Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Hata mimi sijasema zinazungushwa na Mungu bali nimesema zinakuwa controled na DESIGNER huyo designer mimi jina simjui

Same thing. Umebadili kutoa Mungu kuweka designer tu.

Hii ni anthropic bias tu, una assume kwamba simple systems cannot evolve and increase complexity and give the appearance of design to you, where there is no design.

Hiyo idea kwamba kila kilicho complex kina designer itakupa ulimwengu ambao designer atahitaji designer wake, na designer wake atahitaji designer wake, ad infinitum, ad nauseam.
 
Iko hv mungu aliwaumba hao na kisha akawapa akili na utambuzi wa mema na mabaya yaani uhuru was kuchagua na si kuwanga ufahamu ili wamtii yeye tu

Basi baada ya kuwapa utashi Mungu mwenyewe kwa matakwa yake akaona kwenye utashi huo aliowapa basi watakao ishi mapenzi yake watakua wake na watao enda kinyume wataadhibiwa.


Mwisho nikukumbushe Kuna kitu kinaitwa madaraka yaan mtawala anakuwa na pawa ya kufanya chochote kimpendezacho yeye kwenye himaya yake

Kama ataamua mchinjane na watakao pona ndio raia wake it's ok pia

Kama ataamua watoto wote chini ya miaka mitano wauwawe it's ok pia rejea heroda na kuzaliwa kwa yesu.

Namaanisha tupige ibada tu mengine Ni ya Mungu mwenyewe!
Unasahau kuwa hapa tunamzungumzia Mungu wa Upendo?!!

Mbona unatoa mifano ya ovyo km vile mungu huwa anaamua kuswitch na kubehave km Hitler mida flani
 
Same thing. Umebadili kutoa Mungu kuweka designer tu.

Hii ni anthropic bias tu, una assume kwamba simple systems cannot evolve and increase complexity and give the appearance of design to you, where there is no design.

Hiyo idea kwamba kila kilicho complex kina designer itakupa ulimwengu ambao designer atahitaji designer wake, na designer wake atahitaji designer wake, ad infinitum, ad nauseam.
Wow....Jamii Forums Ina Richard Dawkins mwenyewe
 
Bro finally humu mtu anaelewa logical fallacies. Coz religions ndo zinatumia Sana hizi..kitu hukielewi Mungu kafanya ukija kuelewa kazi ya Mungu inapungua mpaka mwishowe inaisha. Ndo Mambo ya god of the Gaps...haya watu hawaoni kwamba gaps zimepungua na watu wanazidi kujua why vitu vipo jinsi vilivyo
Kutojua logical fallacies ni so meta, meta ignorance.

Ukizijua logical fallacies unachana kwenye msingi wa ignorance hizi nyingi sana.
 
Hakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.

Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.

Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.

MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.


Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Mudi hakutaka kuwapa shida vijana wake,kwny msahafu kawanyooshia maelezo kabsa
 
Unasahau kuwa hapa tunamzungumzia Mungu wa Upendo?!!

Mbona unatoa mifano ya ovyo km vile mungu huwa anaamua kuswitch na kubehave km Hitler mida flani
Hizo ni jitihada za kumuelezea Mungu ambaye hayupo.

Ndiyo maana unaona contradictions zote hizo.

Mungu katungwa, halafu anaonekana hapa na pale kuna contradictions, ambazo haziwezi kuwa resolved, kwa sababu katungwa na watu tu, hayupo nje ya tungo hizo.
 
Hakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.

Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.

Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.

MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.


Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Ndo shida ya vitabu vilivyoandikwa na wanadamu km sisi,ukiwa unayasema mapungufu ya biblia unaambiwa eti kuwa hujafunguliwa kuielewa biblia na bla bla km hizo,wakati Mungu mwnyw anasema kaiandika biblia ili kila mtu aielewe na haihitaji upesho wowote ili kuelewa
 
Cha kwanza inabidi ujue kuwa dini zimetengenezwa na binadamu ili waweze kujibu haya maswali unayouliza na pia ili kuendesha maisha ya watu
Cha Pili kuhusu Lucifer sijui na Eva hizi Ni story tu katika dini za ki Abraham ambazo zimetungwa kuelezea jinsi matatizo duniani yalivyoanza. Na yamemtumia mwanamke Kama chanzo Cha maovu duniani kwa sababu jamii zilizotunga hizi story zilikuwa zinachukulia wanawake Kama viumbe duni na nyoka pia walichukuliwa wanyama wabaya Sana ndo maana wakapewa hii story. Nadhani wagiriki na wamesapotamia Wana story Kama hii Tena za kwao Ni za zamani zaidi na pia dini zao ziliamini kuwa mwanamke alisababisha vyote.
Dini haiwezi kukupa majibu unayotaka Ila Sayansi imetoa majibu mengi na tumeweza jua kuhusu vitu vingine ulimwenguni na Kama unaona maswali yako yatajibiwa na kitabu kilichoandikwa kipindi ambacho watu hawakujua jua linaenda wapi usiku na watu walijua nyota zinaweza anguka duniani siku ya mwisho, Sawa Ni maamuzi yako pia
Kungekua na option ya bookmark basi ningeitunza hii post yako
 
