Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Uwe kristo usiwe kristo yote sawa tu. Swali. Kwanini watu wakisema wale siyo waisrael na hamsemi waisrael ni kina nani na wapo wapi kwa Sasa?.na wakati wapi walikua wapi?. Maana ni Kama mnamaanisha waisrael hawapo duniani kwa Sasa. Ila mnaogopa kupigwa maswali mkashindwa kujibu.

Israeli si Taifa ni watu
 
Mungu wa Israel anaitwa
''BWANA WA VITA''
Ndilo jina lake na ameapa kuwapigania Israel milele.

Kwa mkristo asiyeitakia amani Israel bado hajui

Kuna wimbi la''wakristo koko" mitandaoni hasa jf, wanajiita Wakirsto hali sio.
Wanaibua na kuleta mijadara mbalimbali kwa lengo la kuupinga ukristo, jihadharini nao hao ndugu zangu wana jiefu.

Ulisoma biblia ipi inayosema Mungu atawapigania waisraeli ? kwani lini ilianza hiyo nchi ya Israeli ??
 
Israel wanafanya sawa, wanasahihisha makosa ya kihistoria yaliywafanya kwenda uhamishoni. Kwa sasa wanarudisha kilicho chao.
Katika mambo ambayo marekani na uingereza wamefanikiwa ni kuifumba Dunia juu ya hawa waisraeli bandia
 
Kwa fikra yangu yenye mipaka pure ethnicities haziwezi kuwepo Karne na Karne.

Mfano mdogo tu hapa Tanzania tuna miaka 60 tu ila katika makabila 120 tuliyoambiwa yalikuwepo Kuna baadhi yameanza kupoteza au yamepoteza utambulisho wake kutokana na muingiliano na jamii nyingine Sasa sembuse Israel ambayo ilikuwa kitu cha ustaarabu na shughuli za kiuchumi?
Unafikiri jamii ambayo ni kubwa inaweza kutoweka kirahisi hivyo mkuu?. Kama vita tu ya Hitler aliwauwa zaidi ya milioni sita miaka 80 tu iliyopita. Je nirahisi kizazi kitpotee kwa Miaka michache hivyo?
 
Kwa fikra yangu yenye mipaka pure ethnicities haziwezi kuwepo Karne na Karne.

Mfano mdogo tu hapa Tanzania tuna miaka 60 tu ila katika makabila 120 tuliyoambiwa yalikuwepo Kuna baadhi yameanza kupoteza au yamepoteza utambulisho wake kutokana na muingiliano na jamii nyingine Sasa sembuse Israel ambayo ilikuwa kitu cha ustaarabu na shughuli za kiuchumi?
Kwa hili tu ungekua na akili usingeandika hii post, kwa uelewa wako afu unakuja kutuaminisha. Jibu maswali uliyoulizwa wanaisrael wamepotelea wapi?
 
Mkristo yeyoye anayeichukia Israel amelaaniwa,kanisa lolote linaloichukia Israel nalo limelaaniwa.
Biblia iko wazi sana,Israel ni ardhi ya Mungu,kile ndio kiwanja chake hapa duniani,Israel wamewekwa pale wakilimde tu na kukitunza.Wakati wa uyawala wa miala 1000 duniani, Bwana atakaa Israel,na mataifa yote yatakuwa yakienda pale kumwabudu.
Huo ndo ukweli,kama ukichulia na wewe unajiita Mkristo,hilo ni tatizo lako.
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Huna ukristo wowote wewe, wewe ni maalimu wa msikiti wa Manzese
 
Unafikiri jamii ambayo ni kubwa inaweza kutoweka kirahisi hivyo mkuu?. Kama vita tu ya Hitler aliwauwa zaidi ya milioni sita miaka 80 tu iliyopita. Je nirahisi kizazi kitpotee kwa Miaka michache hivyo?
Hizo ni assumptions tu kwamba watu wakiamua kuchukulia jamii fulani wajiite Israel lakini ukweli ni Israel doesn't exist
 
