Naacha kabisa Siasa

Naacha kabisa Siasa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Baada ya kutafakari kwa kina .nimeamua kuacha kabisa na siasa.
1. Nimesikiliza na nimesoma historia ya siasa ktk vitabu na nimewaikiliza wanahistoria nimegundua madaraka matamu, kumuondoa mtu ktk madaraka mtu ni kazi kubwa sana na unahitaji kujitoa muhanga
2. Nimehundua pia unaweza kuwa chawa mkubwa wa siasa ktk chama tawala duniani mwisho ukaangukia papaya. Ref Kambona na walioshiriki harakati mbali mbali za kuzikomboa nchi kisiasa lkn mwisho wa siku maisha ya wakageuka

Nimeamua kukaa pembeni kisiasa.
Nimegundua ktk siasa kosa ndogo linawza kukupoteza kabisa kwa sababu alieshika madaraka anaona madaraka kwake matamu
Alieshika madaraka hamuogopi mungu ili kulinda madaraka yake. Kwanini nifikie huko?
 
Baada ya kutafakari kwa kina .nimeamua kuacha kabisa na siasa.
1. Nimesikiliza na nimesoma historia ya siasa ktk vitabu na nimewaikiliza wanahistoria nimegundua madaraka matamu, kumuondoa mtu ktk madaraka mtu ni kazi kubwa sana na unahitaji kujitoa muhanga
2. Nimehundua pia unaweza kuwa chawa mkubwa wa siasa ktk chama tawala duniani mwisho ukaangukia papaya. Ref Kambona na walioshiriki harakati mbali mbali za kuzikomboa nchi kisiasa lkn mwisho wa siku maisha ya wakageuka

Nimeamua kukaa pembeni kisiasa
Chadema mpaka msema
 
Ch
Baada ya kutafakari kwa kina .nimeamua kuacha kabisa na siasa.
1. Nimesikiliza na nimesoma historia ya siasa ktk vitabu na nimewaikiliza wanahistoria nimegundua madaraka matamu, kumuondoa mtu ktk madaraka mtu ni kazi kubwa sana na unahitaji kujitoa muhanga
2. Nimehundua pia unaweza kuwa chawa mkubwa wa siasa ktk chama tawala duniani mwisho ukaangukia papaya. Ref Kambona na walioshiriki harakati mbali mbali za kuzikomboa nchi kisiasa lkn mwisho wa siku maisha ya wakageuka

Nimeamua kukaa pembeni kisiasa
chawa umechelewa sana kugundua hilo. Tupiganie katiba mpya
 
Baada ya kutafakari kwa kina .nimeamua kuacha kabisa na siasa.
1. Nimesikiliza na nimesoma historia ya siasa ktk vitabu na nimewaikiliza wanahistoria nimegundua madaraka matamu, kumuondoa mtu ktk madaraka mtu ni kazi kubwa sana na unahitaji kujitoa muhanga
2. Nimehundua pia unaweza kuwa chawa mkubwa wa siasa ktk chama tawala duniani mwisho ukaangukia papaya. Ref Kambona na walioshiriki harakati mbali mbali za kuzikomboa nchi kisiasa lkn mwisho wa siku maisha ya wakageuka

Nimeamua kukaa pembeni kisiasa
Siasa mchezo mchafu ndio maana inaitwa sii haaasaaa
 
Baada ya kutafakari kwa kina .nimeamua kuacha kabisa na siasa.
1. Nimesikiliza na nimesoma historia ya siasa ktk vitabu na nimewaikiliza wanahistoria nimegundua madaraka matamu, kumuondoa mtu ktk madaraka mtu ni kazi kubwa sana na unahitaji kujitoa muhanga
2. Nimehundua pia unaweza kuwa chawa mkubwa wa siasa ktk chama tawala duniani mwisho ukaangukia papaya. Ref Kambona na walioshiriki harakati mbali mbali za kuzikomboa nchi kisiasa lkn mwisho wa siku maisha ya wakageuka

Nimeamua kukaa pembeni kisiasa
Siasa mchezo mchafu ndio maana inaitwa sii haaasaaa
 
Siku ukiacha mambo ya dini na udini utakuwa mtu poa sana, hizo siasa unazosingizia hazina maana yoyote
 
Back
Top Bottom