Naamini kwa dhati kabisa nguvu ya Makonda haitokani na kuwa kwake katibu mwenezi wa CCM, lazima kuna chanzo kingine kinampa kujiamini kiasi hiki

Naamini kwa dhati kabisa nguvu ya Makonda haitokani na kuwa kwake katibu mwenezi wa CCM, lazima kuna chanzo kingine kinampa kujiamini kiasi hiki

Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Eti amkebehi Mwanasheria Mkuu wa Serikali!! Huyo Mwanasheria Mkuu wako ni Mungu? Hanyi? Hakosei?

Mwanasheria ambaye hana wanasheria wa kuitetea nchi? Hata juzi tumepigwa 300bil, Mtu huyu kwako ndo Mungu asiyekosolewa?

Acha uzabizabina. Makonda ni Level nyingine kabisa kwa sasa
 
NI wazi wewe huna ufahamu wa kutosha kuhusu majukumu ya chama na serikali katika utaratibu wa uongozi wa nchi. Msikilize Fatma Karume labda kuna jambo utaambulia pale.
Fatuma Karume huyu huyu Mlevi wa Dawa? Usitupotezee muda hapa
 
Anachokifanya Makonda ni kuendelea kuivua chupi serikali na chama chake.

CCM ndio wenye Dola Kwa maana ya serikali na watendaji wote wako chini ya serikali ya CCM, kushindwa kufanya kazi kwa hao wafanyakazi na kuleta matokeo ni failure ya CCM na Serikali yake.

Ujinga uliopandikizwa na CCM kwenye jamii ndio unaofanya hao watendaji na Makonda wawe salama huko barabarani, vinginevyo kwa madhara waliosababisha walipaswa kupigwa mawe kila wapitapo.
Ni sawa lakini so long as wapigakura wanaona ni poa that is right.

Kuna tofauti ya kumtumia PM au Watendaji wengine kwenye Hilo Kwa sababu litaonekana ni Kushindwa Kwa Serikali tofauti na kumtumia mtu wa Chama kuwasulubu Watendaji itaonekana Chama kinafanya kazi.

Hiyo strategy ndio alikuwa anatumia Mwendazake na maigizo kama hayo.

Mpaka hapo shida Iko wapi? Ccm Kwa Sasa inatafuta kura at any cost na Makonda kapewa jukumu Hilo nothing else.
 
Ataweza kuwafikia na kutatua matatizo ya masikini wangapi? Nchi ina watu >60 million. Halafu, atatatua matatizo kwa kutumia watendaji hao hao “walioshindwa kazi” kwenye mfumo rasmi chini ya uongozi wa CCM? Halafu pia kwa gharama gani? Misafara yote hiyo?

Au ni kuwapa faraja ya kisaikolojia tu kama ile wanayotoa waganga wa kienyeji, mitume na manabii baada ya mifumo rasmi kushindwa kuwaponya/kuwafanikisha kama ilivyotarajiwa?

Kwa kweli huwa nastaajabu sana kuona kumbe kweli kuna watu wengi nchini wanaoamini kuwa kiongozi bora ni yule ambaye muda mwingi anazunguka kusikiliza matatizo ya mtu mmoja mmoja kwenye mikutano ya hadhara kisha kuagiza kupitia media watendaji husika wayatatue! Ukiondoa shere iliyomo katika hilo tukio-kituko, sijui Watanzania wangapi wanajiuliza gharama za hiyo misafara, tija yake, na hasara inayopatikana kwenye uchumi hasa ukifikiria suala la opportunity cost. Yaani yote hiyo ni ili kuwazuga na kuwapa faraja “wajinga”! Very sad!

Yaani kama vile hatukwenda shule wala kuelimika? Hatujui kabisa serikali ni kitu gani na inatakiwa kufanya kazi vipi? Kweli tunahitaji hizi exorbitant charades za kina Makonda?
Swala sio kufikia Kila maskini swala hapa ni kutuma ujumbe kwamba chama Kiko kazini,kufikiwa ni mpaka itokee ila inatafutwa Imani kwamba akija yule na Mimi nitasiaidiwa so kwenye siasa hicho ndio kinatafutwa.

Sasa mtu ataamini Chadema itamsadidia wakati nao Chadema ni walalamikaji?
 
