Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Haya sio majibu ya Logic, hakuna logic bila reasoning na endapo uta reason tu mambo ya Imani utagundua kuwa huwezi kutoa majibu ya maana

Ni kwenye issue moja tu ndio binadamu wote waga wanafanana Akili haijarishi wana level gani ya Elimu, wametokea wapi,wamekulia wapi ni kwenye issue za DINI

Uongee na ambae hajasoma kabisa formal education,awe ameishia st 7,awe ni form four,awe ni Advance awe ni chuo kikuu wote awe professor wote wanakuwa katika level moja ya uelewa

Uwezo wa Ku reason unakuwa sawa kwa sababu muda huo kinachowaendesha ni hisia za uoga na Tamaa ya ku satisfy Desire walizonazo katika Maisha

Kwa lugha nyepesi vile Mungu anatuona Sisi ni kama vile tuwaonavyo watoto wadogo ambao bado hawana utambuzi, mtoto ambae popote alipo kuna 80% akafanya kitu ambacho hatakiwi kufanya

Kwa maana hiyo Mungu alijua fika kuwa Adamu atakula tunda alilowakataza, ila akaacha tu wale kwakuwa aliwaambia wasile, Alafu ili iweje?

Yani mfano una mtoto mdogo sehemu anayocheza kuna Bomu la kuzikwa Ardhini, wewe kama mzazi unapaswa kumwambia usicheze hapo kuna mabomu yalizikwa yanaweza kukulipukia au unapswa kuondoa Bomu kabisa hapo ili uhakikishe mtoto anakuwa sehemu salama?

Ukiamucha aendelee kucheza sehemu ya hatari na Bomu likamlipukia, ukaja kuulizwa ilikuaje ukamuacha hapo utajibu kuwa nilimpa options either aendelee kucheza hapo au aondoke ila yeye akaamua kuendelea kucheza hapo, hilo ni jibu la Logic au utaonekana Akili haziko sawa?
Mfano sio sahihi huu ndugu. Mtoto mdogo hafundishiki hivo kumtolea bomu ni sahihi. Ila teenager anaefundishika ukimpa options kukubali au kukataa ni uamuzi wake na hakuna unachoweza kufanya labda nd wale wazazi anampeleka mtoto jeshini. Lakini pia ukija kweny uhalisia kuna mchangiaji alitoa jibu zuri sana kuwa wewe unaweza ukawa na vision kuwa unaenda kazini unamgonga mtoto mdogo so ukajipa option kuwa basi siendi kazini ili niepushe hiyo ajali na ukawa sahihi kwa wakati huo. Ila vipi ukajua possiblity zote kama Mungu anavojua kuwa labda huyo mtoto ambae ungemgonga atakuja kuua wazazi wako baadae na watanzania wenzio wengi tu. Je usingeendelea na maamuzi ya kwenda kazini. Watu wa hollywood nawakubali hata utengenezaji wao wa movie wanasoma knowledge nyingi sana ila hupendelea knowledge ilioko kweny bible maan ni fikirishi sana. Kwa mfano kwenye movie ya avengers infinity war ni kwamba doctor strange alikuwa na uwezo wa kuamisha fight ya thanos kwenda universe nyingine badala ya duniani. Ila katika vision yake aliona katika vita zisizo na idadi dhidi ya adui humanity imeshinda mara moja na kwa conditions fulani so alichokifanya akaruhusu humanity iwe defeated pale wakanda sababu kuna conditions hazijawa met bado kusave time ili atengeneze nafasi ya ushindi time inayokuja(endgame) kwa kuwa itakuwa salama zaidi.
 
Karibu uone tofauti Quran haina migongano hata kidogo na Quran imeruhusu kuhoji yaliyomo kwa kadri yako
Mpaka mseme kwanza chupi aliiba nani
 

Attachments

  • Screenshot_20230501-031504_Chrome.jpg
    Screenshot_20230501-031504_Chrome.jpg
    221.5 KB · Views: 5
Mkuu Pyramid zimekuwepo ata kabla ya uwepo wa Pharaohs na kitu kingine unatakiwa kujua kuwa Pyramid hazipo Egypt tu, kuna zingine zipo North America kwahiyo na huko walikuwa wanazikwa kina nani?

