SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Bro story ya virgin birth ipo kwenye religion nyingi kabla ya Christianity. Hata Krishna kazaliwa kwa bikira. Story ain't new imeibiwa. Huamini acha sio lazma.Mariam alimzaa Yesu bila kuguswa/kufanya tendo na Mwanaume.
Hiyo mistranslation ipo wapi hapo?
In short hakuna Mnyama Shoga.. labda wewe na wenzako muendelee kudanganyana huko Google.Tokea uzaliwe hujawahi ona Polar bears so hawapo. Skia tubishane kwa hoja sio hisia sawa. There is homosexuality in animals umeona wanyama asilimia 1% duniani huna good sample size to claim ur results. Acha kutetea point iliyofeli, na bado hujajibu so tubakane kuuwana na kuibiana Kama wanyama au? Maana ya kuwa binadamu ni Nini Kama unataka uwe Kama mnyama. And why ushoga tu do animals do blowjobs mbona hamkatazi na hio.
Maneno unayotumia sio ya Staha, bali yanaonyesha tu chuki neno Kama "Liarabu" "Lijitu"...... Si Maneno mazuri kutoka kwa mtu mwenye hekima🤝🏼We ungekuwa Mungu unayejali uumbaji wako ungempa ujumbe lijitu liarabu afu aeneze ujumbe kwa vitishio dunia nzima? This shows ni info yake...kila mtu anajikuta anakutana na Mungu sijui malaika na anasema sheria zake ndo za Mungu na mijitu mnakubali coz mnaogopa kifo. In short all religions are made up.
So, kwa mtazamo wako Hiyo story ya Yesu kuzaliwa na Bikra Mariam ni uongo?Bro story ya virgin birth ipo kwenye religion nyingi kabla ya Christianity. Hata Krishna kazaliwa kwa bikira. Story ain't new imeibiwa. Huamini acha sio lazma.
From historia na sayansi ni uongoSo, kwa mtazamo wako Hiyo story ya Yesu kuzaliwa na Bikra Mariam ni uongo?
Charles Darwin hajachinja mtu na kutishia moto. Sayansi hailazimishi, ujinga unauchagua weweManeno unayotumia sio ya Staha, bali yanaonyesha tu chuki neno Kama "Liarabu" "Lijitu"...... Si Maneno mazuri kutoka kwa mtu mwenye hekima🤝🏼
Kama humuamini huyo Muarabu sio mbaya, wewe endelea kumuamini Charles Darwin atakutosha.
In short hakuna Mnyama Shoga.. labda wewe na wenzako muendelee kudanganyana huko Google.
Binadamu amepewa akili nyingi mno ukilinganisha na Wanyama, lakini Wanyama hawafanyi huo ujinga.... So, mtu anaesupport ushoga anakua amejishusha thamani na kuzidiwa utambuzi mpaka na Nguruwe.
Wewe acha ubishi point ya nature imebugi Kama unataka tule watoto wetu Kama mbwa coz ni wanyama, we Baki na unyama wako sisi ni binadamu.In short hakuna Mnyama Shoga.. labda wewe na wenzako muendelee kudanganyana huko Google.
Binadamu amepewa akili nyingi mno ukilinganisha na Wanyama, lakini Wanyama hawafanyi huo ujinga.... So, mtu anaesupport ushoga anakua amejishusha thamani na kuzidiwa utambuzi mpaka na Nguruwe.
Mkuu nimeenda huko nimeshindwa kukipata hicho kitabu. Unaweza kupakia hapa tafadhali?Mkuu napendekeza usome kitabu HOW DID LIFE GET HERE BY CREATION OR EVOLUTION.
Humo hata hayo ya shetani alitoka wapi yanajibiwa .
Utakipata free kwenye online library WOL.JW.ORG nenda kwenye section ya vitabu.
Wakuu poleni kwa upambanaji.
Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).
Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.
Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.
Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.
Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.
Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.
Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.
Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.
Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.
Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.
Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.
Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k
Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :
1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.
Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.
2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".
Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako
Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.
Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".
Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.
Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.
Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?
Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.
NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.
