Agiza Express
Member
- Sep 26, 2022
- 52
- 119
A
Angeweza kutuumba kama robots lakini nahisi asingejivunia uumbaji wake lakini pia alituacha tuamue kwa hiari yetu tunachopenda kufanya ndio maana akatupa utambuzi wa mema na mabaya, yaani kwa lugha rahisi yeye sio dictator ila utavuna ulichopanda.Kama Mungu anapenda tumtii bila shuruti kwa nini alitupa uwezo wa kufanya mabaya na kutenda uovu ambao yeye unamchukiza?
Alishindwaje kutuumba tuwe tunafanya mema na mazuri tu kama atakavyo yeye??
Ana uwezo wa vyote kweli huyo Mungu??