Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Sikiliza hii video toka kwa muislam mwenzao ndiyo utajua kuwa haujui kitu kuhusu Taqqya ya waislamu

View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1806352928485044266
 
Sio waisrael wote wabaya just kiikundi cha kihuni kutoka Europe huko ndio kinachotaka ile ardhi (Zionists) wakiongozwa na shetan wenzao the rothchilds
 
Wewe mtu ujaribugi kujielimisha. Waislamu wakiongozwa na waarabu wao ni mabigwa wa propaganda za uongo, inaitwa Taqqya kama haujui. Israel ni Democracy ambapo kila jamii na watu wa dini yeyote wanakubaliwa kuishi. Wapo Waislamu waarabu, wapo Bedouin wapo Druze na wapo wasioabudu mungu (atheists). Idadi ya wakristo israel imekuwa ikiongezeka mpaka sasa hivi inafika kama laki 3.
Upande wa pili kule palestine manyanyaso kwa wakristo yamefanya jamii hiyo iendelee kupungua. West bank population ni 3 mil na wakristo ni kama 60,000. Kule Gaza population ni about 2mil, wakati wakristo ni chini ya 1 000.
Ile nchi ilikuwa ya Wayahudi; lakini hatuwezi pingana na matokeo ya historia ya mwanadamu hivyo kwa sasa inakubalika iwe nchi ya wayahudi, wakristo, waislamu, mabedouin na Druze. Jiulize iwapo israel ina waislam wapatao milioni 3, je kuna myahudi yeyote huko kwa Wapalestina? Jibu ni Zero. Hata nchi za kiarabu kama syria, yemeni, saudia na kwingine waliwafukuza wayahudi. Waisrael nyakati zote kuanzia miaka kabla ya 1948 lilipoundwa Taifa la sasa la Israel wayahudi walikubali kuishi na Waislamu lakini Waislamu wakakataa. Wewe unajua kuwa Mufti wa Jerusalem alimtembelea Hitler na Wakakubaliana kuwa wawafutilie mbali wayahudi pale israel? Ndg. Nyuma ya pazia ya hiyo vita wanayopigana Wapalestina dhidi ya waisrael ni chuki za uislamu dhidi ya wayahudi, ambapo hawaishii hapo wanauendeleza chuki hiyo hata kwa wewe mkristo. Zinduka
Huenda unayoongea yote ni kweli
Swali langu Israel ilikuwa wapi kabla ya 1947?
Kwanini wasiheshimu mabadiliko ya ulimwengu kuwa wao si wamiliki wa hiyo ardhi kwa wakati huu hadi kutawala kwa bunduki?
 
