Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Tuliwaambia msimfananishe magufuli na vitu vya kijinga mkabisha sasa mafisadi yameingia tena ikulu tuone kama watawasikiliza ,Kile ninacho kiona ni hali zenu za mwisho zitakuwa mbaya kuliko za mwanzo
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Were mwenyewe hujawahi kuandandamana halafu unalaumu wengine kwanini hawaandamani! Pumbavu! Nenda unakoenda. Tanzania itabaki!
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Safari njema boss wangu!
 
technically Usichukulie Siasa za Tz kwa nguvu zako zote na kujilipua kwa kujitoa mhanga...utaumia sana kwa maana hata wanaoitwa viongozi hawako serious na hizi siasa pia.

Asilimia kubwa ya wanasiasa bila kujali chama, wako kilingeni kwa ajili ya kutafuta maslahi yao.
Anayefanya siasa za kweli ni mwananchi wa kawaida ambaye naye anategemea maslahi bora kutoka kwa mwasiasa feki.

Hivyo mkuu relax ziangalie hizi siasa kwa mtizamo tofauti.
 
😎😎😎 umesahau kuwa tumerithi nizamu ya woga Toka kwa wazazi wetu tangu enzi za mwalimu, tuna nyanyaswa na kivuli Cha aman, thus why people fear to organize maandamano,
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Pole sana kawasalimie
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.

Unasomeka mkuu. Yaonesha ulidhani njia hii ni nyepesi.

Kwamba kama wewe hukuandamana katika lolote moja kati ya hayo, haiyumkiniki ulitegemea wengine wafanye hivyo wala si wewe.

Njia hii ni ngumu yenye mateso mengi. Mbowe angekuwa nyumbani kwake na wanawe leo kwa kuchukua uamuzi kama wako tu, wa kuachana na hii mambo.


Heri kuwa baridi kuliko kuwa vuguvugu. Kama ni urahisi tu, kujiuzulu au hata kuunga mkono juhudi inaweza kuwa muafaka zaidi kwako.

Safari hii tumedhamiria kuwa na wenye nia tu kuliko kuwa na marefu ya wasiokuwa na guts.

Pumzika kwa amani Mkuu tutaonana baadaye.
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Siasa inamuhusu kila mtu, naifanye kwa uzalendo wa nchi yako bila kuisababishia matatizo, hivyo usikate tamaa, na ukiacha wajinga watachukua nafasi ya kukuongoza mambo yatakuwa mabaya zaidi.....
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
mie nafikiri ungeanza kuandamana na wengine wangekufuata.
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Tuna matatizo makubwa mkuu.Ukiona taasisi kubwa kama za dini,taasisi za kiraia na wasomi wapo kimya haswa hata kwenye suala la Katiba basi ujuwe siyo Mbowe tu aliyeko gerezani bali watanzania tulio wengi ukiachana na wanufaika wa mfumo.

 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Ukitaka kufurahia siasa za Tanzania usiwe na chama. Epuka kuwa msukule wa mtu yeyote!!!
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Pole. Walau sasa unaanza kuelewa maana halisi ya kauli ya JPM ya maendeleo hayana vyama.

We unadhani maendeleo yako binafsi atakuletea mwanasiasa? Wa CCM au Chadema? Wao wenyewe wanafight kwa ajili ya matumbo yao na watoto wao wenyewe.

Ila kitu kitakachokuweka huru na ukawa huru kweli kweli ni kuijua Kweli. Na kweli ni kwamba kama kila mmoja wetu angefanya bidii kujielimisha mwenyewe, kujiletea maendeleo yake mwenyewe usingekubali kudanganywa na mwanasiasa yeyote kutoka chama chochote kwamba ukimchagua yeye atakuletea maendeleo.

Pia Kweli nyingine ni kwamba usipoijenga nchi yako kwa mikono yako mwenyewe hakuna mjomba atakayekuja kukujengea nchi yako ikiwemo na nyumba yako.

Tungeifahamu Kweli hiyo tusingetumia muda mwingi kugombana sisi kwa sisi au kushtakiana kwa wamarekani.

Tungeijua Kweli hiyo tungefanya mambo kitofauti na tungewajibishana kitofauti.

Kwa kupitia Kweli hiyo tungeshangaa kuona kwamba maana halisi ya Demokrasia ni kujadiliana namna gani bora ya kujenga nyumba yetu ya pamoja iwe imara na bora zaidi.

Hata namna ya uwasilishaji wa hoja kinzani, ikiwemo kukubaliana kutokubaliana, ingekuwa tofauti kabisa.

Umechelewa sana kuitambua hiyo Kweli lakini karibu sasa tuijenge nchi yetu bila makandokando ya siasa na wanasiasa.
 
Back
Top Bottom