Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Majini ni jamii ya viumbe kama tulivyo sisi wanadamu. Wapo wema (wanaomuamini Mungu) na wapo pia waovu (wasiomuamini Mungu). Kama tulivyo binadamu nao wapo hivyo hivyo. Asili yao wameumbwa kwa moto na lengo la kuumbwa kwao ni kukuabudu Mungu peke yake.

Majini waovu ndio huitwa Mashetani na vile vile wanaadamu waovu huitwa mashetani. Shetani ni Sifa ya kiumbe muovu na muasi anayechochea wengine wazidi kumuasi Mungu.

Iblis ,yeye ni Jini. Ameumbwa kwa moto na alipata bahati ya kulelewa katika kundi la malaika huko mbinguni.Mwanzo alikuwa ni mchamungu sana akimuabudu Mungu kila wakati ila Mungu alijua yale yaliyofichikana ndani ya kifua cha iblis ambayo si mingine bali ni KIBURI.

Mungu alipomuumba mwanadamu kutokana na udongo,akampulizia roho na kisha akampa elimu. Baadae aliamua kuwapa mtihani Malaika, iblis (jini) na Adam. Adam alifaulu na malaika na iblis (Jini) walishindwa mtihani huo hivyo Mungu akawaamuru wamsujudie kumpa heshima Adam.Malaika wote walimsujudia huyu kiumbe mpya yaani Adam, isipokuwa huyu jini, Iblis yeye aliamua kuasi amri ya Mungu na kukataa kwa kiburi kwa kuwa ameumbwa kwa asili bora yaani Moto na Adam ameumbwa kwa udongo. Kutokana na kiburi hiyo ,Mungu alimlaani na kutolewa katika kundi la malaika alikokuwa akiishi nalo huko mbinguni nal kuteremshwa hapa duniani.Iblis alimuomba Mungu ,ampe uhai mrefu mpaka siku watu watakapofufuliwa , Mungu alimkubalia ombi lake hilo la kumpa uhai mrefu mpaka pale muda wake utakapotimia.Baada ya hapo akamuapia Mungu kuwa atavipoteza vizazi vyote vya Adam isipokuwa kwa wachache wale ambao watakuwa wamemuamini Mungu.
Kwa hiyo na we unaamini majini yapo. Na yameumbwa kwa moto. Sasa hata story yako inaonyesha Mungu mliyemtunga Hana nia na sisi. Anakubaliana kabisa na shetani eti anamwachia apoteze wengi wachache waokoke. Mi sielewi mnafurahia Nini. Hivi Leo ukahukumiwa kuunguzwa milele au mama ako au mtoto wako, we utakuwa na furaha. Shida ya dini zinapenda kutenga watu eti sisi tutaokoka nyie mtaungua, yaani mnafurahia watu kuungua mnajiaminisha dini yenu ya kweli na mnafanya vitu vya ajabu kisa mwarabu kawaambia, hio sio Imani hii Ni kutokuwa na maadili na kufikiri. Haya Leo hii hizo hekaya za waarabu za uongo na siku ya kufa ukamkuta Krishna, utajiteteaje, utasema sikujua au...hebu fikirieni nje ya box lenu bac, Kuna dunia nje ya Islam
 
Hakuna sehemu Ngoma ilikuwa ngumu Kwa Karanga bali aliamua tu muishie hapo maana hakukuwa na uwezekano wa kuja kuelewana tena

Wewe unaongozwa na imani ambayo inakupa majibu mepesi kwenye maswali magumu kwahiyo ukikutana na mtu ambae anataka facts hamuwezi kuelewana

Kwahiyo mtu akiamua kusitisha mjadara na wewe haina maana kwamba ulishinda, ila kaona hakuna kitakachobadirika ata mjadili miaka miwili

Huitaji degree yoyote ile kuona kuwa kuna ukinzani kwenye nadharia ya kuamini kuwa kuna Designer/Mungu alieumba Dunia na vyote vilivyopo ila yeye hajaumbwa

Kama utaamini kuwa kuna Designer/Mungu ambae yeye hajaumbwa na ametokea tu from no where kwanini ushindwe kuamini kuwa ata Dunia na vyote vilivyopo pia vimetokea tu from no where

