Naachaje kuchepuka ?

Naachaje kuchepuka ?

Hapo kuna mawili tu
1.mke wako anajua nyendo zako yupo kimya kwasababu naye kuna sehemu anajipoozea hasira.na hili possibility yake ni kubwa zaidi
2.kama hajajua bado siku akijua ndo itakuwa mwisho wa hizo sifa zake nzuri.
 
Hapo kuna mawili tu
1.mke wako anajua nyendo zako yupo kimya kwasababu naye kuna sehemu anajipoozea hasira.na hili possibility yake ni kubwa zaidi
2.kama hajajua bado siku akijua ndo itakuwa mwisho wa hizo sifa zake nzuri.
Sihitaji prediction wala probability kama huna ushauri ni bora ukae kimya
 
Ukitaka kuacha hiyo tabia..subiri siku moja UFUMANIWE red handed,trust me kitakachokukuta Hata hutohitaji ushauri wa kuacha hiyo tabia yako.
 
Kila strong man deserves family pa1 na mapungufu yangu but nina haki ya kuwa na mke eventhough nahitaji tafakari

Firat sio haki hiyo ni choice...u can choose to have u can choose not to have
 
Chunga kabisa
Acha zinaa hata kuikurubia sisi waislam tumekatazwa


Mkuu wewe ni muislam?
Kama sio basi wewe fanya tu na ole wako kama kuna mtu alifika kwako na akakuambia dini pekee mbele ya Allah ni usilam...


Ila kama alifika na ameshakufikishia na umepinga
Basi wewe zini na kila aina ya mwanamke hakika ya pepo yako ni hii dunia....

Kkaa chini na tafakari kisha mpende mkeo

Ki dunia sasa
Si vizuri kufanya hivyo kwani na wewe utafanyiwa kwa aidha mkeo mtoto wako au ndugu zako wengine

Hivi dini ina uhusiano gani na biological reactions za mwili wa mnyama who happens to be a human being?
 
Mkuu njia uliyotumia awali kwa miaka 3 ukafanikiwa kutokuchepuka itumie hiyohiyo sawa, ila ukishindwa bado mshirikishe mkeo atakushauri ucjal maana ninyi ni mwili mmoja..
Amshirikishe mkewe kwamba anachepuka sio?? Ili nae aanze kuchepuka?? Umeoa mkuu??
 
kila kitu ni kuamua tu
yaani leo ukiamua naanza kunywa pombe unakunywa tu..ukiamua kuacha unaacha tu.
ukiamua kuendelea unaendelea tu
hivi unashindwaje kukontrol nafsi na maisha yako mpaka kufikiria oooh nina mke sijui nini

wewe amua wewe kama weww kama unatom...aaaana mpaka kipungue kama penseli gongana tu...siku ukisema imetosha imetosha
mi naamini maisha yako ni wewe mwwnyewe kuamua tu
Dada wa kimasai, umeolewa??
 
Back
Top Bottom