Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Mimi sio brainwashed kiasi hiko siwezi eti niende google nifanye research ambayo observation kwa macho tu na experience yangu inatosha kuwa research.

Wewe kama unaamini hizo research, sio kesi endelea kuamini sidhani kama kuna shida hapo.
Bac paka wako wa nyumbani anawakilisha viumbe hai vyote duniani so Kama paka wako hanyi viumbe hai wote hawanyi. Haya isiwe kesi mr observer
 
Hahhh njia zimetungwa na Waarabu?
mtu alivyoumbwa tu kwenye software yake kawekewa utambuzi wa hizo njia yaani automatically mtu anajua kudhulumu ni vibaya, kumtesa mtu ni vibaya, Lakini pia Mtu tayari anajua kumsaidia mtu/Mnyama ni jambo zuri, kusimamia haki ni jambo zuri n.k
Mbona unataka mashoga wateswe Sasa. Afu mi natumia akili yangu kujua Nini kizuri Nini kibaya ndo maana tunatofautiana definition ya good and bad. We unaona kuua mashoga ni sawa mi naona kuua mtu yoyote sio sawa it shows hatuna equal judgement na morality ni natural evolutionary trait sio kitu Cha kuumbwa sijui mti wa matunda or any of the associated bullshit
 
Hiyo ni Imani tena Imani yenyewe ya kitoto,....
Kama sio Imani ya Kitoto tuonyeshe fossils za:-
1. Ancestor wa Nyoka (Huyo ancestor mwenye Miguu)

2. Ancestor wa Twiga aliyekua na Shingo fupi.....(Mind you, ulete Ancestor!!!)

3. Ancestor aliyeishi nchi kavu, Nyangumi& Dolphins...
Hao unaweza kutafuta mwenyew sasa kwa muda wako. Hata ukiingia Google tu unaelezwa. Nishakuonesha ila kila mara unarud kulekule... sasa imekua infinity loop.

Kama hujui kuna jamii ya twiga wenye shingo fupi ambao wako hai;
Screenshot_20230507-122427_Google.jpg
 
Yani uthibitisho ulionao ni kwamba "quran ndio imesema ivo"
Smh[emoji2365]... sasa wakat sayansi inakuletea thibitisho za kutosha kabisa. Huenda ww ni kati ya watu wanaoamini kua dunia ni flat
Acha nae Huyo...mwarabu kashamchanganya...bado kubaka kitoto Cha miaka Tisa ka mtume wake tu
 
Hao unaweza kutafuta mwenyew sasa kwa muda wako. Hata ukiingia Google tu unaelezwa. Nishakuonesha ila kila mara unarud kulekule... sasa imekua infinity loop.

Kama hujui kuna jamii ya twiga wenye shingo fupi ambao wako hai;
View attachment 2618309
Atakuambia google ni uwongo na propaganda za marekani kumpinga Mungu na kupoteza dunia Quran ndo kila kitu. Majibu yake tunayajua yakitoto kichizi
 
Sawa hata wewe fanya unavyotaka, ukitaka kuwa hata hao unao wa support Ili uwape nguvu zaidi.


Mimi sijazunguka na Wanyama, nimeongea tu fact. ambayo ipo wazi na Universal... Dunia nzima wanajua kama Wanyama hawafanyi huo ujinga.
No icho ni kitu baadhi ya wanyama wameonekana kufanya na sio utan. Kwa wanyama wanaopatkana Tanzania sana simba wanasemekana kufanya ivo..
Screenshot_20230511-220627_Google.jpg


Na kuna nchi ya Afrika (nimesahau jina, ila nafkir ni kluger national park) simba jike wanatabia ya kua na mapenzi ya jinsia moja. Hii inatokea baada ya kukosekana madume (sjui kama lifestyle ya 'lion prides' unazielewa). Simba jike wanakua wanaongezeka testosterone na wengine mpaka kuota manyoa kama dume na kisha wanafanya majukumu ya simba dume katika pride... wanyama wengine waliokua observed ni penguins, chimpanzees...
Halafu ukiongelea mapenz ya jinsia moja kwa wanyama inakua haifit. Maana wanyama wao hawana "mapenzi" wao ni kujamiiana tu basi...

NB: sisupport ushoga wala sikubalian na hili linafanyika kueneza na kushawishi mambo ya kishoga. Ila ni fact tu kwamba mashoga wapo, na naturally mtu "haamui" tu kua shoga... bali ni namna tu kazaliwa.
 
Ndugu, wanaouwa wenyewe wanakwambia uchague kati ya kusilimu au kuawa... wao ni waislamu na wadai kua wanafanya ivo kwaajil ya Allah, kufanya usilamu utawale. Maandiko yenu sindo yanasema kua uislamu utatawala dunian kote?
Hamna ukweli wowote hizo story tu brother,...

Nikuulize swali, hivi unajua chanzo Cha hiyo vita ya Sudan?
 
Bac paka wako wa nyumbani anawakilisha viumbe hai vyote duniani so Kama paka wako hanyi viumbe hai wote hawanyi. Haya isiwe kesi mr observer
Ushawahi kumuona Beberu anapandwa?


