Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Kama Mungu alimuumba Lucifer na madhaifu flani Labda ambayo yalimfanya ashindwe kuwa mtiifu automatically mpaka akaasi, Sasa huoni kuwa hukumu (ya jehanam) aliyopewa shetani na waasi wenzie itakuwa ya uonevu ?

Yaani wewe muumbaji, umekiumba kiumbe ambacho unajua kuwa kina udhaifu flani, na huo udhaifu umeuweka kwa maksudi kwake, na unajua kabisa huo udhaifu uliouweka kwake utam sababishia afanye kosa flani,alafu wewe muumbaji uje umuhukumu tena adhabu kali kwa kosa ambalo ni matokeo ya udhaifu wa maksudi wakati wa uumbaji, we huoni kuwa hiyo hukumu utakayomuhukumu kwa kosa hilo itakuwa ni uonevu wa wazi kabisa ?

The same theory apply to Eva, Alijua kabisa ameemumba Eva na madhaifu ambayo yalipelekea akaingia kwenye udanganyifu wa Nyoka akafanya dhambi, alafu uwahukumu Adam na Eva kwa matokeo ya udhaifu ulioweka ndani yao, that means wewe muumabaji utakuwa mwonevu wa kiwango cha juu sana
Iko hv mungu aliwaumba hao na kisha akawapa akili na utambuzi wa mema na mabaya yaani uhuru was kuchagua na si kuwanga ufahamu ili wamtii yeye tu

Basi baada ya kuwapa utashi Mungu mwenyewe kwa matakwa yake akaona kwenye utashi huo aliowapa basi watakao ishi mapenzi yake watakua wake na watao enda kinyume wataadhibiwa.


Mwisho nikukumbushe Kuna kitu kinaitwa madaraka yaan mtawala anakuwa na pawa ya kufanya chochote kimpendezacho yeye kwenye himaya yake

Kama ataamua mchinjane na watakao pona ndio raia wake it's ok pia

Kama ataamua watoto wote chini ya miaka mitano wauwawe it's ok pia rejea heroda na kuzaliwa kwa yesu.

Namaanisha tupige ibada tu mengine Ni ya Mungu mwenyewe!
 
Nakubaliana na wewe kabisa.

Na mimi nikwambie tu kuwa mimi binafsi naamini kuna nguvu ipo inayouongoza huu ulimwengu, labda tuseme hiyo nguvu ndiyo tuipe jina la Mungu.

Na tukishaipa jina la Mungu, maana ya ukitaka kuijua zaidi hiyo nguvu ni lazima uende kwenye vitabu vya Dini ndiko utakakopata maelezo kumuhusu.


Lakini sasa nimeenda huko, nimesoma maandiko ya huko, sifa anazopewa huyo Mungu, zinaniachia maswali chungu nzima na kuanza kuhoji kuhusu uwezo/maarifa/ukamilifu wake
Huko vitabuni ni utata mtupu vinahadaa tu hivyo vitabu hamna ukweli
 
Huko vitabuni ni utata mtupu vinahadaa tu hivyo vitabu hamna ukweli

Hakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.

Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.

Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.

MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.


Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
 
Hakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.

Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.

Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.

MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.


Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Zote ni zilezile hadithi za hekaya
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
Cha kwanza inabidi ujue kuwa dini zimetengenezwa na binadamu ili waweze kujibu haya maswali unayouliza na pia ili kuendesha maisha ya watu
Cha Pili kuhusu Lucifer sijui na Eva hizi Ni story tu katika dini za ki Abraham ambazo zimetungwa kuelezea jinsi matatizo duniani yalivyoanza. Na yamemtumia mwanamke Kama chanzo Cha maovu duniani kwa sababu jamii zilizotunga hizi story zilikuwa zinachukulia wanawake Kama viumbe duni na nyoka pia walichukuliwa wanyama wabaya Sana ndo maana wakapewa hii story. Nadhani wagiriki na wamesapotamia Wana story Kama hii Tena za kwao Ni za zamani zaidi na pia dini zao ziliamini kuwa mwanamke alisababisha vyote.
Dini haiwezi kukupa majibu unayotaka Ila Sayansi imetoa majibu mengi na tumeweza jua kuhusu vitu vingine ulimwenguni na Kama unaona maswali yako yatajibiwa na kitabu kilichoandikwa kipindi ambacho watu hawakujua jua linaenda wapi usiku na watu walijua nyota zinaweza anguka duniani siku ya mwisho, Sawa Ni maamuzi yako pia
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
umekaribia kuchanganyikiwa kwa kujifanya great thinker. Kafanye shughuli zitakazokuletea mkate
 
By the way dini inaweza isiwe suala la kubwa kwangu.