Unaniita mie mtu wa conspiracy ilhali wewe mwenyewe huna ushahidi kuwa pyramid zimejengwa na wamisri wenyewe

Na kama zilijengwa na wamisri hao wamisri wote pamoja na vizazi vyao wamekufa? ili wawe wamekufa na ujuzi wao

Technology iliyotumika kujenga pyramid katika miaka ya 2780 BCE Hadi kufikia Karne hii ya 21 bado hatuna hiyo technology alafu tukae tunaambiana kuwa zilijengwa Kwa lengo la kuweka pharaoh

Kwa Akili ya kuvukia barabara tu ni impossible kuwa wamisri ndio walijenga pyramid na kama walijenga nini kinawafanya wasijenge tena?

Wamisri walishiriki tu kwenye ujenzi kama saidia fundi ndomana hakuna wanachokijua, kitu walichonufaika nacho ni kujifunza vitu ambavyo vilikuwa ndani ya uwezo wao kutoka kwa Annunaki ikiwemo science ya madawa na ujenzi
Wewe unajua cheo cha ufarao kilikuwa ni cha aina gani? Farao alikuwa kama Mungu kwa wa misri sio mfalme bali ni Mungu wao na alikuwa na mauchawi ya kutisha na ndo maan kwenye yale mapyramid kuna mali nyingi pia ambazo mummies walikuwa wanazikwa nazo sababu walikuwa wakijiona Miungu.
 
Unataka kusema hii sio quran hapa mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20230501-031504_Chrome.jpg
    Screenshot_20230501-031504_Chrome.jpg
    221.5 KB · Views: 5
Wewe unajua cheo cha ufarao kilikuwa ni cha aina gani? Farao alikuwa kama Mungu kwa wa misri sio mfalme bali ni Mungu wao na alikuwa na mauchawi ya kutisha na ndo maan kwenye yale mapyramid kuna mali nyingi pia ambazo mummies walikuwa wanazikwa nazo sababu walikuwa wakijiona Miungu.
Tena walikuwa wanazikwa na baadhi ya watu wakiwa haii (mfano ma-house girl wao)
 
Duh... inabidi uende walau sikumoja kutembelea Pyramids of giza. Watu wanatunza historia. Izo mambo ya kwamba Pyramids zmekengwa na aliens walianzisha conspiracy theorists. Wamisri wao wanajua kila kitu... ni mahesabu makali tu. Pyramids zilichukua miaka zaidi ya 20 kujenga Pyramid moja. Na watu 20,000-100,000.

View attachment 2606755

Kuhusu Pyramids za North America nenda Wikipedia uangalie kuhusu mesoamerican Pyramids... hakuna miujiza.
Na swala la kwann hawajengi Pyramids tena ni sawa na kuuliza kwanini hatuui albino tena na kuabudu makaburi? Jibu ni hawafuati tena hizo desturi.

Na sio kila mtu alizikwa kwenye Pyramids, ni mapharao tu sanasana. Na matajiri. Walikua mummified na kutunzwa humo pamoja na mali zao. Ww unafkir kwann wanahusisha sana mummies na Egypt, hata kwenye movies nyingi?
Sawa mkuu
 
Sure mkuu ile story ina ukakasi sana details nyingi haziko clear ngoj tuone kama itatokea hyo 2024 hawa jmaa wanadanganya ulimwengu kwa malengo mabaya sana watu hawajui tu.
Acheni wivu jamani... fuatilia historia ya cold war fuatilia historia ya space race ndo utaelewa. Wakati huku tunabwajabwaja, urusi na marekani walikuwa wanashindana kianga, kufikisha mtu angani na baadae mwezini. Wamarekani wameenda mwezini Mara Saba na mwishoni 1980s wakaacha coz haina faida Tena it's an expensive project. Sasa we ukitaka kulazimisha waende wape hela waende. Wazungu hawaishi kuaiminisha watu maskini na wasio na elimu. Unakaa mtandaoni unabisha watu hawakuenda mwezini lakini unakubali mtu alifufuka baada ya siku tatu na unajiona mtu mwenye akili. Wenzetu wametuzidi Hilo mnabidi mkubali instead of kukaa kukataa maendeleo ya watu. Hadi mwanamke kashaenda mwezini..kafuatilie historia ya space race usipende kusema kitu bila kuwa na facts
 
