Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Kasome vizuri vitabu vya dini uelewe.
 
Kwani kila mbantu anasali? Mbona hatumsikii huyo mbakaso. Waafrica wamepotea sababu ya ulevi wa kupindukia bangi uzinzi kujifanya wajuaji ufisadi tamaa na ushirikina tu.
Yeah kila mbantu anasali mkuu kikabila....WAKOLONI WA KIZUNGU NA KIARABU NDIO WANAKUDANGANYA KUA WAAFRIKA WAMEPOTEA....NIKUULIZE SWALI DOGO......KWAHIYO WAO HIZO JAMII WALIOLETA DINI ZA KIGENI HAWANA TABIA HIZO????
 
Yeah kila mbantu anasali mkuu kikabila....WAKOLONI WA KIZUNGU NA KIARABU NDIO WANAKUDANGANYA KUA WAAFRIKA WAMEPOTEA....NIKUULIZE SWALI DOGO......KWAHIYO WAO HIZO JAMII WALIOLETA DINI ZA KIGENI HAWANA TABIA HIZO????
usichanganye wakoloni waliotumia mwanya wa dini na dini tuanzie hapo kwanza. Ukiniuliza kuhusu manabii na mitume kuhusu kutenda hayo biblia inaonesha hawakuyapendelea na kama waliteleza walikuwa wanyenyekevu wa kutubu. Haya leo hii unataka tushike dini kama za wale fisi wamekufa na irizi mkiani.
 
Wakati Mungu ana muumba mwanadamu, Hakujua kwamba ipo siku mwanadamu atamuasi na kufanya mabaya?

Kama alijua uasi utakuja kutokea kwa nini alisubiri hadi utokee asi uzuie tangu mwanzo??
Ndiyo alijua na ndo maan hukumu ya kwanza na ukombozi uko kwenye kitabu cha mwanzo kabisa. Yani kama angeamua angefuta uumbaji lakini alishaona kuna wanadamu watakao survive na uwepo wa huo huo ubaya so aliona hakuna aja ya kuwipe out his entire creation. Na pia alitoa msamaha na nd maan tumeishi hadi tatizo shetani katufunga tunaona hadi kuishi sio zawadi nzuri zaidi.
 
Wewe nd unatakiwa uprove kuwa nimetenda mema umenionea siyo Mungu nd approve kwamba kwann umeadhibiwa.Yani dini ni hukumu yetu ndugu. Sasa kwanza kwan wewe unajua kuwa utaenda motoni hata kama Mungu yye anajua?
 
Ndugu adhabu ipo tena kali sana na alieandika ni Mungu mwenyewe. Ibrahim ni mwanadamu kaishi kitakatifu mpaka kwa akina Paul Yohana wameishi hivo em fikiria Yesu aliutwaa udhaifu wetu na bado aliishi kwa mfano wa jinsi ya kutoboa. Mambo tunayoyajaza moyoni nd yanayochangia sana kuona kama kutii amri za Mungu ni ngumu. Lakini kama umeweza itii serikali kwa kutoua kwa kuogopa adhabu au jela basi ni rahisi pia kutotenda dhambi nyingine. Kikubwa kuwa mnyenyekevu kwa Mungu akujaze roho mtakatifu nae atakuongoza hutoishi maisha ya dhambi tena na utaepuka adhabu ya kifo ameen
 
Wewe muafrica kwann kabla ya kuja hyo dini usiwe na technlogy yako. Halafu hizo story za mwezini mbona nyingi tu ni za kutunga. Halafu alokwambia mbingu ipo hapo unapohisi wewe ni nani? Mungu anaishi nje ya upeo wa wanadamu. Wewe mwafrica sayansi nd kifo chako cha kwanza umepew smartphone ya kubishana jamii forums.
 
Nchi nyingi za Ulaya na marekani Zina population kubwa ambao haiamini dini, na wanasayansi wengi hawaamini dini na ndo wameleta maendeleo. Fuatilia sawa
Makao makuu ya makanisa karibu yote yapo huko ulaya sasa unasemaje kuwa huko hawasali tatizo unaangalia media zinachotaka kukuaminisha. Unaona kuwa kwenye dini ndo ela inapotea mwafrica bana nd maan tunasema kilichotufelisha sio dini. Mwafrica anatumia bando zaid ya ef 5 kila siku kushinda tik tok na insta ila akitoa sadaka ya ef 10 jumapili eti dini ina mfirisi Mwafrica anaenda kukesha bar anaacha laki 1 ila akitoa ef 10 kanisani anasema dini inamfirisi . Mwafrica anavaa kiatu cha 75 tishirt 35 suruali 30 ila anaona kununua suruali ya kitambaa ya ef 15 kiatu 25 shati 10 na kutoa sadaka ya 10 dini inamfirisi. Mwafrica anaona kutoa 50k kumlipa mwanamke guest 25k vinywaji 30k usafiri 20k hafirisiki ila kutoa 10k kanisani anaona anafirisika. Ingia kanisani moja ya sehem ambazo zina watu wana standard life ni watu wa makanisani. Kwenye kundi la watu wasiosali kuna walevi wale wa vilabu vya pombe kaangalie lifestyle lao kakompee na watu wa church nenda kaangalie life la watumia madawa ya kulevya wanasaidiwa na makanisa hawa. Unazungumzia tu kinachoingia kanisani ila hujui watu namba moja baad ya serikali kutoa misaada kwenye vituo vya wahitaji ni makanisa hayo hayo.
 