Lakini ni kwamba, nikisoma nadharia zingine hasa sayansi ya AUSTRONOMY inanifanya mimi kwa mawazo yangu mwenyewe ni conclude tu kusema Mungu yupo.

Mfano : katika sayansi ya anga za juu (Austronomy) ni kwamba kila kitu kilichoko angani kinazunguka (every object in the universe is moving or is in motion).

Ni kama na maana kwamba Dunia inazunguka,Mwezi unazunguka,Sayari zote zinazunguka,Jua linazunguka,Galaxy (mkusanyiko wa nyota) zinazunguka,Black holes zina zunguka n.k

Yaani kifupi ni kwamba hakuna kitu hata kimoja ambacho kimo hewani kimesimama wima tu hakizunguki,every object is in motion.

Lakini sasa kinachonishangaza, kwenye hii tasnia ni kwamba "ulimwengu unazunguka kwa kufata kanuni maalum".

Yaani unavyoviona angani vyote vinazunguka kwa kufata system/formula ama mfumo maalum na ndiyo maana huoni vikigongana hovyo wakati ukiangalia ni kama viko shaghala paghala (bila mpangailio).

Isingekuwa hivi vitu viko kwenye mfumo maalum basi dunia yetu hii ingeshagogwa na vitu vingine vikubwa sana angani na ingeshasambaratika muda tu.

Coz kwenye anga kuna vitu vikubwa sana ambavyo ukifananisha na Dunia, Dunia itaonekana kama kipande cha kokoto tu.

Hivyo basi, universe kuwa katika mpangalio maalum na kufata kanuni , ndiyo kunanifanya nipate wazo kuwa "Lazima kutakuwa na fundi aliyedizaini hivi vitu na kuviongoza (kama remote controller).

Trust me huu ulimwengu usingekuwa na fundi maalum wa kuungoza basi vitu angani vingekuwa vinagongana kila dakika hata dunia sasahivi isingekuwepo ingeshafanywa kifusi mda.

Sasa huyo fundi ndiye nimekuja kudhani kwamba ndiyo atakuwa huyo Mungu anaesemwa kwenye vitabu vya dini.

Lakini sasa nimeenda na kwenye vitabu vya dini, sifa anazopewa nikilinganisha na matukio ya baadhi ya vitu humo humo kwenye vitabu vya dini, naona kabisa vinakosa ushirikiano/haviendani.

Nimeamua nikupe mfano mmoja tu wa AUSTRONOMY, ila ukitaka mwingine pia nitakupa
Kwa Nini kuwe na designer? Na kwa Nini awe mtu.. na ukiulizwa aliyemdesign huyo mtu.. utajibuje
 
Huwezi kutumia mind kuelezea ukuu wa Mungu,since iko limited mnoo. Kitu pekee unacho weza kuelezea ni kile ulicho experience. You have to go beyond the Egoic Mind ili umtambue Mungu.
Hivi Ni visingizio vya dini... Kama kitu hakieleweki hakieleweki tu..hamna Cha kusema huwezi elewa, mbona vingine vinaeleweka. Walioandika hivyo vitabu wameandika hisia zao ndo maana kwa elimu na Sayansi ya saa hivi unaona mapungufu.
 
Kama Mungu alimuumba Lucifer na madhaifu flani Labda ambayo yalimfanya ashindwe kuwa mtiifu automatically mpaka akaasi, Sasa huoni kuwa hukumu (ya jehanam) aliyopewa shetani na waasi wenzie itakuwa ya uonevu ?

