Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Charles Darwin hajachinja mtu na kutishia moto. Sayansi hailazimishi, ujinga unauchagua wewe
Mkuu hapa nakupinga hakuna watu walio sababisha maafa makubwa kama wanasayansi. Ww simamia kuwa dini zinazingua lkn kwenye maafa wanasayansi wanaongoza na usiniulize kwanini kwakua ww pia unaona.
 
Hao watafiti wako ndiyo wamekuambia Duma na Kondoo wanaongoza kwa Homosexuals?


Kama unaamini kila unachoambiwa sawa.
We si umeamini kila walichokuambia waarabu. Unauliza evidence ukipewa unaanza kuzuga. In short that's not a way kudebate na watu ndo maana nimekudismind tangu mda nikakuambia sawa maana upewe facts hutaki unaishia kusema google uwongo. Sawa umeshinda niache. Atakayetaka kujua ukweli atajua lakini usimuite shoga mtu kisa kaona wanyama mashoga we ukiona mbwa dume analiwa na we utakuwa shoga kisa umeona au. Bishana kwa akili bac we mtu mzima ujue..unaleta point za kitoto mpaka jau...
 
Kwenye Dunia ya leo hata wewe mtu anaweza akakuedit kama hivyo na akaweka picha/Video google.
Nenda kaangalie full video YouTube nimekuambia acha kubishana upuuzi nimekuambia Usearch vingapi hujasearch Hadi saa hivi kila kitu kikipingana na wewe ni propaganda sijui uwongo sijui edit ifike wakati ukubali ukikosea Basi Mambo mengine yafate
 
Mkuu hapa nakupinga hakuna watu walio sababisha maafa makubwa kama wanasayansi. Ww simamia kuwa dini zinazingua lkn kwenye maafa wanasayansi wanaongoza na usiniulize kwanini kwakua ww pia unaona.
Vita nyingi duniani, mauaji, ugaidi, utekaji, ubakaji, ukoloni, unyanyasaji, utumwa, vyote vimehalalishwa na dini. Hutaki acha silazimishi
 
We si umeamini kila walichokuambia waarabu. Unauliza evidence ukipewa unaanza kuzuga. In short that's not a way kudebate na watu ndo maana nimekudismind tangu mda nikakuambia sawa maana upewe facts hutaki unaishia kusema google uwongo. Sawa umeshinda niache. Atakayetaka kujua ukweli atajua lakini usimuite shoga mtu kisa kaona wanyama mashoga we ukiona mbwa dume analiwa na we utakuwa shoga kisa umeona au. Bishana kwa akili bac we mtu mzima ujue..unaleta point za kitoto mpaka jau...
Mimi siamini kila ninachoambiwa si Waarabu,Wazungu wala Wachina......

Natumia akili ku reason.. kama kitu hakiingii akiilini hakuna wa kuniaminisha uongo.
 
Nenda kaangalie full video YouTube nimekuambia acha kubishana upuuzi nimekuambia Usearch vingapi hujasearch Hadi saa hivi kila kitu kikipingana na wewe ni propaganda sijui uwongo sijui edit ifike wakati ukubali ukikosea Basi Mambo mengine yafate
Basi sawa, tufanye upo sahihi duniani hakuna propaganda..
 
Mimi siamini kila ninachoambiwa si Waarabu,Wazungu wala Wachina......

Natumia akili ku reason.. kama kitu hakiingii akiilini hakuna wa kuniaminisha uongo.
Bac amini uislamu wako Ila proof ipo homosexuality in animals. Kama paka wako nyumbani ndo mnyama peke yake duniani endelea kumtumia paka wako Kama sample.
 
Bac amini uislamu wako Ila proof ipo homosexuality in animals. Kama paka wako nyumbani ndo mnyama peke yake duniani endelea kumtumia paka wako Kama sample.
Hahh Wanyama wako wa google ndiyo mashoga,.... aliyekuteka akili amekudanganya mno.

Ila tambua kwamba Dunia hii Ina njia mbili tu, (It's GOOD VS EVIL)

Ukiacha njia mojawapo kati ya hizo mbili basi njia moja lazima itapita na wewe kama upepo. Sijui umenipata?
 
Hahhh naona umeanzisha mpaka Uzi ku support ushoga daah🙌🏼


Pambana Mkuu
Issue sio kusapoti. Tofautisheni mtu kusapoti na mtu kutopinga. I'm against all religious dogmas.. homosexuality included, na nipo against fikra za uwongo. We mwenyewe umezunguka hapa na wanyama coz ni point yako Pekee ya msingi ulivyokuwa nayo kichwani ndo maana unaikazania even though ishafeli. Sasa kama imebuma achana nao na uishi maisha yako na Demu/mke wako au wake zako wanne mmoja Akiwa ana miaka 14 sawa tu na wengine wakiamua kupuchuka maisha Yao yote wasigonge au wakiamua ushoga au usagaji au kuwa celibate kabisa ni wao pia coz vya chumbani kwake havikuhusu.
 
Hahh Wanyama wako wa google ndiyo mashoga,.... aliyekuteka akili amekudanganya mno.

Ila tambua kwamba Dunia hii Ina njia mbili tu, (It's GOOD VS EVIL)

Ukiacha njia mojawapo kati ya hizo mbili basi njia moja lazima itapita na wewe kama upepo. Sijui umenipata?
Hizi njia mbili imetungwa na waarabu wako mi Sina hizi njia tu me it's my lyf and humanity. Ni kuishi na watu vizuri. Bila kuwaonea, bila kuwaumiza, bila kuwanyanyasa no matter tofauti zao. Ndo maana ya kuendelea kibinadamu. Na Kama wanyama wa google ni mashoga tafkiri google Ina zoo ya wanyama ambao Ni mashoga sawa. Coz kwa mfano hao Simba ni wa masai Mara Kenya wengine south Africa Sasa najua utakuja na kisingizio so yaishe tu na wanyama hao waache wapumue.
 
