SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Proof ni kwamba majani yanahitaji jua kukua so telling me majani yalikuwepo kabla ya jua ni uwongo.Yap, wewe ndiyo umetoa hoja yako kwamba Kuna Geological records zinaonyesha kwamba Dunia haikuumbwa kwa siku 6.
Hivyo burden of proof ni yako,... Inabidi utuletee uthibitisho wa hizo Geological records zinazoonyesha Dunia haikuumbwa kwa siku 6!
Kuna cheetahs sheep ambao Ni shoga mpaka chimpanzees...unabisha ingia Google search. Afu that's a stupid logic so unataka tuishi Kama wanyama...tuibiane, tuuwane, tubakane au sio...toa point ya msingi ya wanyama imebumaMimi sikamii mtu, labda kwa sababu Truth huwa inaongea sauti ya nguvu ndiyo maana unahisi nakamia.
Hivyo vitu havijawahi kuwa sawa, labda unionyeshe Beberu Shoga... Otherwise Utakua ni Mental issue &Evil
Shida nyingine Wana force na kushawishi mpaka watoto wabadili jinsia zao kama Sio ushetani ni Nini?
Surah An-Nisa (4:119)
Indeed, I will mislead them, and I will arouse in them [sinful] desires, and I will command them so they will [ultimately] slit the ears of cattle, and I will command them so they will change the creation of Allah."
Hiyo verse hapo juu inaonyesha kabisa mzee Baba Iblees yupo behind the scenes kwenye Woke agenda!!
Ww Sudan hujui hata ndege haziruhusiwi kupita kwasababu hio? Au unakaza fuvu tu...Hiyo story ya Sudan mwenyewe umesema kwamba ni Hearsay kutoka kwa co-worker wako.... Sasa Ili uthibitishe yanayosemwa tuwekee habari kutoka chanzo chochote cha habari cha kuaminika.
Hizo Nchi zimeteketea kivipi,.... Hizo Nchi unazosema Zinajiteketeza zenyewe kwa ku push WOKE AGENDA(Transgender na Ushoga kwa ujumla)..... Sasa Sijui Uislam unaziteketeza vipi hizo Nchi.
Sio imani sasa acha ubishi ww... ndiomaana inakua studied.Mara nyingi kwenye Evolution Theory inatumika phrase ''Its Believed that..... ". Kwasababu wanajua hiyo ni Imani na currently kuna vitu hawawezi kuthibitisha hivyo inabidi Imani itumike.
NB:- Hawatumii "it's speculated that"....... Kwasababu,...Speculation is only for the future endeavors! Belief is for the past& future [emoji1755]
"Mbingu na ardhi zlikua zimeungana"Ishu ni kwamba kuna vitu Mimi, wewe, Wanasayansi na kadhalika hatuna elimu navyo,....... Na kitu Kingine ukweli wa jinsi ya Uumbaji ulivyokua ni lazima tuupate kwa Muumbaji mwenyewe na sio kutoka kwa Mwanasayansi ambae ni kama wewe tu tumezaliwa Dunia na kila kitu tumevikuta(How can you expect that Mtu amekuta Ulimwengu tayari una Operates maelfu kwa maelfu ya miaka eti aelezee facts 100% kuhusu existence ya Ulimwengu?)
Ngoja nikupe mfano huenda ukaelewa:- Let's say Bing bang imetokea kutoka kwenye Singularity kama Sayansi inavyosema, Then tumepata Galaxies na Sayari zote kwa ujumla...
1. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo viumbe wengine wote walitokea wapi?(au ndiyo kusema tume evolve kutoka kwa Ancestor mmoja?)
2. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo aina zote za mimea zilitokea wapi?
UKIANGALIA KILA KITU KIMEKAA KWENYE MPANGILIO, JE VITU VILIJIPANGA VYENYEWE?!,...
KUANZIA ULIMWENGU NA GRAVITY FORCE, YANI MPAKA MWILI WAKO NA ORGAN ZOTE MOYO,FIGO,UBONGO,UTUMBO MNENE, UTUMBO MWEMBAMBA, KORODANI, MPANGILIO WA MFUMO WA MENO(The human teeth system is designed to work together to efficiently break down food into smaller pieces, making it easier for the digestive system to extract nutrients from it) MPAKA NYUSI NA KOPE ZIPO KWENYE MPANGILIO.
Maelezo ya Uumbaji 100% tutapata kutoka kwa Muumbaji mwenyewe,sisi na Wanasayansi tutakua tunatoa suggestions tu!
Surah Al-Anbiya, verse 30:
"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?" (Quran 21:30)
Ukitizama hiyo Aya hapo juu ambayo imekua revealed zaidi ya miaka 1400 iliyopita, inaeleza kwamba earth & heavens zilikua zimeungana kabla ya kulipuliwa na kutenganishwa(ambapo unaweza uka relate na concept ya Bing Bang.)
kwa uelewa wako wewe, Ingekua Wanasayansi hawajasema kuhusu Bing Bang Theory basi ungesema Qur'an hapo kwenye hiyo Aya imedanganya mno Kwasababu kwa akili ya kawaida ukiambiwa mbingu na ardhi zilikua zimeungana utabisha!