You should be one of those conspiracy theorists. Lol

Pyramids zilijengwa na wamisri wenyewe. Bado hatuna uhakika kama walijenga ni watumwa au ilikua ndio ajira yao. Ila Pyramids zilijengwa kwa kusudio la kuzika mapharao na mali zao. Unamaanisha nn kusema kua hatujui Pyramids zilijengwaje?
Fatilia history ya Egypt utaona kabisa hawakujenga watumwa Ila waajiriwa na walikuwa wanalipwa vizuri .ukifuatilua pyramids pembeni kulikuwa na vi mji vidogo ndo makazi Yao hao wajenzi. Wayahudi hawajawahi kuwa watumwa Misri hio story haina ukweli wa kihistoria
 
Mfano sio sahihi huu ndugu. Mtoto mdogo hafundishiki hivo kumtolea bomu ni sahihi. Ila teenager anaefundishika ukimpa options kukubali au kukataa ni uamuzi wake na hakuna unachoweza kufanya labda nd wale wazazi anampeleka mtoto jeshini. Lakini pia ukija kweny uhalisia kuna mchangiaji alitoa jibu zuri sana kuwa wewe unaweza ukawa na vision kuwa unaenda kazini unamgonga mtoto mdogo so ukajipa option kuwa basi siendi kazini ili niepushe hiyo ajali na ukawa sahihi kwa wakati huo. Ila vipi ukajua possiblity zote kama Mungu anavojua kuwa labda huyo mtoto ambae ungemgonga atakuja kuua wazazi wako baadae na watanzania wenzio wengi tu. Je usingeendelea na maamuzi ya kwenda kazini. Watu wa hollywood nawakubali hata utengenezaji wao wa movie wanasoma knowledge nyingi sana ila hupendelea knowledge ilioko kweny bible maan ni fikirishi sana. Kwa mfano kwenye movie ya avengers infinity war ni kwamba doctor strange alikuwa na uwezo wa kuamisha fight ya thanos kwenda universe nyingine badala ya duniani. Ila katika vision yake aliona katika vita zisizo na idadi dhidi ya adui humanity imeshinda mara moja na kwa conditions fulani so alichokifanya akaruhusu humanity iwe defeated pale wakanda sababu kuna conditions hazijawa met bado kusave time ili atengeneze nafasi ya ushindi time inayokuja(endgame) kwa kuwa itakuwa salama zaidi.
Sina Cha kujibu ..kwa huu mfano.
 
Shida hizo nchi unazoita shitholes zilikuwa masikini hata kabla ya dini. Hivi wewe kwa akili yako unadhani wazungu walianza kusali na waafrica kanisa moja walivofika tu. Haya tuambie nyinyi maatheist taifa mmelifanyia nini mpaka watu wawafuate tuanzie hapo. Unazungumzia amani japan amani za mapanga na mapigano ndo amani kwako. Masamurai wanafanya nini kule maninja wanafanya nini kule kwanini wanatengeneza misilaha mizito? Sababu wanajua amani yao sio ya milele sababu kuna kipindi walitandikwa na wenzao tofauti na ukisali kweli unapata amani ya milele.
Kwanza unajua maana ya atheists? Kabla wazungu hawajaja afrika hatukua atheists. Na nchi kama Lebanon, Pakistan na India mapigano mengi yanasababishwa na dini, hasa uislamu.

Japan ni nchi yenye amani zaidi, hio ni fact. Japan unaweza kulala nyumba mlango wazi. Ila cheki nchi zenye hitakadi za kidini. Mwanamke akitoka tu nje kavaa kinamna flani anabakwa.
 
Nasa wametunga majibu ila hata wamarekani wenyewe hawabuy story za mwezini kuna msanii amewahi ondoka studio kutokana na hilo swali.
Conspiracy theorists. Unafkir watu wasio na akili wapo bongo tu pekee? Same people wanaopinga kutua mwezini ndio same wanaosema chanjo zina microchip na kila anaepata hizo chanjo anakua controlled na super computer iko somewhere na ndo same people wanaosema Pyramids zilijengwa na aliens... [emoji706]
 
Fatilia history ya Egypt utaona kabisa hawakujenga watumwa Ila waajiriwa na walikuwa wanalipwa vizuri .ukifuatilua pyramids pembeni kulikuwa na vi mji vidogo ndo makazi Yao hao wajenzi. Wayahudi hawajawahi kuwa watumwa Misri hio story haina ukweli wa kihistoria
Ndio nilichokisema. Japo wengine wanadai ni watumwa walijenga... ila yenye mashiko zaidi wanasema ni watu walipewa tenda kabisa... kama unavoona watu wanapewa tenda leo hii kujenga maghorofa..
Hao watu wanao dai kua ni anunaki sjui aliens hao ni wajinga tu..
 
Back
Top Bottom