mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kwahiyo mkuu wewe haupo bongo??Inategemea na ulipo, unataka kufanya nini.
You have to be selective.
Huko bongo watu wanaweza kukuua kwa sababu uko tofauti nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo mkuu wewe haupo bongo??Inategemea na ulipo, unataka kufanya nini.
You have to be selective.
Huko bongo watu wanaweza kukuua kwa sababu uko tofauti nao.
Kisayansi binadam bado ana mkia hata sasa 😅😅Hahhh yap, naelewa kama upo vuguvugu.
Lakini waulize wanaoamini Theories kama Evolution kwamba:-
1. Je, Kuamini kwamba zamani watu walikua na mikia... Ila kutokana na kutoitumia ilifanya mikia idhoofike na kutoweka (Use & Disuse Theory)
2. Na, kuamini kwamba Mtu alivyo leo, ndiyo hivyo alivyoumbwa,.... Na hajawahi kuwa na mkia.
Imani ipi inahitaji kujitoa akili hapo?
Hao watu wengine hata hawaelewi atheism ni nini.Bora sisi au Bora wewe ambae unaamini kuliko na mwanga na Giza baadae dunia ikatengenezwa, baadae jua mwezi na nyota zote(ulimwengu mzima Sasa jiulize dunia ilikuwa wapi na Ina ukubwa gani kutengenezewa siku 3 na ulimwengu uliobaki siku 1), mimea kutengenezewa kabla ya jua(sijui inakuwaje bila photosynthesis), watu wawili katika bustani, mmoja katokea na udongo mwingine mbavu, Kuna matunda ya uzima wa milele na ujuzi, Kuna wanyama wote na mimea yote katika bustani moja lakini hamna kifo mpaka mwanamke atapoongea na nyoka na kuambiwa ale tunda. In short Bora niamini the gradual process of evolution kuliko kuamini hii hekaya
I don't think bongo wanashida na atheism. Unless iwe too public na too threatening national security. Lakini if normal hawawezi kukuuaInategemea na ulipo, unataka kufanya nini.
You have to be selective.
Huko bongo watu wanaweza kukuua kwa sababu uko tofauti nao.
Sipo bongo.kwahiyo mkuu wewe haupo bongo??
Plus mi sio atheist mi Ni deist.. siamini katika dini coz Ni man made..naamini katika laws za universal natureHao watu wengine hata hawaelewi atheism ni nini.
I think nimelijibu...uliza Tena au lionyesheKuna swali nilimuuliza SimbaMpole123 ila naona ameliruka haja jibu
Naomba SimbaMpole123 pita hapa hujanijibu badoSimba
Lakini mkuu tuende mbele turudi nyuma.
Hata hapo kale sana kabla hata Yesu hajazaliwa, kipindi ambacho ulimwengu ulitawaliwa na ustaraabu wa kigiriki.
Kulikuwa na wasomi wa kigiriki ambao ulimwengu bado unawaheshimu mpaka leo.
Mfano kina Socrates,kina Aristotle na kina pilato.
Hawa jamaa kuna wapo walioamini kwenye MATERIALISM (kama hii yako) na kuna wapo walioamini kwenye IDEALISM (kama kina hateeb10 ).
Walioamini kwenye IDEALISM walikuwa wanasema THE SOURCE OF ALL KNOWLEDGE IS FROM GOD (hapa ndipo dini imejikita zaidi nadhani)
Na wale walioamini kwenye MATERIALISM walisema KITU CHOCHOTE AMBACHO HUWEZI KUKIONA,KUKIGUSA,KUKIHISI,KUKIONJA BASI HICHO KITU HAKIPO NA HAKIJAWAHI KUWEPO.
Swali langu kwako, ina maana hao wasomi wakigiriki wa kale ambao waliamini kwenye IDEALISM hizo stori nako kuna mahali walizitoa ? Maana ni kale sana kabla hata ya hivi vitabu vya dini kuwepo wala yesu hajaja duniani bado
The tail boneKisayansi binadam bado ana mkia hata sasa 😅😅
Kwa akili yako na Uwezo wako wa ufahamu,... Ndiyo maana unadhani eti haiwezekani dunia na viumbe wote kutengenezwa siku 3.Bora sisi au Bora wewe ambae unaamini kuliko na mwanga na Giza baadae dunia ikatengenezwa, baadae jua mwezi na nyota zote(ulimwengu mzima Sasa jiulize dunia ilikuwa wapi na Ina ukubwa gani kutengenezewa siku 3 na ulimwengu uliobaki siku 1), mimea kutengenezewa kabla ya jua(sijui inakuwaje bila photosynthesis), watu wawili katika bustani, mmoja katokea na udongo mwingine mbavu, Kuna matunda ya uzima wa milele na ujuzi, Kuna wanyama wote na mimea yote katika bustani moja lakini hamna kifo mpaka mwanamke atapoongea na nyoka na kuambiwa ale tunda. In short Bora niamini the gradual process of evolution kuliko kuamini hii hekaya
Mkuu sidhani kama ulinielewa hapoHuyo Mungu mwenyewe huwezi kuthibitisha yupo.
Katika kuamini huyo Mungu yupo umekuwa sawa na hao waamini dini.
