Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaisomi vyema Qur'an tukufu. Na hao wengine hawaisomi sawa sawa Biblia takatifu.Kwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe katika hoja nyingi unazoziwasilisha,
Sasa kwa bahati mbaya waislamu na wakristu wasiokuwa na akili pia wamaejinyima maarifa wanashindwa kukubali huu ukweli na kukumbatia chuki za kijinga tu kwa miendesho ya kidini
Hizi ndizo hadithi mnapeana uko masijid na mwishowe mnaenda kujilipua ili mkarithi bikira 72.Waisrael wamelaaniwa hawawezi kukaa katika ardhi kwa amani, na kwa mujibu wa maelezo ya kitafiti ni kuwa waisrael wanauweusi flani hiviii sio pure white kama kina netanyahu.
Ila itachukua muda mrefu sana kwa wakristo wafuata upepo (mfano wako) kuufahamu ukweli!!!!
🙏🙏🙏Weka namba yako ya Whatsapp nikutumie
Siyo mkiristo huyo ni Janjaweed.Utakuwa mkristo maamuma, you know nothing about Christianity.
Wengi wao wanakwenda vyuoni kusomeshwa ujingaBasi ni wajinga ni Heri wawe wapagani
Wabongo bhana 🙌 swali linajibiwa kwa swaliHuko USA vizazi vingapi vimekaa? Mfano halisi ni huu wa USA uliosema Kuna weusi wengi Wana vinasaba na mataifa ya Nigeria, Ghana na Senegali je bado unawafanya wao kuwa raia wa mataifa hayo?
Kureason utareason wewe maamuma tabolarasa usiyejua chanzo cha kweli cha historia ya huo ugomvi?Ndo washapotea hivyo, walikuwa wapi kabla ya vita ya pili ya Dunia?
Yaani nyie ndo target ambazo marekani na uingereza walizilenga, walijuwa tu pale hata wangeweka mbuzi na kuwaita Israeli mngekubaliana nao tu kwa kuwa mnaendeshwa na mihemko ya kidini bila ya kureason
Hongera kwa huo ukristo wako ambao unakutuma uutumie kujengs hoja zisizo na mashiko.Mimi ni mkristu wa kuzaliwa kuishi na kufa kwahiyo hiyo rejea ya na nafsi isikufanye ukatoka kwenye mantiki na lengo ni kukupa utimamu, hata Yesu alikuwa myahudi na aliwasema wayahudi kwa urejeo wa nafsi zao
Wachaga wana dini zao siyo hiyo uliyoitaja wewe. Hakuna aliyekasirika ila nakushangaa unapotumia ukristo kwenye hoja ambayo haihitaji ukristo."Dini za watu" akina nani? Wachaga?
Kusema Mimi mkristu ni kuwaonesha wakristu wenzangu sio wote wanaendeshwa na fikra jumuishi zisizo na mantiki...
Ni kama hapa ulivyokasirika kwa kuwa Israeli imeongelewa kwa kutopenda wewe, Ni kwanini umekasirika? Kwa sababu umuamvatanisha uisraeli na ukristu na wewe ni mkristu hivyo Israel ikiongelewa kinyume na fikra jumuishi unazoziishi unaumia, lakini kwa mkristu Mimi hiyo ni tofauti kwangu,😇
Nani anaye kuambia wa Palestine wa Islam hawana asili ya pale hao ndio wajukuu khalisi wa Yakobo ambao walifata mafunzo ya Yakobo sababu alikuwa mfata dini haswa mpaa akaitwa Israel.Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.
Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike
Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu
Ila Israeli siipendi jamani daah
Mungu wa wakristo nani dogo si Yesu au nimekosea 😄Ukiona hivyo ujue wewe ni mpagani mwenzetu, maana Mungu wa wakristo ni Mungu wa Israel hiyo iko wazi hata shetani anajua.
Kulingana na Mafundisho ya Warumi walisema hivyo ati na ikapita mpaka leoMungu wa wakristo nani dogo si Yesu au nimekosea 😄
Haya lete maelezo yako yenye ukweli kuhusu race ya waisrael halisi!Hizi ndizo hadithi mnapeana uko masijid na mwishowe mnaenda kujilipua ili mkarithi bikira 72.
Eti wamelaani hizo ngano.
Wapo wanaotaabika Ethiopia ya leo!Wako wap hao wa israel wenye huo uweusi
Hebu nipe wewe hiyo historyKureason utareason wewe maamuma tabolarasa usiyejua chanzo cha kweli cha historia ya huo ugomvi?
Hujui hata jews walikuwa wapi before, unapelekeshwa tu kimaamuma oooh wayahudi nawachukia sana...
Wewe ndo yule ambaye yuko tayari kuvalishwa mabomu ukaue watu kwa ahadi ya pepo ya mabikira 72 na mito ya pombe