Huenda unayoongea yote ni kweli
Swali langu Israel ilikuwa wapi kabla ya 1947?
Kwanini wasiheshimu mabadiliko ya ulimwengu kuwa wao si wamiliki wa hiyo ardhi kwa wakati huu hadi kutawala kwa bunduki?
Taifa la Israel lilikuwepo tangu hata kabla ya Yesu kuja. Waroma baada ya kuwapiga wayahudi mwaka wa 70AD, kwa chuki zao kwa Taifa hilo walipapa Jina Palestine. Wakati huo hakukuwa na Mwarabu hata mmoja. Wayahudi wengi walipelekwa uhamishoni lakini wachache walibaki na wengine walifamikiwa kukimbilia mataifa ya karibu ya Urarabuni ndiyo maana hata wakati mtume yupo kulikuwa na wayahudi kule Madina. Mtume naye aliua wayahudi wengi huko madina kwenye ile vita wanaiita Khaybar 627 AD.
Mwaka wa 638 Waislam wali amia Jerusalem Wakiongozwa na Abu Ubaydah. Uvamizi huu ulifikia mwisho wakati wa vita ya wakristo kuikomboa Jerusalem mwaka 1,100 AD. Lakini Tena wavamizi wa kiislam wakiongozwa na Ottoman Empire Waliichukua nchi hiyo pamoja na maeneo ya jirani ya Jordan na Syria. Uvamizi huo wa waislam ulifikia tamati wakati wa vita kuu ya kwanza, kwani Ottoman Empire walikuwa washirika wa Ujerumani. United Nations League iliyakabidhi maeneo hayo kwa Uingereza ikiyaita “British Mandate for Palestine” kwa kuendeleza Jina walilokuwa wamelitokeza
Huenda unayoongea yote ni kweli
Swali langu Israel ilikuwa wapi kabla ya 1947?
Kwanini wasiheshimu mabadiliko ya ulimwengu kuwa wao si wamiliki wa hiyo ardhi kwa wakati huu hadi kutawala kwa bunduki?
Sikiliza, israel imekuwepo tangu hata Yesu hajaja Duniani. In fact bible na hata Quran yenu inatambua kwa hiyo nchi wamepewa wana wa Israeli (Quran 5:21-22). Waisraeli wamekuwa na historia ya kupelekwa utumwani, lakini baadae Mungu anawarudisha nchini kwao. Mara ya kwanza Nebukadneza mfalme wa Bibiloni aliwapeleka utumwani mwaka wa 607 BCE hatimaye mungu aliwarudisha baada ya miaka 70 kama alivyoahidi. Wakati Yesu yupo waisraeli wote zile kabila 12 zilikuwa kwenye nchi yao. Baada ya Yesu kurudi mbinguni, mwaka wa 70 Waroma waliteka Jerusalem, wakaua Waisraeli wengi na wengine wakawapeleka utumwani. Hata hivyo, wako baadhi ambao walitii Agizo la Yesu ktk Luka 21:21 kukimbilia milimani walipona na kuendelea kuishi hapo. Licha ya kuwapeleka utumwani Waisraeli, Taifa la Roma likaendelea kuitawala Israel. Kutokana na chuki zao kwa Wayahudi wakadhamilia kuipoteza kabisa Israel hivyo wakaita eneo hilo ya Nchi Takatifu PALESTINE. PALESTINE ILIJUMUISHA KUSINI MWA SYRIA, SAMARIA NA JUDEA PAMOJA NA JORDAN.
Vile vile Biblia ktk Luka 21:24 ilitabiri kuwa Jerusalem lingekaliwa na watu wa Mataifa kwa muda fulani na hatimaye likarudishwa kwao muda utakapotimia.
Waisraeli waliendelea kufanikiwa kimaisha na kibiashara hata waliweza kuwa wakazi wenye ushawishi kwenye nchi nyingi za kiarabu ikiwa ni pamoja na Madina.
Mohammad alipokuja aliendesha kampeni ya kuwaua wayahudi kule Madina mwaka 627 AD ktika vita Khaybar.
Vile vile baada ya Mohammed kufa Khalifa wake anayeitwa Umar walivamia Jerusalem 638AD na kuliteka jiji hilo na kulikalia mpaka 1099AD, ambapo walishindwa vita na Christian Crusaders.
Utawala wakristo haukudumu muda mrefu kwa mwaka 1,500 waislamu wakiongozwa na Ottoman Empire waliyachukua tena maeneo hayo na kuyakalia. Utawala wa Ottoman ulifikia tamati wakati vita ya kwanza ya Dunia ilipoisha. Ottoman akiwa mshirika wa Wajerumani alinyang'anywa makoloni yake yote, kama ambavyo Mjerumani alinyang'anywa Tanganyika. The league of Nations wakati huo ikawapatia Uingereza dhamana ya kuyatawala maeneo hayo( British Mandate for Palestine). NB Palestine lilikuwa ndiyo jina waroma waliwasikilizisha watu. Kwa wakati huo sasa hiyo nchi ilikuwa na jamii tofautitofauti (wayahudi, waislam, mabedui, samaritan, Druze) wote hao wakajulikanika kama wapalestine. Kama tulivyo sisi watanzania lakini kuna jamii tofautitofauti na kabila mbali mbali. Wakati wa vita ya kwanza ya Dunia na vita ya pili jambo lingine likatokea. Wayahudi walipata manyanyaso ktk nchi walizokuwa wamehamia na hasa nchi za waarabu ziliwafukuza wayahudi wengi ambao iliwabidi wakumbuke nchi yao ya ahadi wakarudi huko palestine. Wayahudi hawa siyo kwamba walirudi na kuanzisha vita ya kuwapokonya wenyeji ardhi yao, badala yake walinunua ardhi hiyo. Waislamu kama kawaida yao ya chuki waliyojazwa na Quran yao, historia inaonyesha walianza kuwaua wayahudi ndani ya nchi takatifu. Kwa taarifa yako Quran inawaelekeza Waislamu kuua wayahudi na wakristo. Ipo siku watakuchinja na wewe. League of Nations wakaona isiwe tabu. Ikapitisha Azimio mwaka 1947 wa kuigawa the holy land kuwa: Jewish Palestine, Arab Palestine na kulifanya Jerusalem liwe Jiji la Kimataifa kwa Watu wa imani zote. Waarabu walikataa. Wayahudi ndiyo wakajitangazia Taifa lao mwaka 14 May, 1948 katika eneo walilopewa na Azimio la Umoja wa Mataifa. Kwakuwa sasa wenzao waarabu walikataa, wayahudi wakaliita Taifa Lao Israel badala ya Jewish Palestine. Siku inayofuata Mataifa ya Kiarabu yote unayoyajua wakaanzisha vita na Taifa hili changa na kwakuwa walikuwa na uhakika kabisa wa kushinda vita hiyo, waliwaambia waarabu wenzao waliokuwa wakiishi upande ambapo lingekuwa taifa la Jewish Palestine waondoke kupisha kazi yao ya kuangamiza kila myahudi. Maskini Miislamu hii haikujua kuwa Biblia iliisha tabiri kuwa siku za mwisho taifa hilo la Israel litasimama tena!! Vita hiyo nchi za kiarabuzilishindwa na taifa la Israel likasimama tena kama ilivyotabiriwa ktk Luka 21:24
Ambacho hujui ni kuwa waarabu waliobaki upande wa israel waliendelea kuishi na kustawi huko wakiwa na Haki sawa, mpka tunavyoongea hivi, kati ya population ya Israel ya 10 milioni waarabu hao wamefika kama 3milioni. Upande wa pili kule Gaza na West Bank wayahudi waliuawa na wengine kukimbia. Sasa hivi hakuna myahudi hata mmoja.
Taifa la Palestina la sasa ni kazi ya KGB ya Soviet Union ambapo mwaka wa 1964 wakimtumia Mmisri Yasser Arafat walibuni taifa hilo, ili kujipa uhalali wa nchi ya Israel. Hata ukiwauliza mnajiitaje Wapalestina wakati kwenu nyinyi waarabu hata hiyo herufi P haimo kwenye lugha yenu. Hata bendera yao walichukua bendera ya Jordan na kuondoa tu ile nyota.
Kiujumla Waislamu ndiyo wenye chuki na wayahudi kutokana na mafundisho ya Quran yao, kumbuka the same chuki watawamalizia na wakristo baada ya kumalizana na israel. Wanachofanya waislam ni kuwatanguliza mbele wapalestina ili kuupa sura vita hiyo kuwa ni ya kisiasa kati ya oppressors (israel) na oppressed (Palestinians) ili kupata uungwaji mkono toka mataifa ya kikomunisti na mataifa yaliyotawaliwa na nchi za magharibi.
Hapa chini nakuwekea video ya the former Israeli Prime Minister Golda Meir ambaye Ingawa ni Mjewish alibeba passport ya Palestine na video ya pili ni waarabu wenyewe wanaoonyesha kuwa hii vita ni ya Dini ya Kiislamu kutaka kuangsmiza wayahudi