Unarudi kule kule unakokukataa.
Hahhh si ndiyo uongo wenyewe huo tunaosema.Kisayansi binadam bado ana mkia hata sasa 😅😅
Sio kwamba vinazunguka kwa mfumo maalumu. Bali ni balance ya gravity tu ndio inakeep vitu in orbit. Na sio kweli kwamba bodies hazigongani... zinagongana sana tu and it happens alot. Angalia ile far side ya mwezi, imejaa craters izo ni bodies zinagongana. Jupiter nayo inakua bombarded with meteors sana, dunia nayo... na sindio ilioua dinosaurs?By the way dini inaweza isiwe suala la kubwa kwangu.
Lakini ni kwamba, nikisoma nadharia zingine hasa sayansi ya AUSTRONOMY inanifanya mimi kwa mawazo yangu mwenyewe ni conclude tu kusema Mungu yupo.
Mfano : katika sayansi ya anga za juu (Austronomy) ni kwamba kila kitu kilichoko angani kinazunguka (every object in the universe is moving or is in motion).
Ni kama na maana kwamba Dunia inazunguka,Mwezi unazunguka,Sayari zote zinazunguka,Jua linazunguka,Galaxy (mkusanyiko wa nyota) zinazunguka,Black holes zina zunguka n.k
Yaani kifupi ni kwamba hakuna kitu hata kimoja ambacho kimo hewani kimesimama wima tu hakizunguki,every object is in motion.
Lakini sasa kinachonishangaza, kwenye hii tasnia ni kwamba "ulimwengu unazunguka kwa kufata kanuni maalum".
Yaani unavyoviona angani vyote vinazunguka kwa kufata system/formula ama mfumo maalum na ndiyo maana huoni vikigongana hovyo wakati ukiangalia ni kama viko shaghala paghala (bila mpangailio).
Isingekuwa hivi vitu viko kwenye mfumo maalum basi dunia yetu hii ingeshagogwa na vitu vingine vikubwa sana angani na ingeshasambaratika muda tu.
Coz kwenye anga kuna vitu vikubwa sana ambavyo ukifananisha na Dunia, Dunia itaonekana kama kipande cha kokoto tu.
Hivyo basi, universe kuwa katika mpangalio maalum na kufata kanuni , ndiyo kunanifanya nipate wazo kuwa "Lazima kutakuwa na fundi aliyedizaini hivi vitu na kuviongoza (kama remote controller).
Trust me huu ulimwengu usingekuwa na fundi maalum wa kuungoza basi vitu angani vingekuwa vinagongana kila dakika hata dunia sasahivi isingekuwepo ingeshafanywa kifusi mda.
Sasa huyo fundi ndiye nimekuja kudhani kwamba ndiyo atakuwa huyo Mungu anaesemwa kwenye vitabu vya dini.
Lakini sasa nimeenda na kwenye vitabu vya dini, sifa anazopewa nikilinganisha na matukio ya baadhi ya vitu humo humo kwenye vitabu vya dini, naona kabisa vinakosa ushirikiano/haviendani.
Nimeamua nikupe mfano mmoja tu wa AUSTRONOMY, ila ukitaka mwingine pia nitakupa
😅😅😅 designer ni energy, na energy ndiyo gravity yenyeweSio kwamba vinazunguka kwa mfumo maalumu. Bali ni balance ya gravity tu ndio inakeep vitu in orbit. Na sio kweli kwamba bodies hazigongani... zinagongana sana tu and it happens alot. Angalia ile far side ya mwezi, imejaa craters izo ni bodies zinagongana. Jupiter nayo inakua bombarded with meteors sana, dunia nayo... na sindio ilioua dinosaurs?
Vitu vyote viko in motion kwasababu universe ni matokeo ya mlipuko mkubwa so universe inatanuka, chukulia bomu mfano vile debris znavokua zinasambaa..
Ukiamini kuna designer wa kila kitu una contradict msingi wako kwamba kilicho complex/ chenye order kinahitaji designer.Mimi bado niko wa vugu vugu kwanza [emoji28][emoji28]
Ila tofuatì yangu na yao ni kwamba mimi naamini kuna designer wa kila kitu hapa duniani ambaye jina lake mimi bado sijamjua
Unaweza ukabreed binadamu akawa na mkia...Hahhh si ndiyo uongo wenyewe huo tunaosema.
Mbona hatuoni dunia ikitoka kwenye mfumo wake au ikilosogelea sana jua ili iungue.Sio kwamba vinazunguka kwa mfumo maalumu. Bali ni balance ya gravity tu ndio inakeep vitu in orbit. Na sio kweli kwamba bodies hazigongani... zinagongana sana tu and it happens alot. Angalia ile far side ya mwezi, imejaa craters izo ni bodies zinagongana. Jupiter nayo inakua bombarded with meteors sana, dunia nayo... na sindio ilioua dinosaurs?
Vitu vyote viko in motion kwasababu universe ni matokeo ya mlipuko mkubwa so universe inatanuka, chukulia bomu mfano vile debris znavokua zinasambaa..
Singularity ina gravity?[emoji28][emoji28][emoji28] designer ni energy, na energy ndiyo gravity yenyewe