Nieleze kwa Nini uzinzi Ni kosa? Kwa akili isiyo ya dini.. niambie why.
Ni kosa kwa sababu matokeo yake kwa asilimia kubwa ni mabaya. Uzinzi na ndoa kipi kimezalisha watoto wa mitaani wengi zaidi? Kipi kimezalisha masingle moms wengi zaidi? Kipi kimezalisha magonjwa mengi zaidi ya zinaa?
 
Chakula kina madhara gani? Na je kila mtu akitumia tamaa za mwili unajua madhara yake?
 
Uwe unasoma bible kujua ilikuwa inazungumzia kitu gani. Sasa hujui kuwa waliokuwa wafalme enzi hizo walikuwa wapagani au. Yesu wapi amewahi chukua watumwa kwa kuwatesa na kuwanyanyasa. Mbona wewe leo hii uko chini ya raisi na unamtii je hyo inaamanisha kuwa raisi akiamua akunyanyase inakuwa urais ni kitu kibaya? Halafu pia ukiwa mtumwa ukiwabishia mamaster mwisho wa siku ni kifo kitu ambacho ungetumia amani kisingetokea. Mbona Mandela aliwasamehe wazungu na kuongea kiamani na wakaondoka south kwahyo lazima ujifunze kuishi na mazingira. Mbona hyo sayansi inataka kuwaobey walimu wetu.
 
Ni sawa na mi nakuambia nitakubaka usiponipa hela na we unatoa hela na unasema kakuokoa kutoka kwenye kibako. Siwezi weka maisha yangu kwenye control tactics za watu wa zamani wasioijua dunia.
Wewe unawaza dhambi nd maan umetolea huo mfano. Kwani ukimkosea mzazi wako akakususa na kukuambia usipoomba msamaha usikanyage nyumbani utamlaumu mzazi hapo?
 
Biblia inasema kutojua sheria za Mungu sio kosa hivo waafrica wa mwanzo wasiokuwa na uelewa hawana hukumu maan dini nd hukumu yenyew kwahyo kama mtu hakuwa nayo basi hawez hukumiwa. Mtu anawezaje kwenda jela bila katiba? Lakini sio waafrica wote hawakujua dini ndugu kuna washiha wa ethiopia kuna wamisri hawa wametajwa vizuri tu kwenye bible haya maziwa makuu ya victoria tanganyika nyasa yametajwa vizuri tu hivo wapo wengi tu waliokuwa wanajua dini ya kweli. Ndiyo anawachagua ila hakuna ajuaje siri so huwezi ukaanza kujihisi kuwa labda ujachaguliwa nd uanze kutenda maovu.
 
Wewe Mungu anatenda kwa mapenzi yake usifikiri mawazo yako nd atayafuata kama aliamua awachanganye wale wa kipindi kile sio lazima wa sahv awachanganye unampangiaje. Halafu Yesu ametoa hukumu mpya hivo sahv wanadamu wamepewa uhuru wa kufanya unavotaka. Halafu eti wamejenga watu wa lugha mbali mbali unadhani kwann kuna michoro kwenye engineering ujue kuna umuhimu wa kuzungumza lugha moja nd maan hata iandikwe kwa lugha gani pi=3.14. Halafu hao unaowaamini wenyewe tu wanakinzana kuhusu hata hayo mambo ya anga. Story ya mwezini ina ukakasi gravity yenyew ina ukakasi au hujui kwann ipo relativity theory na ina maelezo tofauti na hayo ya sijui nini kinazunguka nn. Kama babel hutak nambie kuhusu kilo 2500 juu ya pyramidi zilifikaje eneo la tukio kwanza kutokea mjini maan halikutengenezwa pale na je juu lilipandaje kwann linapoint exactly kwenye same direction na centre of the earth na pyramid za mexico pia. Dini ingeandika kila kitu kitabu kisingetosha hivo vimeandikwa vitu vya msingi ili uache dhambi. Wewe unaleta strory za space hujui siku hizi wanasema space ni kama kitambaa fulani kwahyo vitu vinazungukwa kuteleza yani assume kama uzungushe golori kwenye kitambaa hivi.
 
Wewe unapotosha hapa. Mbona wayahudi wengi nd wagunduzi wakuu wa dunia na nd watu wa kwanza kuwa na dini hyo unayoponda.
 
Kasome vizuri vitabu vya dini uelewe.
Vitabu vya dini vinaeleza kwann nchi zilizoshika dini ndio hazina amani zaid?
Chukulia mfano Japan, ni nchi ambayo kwa asilimia kubwa haina dini. Ila ndio miongoni mwa nchi zenye amani zaidi...
 
Amina mtumishi, lakini pia tunaokolewa kwa Neema sio kwa nguvu, akili wala uwezo wetu.
 
W Wewe umejuaje kuhusu hao manabii na mitume??????? Si wakoloni ndio walikuletea vitabu vyenye adithi zao????????? Huna uhakika gani na hizo simulizi mkuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…