Story za kusema kuwa Mungu Hana chanzo ni Akili zilipoishia waliotunga story za kuhusu Mungu na sio kweli kwamba ndio uwezo wa Mungu kujipambanua umeishia hapo

Kulitakiwa kuwe na story ingine kuhusu chanzo cha Mungu, alikuwa wapi kabla ya kuumba Dunia na vyote vilivyopo, alifanyia wapi field yake hadi kuweza kuumba Kwa kusema tu ulimwengu complex kama huu ndani ya siku 7

Hawa waliotuletea habari za Mungu muweza wa yote, Muumba wa kila kitu, Mjuzi wa yote walijua kabisa kuwa kuna siku watu wataanza kujiuliza kuhusu huu ukuu ambao tumewambia sasa tutawajibu nini?

Tuwape maneno ya kuwajaza hofu, Mambo ya Moto wa milele,Mambo ya kufuru kuhoji ukuu wa Mungu,Mambo ya Dhambi,Mungu hachunguziki,Akili yako ilipoishia ndio ya Mungu inapoanzia na blaaa blaaa kibao

Kadri siku zinavyozidi kwenda namba ya watakaokataa hizi hadith itaongezeka sana maana kuna vitu vingi vinaendelea kujulikana katika huu ulimwengu tofauti na kipindi ambacho hizi hadith zinatungwa

Leo hii Dunia sio flat tena,katika solar system sayari zimeongezeka tofauti na zamani,imejulikana kuna galaxy kibao na inawezekana na huko pia kuna viumbe hai vinaishi,Leo hii inajulikana kuwa Jua halizami kwenye tope tena na mambo kibao

Dini zililetwa na watu/kundi la watu wenye Akili kuliko wengine kujaribu kucontrol watu na kuwapa faraja kipindi ambacho wanaona hawawezi tena kuvumilia changamoto za Dunia

watu wataendelea kuzaliwa katika uislam na ukiristo na ata Dini zingine ila watakuja kuaachana nazo kadri siku zinavyozidi kwenda na kuona kama ni Ujinga na hatimae watu wa Duniani wataongozwa na LAWS OF THE UNIVERSE sio Hadith za kufikirika tena

Kutatokea kundi la watu ambao wataanza kuishi pamoja kama mke na Mume wakiwa hawana Dini na kuzaa kizazi ambacho hakina Dini, taratibu na hatimae hizi Dini za mababu zitakuja kufa ata kama sio leo ila hizo siku zinakuja

Maana kuzaliwa katika Dini fulani sio uchaguzi wa mtoto bali waga ni uchaguzi wa wazazi, alie mkristo leo ni Kwa sababu kazaliwa na wazazi wakristo na alie Muslim ni Kwa sababu kazaliwa na wazazi waislamu hakuna uspesho wowote ule katika kuzaliwa kwenye hizi Dini mbili

Walio upande wa Islamic hujiona kama wako upande mzuri ndomana hujiita Dini ya haki, ila uhalisia hakuna chochote, walioandika Bible ndio hao hao walioandika Qur'an, na ndomana wamejitahidi sana kuedit sehemu nyingi ambazo kwenye Bible waga zina ukakasi

Wakachukua vingi ambavyo zipo kwenye agano la kale na kuvitoa pia vingi, wakachukua vilivyopo kwenye uyahudi, ni sawa Tu na mwanafunzi ambae anafanya mtihani kwa kupiga chabo mara nyingi hupata mark's nyingi

TAFADHARI SANA SITAKI COMMENT YANGU IGUSWE, DAMU ITAMWAGIKA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bravo bravo bravo
 
sawa, lakini kama ni hivo basi itabiti usiseme kuwa "vitabu vya dini vimewafanya watu kuwa wajinga" bali inaonesha ujinga ulikuwepo tangu zamani hata kabla ya hizo Biblia na Qur'an kuja.

Mfano nimekupa hao wanafalsafa wa ugiriki ya kale walioamini kwenye Idealism kuwa THE SOURCE OF ALL KNOWLEDGE IS FROM GOD
Jamani si nimekuelezea gods walikuwepo tokea binadamu walikuwa hunters na gatherers, mi sijazungumzia vitabu Mimi
 
Mkuu, Sijasema Nimeshinda au nimeshindwa mjadala........