View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1806352928485044266
 
walifika ulaya baada ya nchi yao kuvamiwa wakapelekwa ulaya kutumikishwa, hawakujiendea !

Roman Empire iliivamia Israel, waisrael walikamatwa kupelekwa ulaya kutumikishwa, walikuwa ugenini !!

haikuwa mara ya kwanza, waisrael waliwahi kupelekwa Misri kutumikishwa na baada ya miaka wakarudi kwenye nchi yao

Ule msikiti wa Al Aqsa uliojengwa kwa kubomoa hekalu la wayahudi nao utabomolewa, ni swala la muda tu.

Ni sawa na mji wa Mecca ubgevamiwa na wazungu kisha waarabu kupelekwa ulaya kutumikishwa, kwao sio ulaya bali ni Mecca na wana haki ya kurudisha sehemu zao za kuabudia ikiwa wazungu walibomoa misikiti wakajenga makanisa.
Hujui historia wapi imeandikwa wayahudi walipelekwa utumwani ulaya, tofautisha Imani na ukweli, Kama hujui Kuna wayahudi kabila na wayahudi wa kiimamani au watu wanaosapoti Imani ya kiyahudi, pale Israel umeshafanya utafiti hata wa DNA ilikujilizisha kuwa ni wayahudi
 
Taifa la Israel lilikuwepo tangu hata kabla ya Yesu kuja. Waroma baada ya kuwapiga wayahudi mwaka wa 70AD, kwa chuki zao kwa Taifa hilo walipapa Jina Palestine. Wakati huo hakukuwa na Mwarabu hata mmoja. Wayahudi wengi walipelekwa uhamishoni lakini wachache walibaki na wengine walifamikiwa kukimbilia mataifa ya karibu ya Urarabuni ndiyo maana hata wakati mtume yupo kulikuwa na wayahudi kule Madina. Mtume naye aliua wayahudi wengi huko madina kwenye ile vita wanaiita Khaybar 627 AD.
Mwaka wa 638 Waislam wali amia Jerusalem Wakiongozwa na Abu Ubaydah. Uvamizi huu ulifikia mwisho wakati wa vita ya wakristo kuikomboa Jerusalem mwaka 1,100 AD. Lakini Tena wavamizi wa kiislam wakiongozwa na Ottoman Empire Waliichukua nchi hiyo pamoja na maeneo ya jirani ya Jordan na Syria. Uvamizi huo wa waislam ulifikia tamati wakati wa vita kuu ya kwanza, kwani Ottoman Empire walikuwa washirika wa Ujerumani. United Nations League iliyakabidhi maeneo hayo kwa Uingereza ikiyaita “British Mandate for Palestine” kwa kuendeleza Jina walilokuwa wamelitokeza

