Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

"Vitu vyote vilikuwepo kabla hata ya Mungu kuumba ila vilikuwepo katika mfumo wa Energy" unajua kauli zako zinanichanganya muda mwingine.

Ebu labda tuanzie kwenye energy, elezea energy ni nini alafu u-link na uumbaji hapo nitaweza kukusoma dhana yako labda
Energy is ability of doing work ...yaana pasipo energy hakuna kituchochote kinachoweza kuumbwa wala kufanyika ....kama wewe ni mkristo ndiyo maana maandiko yakasema vyote vilifanyika kwa yeye pasipo yeye hakuna chochote kinacho weza kufanyika ....kitu usicho kijua wewe na kukielewa ni mantiki ya kisanyansi inayo sema even matter is energy too .hapa kuna ufunuo mkubwa sana kuhusu mungu na vitu vyote na jinsi gani vimeumbwa
 
Energy is ability of doing work ...yaana pasipo energy hakuna kituchochote kinachoweza kuumbwa wala kufanyika ....kama wewe ni mkristo ndiyo maana maandiko yakasema vyote vilifanyika kwa yeye pasipo yeye hakuna chochote kinacho weza kufanyika ....kitu usicho kijua wewe na kukielewa ni mantiki ya kisanyansi inayo sema even matter is energy too .hapa kuna ufunuo mkubwa sana kuhusu mungu na vitu vyote na jinsi gani vimeumbwa
Concept yako ngumu kidogo ebu niwapishe wengine wajifunze kupitia wewe
 
Yap, upo sahihi Mkuu zama za Nuhu watu walikua hawajatapakaa dunia nzima...
Hao wanaopinga kuhusu gharika,, wao wanadai kwamba gharika haikufunika Dunia nzima ..... Ndiyo maana nikamjibu Kentsuhcy Wrudate kwamba Qur'an haisemi gharika ilienea Dunia nzima bali ilifunika Jamii nzima ya watu wa Nuhu.


Kimsingi upo sahihi [emoji817][emoji1364]
Ninachopinga ni vitu vingi tu. Kwahio wanyama pia walikua concentrated katk eneo moja? Kwanzia kwa penguins mpaka tembo? Maana hapa hatuongelei binadamu tu... kitu kingine miti isingeweza kusurvive ikiwa submerged kwenye maji, ni michache sana.
 
Ninachopinga ni vitu vingi tu. Kwahio wanyama pia walikua concentrated katk eneo moja? Kwanzia kwa penguins mpaka tembo? Maana hapa hatuongelei binadamu tu... kitu kingine miti isingeweza kusurvive ikiwa submerged kwenye maji, ni michache sana.
Mkuu, fahamu kwamba Wanyama ndiyo walianza kuumbwa kabla hata ya Mtu hivyo Wanyama walikua washaanza maisha Yao kabla hata ya Wanadamu.

Na hiyo haimaanishi kwamba Wanyama wote walikua wanaishi kwenye hilo eneo moja lililotokea gharika,

Kuhusu miti, tunarudi pale pale kwamba gharika iliathiri eneo husika lote ambalo Nuhu alikua akiishi na watu wake ...... So kwa mantiki hiyo miti iliyokuepo kwenye eneo husika iliathirika lakini miti kwenye maeneo mengine ya Dunia haikuathirika.
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
Hivi ulishawahi kusoma kitabu cha mwisho kutoka kwa MUNGU kuja kwa walimwengu kinachoitwa QURAN?

Maswali yako yote yamejibiwa humo.

Ngoja nikueleweshe kidogo tu.

Kila unachokiona katika ulimwengu huu asili yake inatoka kwa Mwenyezi Mungu /MUNGU.

Mungu ameumba viumbe na vitu vingi sana katika ulimwengu huu ,vipo ambavyo tunavijua na vipo vingine tusivyovijua.