Na mimi naomba kuuliza ni kundi lipi linaabudu Mungu wa kweli kati ya wakristo na waslamu ama pia wachina,wahindu etc kwani kwa namna jinsi hizi dini zilivyo,historia zake,ibada zake na misingi yake haziabudu mungu mmoja kwa lugha rahisi Allah na Mungu wa wakristo ni wawili tofauti?!!

Kwanini iwe hivi?!!
Wakristo, Waislam na Wahayahudi hawaabudu Mungu tofauti,....


Ukitaka ujue hawaabudu Mungu tofauti, usisikilize ushabiki wa kidini, ingia deep kwenye Elimu kuhusu hizo dini utaelewa.
 
Kiranga nakubali uwazi wako kuhusu imani zako.... Lakini, and this is coming from your fellow atheist, kujiweka wazi hivi hakuna madhara kweli??
 
Kitabu Cha ufunuo, wakristo wanakiita mafumbo kwa sababu hawataki kuamini kimeandikwa vitu vya uongo kuhusu nyota kuangushwa angani na mkia wa Dragon, viumbe vya ajabu na hivyo. Ndo maana wakristo wanakikimbia kile kitabu. We Nani kakuambia aliyeandika alisema Ni mafumbo. Basi mi nasema kitabu kizima mafumbo. Wakristo wanachagua wanachoamini na wasichoamini wanaita mafumbo ili watered dini Yao
Mkuu unakitu naendelea kufatilia replies zako,watu wangejua dini ni swala la kihistoria wasingekua wanasema hizi habari za mungu na ukuu wake
 
Kimsingi kabisa, Atheists ndiyo Wana Imani Kali kuliko hata wanaoamini kwamba Ulimwengu na viumbe wanatokana na Uumbaji wa Mungu.


Atheist wengi wanadai Sayansi ndiyo inelezea kila kitu na fact kuhusu Ulimwengu na viumbe ulivyoanza... Lakini ukidadisi utagundua hayo madai kwamba Sayansi ndiyo inelezea facts, utagundua sio kweli 100% Bali inahusisha kuamini.


sasa shida hao Atheist wanaamini hizi Scientific theories(Evolution Theory Mfano) kwamba zenyewe eti zipo 100% correct na kuona kwamba wanaoamini Mungu wapo Brainwashed.

Lakini kiukweli kabisa:-
1. Kuamini kwamba Ulimwengu na viumbe vilitokea tu from nowhere tena by chance.
2. Na kuamini kwamba Kuna Creator aliyefanya Ulimwengu na viumbe vitokee.

Mimi naona hiyo Imani ya kwanza ndiyo Kali zaidi 🙌🏼
mtu anaambiwa miaka Billions iliyopita mdudu flani alitokea by chance kisha aka_evolve akawa Popo na mtu anaamini bila wasiwasi..... Kisha anaona wanaoamini kwenye Creation theory ni wajinga then wao waerevu.


Vladmir Putini SimbaMpole123 na wafuasi wote wa dini ya brother Kiranga.
 
KWANINI MUNGU alimuumba Ibilis /lucifer?

Kabla ya kukimbilia kulijibu hili swali ni vema kujua ibilisi ni nani?

Iblis sio malaika kama watu wengi wanavyodhani, sifa kuu ya malaika ni kuwa hawamuasi MUNGU bali wanafanya yale wanayoamrishwa na Mungu.

Iblis ni kiumbe ktk jamii ya majini, ameumbwa kwa Moto. Amepewa utashi na uwezo wa kutii ama kuasi amri za Mungu.Jini huyu alipata bahati ya kulelewa na kukua ktk kundi la malaika huko mbinguni .Alikuja kupewa mtihani na Mungu wa kuwa amsujudie Adam mara baada ya kushindwa mtihani waliopewa pamoja na malaika na Adam .Malaika walitii amri ya Mola wao ila iblis aligoma hivyo kupelekea kulaaniwa.
Mkuu Kwa mujibu wa maneno yako ambayo naimani ndio maneno ya Mungu kutokana na Dini yako

Kuwa binadamu ameumbwa hapa duniani Kwa lengo la kumuamudu Mungu wake tu, Malaika ameumbwa kwa lengo la kuagizwa/kumsaidia Mungu sasa je Shetani/Jini aliumbwa kwa lengo au kazi gani?
 