Karibuni mnifunze.
Okay, sasa kama kuhusu kuzaliwa kwake tu unasema ni uongo.From historia na sayansi ni uongo
Hamna evidence ya kuwa alifufua mtu...Kama unayo nipeOkay, sasa kama kuhusu kuzaliwa kwake tu unasema ni uongo.
Je, kuhusu harakati zake nyingine utaziamini kweli?, Mfano kufufua wafu na mengine mengi
Kwani kuamini kwamba Viumbe wote tumetokana na Ancestor mmoja., Huku ukiwa huna uthibitisho.Charles Darwin hajachinja mtu na kutishia moto. Sayansi hailazimishi, ujinga unauchagua wewe
Hii ni chai, Yani viumbe wote hao tunaoishi nao... Then kujua kama ni homosexuals mpaka uingie Google?
Evidence hiyo sina, the same kwako ambae baadhi ya vitu huna evidence navyo ila umeamua kuamini.Hamna evidence ya kuwa alifufua mtu...Kama unayo nipe
Kuna kitu kinaitwa Utashi (Unaweza kuangalia maana ya utashi hapa: Utashi - Wikipedia, kamusi elezo huru).Kwanza nikuweke sawa kuwa, mimi simfikirii Mungu kuwa sawa na binadamu.
Nimesema kuwa Mungu ana uwezo mwingi,akili nyingi,maarifa.mengi,ukamilifu mwingi ila kati vyote hivyo anavyo katika hali ya wingi na siyo katika hali ya ukamilifu wote (100%) ama ya kutokuwa na kikomo
Nasema hayo sija- Qoute kokote ila nimesema ni kutokana na jinsi anavyojipambanua yeye ndani ya vitabu vyake vitakatifu (rejea mifano miwili ya maswali niliyatolea mfano kwenye uzi).
Mungu angelikuwa na sifa zote hizo za ukamilifu basi hizo kasoro zilizojitokeza (zikapelekea dhambi) zingeweza kuepukika iwapo uumbaji huo angeufanya katika ukamilifu.
Zingatia kwamba, sijaribu kumkosoa/kumsahihisha Mungu katika uumbaji wake bali nataka tu kujua kwanini itokee hivo wakati yeye ana ukamilifu wote na uwezo wake hauna kikomo ?
Labda mnambie kama hizo kasoro aliziumba kwa maksudi kwa sababu anazozijua mwenyewe hapo nitawaelewa ila mkiendelea kunambia aliumba katika ukamilifu wote, hapo nitaendelea kuwauliza maswali yasiyoisha.
Mfano wako wa mpira kuwa na wachezaji 22 na kushindana kuingiza goli kwa miguuu.
Huu mfano kumbuka ni wa kanuni (sheria za kibinadamu ambazo tumeziweka wenyewe) na mara kwa mara hufanyiwa marekebisho kulingana za uhitaji.
Mfano sasahivi wanafikiria kupunguza dakika za kucheza ziwe 40 kwa kila kipindi badala ya 45.
Kwa hiyo hizi ni kanuni ambazo tumweziweka na tunazibadilisha muda wowote tutakaotaka
Mkuu hichi kitabu unalisoma online, simu yangu ndogo siwezi kukipakua...Mkuu nimeenda huko nimeshindwa kukipata hicho kitabu. Unaweza kupakia hapa tafadhali?
Mkuu kingereza nakieleza vizuri kuliko kiswahiliMkuu hichi kitabu unalisoma online, simu yangu ndogo siwezi kukipakua...
Sasa ingia google andika
HOW DID LIFE GET HERE BY CREATION OR EVOLUTION mwisho weka wol.jw.org
utapata sema kipo kwa kingereza.
Mkuu nimeenda huko nimeshindwa kukipata hicho kitabu. Unaweza kupakia hapa tafadhali?
Kitu gani nimeamini ambacho Sina evidenceEvidence hiyo sina, the same kwako ambae baadhi ya vitu huna evidence navyo ila umeamua kuamini.
So it's both teams to score... Wazee wa kubet wanaita GG🙌🏼