Sikiliza, israel imekuwepo tangu hata Yesu hajaja Duniani. In fact bible na hata Quran yenu inatambua kwa hiyo nchi wamepewa wana wa Israeli (Quran 5:21-22). Waisraeli wamekuwa na historia ya kupelekwa utumwani, lakini baadae Mungu anawarudisha nchini kwao. Mara ya kwanza Nebukadneza mfalme wa Bibiloni aliwapeleka utumwani mwaka wa 607 BCE hatimaye mungu aliwarudisha baada ya miaka 70 kama alivyoahidi. Wakati Yesu yupo waisraeli wote zile kabila 12 zilikuwa kwenye nchi yao. Baada ya Yesu kurudi mbinguni, mwaka wa 70 Waroma waliteka Jerusalem, wakaua Waisraeli wengi na wengine wakawapeleka utumwani. Hata hivyo, wako baadhi ambao walitii Agizo la Yesu ktk Luka 21:21 kukimbilia milimani walipona na kuendelea kuishi hapo. Licha ya kuwapeleka utumwani Waisraeli, Taifa la Roma likaendelea kuitawala Israel. Kutokana na chuki zao kwa Wayahudi wakadhamilia kuipoteza kabisa Israel hivyo wakaita eneo hilo ya Nchi Takatifu PALESTINE. PALESTINE ILIJUMUISHA KUSINI MWA SYRIA, SAMARIA NA JUDEA PAMOJA NA JORDAN.
Vile vile Biblia ktk Luka 21:24 ilitabiri kuwa Jerusalem lingekaliwa na watu wa Mataifa kwa muda fulani na hatimaye likarudishwa kwao muda utakapotimia.
Waisraeli waliendelea kufanikiwa kimaisha na kibiashara hata waliweza kuwa wakazi wenye ushawishi kwenye nchi nyingi za kiarabu ikiwa ni pamoja na Madina.
Mohammad alipokuja aliendesha kampeni ya kuwaua wayahudi kule Madina mwaka 627 AD ktika vita Khaybar.
Vile vile baada ya Mohammed kufa Khalifa wake anayeitwa Umar walivamia Jerusalem 638AD na kuliteka jiji hilo na kulikalia mpaka 1099AD, ambapo walishindwa vita na Christian Crusaders.
Utawala wakristo haukudumu muda mrefu kwa mwaka 1,500 waislamu wakiongozwa na Ottoman Empire waliyachukua tena maeneo hayo na kuyakalia. Utawala wa Ottoman ulifikia tamati wakati vita ya kwanza ya Dunia ilipoisha. Ottoman akiwa mshirika wa Wajerumani alinyang'anywa makoloni yake yote, kama ambavyo Mjerumani alinyang'anywa Tanganyika. The league of Nations wakati huo ikawapatia Uingereza dhamana ya kuyatawala maeneo hayo( British Mandate for Palestine). NB Palestine lilikuwa ndiyo jina waroma waliwasikilizisha watu. Kwa wakati huo sasa hiyo nchi ilikuwa na jamii tofautitofauti (wayahudi, waislam, mabedui, samaritan, Druze) wote hao wakajulikanika kama wapalestine. Kama tulivyo sisi watanzania lakini kuna jamii tofautitofauti na kabila mbali mbali. Wakati wa vita ya kwanza ya Dunia na vita ya pili jambo lingine likatokea. Wayahudi walipata manyanyaso ktk nchi walizokuwa wamehamia na hasa nchi za waarabu ziliwafukuza wayahudi wengi ambao iliwabidi wakumbuke nchi yao ya ahadi wakarudi huko palestine. Wayahudi hawa siyo kwamba walirudi na kuanzisha vita ya kuwapokonya wenyeji ardhi yao, badala yake walinunua ardhi hiyo. Waislamu kama kawaida yao ya chuki waliyojazwa na Quran yao, historia inaonyesha walianza kuwaua wayahudi ndani ya nchi takatifu. Kwa taarifa yako Quran inawaelekeza Waislamu kuua wayahudi na wakristo. Ipo siku watakuchinja na wewe. League of Nations wakaona isiwe tabu. Ikapitisha Azimio mwaka 1947 wa kuigawa the holy land kuwa: Jewish Palestine, Arab Palestine na kulifanya Jerusalem liwe Jiji la Kimataifa kwa Watu wa imani zote. Waarabu walikataa. Wayahudi ndiyo wakajitangazia Taifa lao mwaka 14 May, 1948 katika eneo walilopewa na Azimio la Umoja wa Mataifa. Kwakuwa sasa wenzao waarabu walikataa, wayahudi wakaliita Taifa Lao Israel badala ya Jewish Palestine. Siku inayofuata Mataifa ya Kiarabu yote unayoyajua wakaanzisha vita na Taifa hili changa na kwakuwa walikuwa na uhakika kabisa wa kushinda vita hiyo, waliwaambia waarabu wenzao waliokuwa wakiishi upande ambapo lingekuwa taifa la Jewish Palestine waondoke kupisha kazi yao ya kuangamiza kila myahudi. Maskini Miislamu hii haikujua kuwa Biblia iliisha tabiri kuwa siku za mwisho taifa hilo la Israel litasimama tena!! Vita hiyo nchi za kiarabuzilishindwa na taifa la Israel likasimama tena kama ilivyotabiriwa ktk Luka 21:24
Ambacho hujui ni kuwa waarabu waliobaki upande wa israel waliendelea kuishi na kustawi huko wakiwa na Haki sawa, mpka tunavyoongea hivi, kati ya population ya Israel ya 10 milioni waarabu hao wamefika kama 3milioni. Upande wa pili kule Gaza na West Bank wayahudi waliuawa na wengine kukimbia. Sasa hivi hakuna myahudi hata mmoja.
Taifa la Palestina la sasa ni kazi ya KGB ya Soviet Union ambapo mwaka wa 1964 wakimtumia Mmisri Yasser Arafat walibuni taifa hilo, ili kujipa uhalali wa nchi ya Israel. Hata ukiwauliza mnajiitaje Wapalestina wakati kwenu nyinyi waarabu hata hiyo herufi P haimo kwenye lugha yenu. Hata bendera yao walichukua bendera ya Jordan na kuondoa tu ile nyota.
Kiujumla Waislamu ndiyo wenye chuki na wayahudi kutokana na mafundisho ya Quran yao, kumbuka the same chuki watawamalizia na wakristo baada ya kumalizana na israel. Wanachofanya waislam ni kuwatanguliza mbele wapalestina ili kuupa sura vita hiyo kuwa ni ya kisiasa kati ya oppressors (israel) na oppressed (Palestinians) ili kupata uungwaji mkono toka mataifa ya kikomunisti na mataifa yaliyotawaliwa na nchi za magharibi.
Hapa chini nakuwekea video ya the former Israeli Prime Minister Golda Meir ambaye Ingawa ni Mjewish alibeba passport ya Palestine na video ya pili ni waarabu wenyewe wanaoonyesha kuwa hii vita ni ya Dini ya Kiislamu kutaka kuangsmiza wayahudi
View attachment 3030799

View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1806352928485044266

Hapa ninaona porojo nyingi tu,
Ottoman empire iliipora byzantine empire miliki ya Konstantinopoli utawala na hadi leo inaimiliki je ni sahihi kwa sasa wagiriki kusema Turkmenistan na ugiriki na wanapaswa kurejeshewa?