Kimsingi kabisa, Atheists ndiyo Wana Imani Kali kuliko hata wanaoamini kwamba Ulimwengu na viumbe wanatokana na Uumbaji wa Mungu.


Atheist wengi wanadai Sayansi ndiyo inelezea kila kitu na fact kuhusu Ulimwengu na viumbe ulivyoanza... Lakini ukidadisi utagundua hayo madai kwamba Sayansi ndiyo inelezea facts, utagundua sio kweli 100% Bali inahusisha kuamini.


sasa shida hao Atheist wanaamini hizi Scientific theories(Evolution Theory Mfano) kwamba zenyewe eti zipo 100% correct na kuona kwamba wanaoamini Mungu wapo Brainwashed.

Lakini kiukweli kabisa:-
1. Kuamini kwamba Ulimwengu na viumbe vilitokea tu from nowhere tena by chance.
2. Na kuamini kwamba Kuna Creator aliyefanya Ulimwengu na viumbe vitokee.

Mimi naona hiyo Imani ya kwanza ndiyo Kali zaidi 🙌🏼
mtu anaambiwa miaka Billions iliyopita mdudu flani alitokea by chance kisha aka_evolve akawa Popo na mtu anaamini bila wasiwasi..... Kisha anaona wanaoamini kwenye Creation theory ni wajinga then wao waerevu.


Vladmir Putini SimbaMpole123 na wafuasi wote wa dini ya brother Kiranga.
Mimi bado niko wa vugu vugu kwanza 😅😅

Ila tofuatì yangu na yao ni kwamba mimi naamini kuna designer wa kila kitu hapa duniani ambaye jina lake mimi bado sijamjua
 
Mimi bado niko wa vugu vugu kwanza 😅😅

Ila tofuatì yangu na yao ni kwamba mimi naamini kuna designer wa kila kitu hapa duniani ambaye jina lake mimi bado sijamjua
Hahhh yap, naelewa kama upo vuguvugu.


Lakini waulize wanaoamini Theories kama Evolution kwamba:-
1. Je, Kuamini kwamba zamani watu walikua na mikia... Ila kutokana na kutoitumia ilifanya mikia idhoofike na kutoweka (Use & Disuse Theory)

2. Na, kuamini kwamba Mtu alivyo leo, ndiyo hivyo alivyoumbwa,.... Na hajawahi kuwa na mkia.




Imani ipi inahitaji kujitoa akili hapo?
 
Kimsingi kabisa, Atheists ndiyo Wana Imani Kali kuliko hata wanaoamini kwamba Ulimwengu na viumbe wanatokana na Uumbaji wa Mungu.


Atheist wengi wanadai Sayansi ndiyo inelezea kila kitu na fact kuhusu Ulimwengu na viumbe ulivyoanza... Lakini ukidadisi utagundua hayo madai kwamba Sayansi ndiyo inelezea facts, utagundua sio kweli 100% Bali inahusisha kuamini.


sasa shida hao Atheist wanaamini hizi Scientific theories(Evolution Theory Mfano) kwamba zenyewe eti zipo 100% correct na kuona kwamba wanaoamini Mungu wapo Brainwashed.

Lakini kiukweli kabisa:-
1. Kuamini kwamba Ulimwengu na viumbe vilitokea tu from nowhere tena by chance.
2. Na kuamini kwamba Kuna Creator aliyefanya Ulimwengu na viumbe vitokee.

Mimi naona hiyo Imani ya kwanza ndiyo Kali zaidi 🙌🏼
mtu anaambiwa miaka Billions iliyopita mdudu flani alitokea by chance kisha aka_evolve akawa Popo na mtu anaamini bila wasiwasi..... Kisha anaona wanaoamini kwenye Creation theory ni wajinga then wao waerevu.


Vladmir Putini SimbaMpole123 na wafuasi wote wa dini ya brother Kiranga.
Bora sisi au Bora wewe ambae unaamini kuliko na mwanga na Giza baadae dunia ikatengenezwa, baadae jua mwezi na nyota zote(ulimwengu mzima Sasa jiulize dunia ilikuwa wapi na Ina ukubwa gani kutengenezewa siku 3 na ulimwengu uliobaki siku 1), mimea kutengenezewa kabla ya jua(sijui inakuwaje bila photosynthesis), watu wawili katika bustani, mmoja katokea na udongo mwingine mbavu, Kuna matunda ya uzima wa milele na ujuzi, Kuna wanyama wote na mimea yote katika bustani moja lakini hamna kifo mpaka mwanamke atapoongea na nyoka na kuambiwa ale tunda. In short Bora niamini the gradual process of evolution kuliko kuamini hii hekaya
 
Back
Top Bottom