NB:- "A designer is not only the creator, but also the knower of It's design, possessing a deep understanding of every detail and intention behind it."
Afu hii Haifanani na big bang hata kidogo acha kudanganya watu ambao hawajui kusoma kingereza. Hapo inasema heavens and earth were joined afu zikatenganeshwa. Big bang haihusu earth Wala heaven yako hio. Inahusu beginning as a spark. So the Quran once again is wrong kwa kuweka humans and the earth as the center of everything wakati scientists know dunia imekuja later in the universe. Na kwa akili yako heavens ni Nini asa. Coz kwa watu wa kale anga ilikuwa heavens ndo kwa Imani Yao ilikuwa nyota zote jua na mwezi. Haya Sasa so now unajua kwamba jua ni nyota na zote ni kubwa kuliko dunia na anga sio ceiling board yenye madirisha ya kumwaga mvua niambie heavens ni Nini sasa?Ishu ni kwamba kuna vitu Mimi, wewe, Wanasayansi na kadhalika hatuna elimu navyo,....... Na kitu Kingine ukweli wa jinsi ya Uumbaji ulivyokua ni lazima tuupate kwa Muumbaji mwenyewe na sio kutoka kwa Mwanasayansi ambae ni kama wewe tu tumezaliwa Dunia na kila kitu tumevikuta(How can you expect that Mtu amekuta Ulimwengu tayari una Operates maelfu kwa maelfu ya miaka eti aelezee facts 100% kuhusu existence ya Ulimwengu?)
Ngoja nikupe mfano huenda ukaelewa:- Let's say Bing bang imetokea kutoka kwenye Singularity kama Sayansi inavyosema, Then tumepata Galaxies na Sayari zote kwa ujumla...
1. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo viumbe wengine wote walitokea wapi?(au ndiyo kusema tume evolve kutoka kwa Ancestor mmoja?)
2. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo aina zote za mimea zilitokea wapi?
UKIANGALIA KILA KITU KIMEKAA KWENYE MPANGILIO, JE VITU VILIJIPANGA VYENYEWE?!,...
KUANZIA ULIMWENGU NA GRAVITY FORCE, YANI MPAKA MWILI WAKO NA ORGAN ZOTE MOYO,FIGO,UBONGO,UTUMBO MNENE, UTUMBO MWEMBAMBA, KORODANI, MPANGILIO WA MFUMO WA MENO(The human teeth system is designed to work together to efficiently break down food into smaller pieces, making it easier for the digestive system to extract nutrients from it) MPAKA NYUSI NA KOPE ZIPO KWENYE MPANGILIO.
Maelezo ya Uumbaji 100% tutapata kutoka kwa Muumbaji mwenyewe,sisi na Wanasayansi tutakua tunatoa suggestions tu!
Surah Al-Anbiya, verse 30:
"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?" (Quran 21:30)
Ukitizama hiyo Aya hapo juu ambayo imekua revealed zaidi ya miaka 1400 iliyopita, inaeleza kwamba earth & heavens zilikua zimeungana kabla ya kulipuliwa na kutenganishwa(ambapo unaweza uka relate na concept ya Bing Bang.)
kwa uelewa wako wewe, Ingekua Wanasayansi hawajasema kuhusu Bing Bang Theory basi ungesema Qur'an hapo kwenye hiyo Aya imedanganya mno Kwasababu kwa akili ya kawaida ukiambiwa mbingu na ardhi zilikua zimeungana utabisha!
NB:- "A designer is not only the creator, but also the knower of It's design, possessing a deep understanding of every detail and intention behind it."
Maneno yapo, Bali umekataa kuyaaminiBac so far hatuna maneno ya huyo muumbaji. So tutulie...
Hahh wewe ndiyo umetoa hoja kwamba Al Qaeda wanahusiana na Uislam.Basi hawahusiani. Ukiacha kujitoa akili utanipa hoja.
Sija twist maneno, Bali yapo hivyo... Kuthibitisha inabidi ukubali kusoma mwenyewe."Mbingu na ardhi zlikua zimeungana"
Make it make sense... afu usitake kutwist maneno ionekane kua quran iko sahihi kwakua inaendana na sayansi
Ili mtoto apatikane ilihitajika awepo Male & female,... Lakini kwa ujuzi wa Muumbaji Jesus was born without a Male parent!Proof ni kwamba majani yanahitaji jua kukua so telling me majani yalikuwepo kabla ya jua ni uwongo.
Unafeli, kwahiyo kuona Wanyama mashoga mpaka niingie google?Kuna cheetahs sheep ambao Ni shoga mpaka chimpanzees...unabisha ingia Google search. Afu that's a stupid logic so unataka tuishi Kama wanyama...tuibiane, tuuwane, tubakane au sio...toa point ya msingi ya wanyama imebuma
Kwahiyo Uislam unahusika vipi na Ndege kutoruhusiwa kupitia Sudan?Ww Sudan hujui hata ndege haziruhusiwi kupita kwasababu hio? Au unakaza fuvu tu...
