindwa kujibu.
Kwa fikra yangu yenye mipaka pure ethnicities haziwezi kuwepo Karne na Karne.

Mfano mdogo tu hapa Tanzania tuna miaka 60 tu ila katika makabila 120 tuliyoambiwa yalikuwepo Kuna baadhi yameanza kupoteza au yamepoteza utambulisho wake kutokana na muingiliano na jamii nyingine Sasa sembuse Israel ambayo ilikuwa kitu cha ustaarabu na shughuli za kiuchumi?
 
Uwe kristo usiwe kristo yote sawa tu. Swali. Kwanini watu wakisema wale siyo waisrael na hamsemi waisrael ni kina nani na wapo wapi kwa Sasa?.na wakati wapi walikua wapi?. Maana ni Kama mnamaanisha waisrael hawapo duniani kwa Sasa. Ila mnaogopa kupigwa maswali mkashindwa kujibu.
Waisrael wamelaaniwa hawawezi kukaa katika ardhi kwa amani, na kwa mujibu wa maelezo ya kitafiti ni kuwa waisrael wanauweusi flani hiviii sio pure white kama kina netanyahu.

Ila itachukua muda mrefu sana kwa wakristo wafuata upepo (mfano wako) kuufahamu ukweli!!!!
 
Israeli kama taifa wameamua kuubeba ubaya na kuuishi sidhani kama hilo ni jambo la mtu mmoja
You're delusional. Kuna watu wema kila mahali; wabaya vilevile.

Madhila yanayoendelea Israeli na Palestina, hawa wote wana sehemu ya kulaumiwa.
 
Ninajua wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa ulaya ya mashariki na kaskazini kujifanya wao ndo waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale...
Wala haihitaji kuwa muislamu kuona ushenzi wa hawa washenzi
Fuatana nami, uko ndani London town, wao ndio wana mtaa wao wa maduka ya usonara unaitwa Hatton Garden, unapeleka dhahabu au almasi au ruby yako, na unajua kabisa ina uzani kadhaa na thamani kadhaa, ufika duka la kwanza, wanaiangalia na kuipima, halafu wanakupa bei ya kimavimavi mpaka unataka kuwatukana.

Unaondoka hilo duka, ukidhani kuna maduka mengine utauuza, saa unatoka tu, ofisi nzima wananyayua simu kuwapigia maduka yote, kuwaambia kuna kichwa kipya kinauza madini fulani, lakini tumewapa hii bei kichaa, huu ni mfumo wao mtaa mzima wanashirikiana, kama ukitepeta tu unauza kwa hasara.

Huu mfumo ndio ulikuwa Germany miaka ya 19 kweusi, na ilikuwa sio tu kwa madini bali kila bidhaa, ndio sababu Heil Hitler the Fuhrer akaona isiwe tabu, choma moto hizi shenzi
 
Waisrael wamelaaniwa hawawezi kukaa katika ardhi kwa amani, na kwa mujibu wa maelezo ya kitafiti ni kuwa waisrael wanauweusi flani hiviii sio pure white kama kina netanyahu.

Ila itachukua muda mrefu sana kwa wakristo wafuata upepo (mfano wako) kuufahamu ukweli!!!!
Mwisraeli ni nani? Lugha, rangi, itikadi na imani, historia na chimbuko asilia au vyote kwa pamoja???
 
You're delusional. Kuna watu wema kila mahali; wabaya vilevile.

Madhila yanayoendelea Israeli na Palestina, hawa wote wana sehemu ya kulaumiwa.
Pengine ni kweli ila chanzo cha yote ni huyu mpuuzi Israel
 
You're delusional. Kuna watu wema kila mahali; wabaya vilevile.

Madhila yanayoendelea Israeli na Palestina, hawa wote wana sehemu ya kulaumiwa.
Pengine ni kweli ila chanzo cha yote ni huyu mpuuzi Israel
 
Kumbukumbu zinaniambia Palestina alishirikiana na Idd Amin kutuulia wanajeshi wetu kwenye vita vya Kagera bila kujali Tanzania inamuunga mkono kwenye mgogoro wake na Israel.
 
