Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Mariam alimzaa Yesu bila kuguswa/kufanya tendo na Mwanaume.

Hiyo mistranslation ipo wapi hapo?
Bro story ya virgin birth ipo kwenye religion nyingi kabla ya Christianity. Hata Krishna kazaliwa kwa bikira. Story ain't new imeibiwa. Huamini acha sio lazma.
 
In short hakuna Mnyama Shoga.. labda wewe na wenzako muendelee kudanganyana huko Google.


Binadamu amepewa akili nyingi mno ukilinganisha na Wanyama, lakini Wanyama hawafanyi huo ujinga.... So, mtu anaesupport ushoga anakua amejishusha thamani na kuzidiwa utambuzi mpaka na Nguruwe.
 
Maneno unayotumia sio ya Staha, bali yanaonyesha tu chuki neno Kama "Liarabu" "Lijitu"...... Si Maneno mazuri kutoka kwa mtu mwenye hekima🤝🏼


Kama humuamini huyo Muarabu sio mbaya, wewe endelea kumuamini Charles Darwin atakutosha.
 
Bro story ya virgin birth ipo kwenye religion nyingi kabla ya Christianity. Hata Krishna kazaliwa kwa bikira. Story ain't new imeibiwa. Huamini acha sio lazma.
So, kwa mtazamo wako Hiyo story ya Yesu kuzaliwa na Bikra Mariam ni uongo?
 
Maneno unayotumia sio ya Staha, bali yanaonyesha tu chuki neno Kama "Liarabu" "Lijitu"...... Si Maneno mazuri kutoka kwa mtu mwenye hekima🤝🏼


Kama humuamini huyo Muarabu sio mbaya, wewe endelea kumuamini Charles Darwin atakutosha.
Charles Darwin hajachinja mtu na kutishia moto. Sayansi hailazimishi, ujinga unauchagua wewe
 
 
Wewe acha ubishi point ya nature imebugi Kama unataka tule watoto wetu Kama mbwa coz ni wanyama, we Baki na unyama wako sisi ni binadamu.
 
Mkuu napendekeza usome kitabu HOW DID LIFE GET HERE BY CREATION OR EVOLUTION.
Humo hata hayo ya shetani alitoka wapi yanajibiwa .
Utakipata free kwenye online library WOL.JW.ORG nenda kwenye section ya vitabu.
Mkuu nimeenda huko nimeshindwa kukipata hicho kitabu. Unaweza kupakia hapa tafadhali?
 

Mungu yupo kweli,shida ni mpango wake sio huu ambao waanzilishi wa juz Dini wanatifundisha kwa interest zao tuamini na Kuishi Walivyotaka wao,lkn kusudi la Mungu ilikua kumuumba mwanadamu na kumpa kila kitu dunian avitawale na yy Kama muumbaji kutazama viumbe alivyoviumba namna vinaishi kufa na kuja vingine yani hivyo Kama mzunguko wa Sayari zote zinavyofanya na wan Adamu na viumbe vingine vitaishi hivyo ,lkn waliibuka watu wengine Walianza kumsemea Mungu maneno yao juu ya mpango wake kwa wanadamu,pia Mungu hakutaka kumuumba mwanadamu ktk ukamilifu wote ili Kurw na balance na dunia iendelee Kuwepo,uzur wa hao watu walioanzisha dini ni Walitaka huyu mwanadamu Asiwe huru kuamua kila kitu Bali amatengeneza ktk sheria na maandiko mengi ,ila Mungu yy Alitaka tuishi tuondoke waje wengine dunia iwe hivyo,na apo hakuna hukumu hata ya kumuangamiza mwanadamu ,Hzo zote ni propaganda Haiwezekan Mungu Ajue ameumba mtu sio mkamilifu Alfu kwa kutokua mkalifu aje amuhukumu hell no hatofanya hyivyo ,yote yaliyotokea uko nyuma ni madhara kama yanayotokea sasa tu magonjywa ,Vits kuuwana ni kitambo tangu mwanzo kaini alimuua kaka yake abili ,
 
Charles Darwin hajachinja mtu na kutishia moto. Sayansi hailazimishi, ujinga unauchagua wewe
Kwani kuamini kwamba Viumbe wote tumetokana na Ancestor mmoja., Huku ukiwa huna uthibitisho.

Sio kuchagua ujinga?
 
Hamna evidence ya kuwa alifufua mtu...Kama unayo nipe
Evidence hiyo sina, the same kwako ambae baadhi ya vitu huna evidence navyo ila umeamua kuamini.

So it's both teams to score... Wazee wa kubet wanaita GG🙌🏼
 
Kuna kitu kinaitwa Utashi (Unaweza kuangalia maana ya utashi hapa: Utashi - Wikipedia, kamusi elezo huru).

Mungu ameumba binadamu na viumbe vingine vikiwa na utashi ndani yake. Angeweza kutuumba bila kuwa na utashi kitu ni ambacho kingesababisha kumuita Mungu asiye na haki. Ametupa Utashi ili tuweze kumuita Mungu ni mwenye Haki ikiwa ni moja ya sifa kati ya sifa nyingi ikiwemo Ukamilifu.
Sasa hapo kwenye utashi ndipo tunapoona viumbe ambao tumeumbwa na Mungu tunaweza kuwa na uchaguzi katika kila jambo.

Quantum phisics inathibitisha hilo ya kuwa katika kila kipindi, muda au wakati viumbe tukiwemo binadamu tuna uwezo wa kuamua jambo fulani huku kukiwa na machaguzi mawili, aidha aahe au afanye.

Sasa kutokana na utashi huo sisi wenyewe viumbe wa Mungu tumejikuta tukichagua vilivyosahihi na vilivyosahihi kulingana na namna tunavyodhani wenyewe. Ndio maana kuna ambao wanamkana Mungu na kuna ambao wanamtukuza Mungu.

Lakini pamoja na Mungu kutupa uhuru huo wa kuamua (Utashi), kwa kuwa Mungu ni mwenye Haki ametupa uwezo wa kutambua jambo zuri na baya hasa kwetu binadamu ili hata itakapofika siku ya hukumu ifanyike katika Haki.

Utashi ndio unaotupa matokeo ambayo mtoa mada yanampa maswali, hayo ni maono yangu.
 
Mkuu nimeenda huko nimeshindwa kukipata hicho kitabu. Unaweza kupakia hapa tafadhali?
Mkuu hichi kitabu unalisoma online, simu yangu ndogo siwezi kukipakua...

Sasa ingia google andika
HOW DID LIFE GET HERE BY CREATION OR EVOLUTION mwisho weka wol.jw.org
utapata sema kipo kwa kingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…