Vipi kuhusu hawa waarabu wa misri waliowaua watu wa kemet na Nubia na kuchukua ardhi ya Africa kaskazini mashariki, je wanapaswa kuirejesha hiyo ardhi
Hata hivyo hakuna sehemu yoyote katika historia inayotusimamisha wayahudi walienda ulaya baada ya kufukuzwa na WARoma ni propaganda tu
 
Isihaka alikuwa na watoto 2

1) Yakobo
2) Esau

Yakobo ndio ameza waisrael ni sawa

Esau kizazi chake ni akina nani?
na wanaishi wapi?

jibu watoto wa Esau ndio waparestina
 
Taifa la Israel lilikuwepo tangu hata kabla ya Yesu kuja. Waroma baada ya kuwapiga wayahudi mwaka wa 70AD, kwa chuki zao kwa Taifa hilo walipapa Jina Palestine. Wakati huo hakukuwa na Mwarabu hata mmoja. Wayahudi wengi walipelekwa uhamishoni lakini wachache walibaki na wengine walifamikiwa kukimbilia mataifa ya karibu ya Urarabuni ndiyo maana hata wakati mtume yupo kulikuwa na wayahudi kule Madina. Mtume naye aliua wayahudi wengi huko madina kwenye ile vita wanaiita Khaybar 627 AD.
Mwaka wa 638 Waislam wali amia Jerusalem Wakiongozwa na Abu Ubaydah. Uvamizi huu ulifikia mwisho wakati wa vita ya wakristo kuikomboa Jerusalem mwaka 1,100 AD. Lakini Tena wavamizi wa kiislam wakiongozwa na Ottoman Empire Waliichukua nchi hiyo pamoja na maeneo ya jirani ya Jordan na Syria. Uvamizi huo wa waislam ulifikia tamati wakati wa vita kuu ya kwanza, kwani Ottoman Empire walikuwa washirika wa Ujerumani. United Nations League iliyakabidhi maeneo hayo kwa Uingereza ikiyaita “British Mandate for Palestine” kwa kuendeleza Jina walilokuwa wamelitokeza