Katika viumbe vyenye utashi/akili...vimeumbwa vya aina tatu.
Mosi, ni viumbe vinavyoitwa MALAIKA, hawa ni viumbe walioumbwa wakiwa na utashi na asili yao ni Nuru .Malaika hawana jinsia,sio wanaume na wala sio wanawake kiufupi ni kuwa hawana jinsia kama tulivyo mimi na wewe. Hawana matamanio, hawali wala hawanywi.

Pia wao wameumbwa kwa ajili ya kutii tu amri za Mungu hivyo hawana uwezo wa kuasi hata kidogo.

PILI, ni viumbe wanaoitwa MAJINI, hawa ni viumbe walioumbwa kabla ya ujio wa mwanadamu katika ardhi hii,asili yao ni Moto. Hawa wanashabihiana sana na wanadamu katika sifa, ..wana jinsia, wana matamanio, wanakula, wanakunywa, wana akili, wanazaana n.k kubwa zaidi ni kuwa wana utashi na uwezo wa kuchagua (free will) jema na baya. Wamepewa uhuru wa kumtii au kumuasi Mungu. Kiufupi ni watenda madhambi na vile vile ni watenda wema. Lengo kubwa la kuumbwa viumbe hawa si lingine bali ni kumuabudu MUNGU pekee.

Tatu, ni viumbe viitwavyo BINADAMU (MTU) , asili yake ni udongo, wana jinsia ,wanazaana,wanakula,wanakunywa,wana utashi na vile vile wamepewa uhuru wa kutenda mema na mabaya.Kama ilivyo kwa majini, lengo kubwa la kuumbwa mwanadamu ni kuja kumuabudu Mungu katika ardhi hii.
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
KWANINI MUNGU alimuumba Ibilis /lucifer?

Kabla ya kukimbilia kulijibu hili swali ni vema kujua ibilisi ni nani?

Iblis sio malaika kama watu wengi wanavyodhani, sifa kuu ya malaika ni kuwa hawamuasi MUNGU bali wanafanya yale wanayoamrishwa na Mungu.

Iblis ni kiumbe ktk jamii ya majini, ameumbwa kwa Moto. Amepewa utashi na uwezo wa kutii ama kuasi amri za Mungu.Jini huyu alipata bahati ya kulelewa na kukua ktk kundi la malaika huko mbinguni .Alikuja kupewa mtihani na Mungu wa kuwa amsujudie Adam mara baada ya kushindwa mtihani waliopewa pamoja na malaika na Adam .Malaika walitii amri ya Mola wao ila iblis aligoma hivyo kupelekea kulaaniwa.
 
Sina maana hiyo, namaanisha uwe katika form ya uhai alafu maisha yaendelee

Mfano: kuna wadudu flani/panzi wale sijui senene wanaitwa, wanabiolojia hutuambia huwa wana-transform kuwa vipepeo.
Sasa hio si metamorphosis...ni kwa wadudu sio kwa binadamu. The answer is no. Ubongo ukishakufa na wewe umekufa. Mawazo yako fikra zako maamuzi yako maumivu furaha zote zipo kwenye ubongo.
 
Mkuu, fahamu kwamba Wanyama ndiyo walianza kuumbwa kabla hata ya Mtu hivyo Wanyama walikua washaanza maisha Yao kabla hata ya Wanadamu.

Na hiyo haimaanishi kwamba Wanyama wote walikua wanaishi kwenye hilo eneo moja lililotokea gharika,

Kuhusu miti, tunarudi pale pale kwamba gharika iliathiri eneo husika lote ambalo Nuhu alikua akiishi na watu wake ...... So kwa mantiki hiyo miti iliyokuepo kwenye eneo husika iliathirika lakini miti kwenye maeneo mengine ya Dunia haikuathirika.
Sijasoma katika quran's POV. Ila katk biblia tunaambiwa kua ndege walitumwa kuangalia level za maji. Mara ya kwanza wakarudi kuashiria miti bado iko submerged. Mara ya pili alirudi na tawi la mti kuashiria miti inaonekana afu ndio Nuhu akaachia ndege. [emoji2377]
 
Sasa hio si metamorphosis...ni kwa wadudu sio kwa binadamu. The answer is no. Ubongo ukishakufa na wewe umekufa. Mawazo yako fikra zako maamuzi yako maumivu furaha zote zipo kwenye ubongo.
Kumbe basi unatakiwa ukubali kuwa binadamu baada ya kufa ndiyo mwisho, wake hawezi ku-exist tena kama form ya uhai kwa namna yeyote kama ambavyo sayansi ina suggest kwenye vitu vingine.