Pengine tu hujui details. Mara baada ya kufariki kwa Magufuli na Samia kuapishwa, watu tunaojua habari za upande wa pili tulikuwa tunajua kuwa bado 40 yake haijafika. Waliokuwa wanasema siku zake zimefika ni watu wa mtaani wasiojua mambo mengi. Kwa taarifa yako ni kuwa hata baada ya kifo cha Magufuli, Makonda alikuwa analindwa na hii ni kwa maagizo ya Samia. Tulijua kabisa ni jambo la muda tu, atateuliwa tena. Ila Samia kama hayupo basi itakula kwake.
Kwa hiyo yeye atakosa wa kumlinda? Kwamba ni mjinga wa kiasi hicho? Kwamba huko ccm woote wanamchukia au siyo? Hakuna kitu kama hicho.

Uchaguzi ukipita Samia anaweza mpa cheo kizuri tuu Cha kiserikali na hiyo njama ya harassment ikayeyuka ghafla.
 
Mm nadhani CCM Kama wanajiamini au wana viongozi wanaojua taratibu na kanuni au katiba ya CCM waje hapa watuambie kama Paulo Makonda anakiuka katiba ya CCM au yuko sahihi,na ikiwezekana watoe tamko hadharani kukemea ukiukwaji mkubwa na utovu wa nidhamu dhidi ya katiba ya CCM ,Na kama hawatafanya hivyo basi tunaolalamika tujue kwamba CCM ilisha badilisha katiba yake zamani na tunaolalamika tumeachwa na wakati na tuko nyuma sana hivyo tubadilike na kutambua kwamba kinacho endelea kufanywa na MWENEZI Paulo Makonda ni sahihi na hakina makosa yoyote.
Hata kama hayuko sahihi ila kama amewekwa kimkakati Kwa maslahi ya chama Kuna ubaya gani? Kwanza ana deal na Watendaji na sio Wanasiasa wenzie japo Kuna mambo kama binadamu Huwa anakwazika nayo ila generally hii strategy ni karata dume Kwa Samia na ccm yenyewe.

Shida ni kwamba wale Wanasiasa ambao walikuwa na malengo ya urasi ndio Hawapendi Kwa sababu wanaona anafifisha Nyota zao
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!

Bashite ni mtu ambaye hata mzee Baba msepa zake alikuwa akimhanya!!
 
NI wazi wewe huna ufahamu wa kutosha kuhusu majukumu ya chama na serikali katika utaratibu wa uongozi wa nchi. Msikilize Fatma Karume labda kuna jambo utaambulia pale.
Naungana na jamaa, sisi wananchi wa kawaida kabisa hatutaki kujua hayo mambo yenu ya protocol za uongozi, tunahitaji mtu wa kusikiliza matatizo yetu na kutatua.
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Kwanza naunga mkono hoja, kuwa Mwenezi ni very powerful extra ordinarily, hiyo power anaipata kutoka kwa YEYE!. Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Kuhusu anguko la CCM, naomba kutofautiana na wewe, badala ya CCM kuanguka, Makonda ameifanya CCM iamke, CCM sasa inapata!. Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!
P
 
Kawakojolea Chadema? Umeona katika ziara hata moja Makonda kawapigia simu Chadema? Anawakojolea watu wake hao hao wa CCM, mawaziri, wakuu wa mikoa nk, anaowaamrisha kesho uwe hapa, bila kujua huyo mtu kesho anaweza kuwa na appointment na raisi. Ndio maana kuna mmoja alisema mimi huyu hawezi kabisa kuniamrisha, ambapo ni kama kusema huyu hawezi kabisa kunikojolea!

Makonda anachofanya katika ziara zake ni kuonyesha udhaifu wa serikali ya CCM katika kusimamia uongozi wa nchi na kutatua matatizo ya wananchi. Lakini ni watu wenye akili tu kama kina Ftama Karume wanaona hilo, sio watu kama wewe na wengine wanaoshabikia hizi ziara. Wao hawaoni tatizo bali wanaona Makonda anasuluhisha.