Bado watu wengi hawana ufahamu kuhusu Arabs, Islam, Israel, Palestine, Iran, Russia, world wars, Saudis, Christianity, China, hii ndio kete ambayo wazungu wanatumia kutawala Dunia.
Mmoja kati ya watu 20000 ndiyo ana ufahamu huu
 
Bado watu wengi hawana ufahamu kuhusu Arabs, Islam, Israel, Palestine, Iran, Russia, world wars, Saudis, Christianity, China, hii ndio kete ambayo wazungu wanatumia kutawala Dunia.
Mmoja kati ya watu 20000 ndiyo ana ufahamu huu
 
Mkristo yeyoye anayeichukia Israel amelaaniwa,kanisa lolote linaloichukia Israel nalo limelaaniwa.
Biblia iko wazi sana,Israel ni ardhi ya Mungu,kile ndio kiwanja chake hapa duniani,Israel wamewekwa pale wakilimde tu na kukitunza.Wakati wa uyawala wa miala 1000 duniani, Bwana atakaa Israel,na mataifa yote yatakuwa yakienda pale kumwabudu.
Huo ndo ukweli,kama ukichulia na wewe unajiita Mkristo,hilo ni tatizo lako.
Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii na ambaye huwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwake . . . Tazama! Nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.” (Mathayo 23:37, 38)

Maneno ya Yesu yalitimizwa mwaka wa 70 W.K., wakati majeshi ya Roma yalipoharibu Yerusalemu pamoja na hekalu na ukuhani wake.
 
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta pale.

Eti wanajinasibu wao ndo wazawa wa ardhi ile kisa wanaongea Kiebrania na kutenda tamaduni za kiyahudi, mchezo wa kitoto sana huu, basi tu kwa kuwa mungu wao marekani ana hela ila natamani leo kesho wasambaratike

Shida ni moja kuhusu Wapalestina wamejinasibisha wao wapo upande wa Uarabuni na Uislamu, ninafahamu Palestina ina wakristu wengi kuliko Israeli ila hawana sauti wala nafasi alawakbalu ni nyingi sana kuliko diplomasia na mataifa ya ulimwengu

Ila Israeli siipendi jamani daah
Wewe mtu ujaribugi kujielimisha. Waislamu wakiongozwa na waarabu wao ni mabigwa wa propaganda za uongo, inaitwa Taqqya kama haujui. Israel ni Democracy ambapo kila jamii na watu wa dini yeyote wanakubaliwa kuishi. Wapo Waislamu waarabu, wapo Bedouin wapo Druze na wapo wasioabudu mungu (atheists). Idadi ya wakristo israel imekuwa ikiongezeka mpaka sasa hivi inafika kama laki 3.
Upande wa pili kule palestine manyanyaso kwa wakristo yamefanya jamii hiyo iendelee kupungua. West bank population ni 3 mil na wakristo ni kama 60,000. Kule Gaza population ni about 2mil, wakati wakristo ni chini ya 1 000.
Ile nchi ilikuwa ya Wayahudi; lakini hatuwezi pingana na matokeo ya historia ya mwanadamu hivyo kwa sasa inakubalika iwe nchi ya wayahudi, wakristo, waislamu, mabedouin na Druze. Jiulize iwapo israel ina waislam wapatao milioni 3, je kuna myahudi yeyote huko kwa Wapalestina? Jibu ni Zero. Hata nchi za kiarabu kama syria, yemeni, saudia na kwingine waliwafukuza wayahudi. Waisrael nyakati zote kuanzia miaka kabla ya 1948 lilipoundwa Taifa la sasa la Israel wayahudi walikubali kuishi na Waislamu lakini Waislamu wakakataa. Wewe unajua kuwa Mufti wa Jerusalem alimtembelea Hitler na Wakakubaliana kuwa wawafutilie mbali wayahudi pale israel? Ndg. Nyuma ya pazia ya hiyo vita wanayopigana Wapalestina dhidi ya waisrael ni chuki za uislamu dhidi ya wayahudi, ambapo hawaishii hapo wanauendeleza chuki hiyo hata kwa wewe mkristo. Zinduka
 
Back
Top Bottom