Sikiliza, israel imekuwepo tangu hata Yesu hajaja Duniani. In fact bible na hata Quran yenu inatambua kwa hiyo nchi wamepewa wana wa Israeli (Quran 5:21-22). Waisraeli wamekuwa na historia ya kupelekwa utumwani, lakini baadae Mungu anawarudisha nchini kwao. Mara ya kwanza Nebukadneza mfalme wa Bibiloni aliwapeleka utumwani mwaka wa 607 BCE hatimaye mungu aliwarudisha baada ya miaka 70 kama alivyoahidi. Wakati Yesu yupo waisraeli wote zile kabila 12 zilikuwa kwenye nchi yao. Baada ya Yesu kurudi mbinguni, mwaka wa 70 Waroma waliteka Jerusalem, wakaua Waisraeli wengi na wengine wakawapeleka utumwani. Hata hivyo, wako baadhi ambao walitii Agizo la Yesu ktk Luka 21:21 kukimbilia milimani walipona na kuendelea kuishi hapo. Licha ya kuwapeleka utumwani Waisraeli, Taifa la Roma likaendelea kuitawala Israel. Kutokana na chuki zao kwa Wayahudi wakadhamilia kuipoteza kabisa Israel hivyo wakaita eneo hilo ya Nchi Takatifu PALESTINE. PALESTINE ILIJUMUISHA KUSINI MWA SYRIA, SAMARIA NA JUDEA PAMOJA NA JORDAN.
Vile vile Biblia ktk Luka 21:24 ilitabiri kuwa Jerusalem lingekaliwa na watu wa Mataifa kwa muda fulani na hatimaye likarudishwa kwao muda utakapotimia.
Waisraeli waliendelea kufanikiwa kimaisha na kibiashara hata waliweza kuwa wakazi wenye ushawishi kwenye nchi nyingi za kiarabu ikiwa ni pamoja na Madina.
Mohammad alipokuja aliendesha kampeni ya kuwaua wayahudi kule Madina mwaka 627 AD ktika vita Khaybar.
Vile vile baada ya Mohammed kufa Khalifa wake anayeitwa Umar walivamia Jerusalem 638AD na kuliteka jiji hilo na kulikalia mpaka 1099AD, ambapo walishindwa vita na Christian Crusaders.
Utawala wakristo haukudumu muda mrefu kwa mwaka 1,500 waislamu wakiongozwa na Ottoman Empire waliyachukua tena maeneo hayo na kuyakalia. Utawala wa Ottoman ulifikia tamati wakati vita ya kwanza ya Dunia ilipoisha. Ottoman akiwa mshirika wa Wajerumani alinyang'anywa makoloni yake yote, kama ambavyo Mjerumani alinyang'anywa Tanganyika. The league of Nations wakati huo ikawapatia Uingereza dhamana ya kuyatawala maeneo hayo( British Mandate for Palestine). NB Palestine lilikuwa ndiyo jina waroma waliwasikilizisha watu. Kwa wakati huo sasa hiyo nchi ilikuwa na jamii tofautitofauti (wayahudi, waislam, mabedui, samaritan, Druze) wote hao wakajulikanika kama wapalestine. Kama tulivyo sisi watanzania lakini kuna jamii tofautitofauti na kabila mbali mbali. Wakati wa vita ya kwanza ya Dunia na vita ya pili jambo lingine likatokea. Wayahudi walipata manyanyaso ktk nchi walizokuwa wamehamia na hasa nchi za waarabu ziliwafukuza wayahudi wengi ambao iliwabidi wakumbuke nchi yao ya ahadi wakarudi huko palestine. Wayahudi hawa siyo kwamba walirudi na kuanzisha vita ya kuwapokonya wenyeji ardhi yao, badala yake walinunua ardhi hiyo. Waislamu kama kawaida yao ya chuki waliyojazwa na Quran yao, historia inaonyesha walianza kuwaua wayahudi ndani ya nchi takatifu. Kwa taarifa yako Quran inawaelekeza Waislamu kuua wayahudi na wakristo. Ipo siku watakuchinja na wewe. League of Nations wakaona isiwe tabu. Ikapitisha Azimio mwaka 1947 wa kuigawa the holy land kuwa: Jewish Palestine, Arab Palestine na kulifanya Jerusalem liwe Jiji la Kimataifa kwa Watu wa imani zote. Waarabu walikataa. Wayahudi ndiyo wakajitangazia Taifa lao mwaka 14 May, 1948 katika eneo walilopewa na Azimio la Umoja wa Mataifa. Kwakuwa sasa wenzao waarabu walikataa, wayahudi wakaliita Taifa Lao Israel badala ya Jewish Palestine. Siku inayofuata Mataifa ya Kiarabu yote unayoyajua wakaanzisha vita na Taifa hili changa na kwakuwa walikuwa na uhakika kabisa wa kushinda vita hiyo, waliwaambia waarabu wenzao waliokuwa wakiishi upande ambapo lingekuwa taifa la Jewish Palestine waondoke kupisha kazi yao ya kuangamiza kila myahudi. Maskini Miislamu hii haikujua kuwa Biblia iliisha tabiri kuwa siku za mwisho taifa hilo la Israel litasimama tena!! Vita hiyo nchi za kiarabuzilishindwa na taifa la Israel likasimama tena kama ilivyotabiriwa ktk Luka 21:24
Ambacho hujui ni kuwa waarabu waliobaki upande wa israel waliendelea kuishi na kustawi huko wakiwa na Haki sawa, mpka tunavyoongea hivi, kati ya population ya Israel ya 10 milioni waarabu hao wamefika kama 3milioni. Upande wa pili kule Gaza na West Bank wayahudi waliuawa na wengine kukimbia. Sasa hivi hakuna myahudi hata mmoja.
Taifa la Palestina la sasa ni kazi ya KGB ya Soviet Union ambapo mwaka wa 1964 wakimtumia Mmisri Yasser Arafat walibuni taifa hilo, ili kujipa uhalali wa nchi ya Israel. Hata ukiwauliza mnajiitaje Wapalestina wakati kwenu nyinyi waarabu hata hiyo herufi P haimo kwenye lugha yenu. Hata bendera yao walichukua bendera ya Jordan na kuondoa tu ile nyota.
Kiujumla Waislamu ndiyo wenye chuki na wayahudi kutokana na mafundisho ya Quran yao, kumbuka the same chuki watawamalizia na wakristo baada ya kumalizana na israel. Wanachofanya waislam ni kuwatanguliza mbele wapalestina ili kuupa sura vita hiyo kuwa ni ya kisiasa kati ya oppressors (israel) na oppressed (Palestinians) ili kupata uungwaji mkono toka mataifa ya kikomunisti na mataifa yaliyotawaliwa na nchi za magharibi.
Hapa chini nakuwekea video ya the former Israeli Prime Minister Golda Meir ambaye Ingawa ni Mjewish alibeba passport ya Palestine na video ya pili ni waarabu wenyewe wanaoonyesha kuwa hii vita ni ya Dini ya Kiislamu kutaka kuangsmiza wayahudi
View attachment 3030799

View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1806352928485044266

Naomba unijibu hili swali

Isiaka alikuwa na watoto 2

Yakobo na Esau

Yakobo ndio ameza waisrael

Esau amezaa kabila gani?

Na hicho kizazi Kwa Sasa kinaishi wapi?
 
Taifa la Israel lilikuwepo tangu hata kabla ya Yesu kuja. Waroma baada ya kuwapiga wayahudi mwaka wa 70AD, kwa chuki zao kwa Taifa hilo walipapa Jina Palestine. Wakati huo hakukuwa na Mwarabu hata mmoja. Wayahudi wengi walipelekwa uhamishoni lakini wachache walibaki na wengine walifamikiwa kukimbilia mataifa ya karibu ya Urarabuni ndiyo maana hata wakati mtume yupo kulikuwa na wayahudi kule Madina. Mtume naye aliua wayahudi wengi huko madina kwenye ile vita wanaiita Khaybar 627 AD.
Mwaka wa 638 Waislam wali amia Jerusalem Wakiongozwa na Abu Ubaydah. Uvamizi huu ulifikia mwisho wakati wa vita ya wakristo kuikomboa Jerusalem mwaka 1,100 AD. Lakini Tena wavamizi wa kiislam wakiongozwa na Ottoman Empire Waliichukua nchi hiyo pamoja na maeneo ya jirani ya Jordan na Syria. Uvamizi huo wa waislam ulifikia tamati wakati wa vita kuu ya kwanza, kwani Ottoman Empire walikuwa washirika wa Ujerumani. United Nations League iliyakabidhi maeneo hayo kwa Uingereza ikiyaita “British Mandate for Palestine” kwa kuendeleza Jina walilokuwa wamelitokeza