Wala haihitaji kuwa muislamu kuona ushenzi wa hawa washenzi
Fuatana nami, uko ndani London town, wao ndio wana mtaa wao wa maduka ya usonara unaitwa Hatton Garden, unapeleka dhahabu au almasi au ruby yako...
Labda kwa angle hiyo kila taifa inaweza kufanya ila kwa hili la kukaa kimabavu kwenye ya waliowakuta ( nisiseme wenyeji maana hata Palestina ni wavamizi) ni ushenzi walipaswa kuheshimu waliowakuta
 
Kumbukumbu zinaniambia Palestina alishirikiana na Idd Amin kutuulia wanajeshi wetu kwenye vita vya Kagera bila kujali Tanzania inamuunga mkono kwenye mgogoro wake na Israel.
Iwe kweli au isiwe kweli hatupaswi kuuchagua upande hasa wa Israel ambao nao Wana mabaya mengi sana kwa race zingine
 
Iwe kweli au isiwe kweli hatupaswi kuuchagua upande hasa wa Israel ambao nao Wana mabaya mengi sana kwa race zingine
Hatuchagui upande ila unapotaka kukemea uovu usichague uovu wa kukemea. Dhambi ni dhami haijalishi imefanywa na nani.
 
Hatuchagui upande ila unapotaka kukemea uovu usichague uovu wa kukemea. Dhambi ni dhami haijalishi imefanywa na nani.
Kwa kesi hii ya huu mgogoro je tubalansi stori?
 
Labda kwa angle hiyo kila taifa inaweza kufanya ila kwa hili la kukaa kimabavu kwenye ya waliowakuta ( nisiseme wenyeji maana hata Palestina ni wavamizi) ni ushenzi walipaswa kuheshimu waliowakuta
Ndio maana yangu hio
Wakiwa sehemu yeyeto, hivi ndio wanafanya, sasa kwa nchi za ulaya miaka ya 19 kweusi walishikilia uchumi na kuwafanya wazawa kuwa masikini wa kutupwa, fikiria ndio wangekuwa na nguvu ya kidola, wangekuwa wanachinja wazungu, ndio maana unaona mpaka leo nchi nyingi za ulaya mpaka US kuna vikundi vinavyopinga sana uwepo wao, sababu ya historia.

Sasa kwa mashariki ya kati, wana eneo lao kabisa, hapa ndio unao makucha yao halisi ya kinyama
 
walifika ulaya baada ya nchi yao kuvamiwa wakapelekwa ulaya kutumikishwa, hawakujiendea !

Roman Empire iliivamia Israel, waisrael walikamatwa kupelekwa ulaya kutumikishwa, walikuwa ugenini !!

haikuwa mara ya kwanza, waisrael waliwahi kupelekwa Misri kutumikishwa na baada ya miaka wakarudi kwenye nchi yao

Ule msikiti wa Al Aqsa uliojengwa kwa kubomoa hekalu la wayahudi nao utabomolewa, ni swala la muda tu.

Ni sawa na mji wa Mecca ubgevamiwa na wazungu kisha waarabu kupelekwa ulaya kutumikishwa, kwao sio ulaya bali ni Mecca na wana haki ya kurudisha sehemu zao za kuabudia ikiwa wazungu walibomoa misikiti wakajenga makanisa.
 
Ndio maana yangu hio
Wakiwa sehemu yeyeto, hivi ndio wanafanya, sasa kwa nchi za ulaya miaka ya 19 kweusi walishikilia uchumi na kuwafanya wazawa kuwa masikini wa kutupwa, fikiria ndio wangekuwa na nguvu ya kidola, wangekuwa wanachinja wazungu, ndio maana unaona mpaka leo nchi nyingi za ulaya mpaka US kuna vikundi vinavyopinga sana uwepo wao, sababu ya historia.
Sasa kwa mashariki ya kati, wana eneo lao kabisa, hapa ndio unao makucha yao halisi ya kinyama
Kwani hawa Wana tofauti gani na wazungu
 
hao unaowaita wazungu walifika ulaya kutumikishwa, hawakujiendea ! wakiwa ulaya walikuwa na status ya wakimbizi, wni wakimbizi wana kwao !!
Walitoka wapi na lini
 
Back
Top Bottom