Yaani wewe muumbaji, umekiumba kiumbe ambacho unajua kuwa kina udhaifu flani, na huo udhaifu umeuweka kwa maksudi kwake, na unajua kabisa huo udhaifu uliouweka kwake utam sababishia afanye kosa flani,alafu wewe muumbaji uje umuhukumu tena adhabu kali kwa kosa ambalo ni matokeo ya udhaifu wa maksudi wakati wa uumbaji, we huoni kuwa hiyo hukumu utakayomuhukumu kwa kosa hilo itakuwa ni uonevu wa wazi kabisa ?

The same theory apply to Eva, Alijua kabisa ameemumba Eva na madhaifu ambayo yalipelekea akaingia kwenye udanganyifu wa Nyoka akafanya dhambi, alafu uwahukumu Adam na Eva kwa matokeo ya udhaifu ulioweka ndani yao, that means wewe muumabaji utakuwa mwonevu wa kiwango cha juu sana
Ndo maana nakuambia kwamba zote Ni story. Hukumu ya motoni haipo kwenye agano la kale. Imeanzishwa kwenye agano jipya, kwa Nini. Ili kutishia watu katika kuamini dini ya kikristo. We kwanini aumbe viumbe ambavyo anajua hatima Yao Ni kuungua milele, hizi Ni mbinu tu za kudaka akili za watu ndo maana kila dini duniani Ina mbingu na Moto jiulize kwa Nini.
 
Hakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.

Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.

Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.

MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.


Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Kitabu Cha ufunuo, wakristo wanakiita mafumbo kwa sababu hawataki kuamini kimeandikwa vitu vya uongo kuhusu nyota kuangushwa angani na mkia wa Dragon, viumbe vya ajabu na hivyo. Ndo maana wakristo wanakikimbia kile kitabu. We Nani kakuambia aliyeandika alisema Ni mafumbo. Basi mi nasema kitabu kizima mafumbo. Wakristo wanachagua wanachoamini na wasichoamini wanaita mafumbo ili watered dini Yao
 
Iko hv mungu aliwaumba hao na kisha akawapa akili na utambuzi wa mema na mabaya yaani uhuru was kuchagua na si kuwanga ufahamu ili wamtii yeye tu

Basi baada ya kuwapa utashi Mungu mwenyewe kwa matakwa yake akaona kwenye utashi huo aliowapa basi watakao ishi mapenzi yake watakua wake na watao enda kinyume wataadhibiwa.


Mwisho nikukumbushe Kuna kitu kinaitwa madaraka yaan mtawala anakuwa na pawa ya kufanya chochote kimpendezacho yeye kwenye himaya yake

Kama ataamua mchinjane na watakao pona ndio raia wake it's ok pia

Kama ataamua watoto wote chini ya miaka mitano wauwawe it's ok pia rejea heroda na kuzaliwa kwa yesu.

Namaanisha tupige ibada tu mengine Ni ya Mungu mwenyewe!
Hahaha yaani we unatetea kwamba madaraka ndo mtu aue watu, aunguze miji, afurike dunia. We kamtese mtoto wako Kama hufungwi. Hata viongozi wanashtakiwa wakiua, zile Ni story tu zisiwachanganye.
 
Iko hv mungu aliwaumba hao na kisha akawapa akili na utambuzi wa mema na mabaya yaani uhuru was kuchagua na si kuwanga ufahamu ili wamtii yeye tu

Basi baada ya kuwapa utashi Mungu mwenyewe kwa matakwa yake akaona kwenye utashi huo aliowapa basi watakao ishi mapenzi yake watakua wake na watao enda kinyume wataadhibiwa.


Mwisho nikukumbushe Kuna kitu kinaitwa madaraka yaan mtawala anakuwa na pawa ya kufanya chochote kimpendezacho yeye kwenye himaya yake

Kama ataamua mchinjane na watakao pona ndio raia wake it's ok pia

Kama ataamua watoto wote chini ya miaka mitano wauwawe it's ok pia rejea heroda na kuzaliwa kwa yesu.

Namaanisha tupige ibada tu mengine Ni ya Mungu mwenyewe!
Mkuu kuna vitu vinne muhimu nime-notice kwako ambavyo ni :

1. Akili/utashi (ufahamu wa kutambua zuri na baya)

2. Uhuru wa kufata unachotaka (yaani umepewa demokrasia).

3. Madaraka(Mungu ana mamlaka ya kuamua mwenyewe awafanye nini watu wake hata kama vitawaumiza watu hao).

4. Mungu anajua mwenyewe kwanini aliamua/ameamua iwe hivyo ilivyokuwa/kutendeka, kwa hiyo kuhoji kupata sababu ni sawa na kupoteza muda maana huwezi kupata majibu ya kuridhisha.