Mimi ni miongoni mwa watu wasioamini blindly,.... Na hata Imani ya dini yangu imehimiza kwenye kutumia akili.

Hivyo basi, basi elewa kwamba hakuna binadamu yoyote kwenye Dunia hii mpaka leo tunapozungumza ambae anaweza kuja na facts 100% bali kuna sehemu akili na elimu tuliyonayo inaishia hapo.


Hiyo Sayansi yenyewe kuna muda inakwama na inakua Imani kama Imani zingine(Ndiyo maana theories nyingi zinakua na statement"It's believed that Billions of years ago") Kutokana na ukweli kwamba akili na elimu tuliyonayo ipo limited.

Hivyo Sayansi pia kuna muda inakua Imani kama ilivyo Imani ya Dini.
Ila hatuambiani nyoka waliongea na mwezi ulipasuka na kurudi bana
 
Kabla sijaanza kumjibu Kiranga Hoja zake, nataka kwanza niwaulize swali wewe na SimbaMpole123 .

Kuna nadharia ya uwepo wa jamii za siri Duniani kama Freemason & Illuminati.

Na jamii hizo zimejulikana sana kwenye kuu-control ulimwengu uende vile wao wanataka na pia kuwapa wanachama wao mafanikio kama utajiri n.k lakini kwa njia ya kafara za damu ya watu.

Jamii hizi zimeonekana kuwepo kote duniani mpaka hapa TANZANIA wanasema kuna jengo lao liko hapo POSTA DAR ES SAALAM kama ndiyo HQ kwa upande wa Tanzania.

Tumeshuhudia watu mbali mbali wakihusishwa na hizo imani ikiwemo marehemu Steven Kanumba, Sir Andy Chande ambae pia alifanikiwa kuwa kiongozi mkubwa tu ndani ya jamii hiyo.

Sasa mimi nime-base zaidi kwa hawa ambao walifanikiwa kutoka salama huko na wamefanikiwa kuwa hai hata sasa na wamekuja kusimulia maovu yote yaliyoko huko kama Kafara, magic power n.k

Mfano wa watu hao ni PASCHAL CASSIAN ambae pia alikuwa mshindi wa bongo star search 2009, amesema mengi sana kuhusu freemason na mpaka sasa bado anasema na ni kwa sababu pia yeye amewatumikia.

Swali langu kwenu nyie Kiranga na SimbaMpole123 , Je mnaamini katika uwepo wa nguvu hizo za majaabu kuwa zipo au hamwammini kabisa mnaona ni uzushi tu wa kinadharia
Hamna nguvu ya ajabu, no ghosts. No kafara...no magic ..Kama umeskia ni Imani zake tu huyo na yaliyomo akilini, mtu kuuliwa it's natural na wanaweza kusema ni kafara. Ila there's no such thing is dark power sijui kucontrol dunia iende. Bac waambie wacontrol Vita ya Ukraine iishe Bei zishuke si wamarekani ndo wanamashetani au wazungu
 
Mkuu,naomba kujua

Ikiwa Dunia hapo mwanzo ilikua maji then baadae ndiyo kukajitenga kama tuonavyo milima,ardhi n.k

Binadamu walitokea wapi?

Walikuja baada ya maji kujitenga na kuona atmosphere hii ya sasa naamini

Je walitokea wapi na nani aliwaleta

Na kwa nini leo tupo weusi na weupe

Lakini makabira tofauti tupo?

Kama asili yetu 1 why tusingekua rangi moja,lugha moja na kabila moja


Wapi tulitoka na wapi tulianzia na nani alituleta humu duniani?
Mambo ya lugha makabila na rangi si inaeleweka kwamba ni migration au Hujui historia. Kingine mambo ya dunia kuwa maji kabla ya binadamu na story ya Noah na zoo la wanyama kwenye safina zinahusianaje. Tatu hamna mtu kaletwa na kitu tumetokana na mazingira, Kama hivyo from amino acids which are the building blocks of life, to single celled organisms, to multicellular organisms.. miaka million iliyopita. Ila that's what science says na Ina evidence nyingi kuliko story yenu ya Adam na Hawa katika bustani na nyoka anayeongea.
 