Hizo nchi gays walikuepo tokea miaka ile. Ile yea, woke culture imeharibu zaid pia. Nchi kama Lebanon na Pakistan zimekua worse baada ya utawala wa usilamu.
Hiyo ni Imani tena Imani yenyewe ya kitoto,....Sio imani sasa acha ubishi ww... ndiomaana inakua studied.
Evolution sio imani, ikifika point fulan unaweza ukasema kua "...it's believed that..." ila kwa vitu recent kuna ushahidi kabsa na unaweza kua tested.
Mfano wa Evolutions zenye uhakika ni kama nyoka. Tunajua kabsa ancestor wa nyoka alikua na miguu, pia tuna twiga. Tunajua kua ancestor wa twiga alikua na shingo fupi. Nyangumi na dolphins tunajua kua ancestor wao alikua ni mamalia alieishi nchi kavu... fossils ziko clear. Sasa speculations znakuja kwa vitu mfano kusema kua viumbe wote tumetokana na 'samaki flani' ndio unaweza kusema "tunadhania" kwasababu hio ni kitu cha long time sana na huwez kurely ktk fossils pekee. Kuna namna zingine nyingi zaidi zilizopelkea theory hio..
Una uhakika gani mtume hakuota na kuwaambia ni Mungu ili awacontrol..mtu yoyote anaweza akasema ametokewa na malaika, Yesu au Mungu. Hata Zumaridi anaweza shida Zumaridi kakosea mda, saa hivi watu wanaakili.Maneno yapo, Bali umekataa kuyaamini
Google Al Qaeda ingia Wikipedia somaHahh wewe ndiyo umetoa hoja kwamba Al Qaeda wanahusiana na Uislam.
Kama ilivyo kawaida, mtoa hoja ndiyo inabidi athibitishe!
Jesus wasn't born out of a virgin . Mary was a young unmarried girl. Ikawa mistranslated to virgin. Pia many gods were born from virgins before Jesus wayahudi wakaamua waibe hio narrative na pia ukitaka u make sense story za Biblia lazma uweke miujiza kila sehemu, kitu kikionekana as false unasema hoo miujiza. Ndo maana hizi dini zitaendelea kukutawala coz zinamake extra ordinary unfalsifiable and unprovable claims and promises of threats and rewards after death coz no one can substantiate the claims.Ili mtoto apatikane ilihitajika awepo Male & female,... Lakini kwa ujuzi wa Muumbaji Jesus was born without a Male parent!
Kwa uchache wako wa ujuzi majani yanahitaji Jua,... Lakini kwa Aliye initiate Ulimwengu na kila kitu hashindwi kuyafanya majani yakue bila Jua!
Yeye akitaka kitu anaamuru tu, kuwa then inakua.
Ndiyo maana nikasema Maneno yapo ila huyaamini...Una uhakika gani mtume hakuota na kuwaambia ni Mungu ili awacontrol..mtu yoyote anaweza akasema ametokewa na malaika, Yesu au Mungu. Hata Zumaridi anaweza shida Zumaridi kakosea mda, saa hivi watu wanaakili.
Tokea uzaliwe hujawahi ona Polar bears so hawapo. Skia tubishane kwa hoja sio hisia sawa. There is homosexuality in animals umeona wanyama asilimia 1% duniani huna good sample size to claim ur results. Acha kutetea point iliyofeli, na bado hujajibu so tubakane kuuwana na kuibiana Kama wanyama au? Maana ya kuwa binadamu ni Nini Kama unataka uwe Kama mnyama. And why ushoga tu do animals do blowjobs mbona hamkatazi na hio.Unafeli, kwahiyo kuona Wanyama mashoga mpaka niingie google?
Mtaani hakuna Wanyama?
Google isn't a valid source. Hata wewe unaweza ukaamua ku publish then ukasingia Chimpanzee Shoga.
Tokea nizaliwe sijawahi kuona Mnyama Shoga!🚫
Mariam alimzaa Yesu bila kuguswa/kufanya tendo na Mwanaume.Jesus wasn't born out of a virgin . Mary was a young unmarried girl. Ikawa mistranslated to virgin. Pia many gods were born from virgins before Jesus wayahudi wakaamua waibe hio narrative na pia ukitaka u make sense story za Biblia lazma uweke miujiza kila sehemu, kitu kikionekana as false unasema hoo miujiza. Ndo maana hizi dini zitaendelea kukutawala coz zinamake extra ordinary unfalsifiable and unprovable claims and promises of threats and rewards after death coz no one can substantiate the claims.
We ungekuwa Mungu unayejali uumbaji wako ungempa ujumbe lijitu liarabu afu aeneze ujumbe kwa vitishio dunia nzima? This shows ni info yake...kila mtu anajikuta anakutana na Mungu sijui malaika na anasema sheria zake ndo za Mungu na mijitu mnakubali coz mnaogopa kifo. In short all religions are made up.Ndiyo maana nikasema Maneno yapo ila huyaamini...
Tumepewa akili za kupambanua kipi cha kweli na kipi cha uongo.... Kama umepambanua ukaona ni uongo it's okay