Lakini kati ya hayo mambo manne niliyo-notice kwako, jambo la kwanza na la pili (utashi na uhuru wa kufata ninachotaka) siyo mara ya kwanza kuyaskia.

Ila 3 na 4 (madaraka na siri za Mungu mwenyewe) ndiyo ni mara ya kwanza nayaskia kwako, na nakushukuru sana kwa kunipa knowledge mpya.

Lakini mkuu bado maswali yangu hayawezi kuisha hata kama Mungu ametupa UTASHI na DEMOKRASIA ya kuchagua ninachotaka.

Kwenye maandiko ya Biblia, kuna mstari unasema kuwa "Binadamu ni wa thamani sana mbele za Mungu".

That means,pamoja na kwamba sisi ni mojawapo ya asset tu za Mungu, lakini inaonekana Mungu hatuchukulii kama hatuna thamani maana ameshasema kuwa binadamu ni wa thamani mbele zake.

Sasa kama ni wa thamani kwanini aruhusu wengi kupotea kuliko wale wanaofata sheria zake ?

Kwanini amlete kiumbe duniani(shetani) mwenye nguvu kuliko sisi ambaye anajua kabisa lazima atafanikiwa kutupotisha wengi ? Kama kweli Mungu anatupenda na hataki tupotee kwanini amshushe shetani kwetu wakati anajua kabisa yule alikuwa ni malaika lazima ana nguvu kutuzidi ? Upendo wa Mungu uko wapi hapa ? Je, kutuletea shetani ndiyo upendo ? Kwanini asingemtupa kwenye sayari nyingine baada ya kuasi na badala yake kamtupa duniani ? Unawezaje kusema unatupenda wakati umetutupia adui anetuongoza kwenda motoni ?

Na Je, kama kweli Mungu hapendi na kuchukia MAOVU/DHAMBI, kwanini sasa aruhusu yatokee ?

Hivi wewe kitu usichokipenda utaruhusu kitokee ?
 
Mkuu kuna vitu vinne muhimu nime-notice kwako ambavyo ni :

1. Akili/utashi (ufahamu wa kutambua zuri na baya)

2. Uhuru wa kufata unachotaka (yaani umepewa demokrasia).

3. Madaraka(Mungu ana mamlaka ya kuamua mwenyewe awafanye nini watu wake hata kama vitawaumiza watu hao).

4. Mungu anajua mwenyewe kwanini aliamua/ameamua iwe hivyo ilivyokuwa/kutendeka, kwa hiyo kuhoji kupata sababu ni sawa na kupoteza muda maana huwezi kupata majibu ya kuridhisha.

Lakini kati ya hayo mambo manne niliyo-notice kwako, jambo la kwanza na la pili (utashi na uhuru wa kufata ninachotaka) siyo mara ya kwanza kuyaskia.

Ila 3 na 4 (madaraka na siri za Mungu mwenyewe) ndiyo ni mara ya kwanza nayaskia kwako, na nakushukuru sana kwa kunipa knowledge mpya.

Lakini mkuu bado maswali yangu hayawezi kuisha hata kama Mungu ametupa UTASHI na DEMOKRASIA ya kuchagua ninachotaka.

Kwenye maandiko ya Biblia, kuna mstari unasema kuwa "Binadamu ni wa thamani sana mbele za Mungu".

That means,pamoja na kwamba sisi ni mojawapo ya asset tu za Mungu, lakini inaonekana Mungu hatuchukulii kama hatuna thamani maana ameshasema kuwa binadamu ni wa thamani mbele zake.

Sasa kama ni wa thamani kwanini aruhusu wengi kupotea kuliko wale wanaofata sheria zake ?