Sikiliza, israel imekuwepo tangu hata Yesu hajaja Duniani. In fact bible na hata Quran yenu inatambua kwa hiyo nchi wamepewa wana wa Israeli (Quran 5:21-22). Waisraeli wamekuwa na historia ya kupelekwa utumwani, lakini baadae Mungu anawarudisha nchini kwao. Mara ya kwanza Nebukadneza mfalme wa Bibiloni aliwapeleka utumwani mwaka wa 607 BCE hatimaye mungu aliwarudisha baada ya miaka 70 kama alivyoahidi. Wakati Yesu yupo waisraeli wote zile kabila 12 zilikuwa kwenye nchi yao. Baada ya Yesu kurudi mbinguni, mwaka wa 70 Waroma waliteka Jerusalem, wakaua Waisraeli wengi na wengine wakawapeleka utumwani. Hata hivyo, wako baadhi ambao walitii Agizo la Yesu ktk Luka 21:21 kukimbilia milimani walipona na kuendelea kuishi hapo. Licha ya kuwapeleka utumwani Waisraeli, Taifa la Roma likaendelea kuitawala Israel. Kutokana na chuki zao kwa Wayahudi wakadhamilia kuipoteza kabisa Israel hivyo wakaita eneo hilo ya Nchi Takatifu PALESTINE. PALESTINE ILIJUMUISHA KUSINI MWA SYRIA, SAMARIA NA JUDEA PAMOJA NA JORDAN.
Vile vile Biblia ktk Luka 21:24 ilitabiri kuwa Jerusalem lingekaliwa na watu wa Mataifa kwa muda fulani na hatimaye likarudishwa kwao muda utakapotimia.
Waisraeli waliendelea kufanikiwa kimaisha na kibiashara hata waliweza kuwa wakazi wenye ushawishi kwenye nchi nyingi za kiarabu ikiwa ni pamoja na Madina.
Mohammad alipokuja aliendesha kampeni ya kuwaua wayahudi kule Madina mwaka 627 AD ktika vita Khaybar.
Vile vile baada ya Mohammed kufa Khalifa wake anayeitwa Umar walivamia Jerusalem 638AD na kuliteka jiji hilo na kulikalia mpaka 1099AD, ambapo walishindwa vita na Christian Crusaders.
Utawala wakristo haukudumu muda mrefu kwa mwaka 1,500 waislamu wakiongozwa na Ottoman Empire waliyachukua tena maeneo hayo na kuyakalia. Utawala wa Ottoman ulifikia tamati wakati vita ya kwanza ya Dunia ilipoisha. Ottoman akiwa mshirika wa Wajerumani alinyang'anywa makoloni yake yote, kama ambavyo Mjerumani alinyang'anywa Tanganyika. The league of Nations wakati huo ikawapatia Uingereza dhamana ya kuyatawala maeneo hayo( British Mandate for Palestine). NB Palestine lilikuwa ndiyo jina waroma waliwasikilizisha watu. Kwa wakati huo sasa hiyo nchi ilikuwa na jamii tofautitofauti (wayahudi, waislam, mabedui, samaritan, Druze) wote hao wakajulikanika kama wapalestine. Kama tulivyo sisi watanzania lakini kuna jamii tofautitofauti na kabila mbali mbali. Wakati wa vita ya kwanza ya Dunia na vita ya pili jambo lingine likatokea. Wayahudi walipata manyanyaso ktk nchi walizokuwa wamehamia na hasa nchi za waarabu ziliwafukuza wayahudi wengi ambao iliwabidi wakumbuke nchi yao ya ahadi wakarudi huko palestine. Wayahudi hawa siyo kwamba walirudi na kuanzisha vita ya kuwapokonya wenyeji ardhi yao, badala yake walinunua ardhi hiyo. Waislamu kama kawaida yao ya chuki waliyojazwa na Quran yao, historia inaonyesha walianza kuwaua wayahudi ndani ya nchi takatifu. Kwa taarifa yako Quran inawaelekeza Waislamu kuua wayahudi na wakristo. Ipo siku watakuchinja na wewe. League of Nations wakaona isiwe tabu. Ikapitisha Azimio mwaka 1947 wa kuigawa the holy land kuwa: Jewish Palestine, Arab Palestine na kulifanya Jerusalem liwe Jiji la Kimataifa kwa Watu wa imani zote. Waarabu walikataa. Wayahudi ndiyo wakajitangazia Taifa lao mwaka 14 May, 1948 katika eneo walilopewa na Azimio la Umoja wa Mataifa. Kwakuwa sasa wenzao waarabu walikataa, wayahudi wakaliita Taifa Lao Israel badala ya Jewish Palestine. Siku inayofuata Mataifa ya Kiarabu yote unayoyajua wakaanzisha vita na Taifa hili changa na kwakuwa walikuwa na uhakika kabisa wa kushinda vita hiyo, waliwaambia waarabu wenzao waliokuwa wakiishi upande ambapo lingekuwa taifa la Jewish Palestine waondoke kupisha kazi yao ya kuangamiza kila myahudi. Maskini Miislamu hii haikujua kuwa Biblia iliisha tabiri kuwa siku za mwisho taifa hilo la Israel litasimama tena!! Vita hiyo nchi za kiarabuzilishindwa na taifa la Israel likasimama tena kama ilivyotabiriwa ktk Luka 21:24
Ambacho hujui ni kuwa waarabu waliobaki upande wa israel waliendelea kuishi na kustawi huko wakiwa na Haki sawa, mpka tunavyoongea hivi, kati ya population ya Israel ya 10 milioni waarabu hao wamefika kama 3milioni. Upande wa pili kule Gaza na West Bank wayahudi waliuawa na wengine kukimbia. Sasa hivi hakuna myahudi hata mmoja.
Taifa la Palestina la sasa ni kazi ya KGB ya Soviet Union ambapo mwaka wa 1964 wakimtumia Mmisri Yasser Arafat walibuni taifa hilo, ili kujipa uhalali wa nchi ya Israel. Hata ukiwauliza mnajiitaje Wapalestina wakati kwenu nyinyi waarabu hata hiyo herufi P haimo kwenye lugha yenu. Hata bendera yao walichukua bendera ya Jordan na kuondoa tu ile nyota.
Kiujumla Waislamu ndiyo wenye chuki na wayahudi kutokana na mafundisho ya Quran yao, kumbuka the same chuki watawamalizia na wakristo baada ya kumalizana na israel. Wanachofanya waislam ni kuwatanguliza mbele wapalestina ili kuupa sura vita hiyo kuwa ni ya kisiasa kati ya oppressors (israel) na oppressed (Palestinians) ili kupata uungwaji mkono toka mataifa ya kikomunisti na mataifa yaliyotawaliwa na nchi za magharibi.
Hapa chini nakuwekea video ya the former Israeli Prime Minister Golda Meir ambaye Ingawa ni Mjewish alibeba passport ya Palestine na video ya pili ni waarabu wenyewe wanaoonyesha kuwa hii vita ni ya Dini ya Kiislamu kutaka kuangsmiza wayahudi
View attachment 3030799