Mfano wa vitu hivyo ni mfano Jua letu (THE SUN) ambalo tunaambiwa baada ya miaka kama bilion tano lita undergo process kadhaa na kufa alafu utazaliwa mfumo mpya wa jua ambao hatujui utakuwa na viumbe hai ama laa
 
Kumbe basi unatakiwa ukubali kuwa binadamu baada ya kufa ndiyo mwisho, wake hawezi ku-exist tena kama form ya uhai kwa namna yeyote kama ambavyo sayansi ina suggest kwenye vitu vingine.

Mfano wa vitu hivyo ni mfano Jua letu (THE SUN) ambalo tunaambiwa baada ya miaka kama bilion tano lita undergo process kadhaa na kufa alafu utazaliwa mfumo mpya wa jua ambao hatujui utakuwa na viumbe hai ama laa
Quran

Al-Isra' 17:49

وَقَالُوٓا۟ أَءِذَا كُنَّا عِظَٰمًا وَرُفَٰتًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ خَلْقًا جَدِيدًا


Na walisema: Je! Tutapo kuwa mifupa na mapande yaliyo vurugika, tutafufuliwa kwa umbo jipya?


Al-Isra' 17:50

قُلْ كُونُوا۟ حِجَارَةً أَوْ حَدِيدًا



Sema: Kuweni hata mawe na chuma.

Al-Isra' 17:51

أَوْ خَلْقًا مِّمَّا يَكْبُرُ فِى صُدُورِكُمْۚ فَسَيَقُولُونَ مَن يُعِيدُنَاۖ قُلِ ٱلَّذِى فَطَرَكُمْ أَوَّلَ مَرَّةٍۚ فَسَيُنْغِضُونَ إِلَيْكَ رُءُوسَهُمْ وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هُوَۖ قُلْ عَسَىٰٓ أَن يَكُونَ قَرِيبًا


Au umbo lolote mnalo liona kubwa katika vifua vyenu. Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema: Yule yule aliye kuumbeni mara ya kwanza! Watakutikisia vichwa vyao, na watasema: Lini hayo? Sema: A'saa yakawa karibu!

Al-Isra' 17:52

يَوْمَ يَدْعُوكُمْ فَتَسْتَجِيبُونَ بِحَمْدِهِۦ وَتَظُنُّونَ إِن لَّبِثْتُمْ إِلَّا قَلِيلًا


Siku atakapo kuiteni, na nyinyi mkamuitikia kwa kumshukuru, na mkadhani kuwa hamkukaa ila muda mdogo tu.
 
By the way dini inaweza isiwe suala la kubwa kwangu.

Lakini ni kwamba, nikisoma nadharia zingine hasa sayansi ya AUSTRONOMY inanifanya mimi kwa mawazo yangu mwenyewe ni conclude tu kusema Mungu yupo.

Mfano : katika sayansi ya anga za juu (Austronomy) ni kwamba kila kitu kilichoko angani kinazunguka (every object in the universe is moving or is in motion).

Ni kama na maana kwamba Dunia inazunguka,Mwezi unazunguka,Sayari zote zinazunguka,Jua linazunguka,Galaxy (mkusanyiko wa nyota) zinazunguka,Black holes zina zunguka n.k

Yaani kifupi ni kwamba hakuna kitu hata kimoja ambacho kimo hewani kimesimama wima tu hakizunguki,every object is in motion.

