Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
So, gravity is God?Tunakuja pale pale, God is energy and & gravity is among of that energy 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So, gravity is God?Tunakuja pale pale, God is energy and & gravity is among of that energy 😎
Gravity is Energy & God is energy tooSo, gravity is God?
Waanzilishi wa freemason. Masons as wajenzi... rituals zao za miaka ile.Hizo rituals zinaashiria nini
Haya unawajua Viumbe Aliens ?Siamini katika kuamini, nataka kujua.
Ukishaanza kutambika wewe tayari kuna imani unaziamini (Miungu)Waanzilishi wa freemason. Masons as wajenzi... rituals zao za miaka ile.
Wachaga mara nyingi tunaenda moshi na kufanya rituals mbalimbali, kwani hua zinaashiria nn? Kumbukumbu tu ya predecessor wetu...
Hujanijibu kwa uwazi jinsi unavyowachukulia watu kama lina CASSIAN na kina ANDY CHANDE na hadithi zaoSkia..mfano we umelala ukaamka ukaona malaika chumbani kwako kakutokea na kakuongelesha. Je, utaamini kwamba sheria za ulimwengu wa asili zimepishana kwa ajili yako au wewe macho yako na ubongo wako umekosea kutafsiri Hali halisi. Watu wanaona vitu ndio..Kama vile Fatima watu 3000 waliona jua linachezacheza..Ila jua lilicheza, au akili zao ndo ziliwachezea hio michezo. Tafuta real video ya anything supernatural, halafu ndo ukubali na iwe true coz vitu vya hivyo vingetangazwa taarifa za habari main, hizi story zipo hata bongo lakini hazitangazwi kwa sababu zipo kwenye akili tu.
Sio kitambika. Duh!Ukishaanza kutambika wewe tayari kuna imani unaziamini (Miungu)
Freemason wanatoa kafara, na wanaamini kuna nguvu kubwa kuliko wao ambayo inatoka kwa malaika wa nuru (Satan).Sio kitambika. Duh!
Yani kama mila hivi... kwenye freemason lodges hakuna mijadala ya miungu/mungu wala siasa
Wanyama, Wadudu,Ndege etc. wanawasiliana/ wanaongea.... Labda useme huwaelewi....Ila hatuambiani nyoka waliongea na mwezi ulipasuka na kurudi bana
How do you know so?Gravity is Energy & God is energy too
Vipi, ushawahi kuhudhuria kwenye freemason lodges au umejuaje mkuuSio kitambika. Duh!
Yani kama mila hivi... kwenye freemason lodges hakuna mijadala ya miungu/mungu wala siasa
Kuwajua maana yake nini? Unauliza kama najua kwamba kuna dhana ya kuwepo aliens au kama najua kwamba aliens wapo? Hayo ni mambo mawili tofauti.Haya unawajua Viumbe Aliens ?
Mkuu hilo swali i've asking myself for a while... kwny bible kuna mstari Mungu anasema nalingalikujua tangu u tumboni mwa mama yko ukiitafsiri ni kwmb alijua kila kitu kuhusu ww na hata fate yko yy ndo anaijua so manaake ni kwmb tang u tumboni anajua we ni wa moton au pepon regardless utaish vp dunian...sasa si unaona kuwa mungu anakuwa anajua hatima yetu hata kama hatujaumbwa so hiyo hatima hauwezi kuichange
Duuh...haya unaelewa nini kuhusu AliensKuwajua maana yake nini? Unauliza kama najua kwamba kuna dhana ya kuwepo aliens au kama najua kwamba aliens wapo? Hayo ni mambo mawili tofauti.
Usiniulize, nenda wewe alafu utakuwa na la kutuambia hapaVipi, ushawahi kuhudhuria kwenye freemason lodges au umejuaje mkuu
Hii nilimuuliza Kentsuhcy Wrudate nadhani ume misquote mkuuUsiniulize, nenda wewe alafu utakuwa na la kutuambia hapa
Duuh...ni kweli bhan, hata mimi sijatambua kama nimekujibu wewe, samahani sana mkuuHii nilimuuliza Kentsuhcy Wrudate nadhani ume misquote mkuu
Hamna shida Mkuu..,Duuh...ni kweli bhan, hata mimi sijatambua kama nimekujibu wewe, samahani sana mkuu
Jamani we..nimekuambia sio kila kitu macho yako yanachoona niyaukweli. so whether walifanya Nini mi sijui .Ila hawana proof ya supernatural power zaidi ya story zao tu..hio inaitwa argument from experience..unasema kitu kipo coz we umekiexperience, lakini sio kila mtu anaweza kuexperience inabaki story tu ndo maana sio evidence.Hujanijibu kwa uwazi jinsi unavyowachukulia watu kama lina CASSIAN na kina ANDY CHANDE na hadithi zao
Umetoa maswali badala ya majibu !duh! Swali hili ni fikirishi na kupitia hili swali watu wengi wanaweza kukomboka na mizigo yao kiimani . Maana kuna watu wanaishi Kwa hofu kuu kwamba watachomwa siku ya mwishoHapo naona unamfikiria Mungu kama binadamu.
Ila kwa Mungu dunia iko sawa kabisa na anavyotaka yeye, ila wewe ndo unafikiri hayo yote yaliyo tokea yako nje ya uwezo wake.
Ngoja nikuulize
1.Kwa nini tunaweka watu 22 uwanjani washindane kuingiza mpira golini kwa kutumia miguu.
Mbona asiingia tu mtu mmoja akabeba mpira na mkono akaugiza golini?
2.Umewahi kucheza gemu rahisi? Lilikua linaboa eeeh?
Mpaka happy Kuna kitu umegundua au bado.