Na mbaya zaidi kinachanganya ni kuwa hata majini/mashetani ambayo watu wanaamini yalikuwepo kabla na yenye ufahamu Yanaamini na kujua kabisa kuwa kuna uwepo wa Mungu.
Mungu Yupo! Ila ukisema kuutafuta ukamilifu wake na udhaifu huuwezi kuupata maana hekima ya Mungu ni haina kipimo..it is beyond human scope.
 
Na mbaya zaidi kinachanganya ni kuwa hata majini/mashetani ambayo watu wanaamini yalikuwepo kabla na yenye ufahamu Yanaamini na kujua kabisa kuwa kuna uwepo wa Mungu.
Mungu Yupo! Ila ukisema kuutafuta ukamilifu wake na udhaifu huuwezi kuupata maana hekima ya Mungu ni haina kipimo..it is beyond human scope.
Majini. They don't exist.
 
What power? Human ability, to the extent that we can explain, has been explained by biology, history, psychology, chemistry, physics etc.

And the extent that we do not understand, we have to investigate and understand factually as much as possible, not just believe.

What is this power you are talking about?
Man u r a genius
 
Hakuna sehemu Ngoma ilikuwa ngumu Kwa Karanga bali aliamua tu muishie hapo maana hakukuwa na uwezekano wa kuja kuelewana tena

Wewe unaongozwa na imani ambayo inakupa majibu mepesi kwenye maswali magumu kwahiyo ukikutana na mtu ambae anataka facts hamuwezi kuelewana

Kwahiyo mtu akiamua kusitisha mjadara na wewe haina maana kwamba ulishinda, ila kaona hakuna kitakachobadirika ata mjadili miaka miwili

Huitaji degree yoyote ile kuona kuwa kuna ukinzani kwenye nadharia ya kuamini kuwa kuna Designer/Mungu alieumba Dunia na vyote vilivyopo ila yeye hajaumbwa

Kama utaamini kuwa kuna Designer/Mungu ambae yeye hajaumbwa na ametokea tu from no where kwanini ushindwe kuamini kuwa ata Dunia na vyote vilivyopo pia vimetokea tu from no where

Story za kusema kuwa Mungu Hana chanzo ni Akili zilipoishia waliotunga story za kuhusu Mungu na sio kweli kwamba ndio uwezo wa Mungu kujipambanua umeishia hapo

Kulitakiwa kuwe na story ingine kuhusu chanzo cha Mungu, alikuwa wapi kabla ya kuumba Dunia na vyote vilivyopo, alifanyia wapi field yake hadi kuweza kuumba Kwa kusema tu ulimwengu complex kama huu ndani ya siku 7

Hawa waliotuletea habari za Mungu muweza wa yote, Muumba wa kila kitu, Mjuzi wa yote walijua kabisa kuwa kuna siku watu wataanza kujiuliza kuhusu huu ukuu ambao tumewambia sasa tutawajibu nini?

Tuwape maneno ya kuwajaza hofu, Mambo ya Moto wa milele,Mambo ya kufuru kuhoji ukuu wa Mungu,Mambo ya Dhambi,Mungu hachunguziki,Akili yako ilipoishia ndio ya Mungu inapoanzia na blaaa blaaa kibao

Kadri siku zinavyozidi kwenda namba ya watakaokataa hizi hadith itaongezeka sana maana kuna vitu vingi vinaendelea kujulikana katika huu ulimwengu tofauti na kipindi ambacho hizi hadith zinatungwa

Leo hii Dunia sio flat tena,katika solar system sayari zimeongezeka tofauti na zamani,imejulikana kuna galaxy kibao na inawezekana na huko pia kuna viumbe hai vinaishi,Leo hii inajulikana kuwa Jua halizami kwenye tope tena na mambo kibao

Dini zililetwa na watu/kundi la watu wenye Akili kuliko wengine kujaribu kucontrol watu na kuwapa faraja kipindi ambacho wanaona hawawezi tena kuvumilia changamoto za Dunia

watu wataendelea kuzaliwa katika uislam na ukiristo na ata Dini zingine ila watakuja kuaachana nazo kadri siku zinavyozidi kwenda na kuona kama ni Ujinga na hatimae watu wa Duniani wataongozwa na LAWS OF THE UNIVERSE sio Hadith za kufikirika tena

