Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
- Thread starter
- #81
Najitahidi ila nashindwa dadaZingatia sasa siyo unashukuru huku tayari ushaupigia mchepuko muonane[emoji3] [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najitahidi ila nashindwa dadaZingatia sasa siyo unashukuru huku tayari ushaupigia mchepuko muonane[emoji3] [emoji3]
Thanks
Sihitaji prediction wala probability kama huna ushauri ni bora ukae kimyaHapo kuna mawili tu
1.mke wako anajua nyendo zako yupo kimya kwasababu naye kuna sehemu anajipoozea hasira.na hili possibility yake ni kubwa zaidi
2.kama hajajua bado siku akijua ndo itakuwa mwisho wa hizo sifa zake nzuri.
Maybe,labda mazingira aliyokuwapo na uchumi wake wakati ule pia ulimpunguzia selection chances.Hahahaaa nahisi mtumishi pale aliangalia elimu na maadili sura hakuangalia
Kila strong man deserves family pa1 na mapungufu yangu but nina haki ya kuwa na mke eventhough nahitaji tafakari
Chunga kabisa
Acha zinaa hata kuikurubia sisi waislam tumekatazwa
Mkuu wewe ni muislam?
Kama sio basi wewe fanya tu na ole wako kama kuna mtu alifika kwako na akakuambia dini pekee mbele ya Allah ni usilam...
Ila kama alifika na ameshakufikishia na umepinga
Basi wewe zini na kila aina ya mwanamke hakika ya pepo yako ni hii dunia....
Kkaa chini na tafakari kisha mpende mkeo
Ki dunia sasa
Si vizuri kufanya hivyo kwani na wewe utafanyiwa kwa aidha mkeo mtoto wako au ndugu zako wengine
Amua Kwa nia ya dhati kabisa, utaweza tuu.Najitahidi ila nashindwa dada
Eeee bana hili ni janga kubwa sanaRelax haupo peke yako mwenye tabia kama hizo
jitahidi uwe msiri
Ukiona mwanamke anachepuka ujue hana furaha.Hata mkeo ni msiri saana
Amshirikishe mkewe kwamba anachepuka sio?? Ili nae aanze kuchepuka?? Umeoa mkuu??Mkuu njia uliyotumia awali kwa miaka 3 ukafanikiwa kutokuchepuka itumie hiyohiyo sawa, ila ukishindwa bado mshirikishe mkeo atakushauri ucjal maana ninyi ni mwili mmoja..
Yaani hata Wewe 😀😀😀. Mnahitaji maombiEeee bana hili ni janga kubwa sana
Aibu nimeona mimi🙊🙊🙊🙈🙈🙈🙈🙈Hahaha ingekuwa hivyo ulivyosema msingekuwa na uwezo wa kuhendo wanawake saba kwa mpigo
No! Mimi naona trend tu ya vijana!Yaani hata Wewe 😀😀😀. Mnahitaji maombi
Mzee relax, tulia mkuu utapata ushauri muruaNaomba ushauri nifanyaje unajua najichukia kwa hili
LaaaaahaulaaaaaHata sijui maana mimi pia nipo kama wewe
Wewe mwenyewe mgeni sio??🤣🤣🤣🤣🤣Hata sijui
Dada wa kimasai, umeolewa??kila kitu ni kuamua tu
yaani leo ukiamua naanza kunywa pombe unakunywa tu..ukiamua kuacha unaacha tu.
ukiamua kuendelea unaendelea tu
hivi unashindwaje kukontrol nafsi na maisha yako mpaka kufikiria oooh nina mke sijui nini
wewe amua wewe kama weww kama unatom...aaaana mpaka kipungue kama penseli gongana tu...siku ukisema imetosha imetosha
mi naamini maisha yako ni wewe mwwnyewe kuamua tu
Ni shidaNo! Mimi naona trend tu ya vijana!