Kwanini amlete kiumbe duniani(shetani) mwenye nguvu kuliko sisi ambaye anajua kabisa lazima atafanikiwa kutupotisha wengi ? Kama kweli Mungu anatupenda na hataki tupotee kwanini amshushe shetani kwetu wakati anajua kabisa yule alikuwa ni malaika lazima ana nguvu kutuzidi ? Upendo wa Mungu uko wapi hapa ? Je, kutuletea shetani ndiyo upendo ? Kwanini asingemtupa kwenye sayari nyingine baada ya kuasi na badala yake kamtupa duniani ? Unawezaje kusema unatupenda wakati umetutupia adui anetuongoza kwenda motoni ?

Na Je, kama kweli Mungu hapendi na kuchukia MAOVU/DHAMBI, kwanini sasa aruhusu yatokee ?

Hivi wewe kitu usichokipenda utaruhusu kitokee ?
Bro, ndo maana nakuambia hizi zote Ni story tu za kujaribu kuelewa dunia. Zimeandikwa na makabila miaka elfu 3 iliyopita ambayo hata haikujua kwamba dunia Ni ndogo kuliko jua. So usitegemee watu Hawa ndo wawe na majibu ya maswali yako wakati hata we saa hivi umewazidi akili wote walioandika hizi story.
 
Kwa kweli hilo ni jambo lingine la msingi kabisa ambalo linahitaji ufafanuzi wake kutoka kwa hawa wanaojiita wanathiolojia wa Mungu Mpya.

Na inabidi waje hapa waelezee.

Lakini kabla hiyo imani ya Mungu mpya kuletwa, historia inaonesha kuwa Mababu zetu (Waafrica Weusi) walikuwa na imani zao kabla hata hizo za Mungu mpya kuletwa.

Na imani hizo za kale za Mababu zetu, zimekuja kuitwa kuwa ni za kimizimu/kishetani.

Lakini ninachoshangaa ni kwamba hizo imani inaonekana zilikuwa zinawasaidia, yaani walikuwa wakiomba chochote kwenye mizimu yao walikuwa wanapata.

Lakini baada ya kuwasili kwa Imani za Mungu mpya (aliyeletwa na wakoloni) ikaonekana hiyo imani ya mababu zetu ilikuwa ni kichawi na ni haramu/chukizo kwa Mungu.

Sasa mimi nauliza, wale mababu zetu waliokufa kabla ya kuwasili kwa imani za Mungu mpya, hukumu yao siku ya kiama itakuwaje ?
Watakatifu wetu wanawaita mizimu/mashetani wakati huo huo wakaja na mizimu/mashetani yao wakatuambia ni watakatifu wakina yesu,,, mtume Mohamed,,,wakina petro,,paulo,,yakobo nk nk hao wote ni mizimu tu tunayoiomba kwa kuwa ni wafu tuu kama mababu zetu!!
 
Mpaka hapo nimegundua kwamba "Mungu hayo madhaifu aliyomuumba nayo Lucifer/Muasi pamoja na ya Eva (aliyedanganywa na huyo muasi) alikuwa anayatambua fika na alifanya hivo maksudi japo uwezo wa kutayaumba hayo madhaifu alikuwa nayo ila aliwaumba nayo maksudi.

Nambie kama nipo sahihi hapo ama laah..

Kama nipo sahihi utanambia nikuulize swali moja muhimu sana
Heeewalaaa
 
Bro, ndo maana nakuambia hizi zote Ni story tu za kujaribu kuelewa dunia. Zimeandikwa na makabila miaka elfu 3 iliyopita ambayo hata haikujua kwamba dunia Ni ndogo kuliko jua. So usitegemee watu Hawa ndo wawe na majibu ya maswali yako wakati hata we saa hivi umewazidi akili wote walioandika hizi story.
Kaa kimya kama huelewi acha hearsay zama deep utakuja na experience Tofauti
 
Watakatifu wetu wanawaita mizimu/mashetani wakati huo huo wakaja na mizimu/mashetani yao wakatuambia ni watakatifu wakina yesu,,, mtume Mohamed,,,wakina petro,,paulo,,yakobo nk nk hao wote ni mizimu tu tunayoiomba kwa kuwa ni wafu tuu kama mababu zetu!!
Kaa kimya kama huelewi logic ya haya mambo achana na hearsay zama deep utarudi n experience Tofauti!
 
Back
Top Bottom