Kutatokea kundi la watu ambao wataanza kuishi pamoja kama mke na Mume wakiwa hawana Dini na kuzaa kizazi ambacho hakina Dini, taratibu na hatimae hizi Dini za mababu zitakuja kufa ata kama sio leo ila hizo siku zinakuja

Maana kuzaliwa katika Dini fulani sio uchaguzi wa mtoto bali waga ni uchaguzi wa wazazi, alie mkristo leo ni Kwa sababu kazaliwa na wazazi wakristo na alie Muslim ni Kwa sababu kazaliwa na wazazi waislamu hakuna uspesho wowote ule katika kuzaliwa kwenye hizi Dini mbili

Walio upande wa Islamic hujiona kama wako upande mzuri ndomana hujiita Dini ya haki, ila uhalisia hakuna chochote, walioandika Bible ndio hao hao walioandika Qur'an, na ndomana wamejitahidi sana kuedit sehemu nyingi ambazo kwenye Bible waga zina ukakasi

Wakachukua vingi ambavyo zipo kwenye agano la kale na kuvitoa pia vingi, wakachukua vilivyopo kwenye uyahudi, ni sawa Tu na mwanafunzi ambae anafanya mtihani kwa kupiga chabo mara nyingi hupata mark's nyingi

TAFADHARI SANA SITAKI COMMENT YANGU IGUSWE, DAMU ITAMWAGIKA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Umemueleza vizuri sana, ila, kwa mtu ambaye amechagua mwenyewe kutoelewa, kuelewa ni vigumu sana.

Na hata akielewa ataweka upinzani wa "cognitive dissonance" tu.
 
Hamna nguvu ya ajabu, no ghosts. No kafara...no magic ..Kama umeskia ni Imani zake tu huyo na yaliyomo akilini, mtu kuuliwa it's natural na wanaweza kusema ni kafara. Ila there's no such thing is dark power sijui kucontrol dunia iende. Bac waambie wacontrol Vita ya Ukraine iishe Bei zishuke si wamarekani ndo wanamashetani au wazungu
😅😅😅 bora wewe umesema kwa uwazi kuwa haipo, ila kiranga alikuwa amenichanganya kidogo kuonesha hata hiyo nguvu hajawahi kuiskia.

Mkuu kwa sababu wewe umesema wazi kuwa hiyo nguvu haipo, mimi sitakuuliza maswali mengi tena kuhusu hilo ila ningeuliza kaswali kafupi tu kuwa : Unawaelezea wale wanaoonekana kwenye media na kusema kuwa wamepitia hizo imani, mfani kina PASCHAL CASSIAN na ANDY CHANDE,

Je ni vichaa ? Waongo ambao wamekuja kutupotosha na simulizi zao ?

Ani wewe unaweza ukawaelezea kwa namna gani watu kama hao ?


NB : Vita ya ukraine na Urusi wapo wanaoamini imeletwa na hao (illuminati), na siyo hivyo tu hata world wars 1&2 wapo wanaoamini vililetwa na wale jamaa japo mimi siamini katika wazo hilo.
 
Mimi sikubali katika kuwapo kwa supernatural power yoyote, kuna natural power ambayo watu hawajaielewa inaitwa supernatural power/ magic etc.

Kuna watu wanapenda iwepo supernatural power/ magic etc, wao wakiona kitu chochote wasichokielewa, badala ya kukichunguza wakielewe in terms of natural powers, wanakimbilia kusema hii ni supernatural power.

Wale babu zetu walivyooneshwa redio na wazungu, wakasikia mtu anaongea kutoka katika redio, waliona kama uchawi, wakati si uchawi, ni sayansi tu ambayo hawakuijua.

Sasa na wewe unaposema huu ni uchawi, unajuaje ni uchawi kweli na si kitu ambacho hukielewi tu kama hao babu zetu?

Nimekuuliza unajuaje hii ni supernatural power, na si natural power ambayo wewe hujaijua tu?