Lakini sasa kinachonishangaza, kwenye hii tasnia ni kwamba "ulimwengu unazunguka kwa kufata kanuni maalum".

Yaani unavyoviona angani vyote vinazunguka kwa kufata system/formula ama mfumo maalum na ndiyo maana huoni vikigongana hovyo wakati ukiangalia ni kama viko shaghala paghala (bila mpangailio).

Isingekuwa hivi vitu viko kwenye mfumo maalum basi dunia yetu hii ingeshagogwa na vitu vingine vikubwa sana angani na ingeshasambaratika muda tu.

Coz kwenye anga kuna vitu vikubwa sana ambavyo ukifananisha na Dunia, Dunia itaonekana kama kipande cha kokoto tu.

Hivyo basi, universe kuwa katika mpangalio maalum na kufata kanuni , ndiyo kunanifanya nipate wazo kuwa "Lazima kutakuwa na fundi aliyedizaini hivi vitu na kuviongoza (kama remote controller).

Trust me huu ulimwengu usingekuwa na fundi maalum wa kuungoza basi vitu angani vingekuwa vinagongana kila dakika hata dunia sasahivi isingekuwepo ingeshafanywa kifusi mda.

Sasa huyo fundi ndiye nimekuja kudhani kwamba ndiyo atakuwa huyo Mungu anaesemwa kwenye vitabu vya dini.

Lakini sasa nimeenda na kwenye vitabu vya dini, sifa anazopewa nikilinganisha na matukio ya baadhi ya vitu humo humo kwenye vitabu vya dini, naona kabisa vinakosa ushirikiano/haviendani.

Nimeamua nikupe mfano mmoja tu wa AUSTRONOMY, ila ukitaka mwingine pia nitakup

Mi naamini sio juhudi tu kuna jambo tu lipo ndio maana Asia wanaamini sana kuhusu Fate/Destiny yani haya maisha ni kama yamepangwa nahisi ndio mana kuna watu wanafanya unabii wa yajayo
Kama nimekuelew hvi❤️
 
Alafu kitu kingine, mimi sikatai kuwa wayahudi ni wabunifu.

Ila nikupe mfano mtihani mmoja, alafu huo mtihani nijibu bila kuingiza mambo ya dini humu.

Mtihani wenyewe ni huu : Ikiwa wayahudi ni wabunifu toka enzi za zamani, llikuwaje walishindwa kutumia ubunifu wao kuilinda nchi yao mpaka wakawa wanatekwa hovyo na kuchukuliwa watumwa ?

Tangu zamani JEWISH KINGDOM ambako ndiko ilikuwa nyumbani kwa wayahudi, taifa lao lilipitia vipindi mbali mbali vya kutekwa.

Ilianza Babilon Kingdom (Iraq ya leo ) ikaipiga Jewish Kingdom na kuiteka kwa miaka, badae ikaja Pursian(Iran ya leo) ikawateka na kuwatawala vya kutosha,badae ikaja Dola ya Uyunani (Ugiriki) chini mwamba Alexender THE GREAT akawaburuta vya kutosha pia, ikaja ROMAN EMPIRE pia ikawaburuza kwa mamia ya miaka mpaka kipindi cha Yesu, badae wakaja kumalizia OTTO MAN EMPIRE (Uturuki ya leo) nao wakawatawala na kuwatawanywa vya kutosha.

So,.can you tell me ubunifu wao wakati wote ulikuwa wapi washindwe kuutumia kuilinda nchi yao dhidi ya maadui kama wanavyofanya laeo.

