Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Kwa uthibitisho upi kwamba hao waliopo Israeli siyo Waisraeli halisi?Na hao unaodhani ni halisi wako wapi?
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Those Zionists who identified themselves as Jews are impostors ...
..That state they have created with the help of the British is also a phony one....

So, it's normal for anyone with that little knowledge to feel like that.
 
Kwa vile wewe Mrundi tumekupa uraia, na kama ulienda US na kutotoa vifaranga
Pitia hiki kifungu cha sheria ya uraia
Sheria ya Uraia Sura ya 357 ya mwaka 1995 (R.E, 2002)
Mnanipa homework tena? Haya sawa
 
Huogopi kumchukia mtu ambaye hata hujawahi kukutana naye?

Ubaya wa mtu mmoja au wachache kamwe usikufanye uwachukie wasiohusika.

Israeli wana sababu zao za msingi, Wapalestina nao. Kitu cha msingi tuwatakie amani.
Mbona wewe unawachukia Ukraine??
 
Kihebrania wanachozungumza hao leo huko israel; kimetengenezwa upya kupitia Zionists project waliyoiita "kurevive Hebrew Language" miaka tu ya hivi karibuni. Walitumia Kiarabu kutengeneza upya hiyo lugha kwa kuwa wanaamini Kiarabu ni lugha iliyo close na Kihebrania. Kihebrania halisi walichozungumza Daudi na Suleiman siyo hiki cha leo. Kilipotea waliposambaa dunia nzima, ila walibaki na maneno machache ya hapa na pale.

unaweza kupata maelezo zaidi hapa:

Hizi ni porojo tu, huwezi kutengeneza lugha kama vile unatengeneza sambusa, wewe huoni Kingereza ambacho kipi tayari tayari kinatupa shida hivyo ndio itakuwa utengeneze lugha mpya kabisa
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Uipende usiipende taifa la Israel halipo pale kwa matamania ya mwanadamu au shetani.Hivyo kuichukia kwako hakubadilishi chochote kuhusu hatma ya taifa la Israel. Israel ni mpango kamili wa Mungu na ndiyo maana kwenye biblia walioiandika kwa zaidi ya asilimia 99% ni wayahudi.
Hata ungewachukia vipi wayahudi hatma ya Israel kibiblia ipo so clear kuwa haitotokea taifa lile kutoweka never ever. Kwenye dhiki ndiyo watapita lakini kutoweka sahau. Dhambi ndiyo ni watenda dhambi kama wanadamu wengine lakini still wanapotubia dhambi zao Mungu hawatupi.
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
wewe ni shetani na umejawa na shetani, kwasababu siku zote shetani ameichukia Israel. Pia, haujawahi kuisoma biblia, kama ni mkristo basi wa dini, ila sio wa kweli.
 
Waisrael wamelaaniwa hawawezi kukaa katika ardhi kwa amani, na kwa mujibu wa maelezo ya kitafiti ni kuwa waisrael wanauweusi flani hiviii sio pure white kama kina netanyahu.

Ila itachukua muda mrefu sana kwa wakristo wafuata upepo (mfano wako) kuufahamu ukweli!!!!
Wako wap hao wa israel wenye huo uweusi
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Shekh, kale nguruwe na maji mengi moyo utulie.
 
Kihebrania wanachozungumza hao leo huko israel; kimetengenezwa upya kupitia Zionists project waliyoiita "kurevive Hebrew Language" miaka tu ya hivi karibuni. Walitumia Kiarabu kutengeneza upya hiyo lugha kwa kuwa wanaamini Kiarabu ni lugha iliyo close na Kihebrania. Kihebrania halisi walichozungumza Daudi na Suleiman siyo hiki cha leo. Kilipotea waliposambaa dunia nzima, ila walibaki na maneno machache ya hapa na pale.

unaweza kupata maelezo zaidi hapa:

Hajialishi. Alimradi Netanyahu anapambana na magaidi yaliyoua ndugu zetu Joshua na Mollel, Mimi kama Mtanzania mzalendo namuunga mkono
 
Na wayahudi hao hao wanawaita nyie wakristu Wanaharamu na kila wanapokutana na wakristu huwatemea mate
Hajialishi. Alimradi Netanyahu anapambana na magaidi yaliyoua ndugu zetu Joshua na Mollel, Mimi kama Mtanzania mzalendo namuunga mkono
 
Unajua historia au unajifanya mkristo ili uongee ujinga wako kwanza unajua maana ya ukristo
 
Hajialishi. Alimradi Netanyahu anapambana na magaidi yaliyoua ndugu zetu Joshua na Mollel, Mimi kama Mtanzania mzalendo namuunga mkono
Na hapo hapo ndugu zenu pia waethiopia weusi wananyanyapaliwa wakati mwingine kuuawa wakikutwa na mahusiano na wazawa wa kizayuni
 
Back
Top Bottom