Hujanijibu.
By the way supernatural power mimi huwa naiskia tu kuwepo kinadharia na mara nyingi huadhaniwa kwamba yenyewe hutenda pale binadamu anapokuwa ameshindwa
 
By the way supernatural power mimi huwa naiskia tu kuwepo kinadharia na mara nyingi huadhaniwa kwamba yenyewe hutenda pale binadamu anapokuwa ameshindwa
Kwa hiyo mtu akishindwa kuyavuta maji yashuke mlima, halafu gravity ikaweza, hiyo gravity inakuwa supernatural power?
 
Mimi sikubali katika kuwapo kwa supernatural power yoyote, kuna natural power ambayo watu hawajaielewa inaitwa supernatural power/ magic etc.

Kuna watu wanapenda iwepo supernatural power/ magic etc, wao wakiona kitu chochote wasichokielewa, badala ya kukichunguza wakielewe in terms of natural powers, wanakimbilia kusema hii ni supernatural power.

Wale babu zetu walivyooneshwa redio na wazungu, wakasikia mtu anaongea kutoka katika redio, waliona kama uchawi, wakati si uchawi, ni sayansi tu ambayo hawakuijua.

Sasa na wewe unaposema huu ni uchawi, unajuaje ni uchawi kweli na si kitu ambacho hukielewi tu kama hao babu zetu?

Nimekuuliza unajuaje hii ni supernatural power, na si natural power ambayo wewe hujaijua tu?

Hujanijibu.
Kiranga nna swali kwako : umejitambulisha vizuri kuwa wewe ni Atheist, na kuna mtu mmoja maarufu sana duniani anaitwa Elon Musk naye ana imani kama yako.

Lakini Elon Musk ni mwanasayansi pia naweza nikasema (japo ni injinia) ila yeye anaamini katika uwepo wa ALIENS.

Je, vipi wewe kama Atheist unaamini katika uwepo wa viumbe hao pia ?
 
😅😅😅 bora wewe umesema kwa uwazi kuwa haipo, ila kiranga alikuwa amenichanganya kidogo kuonesha hata hiyo nguvu hajawahi kuiskia.

Mkuu kwa sababu wewe umesema wazi kuwa hiyo nguvu haipo, mimi sitakuuliza maswali mengi tena kuhusu hilo ila ningeuliza kaswali kafupi tu kuwa : Unawaelezea wale wanaoonekana kwenye media na kusema kuwa wamepitia hizo imani, mfani kina PASCHAL CASSIAN na ANDY CHANDE,

Je ni vichaa ? Waongo ambao wamekuja kutupotosha na simulizi zao ?

Ani wewe unaweza ukawaelezea kwa namna gani watu kama hao ?


NB : Vita ya ukraine na Urusi wapo wanaoamini imeletwa na hao (illuminati), na siyo hivyo tu hata world wars 1&2 wapo wanaoamini vililetwa na wale jamaa japo mimi siamini katika wazo hilo.
Skia..mfano we umelala ukaamka ukaona malaika chumbani kwako kakutokea na kakuongelesha. Je, utaamini kwamba sheria za ulimwengu wa asili zimepishana kwa ajili yako au wewe macho yako na ubongo wako umekosea kutafsiri Hali halisi. Watu wanaona vitu ndio..Kama vile Fatima watu 3000 waliona jua linachezacheza..Ila jua lilicheza, au akili zao ndo ziliwachezea hio michezo. Tafuta real video ya anything supernatural, halafu ndo ukubali na iwe true coz vitu vya hivyo vingetangazwa taarifa za habari main, hizi story zipo hata bongo lakini hazitangazwi kwa sababu zipo kwenye akili tu.
 
Kiranga nna swali kwako : umejitambulisha vizuri kuwa wewe ni Atheist, na kuna mtu mmoja maarufu sana duniani anaitwa Elon Musk naye ana imani kama yako.

Lakini Elon Musk ni mwanasayansi pia naweza nikasema (japo ni injinia) ila yeye anaamini katika uwepo wa ALIENS.

Je, vipi wewe kama Atheist unaamini katika uwepo wa viumbe hao pia ?
Siamini katika kuamini, nataka kujua.
 
Back
Top Bottom