Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

Mkuu umesahau kitu kimoja kikubwa sana ambacho ukikifanyia kazi nina uhakika hutofikiria kwenda nchi nyingine... Kwakuwa umeshatambua kuwa sisi watanzania ni 'waoga' na 'wanafiki' wa kutupwa basi we pambana kupata 'chance' kwenye huo 'mfumo tawala' ili ule mema ya nchi.

Trust me ukiwa kwenye huo 'mfumo' we tunyooshe tu watz, kwasababu mwisho wa siku hata utufanye nini tutaishia 'kuongea' tu, maana ndio tunachokiweza.
 
Mbaya zaidi siasa ndiyo hatma ya jambo lolote ulifanyalo maishani kwako. Wanao, wajukuu na hata kizazi chako kijacho siasa hii inawahusu - nakushauri komaa tu hadi hapo nchi itakapokuwa inaamulikuwa kwa kura za almost fifty fifty kwenye maamuzi ya mustakabali wa nchi yako.

Leo hii watu wasiozidi 6 tu wanajifungia na wanaamua hatima ya taifa lako - hii ni mbaya saana... simama uhesabiwe - siasa haikwepeki ni kukomaa nayo hadi hapo Bunge litakapokuwa la kidemokrasia - na Rais wa nchi apatikane ki-demokrasia na mahakama kuwa chombo huru ambacho hakitariport kwa mtu mmoja.
 
Hapana usijitoe kijana wa Bavicha ila kinachotakiwa usitolee macho siasa za Bongo mpaka kukubali kufa ama kwenda jela,kwasababu wananchi bado wamelala na viongozi wa upinzani wanafika bei pia,fanya siasa za upinzani ili kuishtua chama tawala ili isijisahau sana.
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Kamanda Pole sana! Sisi tulinyang'anywa Ushindi wa John Mnyika Mwaka 2005 kwa Charles Keenja kutangazwa kwa Nguvu na hakuna aliyeandamana. Toka muda huo nikaachana na hayo mambo! Shida hayo yote uliyoyasema yanavishwa Nguo ya AMANI.
 
kuandamana, kuandamana, kuandamana. kwa uono wako maandamano ndio suluhisho la matatizo yote uliyoorodhesha.
 
Mkuu kwa muda nilikuwa nataka kuandika mada kama hii lakini umeniandikia kabisa
TATIZO SIO CCM WALA VIONGOZI
TATIZO NI WATANZANIA AMBAO NADIRIKI KUWAITA WAPUMBAVU
NAAM WATANZANIA NI WAPUMBAVU
 
Tatizo ni mwenge ...unaharibu fahamu za watanzania wengi hawaelewi hili
Ni jambo la kiroho
CCM itatawala sana
Inatoa elimu mbovu Kwa Wananchi wake huku ikijua kabisa haiwezi kuwakwamua
kwenye karne hii na Wananchi wanaangalia tu
Wameharibiwa fahamu zao
 
Mkuu umesahau kitu kimoja kikubwa sana ambacho ukikifanyia kazi nina uhakika hutofikiria kwenda nchi nyingine... Kwakuwa umeshatambua kuwa sisi watanzania ni 'waoga' na 'wanafiki' wa kutupwa basi we pambana kupata 'chance' kwenye huo 'mfumo tawala' ili ule mema ya nchi.

Trust me ukiwa kwenye huo 'mfumo' we tunyooshe tu watz, kwasababu mwisho wa siku hata utufanye nini tutaishia 'kuongea' tu, maana ndio tunachokiweza.
Ongezea na kuwaongezea followers akina Shangazi ili wapige hela zaidi kutoka kwa hao wanaowafadhili! Leo hii Sarungi na Karume ndiyo waongoza harakati za CDM na watu wanawaamini!!!! Lolote likitokea hao watu mfumo huu huu wanaoutukana utawalinda
 
