Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Kisayansi binadam bado ana mkia hata sasa 😅😅
 
Hao watu wengine hata hawaelewi atheism ni nini.
 
Inategemea na ulipo, unataka kufanya nini.

You have to be selective.

Huko bongo watu wanaweza kukuua kwa sababu uko tofauti nao.
I don't think bongo wanashida na atheism. Unless iwe too public na too threatening national security. Lakini if normal hawawezi kukuua
 
Naomba SimbaMpole123 pita hapa hujanijibu bado
 
Kwa akili yako na Uwezo wako wa ufahamu,... Ndiyo maana unadhani eti haiwezekani dunia na viumbe wote kutengenezwa siku 3.

Basi Mimi nakuambia hata angetaka kuumba kila kitu kwa sekunde, Muumbaji angeweza tu.




Kama Dunia na viumbe wote tunaweza kusambaratika na kutoweka na ndani ya sekunde moja,.... Kipi kinakushangaza dunia na viumbe ulivyotaja kuumbwa ndani ya siku 3?
 
Huyo Mungu mwenyewe huwezi kuthibitisha yupo.

Katika kuamini huyo Mungu yupo umekuwa sawa na hao waamini dini.

Unarudi kule kule unakokukataa.
Mkuu sidhani kama ulinielewa hapo
 
Sio kwamba vinazunguka kwa mfumo maalumu. Bali ni balance ya gravity tu ndio inakeep vitu in orbit. Na sio kweli kwamba bodies hazigongani... zinagongana sana tu and it happens alot. Angalia ile far side ya mwezi, imejaa craters izo ni bodies zinagongana. Jupiter nayo inakua bombarded with meteors sana, dunia nayo... na sindio ilioua dinosaurs?
Vitu vyote viko in motion kwasababu universe ni matokeo ya mlipuko mkubwa so universe inatanuka, chukulia bomu mfano vile debris znavokua zinasambaa..
 
😅😅😅 designer ni energy, na energy ndiyo gravity yenyewe
 
Mimi bado niko wa vugu vugu kwanza [emoji28][emoji28]

Ila tofuatì yangu na yao ni kwamba mimi naamini kuna designer wa kila kitu hapa duniani ambaye jina lake mimi bado sijamjua
Ukiamini kuna designer wa kila kitu una contradict msingi wako kwamba kilicho complex/ chenye order kinahitaji designer.

Kwa sababu hata huyo designer ana order na complexity.

Yani unasema haiwezekani hii mifumo complex iwepo bila designer, halafu unasema kuna designer aliye complex ambaye ka design kila kitu, hivyo hana designer.

Hiyo contradiction unaiona hapo?
 
Mbona hatuoni dunia ikitoka kwenye mfumo wake au ikilosogelea sana jua ili iungue.

Kama hilo halitokei jua ndiyo mfumo maalum wenyewe ninao uzungumzia mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…