Issue sio kusapoti. Tofautisheni mtu kusapoti na mtu kutopinga. I'm against all religious dogmas.. homosexuality included, na nipo against fikra za uwongo. We mwenyewe umezunguka hapa na wanyama coz ni point yako Pekee ya msingi ulivyokuwa nayo kichwani ndo maana unaikazania even though ishafeli. Sasa kama imebuma achana nao na uishi maisha yako na Demu/mke wako au wake zako wanne mmoja Akiwa ana miaka 14 sawa tu na wengine wakiamua kupuchuka maisha Yao yote wasigonge au wakiamua ushoga au usagaji au kuwa celibate kabisa ni wao pia coz vya chumbani kwake havikuhusu.
Sawa hata wewe fanya unavyotaka, ukitaka kuwa hata hao unao wa support Ili uwape nguvu zaidi.


Mimi sijazunguka na Wanyama, nimeongea tu fact. ambayo ipo wazi na Universal... Dunia nzima wanajua kama Wanyama hawafanyi huo ujinga.
 
Sawa hata wewe fanya unavyotaka, ukitaka kuwa hata hao unao wa support Ili uwape nguvu zaidi.


Mimi sijazunguka na Wanyama, nimeongea tu fact. ambayo ipo wazi na Universal... Dunia nzima wanajua kama Wanyama hawafanyi huo ujinga.
We ndo unajua sio dunia nzima. Usilazimishe mawazo yako dunia nzima. Ingia fanya research mtandaoni tafuta sources mbali mbali tofauti na urudi na scientific evidence ikisema no animals r homosexual. So far unaongea from ur mind so just shut up and do some research for once.
Ukiniattack Mimi badala ya hoja haitaniumiza... unakimbilia kunisema tu kila mda niwe shoga umenizaa wewe kuwa na heshima mtu mzima Kama huna hoja ya kutetea tembea
 
Hizi njia mbili imetungwa na waarabu wako mi Sina hizi njia tu me it's my lyf and humanity. Ni kuishi na watu vizuri. Bila kuwaonea, bila kuwaumiza, bila kuwanyanyasa no matter tofauti zao. Ndo maana ya kuendelea kibinadamu. Na Kama wanyama wa google ni mashoga tafkiri google Ina zoo ya wanyama ambao Ni mashoga sawa. Coz kwa mfano hao Simba ni wa masai Mara Kenya wengine south Africa Sasa najua utakuja na kisingizio so yaishe tu na wanyama hao waache wapumue.
Hahhh njia zimetungwa na Waarabu?
mtu alivyoumbwa tu kwenye software yake kawekewa utambuzi wa hizo njia yaani automatically mtu anajua kudhulumu ni vibaya, kumtesa mtu ni vibaya, Lakini pia Mtu tayari anajua kumsaidia mtu/Mnyama ni jambo zuri, kusimamia haki ni jambo zuri n.k
 
Mungu Hayupo na Km yupo hayupo kw upande wako au binadamu yoyote; tena hata Shetani ana afadhali coz Km uyo Jamaa yupo ni mtu mbaya sana.
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
 
We ndo unajua sio dunia nzima. Usilazimishe mawazo yako dunia nzima. Ingia fanya research mtandaoni tafuta sources mbali mbali tofauti na urudi na scientific evidence ikisema no animals r homosexual. So far unaongea from ur mind so just shut up and do some research for once.
Ukiniattack Mimi badala ya hoja haitaniumiza... unakimbilia kunisema tu kila mda niwe shoga umenizaa wewe kuwa na heshima mtu mzima Kama huna hoja ya kutetea tembea
Mimi sio brainwashed kiasi hiko siwezi eti niende google nifanye research ambayo observation kwa macho tu na experience yangu inatosha kuwa research.

Wewe kama unaamini hizo research, sio kesi endelea kuamini sidhani kama kuna shida hapo.
 
Sija twist maneno, Bali yapo hivyo... Kuthibitisha inabidi ukubali kusoma mwenyewe.

Yes, Mbingu na ardhi zilikua zimeungana according to Qur'an

Pitia hapa[emoji3593]
Surah Al-Anbiya, verse 30:{Do those who disbelieve not see that the heavens and the earth were joined together, then We splitted them apart, and We made every living thing from water? Will they not then believe?"}

The meaning of the word "fafataqnahuma" in this verse is "We separated them" or "We split them asunder." In this context, it refers to the separation of the heavens and the earth, which were initially joined together.

The verse describes the state of the heavens and the earth prior to their separation, indicating that they were once a single entity. This is consistent with the scientific theory of the Big Bang, which postulates that the universe began as a singularity and expanded rapidly, eventually forming the universe as we know it today.
Yani uthibitisho ulionao ni kwamba "quran ndio imesema ivo"
Smh[emoji2365]... sasa wakat sayansi inakuletea thibitisho za kutosha kabisa. Huenda ww ni kati ya watu wanaoamini kua dunia ni flat
 
Kwahiyo Uislam unahusika vipi na Ndege kutoruhusiwa kupitia Sudan?

Daah, Mkuu ondoa mindset ya chuki.. Mimi siwezi nikakaa nakuamua kusingizia Wakristo,jews, Buddhists au atheists jambo ambalo hawahusiki kabisa nalo.
Ndugu, wanaouwa wenyewe wanakwambia uchague kati ya kusilimu au kuawa... wao ni waislamu na wadai kua wanafanya ivo kwaajil ya Allah, kufanya usilamu utawale. Maandiko yenu sindo yanasema kua uislamu utatawala dunian kote?
 
Back
Top Bottom