Mkuu sikushauli ufanye ulicho kiandika kumbuka weledi ni wachache wajinga ni wengi kumbuka haya yanayotupata sasa hata mwalim yalimkuta kipindi hicho anausaka UHURU wajinga walimbeza nahata kumlaan wakisema wewe mzanaki unatuhalibia maisha hakukata tamaa alisonga mbere hata sisi tusikate tamaa watanzania wengi hawazijui haki zao hata ukiwaambia habari ya katiba hawajui wengine mpaka Leo wanajua nyerere yupo hajafa Tusikate tamaa Tusonge Mbere Mbowe watamuachia hawana kesi ya kumfunga tukaze mwendo kamanda Tunataka KATIBA MPYA NA TUME HURU,
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Nimecheka baada ya Heading.

Karibu.. MMU
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwanda waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Kidogo kidogo tutaelewana! Hongera kwa kujitambua, bado Tundu Lissu
 
Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida.

Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni mfumo ulisimikwa na sisi wananchi wenyewe.

Kumbe tatizo ni sisi sio Marais wa CCM.

Naumia sana juu ya taifa langu naona litachelewa kwa sababu ya mfumo huu tuliojiwekea na kuulea sisi wenyewe.

Nimegundua Marais hawajawai kuwa na tatizo katika nchi hii.

Nimegundua CCM haijawai kuwa na tatizo katika nchi hii tatizo ni sisi wenyewe.

Kwamba Akwilina alipigwa risasi hata wanafunzi tu wa chuo chake wakashindwa hata kuandamana?

Mawazo aliuwawa kihuni wafuasi wa chadema Geita wakashindwa hata kuandamana?

Mwangosi na Gwa
ukome kiranga,swine!
waliuwawa wahandishi wa habari wakashindwa kabisa hata kuandamana?

Msanii Roma na Ney walitekwa na wasanii wakashindwa hata kuandamana?

Mo alitekwa hata wafanyabiashara wenzie wakashindwa hata kuandamana?

Ulimboka alivunjwa vunjwa hata madactari wakashindwa kuandamana?

Lissu akapigwa risasi wanachama Chadema wakashindwa hata kuandamana?

Nape akanyooshewa bastola lakini wanachi wakashindwa hata kuandamana.

Mbowe akafungwa,Sugu akafungwa, Lema akafungwa watu hata kuandamana?

Sasa hivi Mbowe kafungwa jiulize Mbowe anakosa nini kuishi na familia yake?

Mbowe hana pesa za kula mpaka mwisho wa maisha yake? Jibu anazo ila anapigania watu ambao hawajielewi.

Lakini jambo lililonishangaza zaidi ni Watu kuvunjiwa nyumba zao kinyume na sheria lakini hata kuandamana hakuna? Hizo nyumba zilikiwa za chadema, CUF au ACT?

Ila kilichonifanya kabisa niachane na siasa na kuona tatizo sio Ccm wala Rais anayekuwa madarakani tatizo ni Watanzania ni hili swala la TOZO.

Kwa nchi za wenzetu kupandisha hata mia kwenye mkate tu kungeiondoa serikali madarakani.

Leo hii sukari imepanda kwa 100% within 5 years

Mafuta yanapanda tu hovyo hovyo ila watu tumelala tu.

Kuna mtu anasema eti Rais anawalazimisha polisi kutesa watu sio kweli nakataa Rais anabeba bunduki wewe unayebeba bunduki kwanini usifuate Sheria? Kwamba Rais anawalazimisha mahakimi kuhukumu kesi kihuni? Wewe hakimu kwanini usifuate sheria?

Kwamba Rais alibeba bunduki na kumpiga risasi Tundu Lissu au Mwangosi wewe uliyetumwa unge kataa wangekufanya nini? Mfumo tunaulea sisi wananchi, Wafanyakazi wa serikali ndio tatizo zaidi lakini cha kishangaza na wao mishahara yao inachezewa tu na kutopandishwa.

Mfumo tumeulea sisi Watanzania na tuache kuwasingizia Ccm na Rais aliyepo madarakani.

Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
 
Back
Top Bottom