Kuna vitu sio mpaka eti uambiwe au uingie Google.... Vinaonekana daily

Utalishwa matango pori tu.
 
No icho ni kitu baadhi ya wanyama wameonekana kufanya na sio utan. Kwa wanyama wanaopatkana Tanzania sana simba wanasemekana kufanya ivo..
View attachment 2618313

Na kuna nchi ya Afrika (nimesahau jina, ila nafkir ni kluger national park) simba jike wanatabia ya kua na mapenzi ya jinsia moja. Hii inatokea baada ya kukosekana madume (sjui kama lifestyle ya 'lion prides' unazielewa). Simba jike wanakua wanaongezeka testosterone na wengine mpaka kuota manyoa kama dume na kisha wanafanya majukumu ya simba dume katika pride... wanyama wengine waliokua observed ni penguins, chimpanzees...
Halafu ukiongelea mapenz ya jinsia moja kwa wanyama inakua haifit. Maana wanyama wao hawana "mapenzi" wao ni kujamiiana tu basi...

NB: sisupport ushoga wala sikubalian na hili linafanyika kueneza na kushawishi mambo ya kishoga. Ila ni fact tu kwamba mashoga wapo, na naturally mtu "haamui" tu kua shoga... bali ni namna tu kazaliwa.
Kuhusu Wanyama hizo ni agenda tu zinakua pushed wala hazina ukweli wowote.

Yaani ukishazaliwa Mwanaume hakuna excuse yoyote ya kuruhusu kuingiliwa cause tayari maumbile yako ni ya kiume tu,.
 
Ah yes. JW... nishasoma hii kitambo tu na nilishawahi kua na mjadala/mabishano nao. Tena sasa kama hujui wao basically, hawapingi evolution. Sehem wanayopinga ni pale tunaposema life started by chance. Na kwamba a totally new species evolve from other species mfano kiumbe kutoka kua samaki na kuota mapafu na kua mnyama wa nchi kavu... vitu kama ivo ndo wanapinga. Wao ukileta hoja ya 'why do fossils exist then?'. Kulingana na biblia, wanasema kua mungu alikua anaangamiza viumbe afu anaumba wengine. Wewe hili swali huwez kulijibu najua. Ila atleast hawa wanajaribu kulinganisha facts na imani zao, they makes it make sense tofaut na nyie wengine. They can be wrong, science can be wrong too. Ila hatuoni mungu akiangamiza viumbe flani na kuumba wengine [emoji2377]... ila tunaona viumbe wakievolve, mpaka leo hii. Na wengine tunaona wakienda kua extinct bila ya mungu kuwaangamiza. Tofaut kabisa na wanavodai...
 
Kuhusu Wanyama hizo ni agenda tu zinakua pushed wala hazina ukweli wowote.

Yaani ukishazaliwa Mwanaume hakuna excuse yoyote ya kuruhusu kuingiliwa cause tayari maumbile yako ni ya kiume tu,.
Bro... ni kitu kinatokea huko. Na kuna sababu ya kutokea ivo vitu. Nmeamua kufupisha tu maelezo.
Ila mm nishahudia mbwa dume anaingiliwa na dume mwingine.... walikua ni hawa bull dogs walibwekewa na mbwa koko hawa. Sasa wakaanza kumpiga huku mwingine akawa anambaka.. mpaka wakamuua.. wewe ukimfanyia ivo mwanaume mwenzako utaitwa 'gay rapist'. Na yy huyo mbwa, kwakua wao wanyama hawana concept ya mapenzi basi hiyo mbwa atakua ni gay...
 
Ushawahi kumuona Beberu anapandwa?


Kuna vitu sio mpaka eti uambiwe au uingie Google.... Vinaonekana daily

Utalishwa matango pori tu.
Yaani wanyama ambao ushawahi kuwaona wewe tuseme hata kwa masaa 12 mfululizo hawazidi watano. So sibishani na wewe sawa. We hujawahi kuona great wall of china Ila si unaamini ipo coz Kuna picha zake. Naomba picha ya Muhammad picha ya Mungu halafu urudi hapa
 
Bro... ni kitu kinatokea huko. Na kuna sababu ya kutokea ivo vitu. Nmeamua kufupisha tu maelezo.
Ila mm nishahudia mbwa dume anaingiliwa na dume mwingine.... walikua ni hawa bull dogs walibwekewa na mbwa koko hawa. Sasa wakaanza kumpiga huku mwingine akawa anambaka.. mpaka wakamuua.. wewe ukimfanyia ivo mwanaume mwenzako utaitwa 'gay rapist'. Na yy huyo mbwa, kwakua wao wanyama hawana concept ya mapenzi basi hiyo mbwa atakua ni gay...
Haya Shahid huyu hapa mpotezeeni. Wamekaa kulazimisha hawapo kwa sababu ndo point Pekee wanayolazimisha alafu imeshabuma
 
Yaani wanyama ambao ushawahi kuwaona wewe tuseme hata kwa masaa 12 mfululizo hawazidi watano. So sibishani na wewe sawa. We hujawahi kuona great wall of china Ila si unaamini ipo coz Kuna picha zake. Naomba picha ya Muhammad picha ya Mungu halafu urudi hapa..
Mbona kila kitu kipo wazi,... Hakuna mtu ambae hajawahi kuona Wanyama Tena in our life time kwa makadirio mtu mmoja unaweza ku observe zaidi ya Wanyama 500,.... Sasa kwa research yako waulize watu hata 100 kama washawahi kushuhudia hayo madai yako.