Yaani Makonda akipita Mwanza na kusikiliza watu wawili au wanne, anakuwa ametatua matatizo yote ya wananchi wa Mwanza ndio maana anaenda Shinyanga? Hivi watu mmesoma shule gani?
Sasa ulitaka makonda aje nyumbani kwako?au ni chuki na wivu umekujaa

Tarizo hamkutegemea makonda atapewa tena cheo ,Mlikuwa mnatembea na hukumu zenu mfukoni
 
ni katibu wa nec, katibu uenezi na itifaki, katibu wa mafunzo. tambueni hapo anamajukumu 3. anaiwakilisha ccm nec, anaiwakilisha ccm chama na anatoa darasa kwa vitengo vya serikali.
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Mheshimiwa nakukumbusha tu urudi nyuma, walikuwepo kina nape, pole pole, badhiru na Kinana mwenyewe tena walikuwa wa moto balaa!!! Wako wapi???

Waelewa wanajua kwenye mtori huu nyama zipo chini!!!
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Ccm ni ile ile utasubiri sana ianguke tazama utaanguka wewe.


Makonda woyeeeee
 
Ninyi ndio wajinga lakini watanzania siyo wajinga . Watanzania wanatambua kazi njema na yakutuka inayofanywa na Mheshimiwa Makonda katika kuwatetea na kuwasemea watanzania.watanzania wanaona namna ziara za Mheshimiwa Makonda zilivyochochea uwajibikaji kwa viongozi mbalimbali waliokuwa wanafanya kazi kwa mazoea na kukaa maofisini tu bila kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.

Hata hivyo napenda kukwambia kuwa kaa ukijiandaa maana huyo ipo siku moja utamtizama kupitia Tv akiapishwa kuwa Rais wa Tanzania.
Sasa umeanza kujipendekeza kwa Makonda ukitegemea kwamba labda kuna siku atapitishwa kuwa Raisi? Tuombe uhai, maana nachelea unaweza kufa kwa kuvunjika moyo. Samia anaweza kuwa alilazimisha Makonda kuwa katibu mwenezi japo alipingwa sana na viongozi wa CCM na wengine kutaka hata kumziria chama, lakini Samia akitaka kujua Watanzania bara wakoje aje ajaribu kulazimisha eti Makonda awe mteule wa CCM kugombea uraisi baada ya kipindi chake. Utaona mambo yatakayoanikwa hadharani.
 
Swala sio kufikia Kila maskini swala hapa ni kutuma ujumbe kwamba chama Kiko kazini,kufikiwa ni mpaka itokee ila inatafutwa Imani kwamba akija yule na Mimi nitasiaidiwa so kwenye siasa hicho ndio kinatafutwa.

Sasa mtu ataamini Chadema itamsadidia wakati nao Chadema ni walalamikaji?
Mawaziri na watendaji wanaolalamikiwa ni wateule/waajiriwa wa serikali ya CCM. Chama kimejaza mawaziri na bureaucracy kubwa serikalini. Hiyo ndiyo maana sahihi ya chama kuwa kazini; ndivyo chama kinavyodhibiti na kusimamia serikali. Kawaida, si sahihi kwa viongozi wa chama (except Rais) kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja ya kikazi na watendaji wa serikali bali kupitia wateule wake wa kisiasa serikalini (mawaziri, RCs, DCs, etc.) nje ya ofisi za umma.

May seem complicated to many lakini huo ndio usahihi wenyewe.

Sasa hii ya Katibu Mwenezi wa CCM kutembea na misafara mikubwa na kuitisha mikutano ya hadhara yenye gharama kubwa kusikiliza malalamiko ya individuals dhidi ya viongozi na watendaji wa serikali ya CCM, ni ufujaji mkubwa wa hazina ya taifa usiokuwa na tija yoyote zaidi ya kupeana faraja ya kisaikolojia kwa watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri.
 
Bila shaka wewe ni wala viongozi wavivu,wazembe na waliokuwa wanafanya kazi kwa mazoea.ndio maana unatetea ujinga wa baadhi ya viongozi na watumishi wa umma kufanya ufisadi katika ofisi za umma,kudhulumu wananchi haki zao.kufanya hujuma na kila aina ya uozo.watanzania ambao ndio wenye nchi wataet kumuunga mkono Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa anayoifanya na pia watanzania wataendelea kuwapiga vita na kuwapuuza watu aina yako na wenye mawazo finyu kama wewe.
Hao voingozi wavivu, wazembe, wajinga wanafanya kazi chini ya uongozi wa chama gani? Waliteuliwa katika nafasi zao na uongozi wa chama gani?

Aaah, waliteuliwa na Mbowe. Samahani nilisahau!
 
Back
Top Bottom