Na Designer/Designers wa Bibi&Babu wa mwanzo huko ni nani mpaka kufikia leo kwa Baba na Mama yako?Sasa kama wewe mwenyewe sio designer wa mwili wako utasemaje kuna
Muumbaji (Kitu) usicho kifahamu kili ku design wewe?
Na ukiite hicho kitu(Muumbaji) sio Binadamu, Je ulithibitisha kweli huyo designer sio binadamu?
Mpaka una mwita huyo designer sio binadamu ina maana ulishawahi kumuona huyo Muumbaji uka mthibitisha kweli sio binadamu?
Labda niseme designer wako wewe ni wanadamu ambao ni wazazi wako baba na mama yako, Na wao wana designers wao ambao ni Bibi na Babu yako.
Hatujui..Ila wewe ndo unalazimisha jibu liwe Mungu. Hapo unakuwa unaleta maswali ya huyo designer wa Mungu Ni nani? Na Kama alikuwepo tu, kwa Nini na ulimwengu usiweze kuwepo tu.Na Designer/Designers wa Bibi&Babu wa mwanzo huko ni nani mpaka kufikia leo kwa Baba na Mama yako?
Au hakuna Designer yoyote?
Binadamu System design... uliziA watu wa Anatomy.... MUHAS + SUA watakupA maajabu ya MunguBado hujajibu swali bado, nimeuliza hivi ⤵️
Mtu pamoja na designed systems zote zilizopo kwenye mwili wake kwa ufahamu wako, zina Designer au hazina?
Zingatia kwenye bold hapo wakati unajibu swali... i.e zina Designer au hazina?
Yes, Ni maamuzi ya Designer kutengeneza vitu vizuri na vibaya.Basi hamna hii dini. Kwa sababu sio kitu kilichoumbwa kinavutia. Cancer haivutii magonjwa hayavutii mavi hayavutii mauaji hayavutii matetemeko hayavuti. Ina maanisha huyu designer ametengeneza vitu vizuri na vibaya. Sasa Kuna tofauti gani ya vitu kutengenezewa na designer mwenye uwezo na akili na kutokutengenezwa na huyo designer. Kwa sababu dunia ungebaki vilevile na vitu vizuri na vibaya, vinavyovutia na visivyovutia.
Mkuu, Mimi Sijasema jibu ni Mungu,...Hatujui..Ila wewe ndo unalazimisha jibu liwe Mungu. Hapo unakuwa unaleta maswali ya huyo designer wa Mungu Ni nani? Na Kama alikuwepo tu, kwa Nini na ulimwengu usiweze kuwepo tu.
We unaangalia the positive side of things, Kuna vitu vingi kwenye nature ambavyo havivutii...mbona huviongeleiYes, Ni maamuzi ya Designer kutengeneza vitu vizuri na vibaya.
Basi kama hujawahi kuvutiwa hata mara moja na jinsi Ulimwengu ulivyo, Viumbe walivyo(Na Systems zinazounda miili Yao), bahari zilivyo, milima ilivyo,Anga pamoja na galaxies &planets n.k basi Niseme tu tuishie hapa. UMESHINDA!
Basi kuwe na designer au designers, anaweza akawepo Ila asijihusishe Tena na uumbaji wake kwa sababu kashaweka natural laws zinazofunction bila kuingiliwa. Au asiwepo kabisa baada ya huo uumbaji. Na pia kwa ukubwa wa ulimwengu kwa Nini achague watu ambao Ni Kama punje ya mchanga baharini alafu ndo ategemee tumsifu na kufuata sheria zake. We ukienda kwa sisimizi ukawaambia wakuabudu watakusikiliza. Na hapo kumbuka wanakuona. Sasa jichukulie we ni sisimizi na sisimizi wenzako wanakuambia utoe sadaka na uende hekaluni la sivyo mtu aliyetengeneza hii nyumba atakuja kutuua wote ambao hatujamwamini. We utawasikiliza hao sisimizi wenzako.Mkuu, Mimi Sijasema jibu ni Mungu,...
Nimeuliza tu Mtu na designed systems zote zilizopo kwenye mwili wake, zina Designer au hazina.
Hakuna sehemu nimesema jibu ni Mungu.! 🚫
Tufunge Uzi...
Mkuu nimesha kujibu designer wa binadamu ni Binadamu mwenyewe.Na Designer/Designers wa Bibi&Babu wa mwanzo huko ni nani mpaka kufikia leo kwa Baba na Mama yako?
Au hakuna Designer yoyote?
Basi sawa, tukubaliane na uongo huu uliojibu. 🤝🏼Mkuu nimesha kujibu designer wa binadamu ni Binadamu mwenyewe.
Walizaliana toka mwanzo hadi leo...
Let's agree to disagree..... Baki na Imani yako kwamba Ulimwengu & vyote vilivyomo havina Designer na Mimi nibaki na Imani yangu kwamba Ulimwengu & vyote vilivyomo Ina Designer.Basi kuwe na designer au designers, anaweza akawepo Ila asijihusishe Tena na uumbaji wake kwa sababu kashaweka natural laws zinazofunction bila kuingiliwa. Au asiwepo kabisa baada ya huo uumbaji. Na pia kwa ukubwa wa ulimwengu kwa Nini achague watu ambao Ni Kama punje ya mchanga baharini alafu ndo ategemee tumsifu na kufuata sheria zake. We ukienda kwa sisimizi ukawaambia wakuabudu watakusikiliza. Na hapo kumbuka wanakuona. Sasa jichukulie we ni sisimizi na sisimizi wenzako wanakuambia utoe sadaka na uende hekaluni la sivyo mtu aliyetengeneza hii nyumba atakuja kutuua wote ambao hatujamwamini. We utawasikiliza hao sisimizi wenzako.
Usiseme uongo Kama ukweli wako hauna vithibitisho.Basi sawa, tukubaliane na uongo huu uliojibu. 🤝🏼
This guy alikuwa anaongelea religious people na yeye alikuwa atheist. So ukitumia quote yake unatukana watu wa dini kuwa wajinga.
Hahhh, ni Uongo kwasababu Mtu hajajiumba mwenyewe!Usiseme uongo Kama ukweli wako hauna vithibitisho.
Mkuu samahani, unaweza pia kuwa na kitabu kinaitwa " THE NEW WORLD ORDER" kimeandikwa na A.Ralph EppersonMi ninacho
Una ui ita uongo kwa vile sivyo ulivyo taka usikie.Basi sawa, tukubaliane na uongo huu uliojibu. [emoji1755]
Hapana wala haipo hivyo, nimesema ni uongo kwasababu hata wewe unajua hilo sio jibu sahihi.Una ui ita uongo kwa vile sivyo ulivyo taka usikie.
Unataka usikie designer ni Mungu ndipo uone kweli. Usikie designer usiyemjua...
Shukrani sana, tujifunze pamojaMkuu una kitu, utafika Mbali sana