Nijibu please bila kutumia muktadha wa dini, maana ukitumia muktadha wa dini utanambia ilikuwa ni mpango wa Mungu wao kuteseka na kupekwa utumwani
Taifa la kiyahudi lilimuasi Mungu hivyo walilaaniwa kutokana na kuua mitume na manabii wa Mungu. Matokeo yake Mungu akawasalitisha kwa maadui zao na mbaya zaidi final prophecy inakuja kutimia soon. Wenyewe wanadhani kuwadhulumu ardhi waarabu (wapalestina) ni kheri kwao ila kiuhalisia ni moja ya makosa watakayokuja kuyajutia mno kwani huko mbeleni watakuja kufyekwa na waislam vibaya mno na ndio itakuwa mwisho wa taifa la uyahudi
 
Taifa la kiyahudi lilimuasi Mungu hivyo walilaaniwa kutokana na kuua mitume na manabii wa Mungu. Matokeo yake Mungu akawasalitisha kwa maadui zao na mbaya zaidi final prophecy inakuja kutimia soon. Wenyewe wanadhani kuwadhulumu ardhi waarabu (wapalestina) ni kheri kwao ila kiuhalisia ni moja ya makosa watakayokuja kuyajutia mno kwani huko mbeleni watakuja kufyekwa na waislam vibaya mno na ndio itakuwa mwisho wa taifa la uyahudi
Kuna utata hapa, hasa ukisoma Biblia ni nani hasa mrithi wa Ardhi ya mzee ya Ibrahimu (ardhi ya palestina).

Japo baadhi ya wanathiolojia wanasema hiyo vita mwishowe Israel itapigwa na hapo hapo ndipo kiama kitafika
 
Mun
Kuna utata hapa, hasa ukisoma Biblia ni nani hasa mrithi wa Ardhi ya mzee ya Ibrahimu (ardhi ya palestina).

Japo baadhi ya wanathiolojia wanasema hiyo vita mwishowe Israel itapigwa na hapo hapo ndipo kiama kitafika
Mungu ameelezea ahadi take juu ya udhalimu wa wana wa israel .

Quran 17:3-8
 
Quran

Al-Isra' 17:49

وَقَالُوٓا۟ أَءِذَا كُنَّا عِظَٰمًا وَرُفَٰتًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ خَلْقًا جَدِيدًا


Na walisema: Je! Tutapo kuwa mifupa na mapande yaliyo vurugika, tutafufuliwa kwa umbo jipya?


Al-Isra' 17:50

قُلْ كُونُوا۟ حِجَارَةً أَوْ حَدِيدًا



Sema: Kuweni hata mawe na chuma.

Al-Isra' 17:51

أَوْ خَلْقًا مِّمَّا يَكْبُرُ فِى صُدُورِكُمْۚ فَسَيَقُولُونَ مَن يُعِيدُنَاۖ قُلِ ٱلَّذِى فَطَرَكُمْ أَوَّلَ مَرَّةٍۚ فَسَيُنْغِضُونَ إِلَيْكَ رُءُوسَهُمْ وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هُوَۖ قُلْ عَسَىٰٓ أَن يَكُونَ قَرِيبًا


Au umbo lolote mnalo liona kubwa katika vifua vyenu. Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema: Yule yule aliye kuumbeni mara ya kwanza! Watakutikisia vichwa vyao, na watasema: Lini hayo? Sema: A'saa yakawa karibu!

Al-Isra' 17:52

يَوْمَ يَدْعُوكُمْ فَتَسْتَجِيبُونَ بِحَمْدِهِۦ وَتَظُنُّونَ إِن لَّبِثْتُمْ إِلَّا قَلِيلًا


Siku atakapo kuiteni, na nyinyi mkamuitikia kwa kumshukuru, na mkadhani kuwa hamkukaa ila muda mdogo tu.
Na kwenye kitabu Cha batman the fury.. batman alisema "kila mtu atakuwa popo siku ya mimi kurudi" . 😂😂😂 Haya Sasa na mi nimeonyesha kipande Cha kitabu.
Bana hebu skia mkiwa kwenye mabishano haya mbishane kwa facts, sio kwa hekaya za waarabu ambao wanalazimisha dunia nzima kuamini. Sisi sio watoto sawa.
 