Ukishindwa nenda kwenye Jamii za Wamasai wanafuga mpaka Ng'ombe 2000+,..... Kaulize kama kuna Ng'ombe Homosexuals.


Kitu ambacho hata wewe unaweza kufanyia uchunguzi kwanini usubiri kushikiwa akili na watu wengine?
 
Ah yes. JW... nishasoma hii kitambo tu na nilishawahi kua na mjadala/mabishano nao. Tena sasa kama hujui wao basically, hawapingi evolution. Sehem wanayopinga ni pale tunaposema life started by chance. Na kwamba a totally new species evolve from other species mfano kiumbe kutoka kua samaki na kuota mapafu na kua mnyama wa nchi kavu... vitu kama ivo ndo wanapinga. Wao ukileta hoja ya 'why do fossils exist then?'. Kulingana na biblia, wanasema kua mungu alikua anaangamiza viumbe afu anaumba wengine. Wewe hili swali huwez kulijibu najua. Ila atleast hawa wanajaribu kulinganisha facts na imani zao, they makes it make sense tofaut na nyie wengine. They can be wrong, science can be wrong too. Ila hatuoni mungu akiangamiza viumbe flani na kuumba wengine [emoji2377]... ila tunaona viumbe wakievolve, mpaka leo hii. Na wengine tunaona wakienda kua extinct bila ya mungu kuwaangamiza. Tofaut kabisa na wanavodai...
Anhaa okay, vizuri kama ulishaipitia Mkuu. Yap wao hawajapinga idea yoyote moja kwa moja Bali walichosema ni kwamba hatuwezi kuhitimisha kwamba Evolution Theory ni fact kwasababu Ina loopholes nyingi, facts ni kama vile ambavyo kila mtu nowdays anajua kama earth is spherical.

Kuna sehemu wamefafanua jinsi Jicho lilivyo na mechanism yake linavyofanya kazi(The eye appears to have been designed; no designer of telescopes could have done better)... Wakauliza how come tuseme hili Jicho limetokea tu by chance.., wakaelezea mpaka functionality ya ubongo.

Nilichopenda kwenye article yao kuna sehemu wanauliza Kwamba mwili ulivyo na Organs zake zote zinategemeana katika ufanyaji kazi, sasa kama vitu vilitokea tu by chance how come organs zote kwenye mwili zitokee tu kwa bahati mbaya na kufanya kazi zote zinazoendelea kwenye miili yetu.

But the difficulty does not stop with the origin of life. Consider such body organs as the eye, the ear, the brain. All are staggering in their complexity, far more so than the most intricate man-made device. A problem for evolution has been the fact that all parts of such organs have to work together for sight, hearing or thinking to take place. Such organs would have been useless until all the individual parts were completed. So the question arises: Could the undirected element of chance that is thought to be a driving force of evolution have brought all these parts together at the right time to produce such elaborate mechanisms?
 
Uchochezi wa kisiasa ni mojawapo. Ila kwann watumie uislamu?
Mkuu naamini wewe sio mvivu wa kusoma.

Jaribu kupitia sababu za hiyo vita uone kama Uislam umetumika? Kuliko kusikiliza Maneno ya kuambiwa.


Mwisho kama umeamua kuamini Uislam ndiyo umepeleka vita Sudan, Mimi siwezi kubalisha mtazamo wako.
 
Bro... ni kitu kinatokea huko. Na kuna sababu ya kutokea ivo vitu. Nmeamua kufupisha tu maelezo.
Ila mm nishahudia mbwa dume anaingiliwa na dume mwingine.... walikua ni hawa bull dogs walibwekewa na mbwa koko hawa. Sasa wakaanza kumpiga huku mwingine akawa anambaka.. mpaka wakamuua.. wewe ukimfanyia ivo mwanaume mwenzako utaitwa 'gay rapist'. Na yy huyo mbwa, kwakua wao wanyama hawana concept ya mapenzi basi hiyo mbwa atakua ni gay...
Kwenye hiyo story yako inaonyesha kabisa ulikua ni ugomvi mpaka hao Mmbwa wakauana haihusiani na Ushoga.

Wala huyo Mbwa aliyebakwa hatuwezi kusema ni Shoga.... Sijui umenipata?


Ngoja nikupe mfano, Assume... Zile kesi zinazotokea mtu kafumaniwa na mke wa Mtu., Then mwenye Mke wake Ili kumkomoa jamaa ambae amefanya huo ujinga huwa wanamlawiti(Though, Completely I don't agree with it)
Kwenye kesi kama hiyo hatuwezi kusema moja kwa moja kwamba yule aliyelawitiwa ni Shoga bali ni ajali imetokea.


Mimi sioni njia yoyote ambayo Ina justify hayo masuala.
 
Back
Top Bottom