View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1806352928485044266

Naomba unijibu hili swali

Isiaka alikuwa na watoto 2

Yakobo na Esau

Yakobo ndio ameza waisrael

Esau amezaa kabila gani?

Na hicho kizazi Kwa Sasa kinaishi wapi?
 
Hawa watu jamii yoyote isiyo yao sio binadamu Kamil kwao.nashangaa Kuna wakristo wajinga wanaona kuwa hili ni taifa la Mungu wakati wanafanya kila kufuru.
 
Mungu wa Israel anaitwa
''BWANA WA VITA''
Ndilo jina lake na ameapa kuwapigania Israel milele.

Kwa mkristo asiyeitakia amani Israel bado hajui

Kuna wimbi la''wakristo koko" mitandaoni hasa jf, wanajiita Wakirsto hali sio.
Wanaibua na kuleta mijadara mbalimbali kwa lengo la kuupinga ukristo, jihadharini nao hao ndugu zangu wana jiefu.
Hawa Hawa waisrael ambao wamehalalisha mambo ya kufuru kama ushoga?kuweni na akili.Mimi ni mkristo lakini nauhakika Hawa sio taifa la Mungu tena kwa mambo wanayoyafanya.
 
Mkristo yeyoye anayeichukia Israel amelaaniwa,kanisa lolote linaloichukia Israel nalo limelaaniwa.
Biblia iko wazi sana,Israel ni ardhi ya Mungu,kile ndio kiwanja chake hapa duniani,Israel wamewekwa pale wakilimde tu na kukitunza.Wakati wa uyawala wa miala 1000 duniani, Bwana atakaa Israel,na mataifa yote yatakuwa yakienda pale kumwabudu.
Huo ndo ukweli,kama ukichulia na wewe unajiita Mkristo,hilo ni tatizo lako.
Mkristo yoyote anayeiona hii Israel ni taifa la Mungu ni mjinga.taifa la Mungu haliwezi kufuata talmunism na kuruhusu mambo ya ushoga na makufuru Mengi.Israel mpya ni watu wanaomfuata bwana wa Israel Yesu.
 
Mkristo yeyoye anayeichukia Israel amelaaniwa,kanisa lolote linaloichukia Israel nalo limelaaniwa.
Biblia iko wazi sana,Israel ni ardhi ya Mungu,kile ndio kiwanja chake hapa duniani,Israel wamewekwa pale wakilimde tu na kukitunza.Wakati wa uyawala wa miala 1000 duniani, Bwana atakaa Israel,na mataifa yote yatakuwa yakienda pale kumwabudu.
Huo ndo ukweli,kama ukichulia na wewe unajiita Mkristo,hilo ni tatizo lako.
Watu wenye mafunzo ya namna hii huwezi Kuwaita taifa la Mungu.jielimishe kuhusu hiLi jambo.Israel ya Mungu siyo hii aisee.
 

Attachments

  • Screenshot_20240703-105028_Chrome.jpg
    Screenshot_20240703-105028_Chrome.jpg
    831 KB · Views: 1
Sio waisrael wote wabaya just kiikundi cha kihuni kutoka Europe huko ndio kinachotaka ile ardhi (Zionists) wakiongozwa na shetan wenzao the rothchilds
Sure na huo ndiyo ukweli.
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
kwanini uchikie taifa teule la mungu?
 
Hujui historia wapi imeandikwa wayahudi walipelekwa utumwani ulaya, tofautisha Imani na ukweli, Kama hujui Kuna wayahudi kabila na wayahudi wa kiimamani au watu wanaosapoti Imani ya kiyahudi, pale Israel umeshafanya utafiti hata wa DNA ilikujilizisha kuwa ni wayahudi
Kichało hadi mwisho ndiyo kitawafungua akili zenu za kudanganywa na yule shetani mkubwa kabisa-Allah
 
Back
Top Bottom