Na kwenye kitabu Cha batman the fury.. batman alisema "kila mtu atakuwa popo siku ya mimi kurudi" . 😂😂😂 Haya Sasa na mi nimeonyesha kipande Cha kitabu.
Bana hebu skia mkiwa kwenye mabishano haya mbishane kwa facts, sio kwa hekaya za waarabu ambao wanalazimisha dunia nzima kuamini. Sisi sio watoto sawa.
😅😅😅

Mambo haya ni magumu sana SimbaMpole123.

Weakness moja kubwa ya mambo ya Dini/imani, inabidi uamini bila kuona alafu ukishaamini ndiyo utakuja kuona.

Wakati sayansi inataka uone ndiyo uamini
 
Taifa la kiyahudi lilimuasi Mungu hivyo walilaaniwa kutokana na kuua mitume na manabii wa Mungu. Matokeo yake Mungu akawasalitisha kwa maadui zao na mbaya zaidi final prophecy inakuja kutimia soon. Wenyewe wanadhani kuwadhulumu ardhi waarabu (wapalestina) ni kheri kwao ila kiuhalisia ni moja ya makosa watakayokuja kuyajutia mno kwani huko mbeleni watakuja kufyekwa na waislam vibaya mno na ndio itakuwa mwisho wa taifa la uyahudi
Bana skieni..Mungu hajaumba ulimwengu wenye nyota billion 60 na sayari trillion kadhaa, ili achague kabila la wafuga mbuzi na kondoo jangwani. Hivyo wayahudi wametengeneza huyo Mungu wao ndo maana unaona sheria zake ni sawa na tamaduni zao kipindi kile. Same applies to waarabu. Sasa we kaa apo mtu mzima unafikiri Mungu kawatokea watu milimani na mapangoni na hajakutokea wewe na we unakaa na ndevu zako unakubali ndio kawachagua wao ili akuokoe wewe. Sawa endelea kuwa na akili hizi.
Kila dini inasema sisi tumechaguliwa wengine wanaenda motoni. Ndo ujue dini Ni za watu sio za Mungu.
 
Bana skieni..Mungu hajaumba ulimwengu wenye nyota billion 60 na sayari trillion kadhaa, ili achague kabila la wafuga mbuzi na kondoo jangwani. Hivyo wayahudi wametengeneza huyo Mungu wao ndo maana unaona sheria zake ni sawa na tamaduni zao kipindi kile. Same applies to waarabu. Sasa we kaa apo mtu mzima unafikiri Mungu kawatokea watu milimani na mapangoni na hajakutokea wewe na we unakaa na ndevu zako unakubali ndio kawachagua wao ili akuokoe wewe. Sawa endelea kuwa na akili hizi.
Kila dini inasema sisi tumechaguliwa wengine wanaenda motoni. Ndo ujue dini Ni za watu sio za Mungu.
Eti "Kabila la wafuga mbuzi na kondoo" 🤣🤣
 
😅😅😅

Mambo haya ni magumu sana SimbaMpole123.

Weakness moja kubwa ya mambo ya Dini/imani, inabidi uamini bila kuona alafu ukishaamini ndiyo utakuja kuona.

Wakati sayansi inataka uone ndiyo uamini
Issue sio kuona...mbona vitu vingi vya Sayansi sijawahi viona..lakini tafiti hazidanganyi. Ndo maana moja jumlisha moja ni mbili dunia nzima. Ila Kuna dini 45753378 na miungu 57863478 duniani. Ndo maana nasema Sayansi haidanganyi, Sayansi Ina make sense na Sayansi haimtishii mtu vitu vya kufikirika ili icontrol maisha yako. Ndo maana wenzetu wanaenda mwezini sisi tunajazana makanisani. Ndo maana wenzetu wanatengeneza Chanjo sisi tunaombea wagonjwa. Ndo maana wenzetu wanatengeneza magari sisi tunawachangia wachungaji. Ukielewa tofauti ya dini na Sayansi na effect zake zote mbili. Utajua we need science to socially and economically develop
 
Back
Top Bottom